1 Nyakati 27 – NEN & APSD-CEB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 27:1-34

Vikosi Vya Jeshi

1Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.

227:2 2Sam 23:8; 1Nya 11:11Msimamizi wa kikosi cha kwanza kwa mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Kulikuwa na watu 24,000 katika kikosi chake. 327:3 Mwa 38:29Yeye alikuwa mzao wa Peresi, na mkuu wa maafisa wote wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.

427:4 2Sam 23:9-20Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

527:5 1Fal 4:5Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000. 627:6 2Sam 23:20-23Huyu ndiye yule Benaya aliyekuwa shujaa miongoni mwa wale Thelathini na ndiye alikuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Amizabadi ndiye alikuwa mkuu katika kikosi chake.

727:7 2Sam 2:18; 1Nya 11:26-28; 2Sam 23:24Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

8Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

927:9 2Sam 23:26; 1Nya 11:28Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

10Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

1127:11 2Sam 21; 18; 1Nya 11:29Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

1227:12 2Sam 23:27; 1Nya 11:30-31Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

1327:13 2Sam 23:28; 1Nya 11:36Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

1427:14 2Sam 23:30; 1Nya 11:31Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

1527:15 2Sam 23:29; Yos 15:17; Amu 3:9Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

Maafisa Wa Makabila

16Maafisa waliokuwa wanaoongoza makabila ya Israeli walikuwa:

Kwa Wareubeni: Eliezeri mwana wa Zikri;

kwa Wasimeoni: Shefatia mwana wa Maaka;

1727:17 1Nya 26:30; 2Sam 8:17; 1Nya 12:28kwa Walawi: Hashabia mwana wa Kemueli;

kwa Aroni: Sadoki;

1827:18 1Sam 16:6kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi;

kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;

19kwa Wazabuloni: Ishmaya mwana wa Obadia;

kwa Wanaftali: Yeremothi mwana wa Azrieli;

20kwa Waefraimu: Hoshea mwana wa Azazia;

kwa nusu ya kabila la Manase: Yoeli mwana wa Pedaya;

21kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko Gileadi: Ido mwana wa Zekaria;

kwa Wabenyamini: Yaasieli mwana wa Abneri;

22kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu.

Hao ndio waliokuwa maafisa wa makabila ya Israeli.

2327:23 2Sam 24:1; 1Nya 21:2-5; Mwa 12:2; 15:5; Kut 32:13; Ebr 11:12Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu Bwana alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani. 2427:24 2Sam 24:15; 1Nya 21:7Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.

Wasimamizi Wa Mali Za Mfalme

25Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme.

Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.

26Ezri mwana wa Kelubu alikuwa msimamizi wa wafanyakazi waliolima katika mashamba.

2727:27 Wim 8:11Shimei Mramathi alikuwa msimamizi wa mashamba ya mizabibu.

Zabdi Mshifmi alikuwa msimamizi wa zabibu, utengenezaji na uhifadhi wa divai katika mapipa makubwa.

2827:28 1Fal 10:27; 2Nya 1:15Baal-Hanani Mgederi ndiye alikuwa mwangalizi wa mashamba ya mfalme ya mizeituni na mikuyu katika tambarare za vilima vya magharibi.

Yoashi alikuwa msimamizi wa ghala za mafuta ya zeituni.

29Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni.

Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ngʼombe yaliyokuwa makondeni.

30Obili Mwishmaeli alikuwa msimamizi wa ngamia.

Yedeya Mmeronothi alikuwa msimamizi wa punda.

3127:31 1Nya 5:10Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi.

Hawa wote ndio waliokuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi.

3227:32 2Sam 21:21Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa akiwahudumia wana wa mfalme.

3327:33 2Sam 15:12, 37Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme.

Hushai Mwariki alikuwa rafiki wa mfalme. 3427:34 1Sam 22:20; 2Sam 2:13; 1Nya 11:6Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari.

Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.

Ang Pulong Sa Dios

1 Cronica 27:1-34

Ang mga Opisyal sa mga Sundalo

1Mao kini ang lista sa mga pangulo, mga komander, ug mga opisyal sa mga Israelinhon nga nagaalagad sa hari isip mga tigdumala sa grupo sa mga sundalo nga nagaalagad ug usa ka bulan matag tuig. Ang kada grupo may 24,000 ka mga sundalo.

2Si Jashobeam nga anak ni Zabdiel mao ang komander sa unang bulan. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo. 3Kaliwat siya ni Perez ug pangulo sa tanan nga opisyal sa mga sundalo sa unang bulan.

4Si Dodai nga kaliwat ni Ahohi mao ang komander sa ikaduhang bulan. Si Miklot mao ang labawng pangulo sa iyang grupo nga may 24,000 ka mga sundalo.

5Si Benaya nga anak ni Jehoyada nga pari mao ang komander sa mga sundalo sa ikatulo nga bulan. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo. 6Kini si Benaya mao ang maisog nga pangulo sa 30 ka kinaisogan nga mga tawo ni David. Ang iyang anak nga si Amizabad mao ang labawng pangulo sa iyang grupo.

7Si Asahel nga igsoon ni Joab mao ang komander sa ikaupat nga bulan. Ang iyang anak nga si Zebadia mao ang mipuli kaniya. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo.

8Si Shamhut27:8 Shamhut: o, Shama. nga kaliwat ni Izra mao ang komander sa ikalima nga bulan. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo.

9Si Ira nga anak ni Ikesh nga taga-Tekoa mao ang komander sa ikaunom nga bulan. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo.

10Si Helez nga taga-Pelon nga kaliwat ni Efraim mao ang komander sa ikapito nga bulan. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo.

11Si Sibecai nga taga-Husha nga kaliwat ni Zera mao ang komander sa ikawalo nga bulan. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo.

12Si Abiezer nga taga-Anatot nga kaliwat ni Benjamin mao ang komander sa ikasiyam nga bulan. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo.

13Si Maharai nga taga-Netofa nga kaliwat ni Zera mao ang komander sa ikanapulo nga bulan. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo.

14Si Benaya nga taga-Piraton nga kaliwat ni Efraim mao ang komander sa ika-11 nga bulan. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo.

15Si Heldai27:15 Heldai: o, Heled. nga taga-Netofa nga kaliwat ni Otniel mao ang komander sa ika-12 nga bulan. May 24,000 ka mga sundalo sa iyang grupo.

Ang mga Opisyal sa mga Tribo sa Israel

16Mao kini ang mga opisyal sa mga tribo sa Israel:

Sa tribo ni Reuben: si Eliezer nga anak ni Zicri.

Sa tribo ni Simeon: si Shefatia nga anak ni Maaca.

17Sa tribo ni Levi: si Hashabia nga anak ni Kemuel.

Sa kaliwat ni Aaron: si Zadok.

18Sa tribo ni Juda: si Elihu nga igsoon ni David.

Sa tribo ni Isacar: si Omri nga anak ni Micael.

19Sa tribo ni Zebulun: si Ishmaya nga anak ni Obadia.

Sa tribo ni Naftali: si Jerimot nga anak ni Azriel.

20Sa tribo ni Efraim: si Hosea nga anak ni Azazia.

Sa katunga nga tribo ni Manase: si Joel nga anak ni Pedaya.

21Sa laing katunga nga tribo ni Manase sa Gilead: si Iddo nga anak ni Zacarias.

Sa tribo ni Benjamin: si Jaasiel nga anak ni Abner.

22Sa tribo ni Dan: si Azarel nga anak ni Jeroham.

Sila ang mga opisyal sa mga tribo sa Israel.

23Sa dihang giihap ni David ang mga tawo, wala niya iapil ang wala pa mag-edad ug 20 ka tuig, kay misaad man ang Ginoo nga himuon niyang sama kadaghan sa mga bitoon sa langit ang mga Israelinhon. 24Gisugdan ni Joab nga anak ni Zeruya ang pag-ihap sa mga tawo apan wala niya kini mahuman tungod kay nasuko ang Dios niini nga pag-ihap. Busa wala malista sa listahan ni Haring David ang kinatibuk-an nga gidaghanon sa mga Israelinhon.

Ang mga Opisyal sa Gingharian

25Si Azmavet nga anak ni Adiel mao ang nagdumala sa mga bodega sa palasyo sa hari.

Si Jonatan nga anak ni Uzia mao ang nagdumala sa mga bodega sa mga distrito, mga lungsod, mga baryo, ug sa mga tore.

26Si Ezri nga anak ni Kelub mao ang nagdumala sa mga trabahante sa uma sa hari.

27Si Shimei nga taga-Rama mao ang nagdumala sa mga ubasan sa hari.

Si Zabdi nga taga-Sefam mao ang gitugyanan sa bodega sa mga ubas ug sa bino sa hari.

28Si Baal Hanan nga taga-Geder mao ang nagdumala sa mga kahoyng olibo ug sikomoro sa kabungtoran sa kasadpan.27:28 kabungtoran sa kasadpan: sa Hebreo, Shefela.

Si Joas mao ang gitugyanan sa bodega sa lana sa olibo.

29Si Shitrai nga taga-Sharon mao ang nagdumala sa mga kahayopan nga ipasabsab didto sa Sharon.

Si Shafat nga anak ni Adlai mao ang nagdumala sa mga kahayopan sa mga kapatagan.

30Si Obil nga Ishmaelinhon mao ang nagdumala sa mga kamelyo.

Si Jedea nga taga-Meronot mao ang nagdumala sa mga asno.

31Si Jaziz nga Hagarnon mao ang nagdumala sa mga karnero.

Mao kini silang tanan ang mga opisyal nga nagdumala sa mga kabtangan ni Haring David.

32Si Jonatan nga uyoan ni Haring David mao ang iyang magtatambag. Maalamon si Jonatan ug usa siya ka manunulat. Si Jehiel nga anak ni Hacmoni mao ang magtutudlo sa mga anak sa hari. 33Si Ahitofel usa usab sa magtatambag sa hari. Si Hushai nga Arkanhon suod nga higala sa hari. 34Sa dihang namatay si Ahitofel, gipulihan siya ni Jehoyada (nga anak ni Benaya) ug ni Abiatar. Si Joab mao ang komander sa tibuok puwersa sa kasundalohan sa hari.