1 Samweli 9 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 9:1-27

Samweli Anamtia Sauli Mafuta

19:1 Yos 18:11-20; Rut 2:1; 1Sam 14:51; 1Nya 8:33; 9:39; Es 2:5; Mdo 13:21Kulikuwako Mbenyamini mmoja, mtu maarufu, ambaye aliitwa Kishi mwana wa Abieli, mwana wa Serori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia wa Benyamini. 29:2 Mwa 39:6; 1Sam 10:23-24Alikuwa na mwana aliyeitwa Sauli, kijana anayevutia sana, hakuwepo aliyelingana naye miongoni mwa Waisraeli, alikuwa mrefu kuliko wengine wote.

39:3 1Sam 10:14-16Basi punda wa Kishi baba yake Sauli walipotea, naye Kishi akamwambia mwanawe Sauli, “Mchukue mmoja wa watumishi mwende pamoja naye kuwatafuta punda.” 49:4 Yos 24:33; 2Fal 4:42; 1Sam 10:2Hivyo akapita katika nchi ya vilima ya Efraimu na katika eneo la Shalisha, lakini hawakuwapata. Wakaendelea katika sehemu ya Shaalimu, lakini punda hawakuwepo huko. Kisha wakapita katika nchi ya Benyamini, lakini hawakuwapata.

59:5 1Sam 1:1; 10:1Walipofika sehemu ya Sufu, Sauli akamwambia mtumishi aliyekuwa pamoja naye, “Njoo, sisi na turudi, au baba yangu ataacha kufikiria juu ya punda na kuanza kufadhaika kutuhusu sisi.”

69:6 Kum 33:1; Amu 13:6; 1Sam 3:19; 1Fal 13:1; 2Fal 6:6; 1Tim 6:11; 1Sam 3:19; Isa 44:26; Mt 24:35Lakini mtumishi akajibu, “Tazama, katika mji huu yupo mtu wa Mungu, anayeheshimiwa sana na kila kitu asemacho hutokea kweli. Sasa na twende huko. Huenda atatuambia twende njia ipi.”

79:7 Mwa 32:20; 1Fal 13:7; 14:3; 2Fal 4:42; 5:5, 15; Yer 40:5; Amu 6:18; 13:17Sauli akamwambia mtumishi wake, “Kama tukienda, tutampa nini huyo mtu? Chakula kimekwisha kwenye mifuko yetu. Hatuna zawadi ya kumpelekea huyo mtu wa Mungu. Je tuna nini?”

8Mtumishi akamjibu Sauli tena, akasema, “Tazama, nina fedha robo shekeli.9:8 Robo shekeli ni sawa na gramu 3. Hiyo nitampa huyo mtu wa Mungu ili aweze kutuambia twende kwa njia ipi.” 99:9 Mwa 25:22; 2Sam 15:27; 24:11; 17:13; 1Nya 9:22; 21:9; 26:28; 29:29; 2Nya 19:2; Isa 29:10; 30:10; Amo 7:12; Kut 28:30; Hes 27:21; Amu 1:1; 20:18-28; 2Sam 24:11; 2Fal 17:13(Zamani katika Israeli, kama mtu alikwenda kuuliza neno kwa Mungu, angalisema, “Njoo na twende kwa mwonaji,” kwa sababu nabii wa sasa alikuwa akiitwa mwonaji.)

10Sauli akamwambia mtumishi wake, “Vyema, njoo na twende.” Basi wakaenda mjini alipokuwepo huyo mtu wa Mungu.

119:11 Mwa 24:11-13; Kut 2:16Walipokuwa wakipanda mlima kwenda mjini, wakakutana na baadhi ya wasichana wanakuja kuchota maji, nao wakawauliza, “Je, mwonaji yuko?”

129:12 Hes 28:11-15; 1Sam 7:17; Law 26:30; 1Fal 3:2Wakajibu, “Yuko, yu mbele yenu amewatangulia, sasa fanyeni haraka, ndiyo tu amekuja mjini kwetu leo, kwa kuwa watu wana dhabihu huko mahali pa juu. 139:13 Mt 14:19; 1Kor 10:16; 1Tim 4:3-5Mara tu mwingiapo mjini, mtamkuta kabla hajapanda kwenda mahali pa juu kula. Watu hawataanza kula mpaka atakapofika kwa sababu ni lazima kwanza yeye abariki dhabihu, ndipo wale walioalikwa watakapokula. Pandeni sasa, mtamkuta kwa wakati huu.”

14Wakapanda mjini, nao walipokuwa wakiingia mjini, tazama, Samweli alikuwa akija kuelekea walikokwenda mahali pa juu.

159:15 1Sam 24:11; Za 25:14; Mk 11:2-4; Mdo 13:11Basi siku moja kabla Sauli hajaja, Bwana alikuwa amemfunulia Samweli jambo hili: 169:16 Kut 30:25; 1Sam 2:35; 12:3; 15:1; 26:9; 2Fal 11:12; Za 2:2; 2Sam 7:8; 1Fal 8; 16; 1Nya 5:2; Kut 3:8; 1Sam 23:4; 2Sam 3:18; Mwa 16:11; Za 102:1“Kesho wakati kama huu nitakupelekea mtu kutoka nchi ya Benyamini. Umtie mafuta awe kiongozi juu ya watu wangu Israeli, ndiye atakayewakomboa watu wangu na mkono wa Wafilisti. Nimewaangalia watu wangu, kwa kuwa kilio chao kimenifikia.”

179:17 1Sam 16:12; Hos 13:11Samweli alipomwona Sauli, Bwana akamwambia, “Huyu ndiye mtu niliyekuambia habari zake, kwamba yeye atawatawala watu wangu.”

18Sauli akamkaribia Samweli langoni na kumuuliza, “Tafadhali, je, waweza kuniambia mahali nyumba ya mwonaji ilipo?”

19Samweli akamjibu Sauli, “Mimi ndiye mwonaji, panda utangulie mbele yangu mpaka mahali pa juu, kwa kuwa leo itakupasa kula pamoja nami na asubuhi nitakuruhusu uende na nitakuambia yale yote yaliyo moyoni mwako. 209:20 1Sam 12:13; Ezr 6:8; Isa 60:4-9; Dan 2:44; Hag 2:7; Mal 3:1Kuhusu wale punda uliowapoteza siku tatu zilizopita, usifadhaike kwa habari yao; wamepatikana. Ni kwa nani ambaye shauku yote ya Israeli imeelekea, kama si kwako na jamaa yote ya baba yako?”

219:21 Za 68:27; Kut 3:11; Mt 2:6; 1Kor 15:9; Amu 6:15; 20:35, 46; 1Sam 18:18; 15:17Sauli akajibu, “Je, mimi si Mbenyamini, kutoka kabila dogo kuliko yote ya Israeli, nao ukoo wangu si ndio mdogo kuliko koo zote za kabila la Benyamini? Kwa nini uniambie jambo la namna hiyo?”

22Kisha Samweli akamleta Sauli na mtumishi wake ndani ukumbini na kuwaketisha mahali pa heshima zaidi miongoni mwa wale waliokuwa wamealikwa; jumla yao walikuwa kama watu thelathini. 23Samweli akamwambia mpishi, “Leta ile sehemu ya nyama niliyokupa, ile niliyokuambia iweke kando.”

249:24 Law 7:24; Hes 18:18; Eze 24:4; Mdo 10:9Hivyo mpishi akachukua mguu pamoja na kile kilichokuwa juu yake akaiweka mbele ya Sauli. Samweli akasema, “Hiki ndicho ambacho kimewekwa kwa ajili yako. Ule, kwa sababu kilitengwa kwa ajili yako kwa tukio hili, tangu niliposema, ‘Nimewaalika wageni.’ ” Naye Sauli akala pamoja na Samweli siku ile.

259:25 Kum 22:8; Yos 2:8; Mt 24:17; Lk 5:19; Mdo 10:9Baada ya kushuka kutoka mahali pa juu na kufika mjini, Samweli alizungumza na Sauli juu ya dari ya nyumba yake. 26Walipoamka mapema alfajiri, Samweli akamwita Sauli darini, akamwambia, “Jiandae, nami nitakuaga uende zako.” Sauli alipokuwa tayari yeye na Samweli wakatoka nje pamoja. 27Hata walipokuwa wakiteremka kuelekea mwisho wa mji, Samweli akamwambia Sauli, “Mwambie mtumishi atangulie mbele yetu.” Naye mtumishi akafanya hivyo. “Lakini subiri hapa kwa kitambo kidogo, ili nipate kukupa ujumbe kutoka kwa Mungu.”

New Russian Translation

1 Царств 9:1-27

Самуил помазывает Саула

1Был некий знатный человек из рода Вениамина, которого звали Киш, сын Авиила, сына Церора. Церор был сыном Бехората. Бехорат был сыном Афиаха, вениамитянин. 2У Киша был сын, которого звали Саул, красивый юноша – красивее его не было среди израильтян, – он был на голову выше ростом всех своих соплеменников.

3Однажды у Киша, отца Саула, пропали ослицы, и Киш сказал сыну:

– Возьми с собой одного из слуг и пойди, поищи ослиц.

4Вместе со слугой они прошли через нагорья Ефрема и через землю Шалишу, но не нашли их. Они прошли через землю Шаалим, но ослиц и там не было. Затем прошли через землю Вениамина, но не нашли их. 5Когда они добрались до земли Цуф, Саул сказал слуге, который был с ним:

– Давай пойдем назад, иначе мой отец перестанет думать об ослицах и начнет беспокоиться о нас.

6Но слуга сказал:

– Послушай, в этом городе есть Божий человек. Он пользуется большим уважением, и все, что он говорит, сбывается. Давай сходим туда. Может быть, он укажет нам путь.

7Саул сказал слуге:

– Если мы пойдем, то что же мы дадим этому человеку? Еда в наших мешках кончилась. У нас нет подарка, чтобы принести Божьему человеку. Что у нас есть?

8Слуга вновь ответил ему:

– Послушай, у меня есть четверть шекеля9:8 Около 3 граммов. серебра. Я дам его Божьему человеку, и он укажет нам путь.

9(Прежде в Израиле, если человек шел вопросить Бога, он говорил: «Пойдем к провидцу», потому что тот, кого сегодня называют пророком, прежде назывался провидцем.)

10– Хорошо, – сказал слуге Саул. – Пойдем.

И они направились в город, где был Божий человек. 11Поднимаясь в город на холм, они встретили девушек, которые шли за водой, и спросили их:

– Есть здесь провидец?

12– Есть, – ответили те. – Он впереди тебя. Поторопись, он только что пришел в город, потому что у народа сегодня жертвоприношение в святилище на возвышенности. 13Когда войдете в город, вы найдете его прежде, чем он поднимется поесть в святилище. Народ не начнет есть до его прихода, потому что он должен благословить жертву; после этого приглашенные примутся за еду. Идите, вы еще можете застать его.

14Они поднялись в город, и навстречу им вышел Самуил, направлявшийся в святилище на возвышенности.

15(А за день до прихода Саула Господь открыл Самуилу: 16«Завтра, приблизительно в это время, Я пошлю тебе человека из земли Вениамина. Помажь9:16 Посредством обряда помазания человек посвящался на определенное служение. Такого помазания удостаивались пророки, цари и священники. его в вожди над Моим народом Израиля. Он избавит Мой народ от руки филистимлян. Я обратил Свой взор на Мой народ, потому что его крик достиг Моего слуха».)

17Когда Самуил увидел Саула, Господь сказал ему:

– Это тот человек, о котором Я тебе говорил. Он будет править Моим народом.

18Саул подошел к Самуилу возле ворот и спросил:

– Пожалуйста, скажи мне, где дом провидца?

19– Провидец – это я, – ответил Самуил. – Поднимайся к святилищу впереди меня, потому что сегодня ты будешь есть со мной, а утром я отпущу тебя и скажу все, что у тебя на сердце. 20А что до ослиц, которых ты потерял три дня назад, то не беспокойся о них; они уже нашлись. К кому же и обращено все желание Израиля9:20 Или: «Кому же и принадлежит все самое желанное в Израиле»., если не к тебе и не ко всей семье твоего отца?!

21– Но разве я не из Вениамина, наименьшего рода в Израиле, – ответил Саул, – и разве мой клан не последний среди всех кланов рода Вениамина? К чему же ты говоришь мне такое?

22Самуил провел Саула и его слугу в комнату и усадил их во главе приглашенных, которых было около тридцати человек. 23Самуил сказал повару:

– Принеси кусок мяса, который я отдал тебе и велел отложить.

24Повар принес бедро и что было при нем9:24 Смысл этого места в еврейском тексте неясен. и положил перед Саулом. Самуил сказал:

– Вот то, что сберегалось для тебя. Ешь, это было специально отложено тебе, чтобы ты поел вместе с гостями9:24 Возможный смысл этого неясного в еврейском тексте места: «для случая, чтобы ты мог есть вместе с гостями»..

И Саул обедал с Самуилом в тот день.

25После того как они спустились из святилища в город, он говорил с Саулом на крыше своего дома9:25 В древности на Ближнем Востоке дома имели плоскую крышу..

26Они встали рано и на заре Самуил крикнул Саулу, находящемуся на крыше:

– Собирайся, я провожу тебя в путь.

Саул собрался и вместе с Самуилом вышел из дома. 27Пока они спускались к окраине города, Самуил сказал Саулу:

– Скажи слуге, чтобы он пошел впереди нас, – и тот пошел вперед, – но сам стой здесь, я открою тебе, что сказал Бог.