1 Nyakati 8 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version

1 Nyakati 8:1-40

Ukoo Wa Sauli Mbenyamini

18:1 Mwa 46:21; 1Nya 7:6; Hes 26:38Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza,

Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,

2Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.

38:3 Mwa 46:21Wana wa Bela walikuwa:

Adari, Gera, Abihudi, 48:4 2Sam 23:9Abishua, Naamani, Ahoa, 5Gera, Shefufani na Huramu.

68:6 Amu 3:12-30; 1Nya 2:52; Neh 6:2Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:

7Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.

8Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara. 9Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu, 10Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao. 11Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.

128:12 Ezr 2:33; Neh 7:37Wana wa Elpaali walikuwa:

Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka), 138:13 Yos 10:12; Yn 11:22; Yos 19:42na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.

14Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi, 15Zebadia, Aradi, Ederi, 16Mikaeli, Ishpa, na Yoha.

17Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi, 18Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.

19Yakimu, Zikri, Zabdi, 20Elienai, Silethai, Elieli, 21Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.

22Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli, 23Abdoni, Zikri, Hanani, 24Hanania, Elamu, Anthothiya, 25Ifdeya na Penueli.

26Shamsherai, Sheharia, Athalia, 27Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.

28Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.

298:29 Yos 9:3; 1Nya 9:35Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni.

Mke wake aliitwa Maaka. 30Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu, 318:31 1Nya 9:37Gedori, Ahio, Zekeri, 32na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

338:33 1Sam 28:19; 9:1; 14:49; 2Sam 2:8; Mdo 13:21Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.

348:34 2Sam 9:12; 4:4; 21:7-14Yonathani akamzaa:

Merib-Baali,8:34 Merib-Baali maana yake ni Baali na Ashindane naye (Amu 6:32); ni jina lingine la mwana wa Yonathani, Mefiboshethi ambalo nalo maana yake ni Mtu wa Aibu (ona 2Sam 4:4). naye Merib-Baali akamzaa Mika.

35Wana wa Mika walikuwa:

Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.

36Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa. 37Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.

38Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao:

Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.

39Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa:

Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti. 408:40 Hes 26:38; 1Nya 12:2; 2Nya 11:1; 13:3; Neh 4:13; Wim 3:7-8; Efe 6:11-20Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150.

Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

New International Version

1 Chronicles 8:1-40

The Genealogy of Saul the Benjamite

1Benjamin was the father of Bela his firstborn,

Ashbel the second son, Aharah the third,

2Nohah the fourth and Rapha the fifth.

3The sons of Bela were:

Addar, Gera, Abihud,8:3 Or Gera the father of Ehud 4Abishua, Naaman, Ahoah, 5Gera, Shephuphan and Huram.

6These were the descendants of Ehud, who were heads of families of those living in Geba and were deported to Manahath:

7Naaman, Ahijah, and Gera, who deported them and who was the father of Uzza and Ahihud.

8Sons were born to Shaharaim in Moab after he had divorced his wives Hushim and Baara. 9By his wife Hodesh he had Jobab, Zibia, Mesha, Malkam, 10Jeuz, Sakia and Mirmah. These were his sons, heads of families. 11By Hushim he had Abitub and Elpaal.

12The sons of Elpaal:

Eber, Misham, Shemed (who built Ono and Lod with its surrounding villages), 13and Beriah and Shema, who were heads of families of those living in Aijalon and who drove out the inhabitants of Gath.

14Ahio, Shashak, Jeremoth, 15Zebadiah, Arad, Eder, 16Michael, Ishpah and Joha were the sons of Beriah.

17Zebadiah, Meshullam, Hizki, Heber, 18Ishmerai, Izliah and Jobab were the sons of Elpaal.

19Jakim, Zikri, Zabdi, 20Elienai, Zillethai, Eliel, 21Adaiah, Beraiah and Shimrath were the sons of Shimei.

22Ishpan, Eber, Eliel, 23Abdon, Zikri, Hanan, 24Hananiah, Elam, Anthothijah, 25Iphdeiah and Penuel were the sons of Shashak.

26Shamsherai, Shehariah, Athaliah, 27Jaareshiah, Elijah and Zikri were the sons of Jeroham.

28All these were heads of families, chiefs as listed in their genealogy, and they lived in Jerusalem.

29Jeiel8:29 Some Septuagint manuscripts (see also 9:35); Hebrew does not have Jeiel. the father8:29 Father may mean civic leader or military leader. of Gibeon lived in Gibeon.

His wife’s name was Maakah, 30and his firstborn son was Abdon, followed by Zur, Kish, Baal, Ner,8:30 Some Septuagint manuscripts (see also 9:36); Hebrew does not have Ner. Nadab, 31Gedor, Ahio, Zeker 32and Mikloth, who was the father of Shimeah. They too lived near their relatives in Jerusalem.

33Ner was the father of Kish, Kish the father of Saul, and Saul the father of Jonathan, Malki-Shua, Abinadab and Esh-Baal.8:33 Also known as Ish-Bosheth

34The son of Jonathan:

Merib-Baal,8:34 Also known as Mephibosheth who was the father of Micah.

35The sons of Micah:

Pithon, Melek, Tarea and Ahaz.

36Ahaz was the father of Jehoaddah, Jehoaddah was the father of Alemeth, Azmaveth and Zimri, and Zimri was the father of Moza. 37Moza was the father of Binea; Raphah was his son, Eleasah his son and Azel his son.

38Azel had six sons, and these were their names:

Azrikam, Bokeru, Ishmael, Sheariah, Obadiah and Hanan. All these were the sons of Azel.

39The sons of his brother Eshek:

Ulam his firstborn, Jeush the second son and Eliphelet the third. 40The sons of Ulam were brave warriors who could handle the bow. They had many sons and grandsons—150 in all.

All these were the descendants of Benjamin.