Maagizo Kuhusu Kuabudu
12:1 Efe 6:18; Flp 4:6Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote: 22:2 Ezr 6:10; Rum 13:1kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu. 32:3 Mdo 20:1; 1Tim 5:4; Lk 1:42Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu, 42:4 Eze 18:23-32; 1Tim 4:10; 2Tim 2:25anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli. 52:5 Rum 10:12; Gal 3:20Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu, 62:6 1Kor 1:6; 1Tim 6:15aliyejitoa mwenyewe kuwa fidia kwa ajili ya wanadamu wote: jambo hili lilishuhudiwa kwa wakati wake ufaao. 72:7 2Tim 1:11; Mdo 9:15; Efe 3:7-8Nami kwa kusudi hili nimewekwa niwe mhubiri na mtume (nasema kweli katika Kristo wala sisemi uongo), mwalimu wa watu wa Mataifa katika imani na kweli.
82:8 Za 24:4; Lk 24:50Nataka kila mahali wanaume wasali wakiinua mikono mitakatifu pasipo hasira wala kugombana.
92:9 1Pet 3:3Vivyo hivyo nataka wanawake wajipambe kwa adabu na kwa heshima katika mavazi yanayostahili, si kwa kusuka nywele, kuvalia dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa, 102:10 1Tim 5:10; Mit 31:13bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.
112:11 1Kor 14:34; 1Pet 3:3, 4Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utiifu wote. 122:12 Efe 5:22; 1Kor 14:34; Mwa 3:16Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya. 132:13 Mwa 2:7, 22; 1Kor 11:8Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva. 142:14 Mwa 3:1-6, 13; 2Kor 11:3Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji. 152:15 1Tim 1:14Lakini mwanamke ataokolewa kwa kuzaa kwake, kama wakiendelea kudumu katika imani, upendo na utakatifu, pamoja na kuwa na kiasi.
要為他人禱告
1我勸你首先要為所有的人懇求、禱告、代求和感謝上帝。 2也要為所有的君王和掌權者禱告,使我們可以懷著虔誠、端正的心過和平安寧的生活。 3這樣做很美好,是蒙我們的救主上帝悅納的。 4因為祂願世人都得救,明白真理。 5上帝只有一位,在上帝和世人之間只有一位中保,就是降世為人的基督耶穌。 6祂捨命作所有人的贖價,這在所定的時候已顯明出來。 7為此,我被指派做傳道人和使徒,教導外族人認識信仰和真理。我說的是實話,並非謊言。
信徒的操守
8我願男人舉起聖潔的手隨處禱告,不發怒,不爭辯2·8 「爭辯」或譯「疑惑」。。 9我願女人衣著得體,樸素端莊,不靠髮型、珠寶金飾或名貴衣服來妝飾自己, 10要有善行,這樣才配稱為敬畏上帝的女人。 11女人應當安安靜靜地學習,完全順服。
12我不准女人教導或管轄男人,她們應當保持安靜。 13因為先造的是亞當,後造的是夏娃, 14並非亞當受騙,而是夏娃受騙陷入罪中。 15不過,女人如果持守信心和愛心,聖潔自律,就必在生育的事上得救。