1 Wathesalonike 3 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

1 Wathesalonike 3:1-13

Timotheo Atumwa Kwenda Thesalonike

13:1 Mdo 17:15; 1The 3:5; Mdo 17:14Kwa hivyo tulipokuwa hatuwezi kuvumilia zaidi, tuliamua tubaki Athene peke yetu. 23:2 Mdo 16:1; 1Kor 3:9; 2Kor 2:12Tukamtuma Timotheo ambaye ni ndugu yetu na mtumishi mwenzetu wa Mungu katika kuieneza Injili ya Kristo, aje kuwaimarisha na kuwatia moyo katika imani yenu, 33:3 Mdo 9:16; 14:22ili mtu yeyote asifadhaishwe na mateso haya. Mnajua vyema kwamba tumewekewa hayo mateso. 43:4 1The 2:14; Mdo 14:22Kwa kweli, tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaambia mara kwa mara kwamba tutateswa na imekuwa hivyo kama mjuavyo. 53:5 Mt 4:3; Gal 2:2; Flp 2:16Kwa sababu hii nilipokuwa siwezi kuvumilia zaidi, nilimtuma mtu ili nipate habari za imani yenu. Niliogopa kwamba kwa njia fulani yule mjaribu asiwe amewajaribu, nasi tukawa tumejitaabisha bure.

Taarifa Ya Timotheo Ya Kutia Moyo

63:6 Mdo 18:5Lakini sasa Timotheo ndiyo tu amerejea kwetu kutoka kwenu na ameleta habari njema kuhusu imani yenu na upendo wenu. Ametuambia kwamba siku zote mnatukumbuka kwa wema na kwamba mna shauku ya kutuona kama vile sisi tulivyo na shauku ya kuwaona ninyi. 7Kwa hiyo, ndugu zetu, katika dhiki na mateso yetu yote tumefarijika kwa sababu ya imani yenu. 83:8 1Kor 16:13Sasa kwa kuwa hakika tunaishi, kwa kuwa ninyi mmesimama imara katika Bwana. 93:9 1The 1:2; 2:19, 20Je, tutawezaje kumshukuru Mungu kiasi cha kutosha kwa ajili yenu, kutokana na furaha tuliyo nayo mbele za Mungu wetu kwa sababu yenu? 103:10 2Tim 1:3; 1The 2:17Usiku na mchana tunaomba kwa bidii ili tupate kuwaona tena na kujaza kile kilichopungua katika imani yenu.

113:11 1The 3:13; Flp 4:20Basi Mungu wetu na Baba yetu mwenyewe na Bwana wetu Yesu atengeneze njia ya sisi kuja kwenu. 123:12 1Kor 1:8; 1The 2:19Bwana na auongeze upendo wenu na kuuzidisha kati yenu na kwa wengine wote, kama vile tulivyo na upendo mwingi kwenu. 13Tunamwomba Mungu aimarishe mioyo yenu ili msiwe na lawama katika utakatifu mbele za Mungu wetu aliye Baba yetu wakati wa kuja kwake Bwana Yesu pamoja na watakatifu wote.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

帖撒罗尼迦前书 3:1-13

1最后我们无法再忍受思念之苦,就决定我们留在雅典, 2提摩太去你们那里。他在传扬基督福音的事工上是我们的弟兄、上帝的同工。他去是要鼓励你们,使你们信心坚定, 3免得有人因遭受这些患难而动摇,因为你们知道我们必遭受患难。 4我们在你们那里时曾预先告诉过你们,我们会遭遇患难,你们知道后来果然如此。 5因此,我无法再等下去了,就派提摩太到你们那里看看你们的信心如何,免得那诱惑人的诱惑了你们,使我们的心血都白费了。

喜闻佳讯

6现在,提摩太刚从你们那里回来,把有关你们信心和爱心的好消息告诉了我们。他说你们常常思念我们,很想见到我们,就像我们渴望见到你们一样。 7弟兄姊妹,你们的信心使我们在万般困苦和患难中得到了激励。 8得知你们靠着主坚定不移,我们现在无比振奋。 9你们使我们在上帝面前感到非常喜乐,我们该怎样为你们感谢上帝呢? 10我们昼夜恳切祷告,渴望能见到你们,弥补你们信心的不足之处。

11愿我们的父上帝和主耶稣引领我们到你们那里。 12愿主使你们彼此之间的爱和对他人的爱一齐增长,甚至满溢出来,就像我们爱你们一样。 13这样,愿我们的主耶稣带着祂的众圣徒再来时,使你们心里刚强,在我们的父上帝面前完全圣洁,无可指责。