1 Wathesalonike 1 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

1 Wathesalonike 1:1-10

Salamu

11:1 Mdo 16:1; 17:1; Rum 1:7Paulo, Silvano1:1 Yaani Sila. na Timotheo:

Kwa kanisa la Wathesalonike, ninyi mlio ndani ya Mungu Baba yetu na ndani ya Bwana Yesu Kristo:

Neema iwe kwenu na amani.

Shukrani Kwa Ajili Ya Imani Ya Wathesalonike

21:2 Rum 1:8; 2The 1:11; Efe 1:16; Flm 4Siku zote tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi yetu daima. 31:3 2The 1:11; 1The 2:13; Yn 6:29; Gal 5:6; 1The 3:6; Yak 2:17; Rum 16:6Tunaikumbuka daima kazi yenu ya imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini katika Bwana wetu Yesu Kristo.

41:4 Kol 3:12; 2The 2:13Ndugu zetu mpendwao na Mungu, kwa kuwa tunajua kwamba Mungu amewachagua, 51:5 2The 2:14; Mk 16:20; 1Kor 6:6; Kol 2:2kwa sababu ujumbe wetu wa Injili haukuja kwenu kwa maneno matupu bali pia ulidhihirishwa katika nguvu na katika Roho Mtakatifu, tena ukiwa na uthibitisho kamili, kama vile ninyi wenyewe mnavyojua jinsi tulivyoenenda katikati yenu kwa ajili yenu. 61:6 1Kor 4:16; Mdo 17:5-10; 13:52Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu. 71:7 1The 4:10; Flp 3:7; 1Pet 5:3; 1Tim 4:12Hivyo ninyi mkawa kielelezo kwa waumini wote katika Makedonia na Akaya. 81:8 Rum 1:8; 10:18Kwa maana kutoka kwenu neno la Bwana limesikika, si katika Makedonia na Akaya tu, bali pia imani yenu katika Mungu imejulikana kila mahali kiasi kwamba hatuna haja ya kusema lolote kwa habari yake. 91:9 1Kor 12:2; Gal 4:8Kwa maana watu wa maeneo hayo wenyewe wanaeleza jinsi mlivyotupokea na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkaacha sanamu, ili kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli 101:10 Mdo 2:24; Rum 5:9na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani, Yesu, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

帖撒罗尼迦前书 1:1-10

1保罗西拉提摩太写信给帖撒罗尼迦属于父上帝和主耶稣基督的教会。

愿恩典和平安归给你们!

信徒的榜样

2我们常常为你们众人感谢上帝,为你们祷告, 3在我们的父上帝面前不断地想到你们因信我们主耶稣基督而做的工作、因爱祂而受的劳苦和因对祂的盼望而生的忍耐。

4上帝所爱的弟兄姊妹,我们知道上帝拣选了你们, 5因为我们传福音给你们不只是靠言语,也靠上帝的能力、圣灵的同在和充分的确据。你们也知道,我们为了你们的缘故怎样在你们中间行事为人。 6你们尽管深受苦难,仍然怀着圣灵所赐的喜乐领受真道,效法了我们和我们的主, 7成了马其顿亚该亚所有信徒的榜样。 8不仅主的道从你们那里传到了马其顿亚该亚,你们对上帝的信心也传遍了各地,我们无须再多说什么。 9因为人们都在传讲你们如何接待我们,如何离弃偶像归向上帝,事奉又真又活的上帝, 10等候祂的儿子从天降临,就是祂使之从死里复活、救我们脱离将来可怕审判1:10 “可怕审判”希腊文是“烈怒”。的耶稣。