1 Timotheo 4 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

1 Timotheo 4:1-16

Maagizo Kwa Timotheo

14:1 Mdo 8:29; 2Tim 3:1; 1The 2:3Roho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani. 24:2 Efe 4:19Mafundisho kama hayo huja kupitia kwa waongo ambao ni wanafiki, hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa moto. 34:3 Ebr 13:4; Kol 2:16; Mwa 1:29; Rum 14:6Wao huwakataza watu wasioe na kuwaagiza wajiepushe na vyakula fulani, ambavyo Mungu aliviumba ili vipokewe kwa shukrani na wale wanaoamini na kuijua kweli. 44:4 Rum 14:14-18Kwa maana kila kitu alichokiumba Mungu ni chema, wala hakuna kitu chochote cha kukataliwa kama kikipokewa kwa shukrani, 54:5 Ebr 4:12kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.

Mtumishi Mwema Wa Yesu Kristo

64:6 1Tim 1:10Kama ukiwakumbusha ndugu mambo haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, uliyelelewa katika kweli ya imani na yale mafundisho mazuri uliyoyafuata. 74:7 2Tim 2:16Usijishughulishe kamwe na hadithi za kipagani na masimulizi ya uongo ya wanawake wazee; badala yake, jizoeze kuwa mtauwa. 84:8 1Tim 6:6; Mit 22:4; Mt 6:33Kwa maana mazoezi ya mwili yana faida kwa sehemu, lakini utauwa una faida katika mambo yote, yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa na ya ule ujao.

94:9 1Tim 1:15Hili ni neno la kuaminiwa tena lastahili kukubaliwa kabisa, 104:10 1Kor 4:11, 12; 1Tim 6:17; Za 36:6(nasi kwa ajili ya hili tunajitaabisha na kujitahidi), kwamba tumeweka tumaini letu kwa Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi wa watu wote, hasa wale waaminio.

114:11 1Tim 5:7; 6:2Mambo haya yaagize na kuyafundisha. 124:12 Flp 3:17; 1The 1:7; 1Tim 1:14Mtu yeyote asikudharau kwa kuwa wewe ni kijana, bali uwe kielelezo kizuri kwa waumini katika usemi, mwenendo, upendo, imani na usafi. 134:13 1Tim 3:14; Lk 4:16; Mdo 13:14-16; Kol 4:16; 1The 5:27Fanya bidii kusoma Maandiko hadharani, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja. 144:14 1Tim 1:18; Mdo 6:6; 2Tim 1:6Usiache kutumia kipawa kilicho ndani yako, ambacho ulipewa kwa neno la unabii wakati wazee walikuwekea mikono.

15Uwe na bidii katika mambo haya; ujitolee kwa ajili ya mambo haya kikamilifu, ili kila mtu aone kuendelea kwako. 164:16 Rum 11:14; Mdo 20:28; Eze 33:9; 1Kor 9:22Jilinde sana nafsi yako na mafundisho yako. Dumu katika hayo, kwa maana kwa kufanya hivyo, utajiokoa wewe mwenyewe pamoja na wale wanaokusikia.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

提摩太前书 4:1-16

谨防伪君子

1圣灵明确地说,日后必有人离弃真道,去追随那些迷惑人的邪灵和鬼魔的学说。 2这些学说是出自假冒伪善的骗子,他们良心丧尽,麻木不仁4:2 “良心丧尽,麻木不仁”希腊文是“良心被烙铁烫过”。3禁止人结婚和吃某些食物。其实那些食物是上帝创造的,为了让相信并且明白真理的人存感恩的心领受。 4上帝所造的一切都是美好的,若以感恩的心去领受,就无需任何禁忌, 5因为上帝的道和人的祷告可以使食物圣洁。

6你若提醒弟兄姊妹这些事,就是基督耶稣的好仆人,在信仰之道和你所遵行的美善教导上得到了造就。

做信徒的榜样

7但你要弃绝世俗、荒诞的传说,要训练自己做敬虔的人。 8锻炼身体益处还少,敬虔生活万事受益,拥有今生和永世的应许。 9这话真实可信,值得完全接受。 10我们劳苦奋斗正是为此,因为我们的盼望在于永活的上帝。祂是天下人的救主,更是信徒的救主。 11你要吩咐和教导这些事。

12不要因为年轻而叫人小看你,总要在言语、行为、爱心、信心和纯洁各方面做信徒的榜样。 13在我来之前,你要专心宣读圣经,勉励会众,教导真理。 14不要忽略你的恩赐,那是借着预言在众长老把手按在你身上时赐给你的。 15你要全心全意做这些事,让大家都看到你的长进。 16你要注意自己的言行和教导,并持之以恒。这样,你不但能救自己,也能救那些听你教导的人。