1 Nyakati 2 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 2:1-55

Wana Wa Israeli

12:1 Mwa 32:28; 35:10; Kut 32:13; Hes 1:5-15; 13:4-15; Mwa 29:32; 1Fal 18:31Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:

Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni, 2Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.

Yuda

Hadi Wana Wa Hesroni

32:3 Mwa 29:35; 38:2; Hes 26:19Wana wa Yuda walikuwa:

Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa Bwana, kwa hiyo Bwana alimuua. 42:4 Mwa 38:11-30; 11:31; 38:29Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.

52:5 Mwa 46:12; Hes 26:21; Rut 4:18Wana wa Peresi walikuwa:

Hesroni na Hamuli.

62:6 1Fal 4:31Wana wa Zera walikuwa:

Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.

72:7 Yos 7:1; 6:18; 1Nya 4:1Mwana wa Karmi alikuwa:

Akari,2:7 Akari maana yake Taabisha; pia anaitwa Akani (Yos 6:1-26; 22:20). ambaye alileta taabu kwa Waisraeli kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu vilivyokuwa vimewekwa wakfu.

8Mwana wa Ethani alikuwa:

Azariya.

92:9 Hes 26:21Wana wa Hesroni walikuwa:

Yerameeli, Ramu na Kalebu.

Kuanzia Ramu Mwana Wa Hesroni

102:10 Lk 3:32-33; Kut 6:23; Hes 1:7; Rut 4:19Ramu alimzaa

Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda. 11Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi, 122:12 Rut 2:1; 4:17Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

132:13 Rut 4:17; Isa 16:6Yese akawazaa

Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,2:13 Au: Shima, maana yake Sifa njema (pia 1Sam 16:9; 17:13). 14wa nne Nethaneli, wa tano Radai, 15wa sita Osemu, na wa saba Daudi. 162:16 1Sam 26:6; 2Sam 2:18; 2:13Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli. 172:17 2Sam 17:25Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.

Kalebu Mwana Wa Hesroni

18Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni. 192:19 1Nya 2:42, 50Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri. 202:20 Kut 32:2; 35:30; 2Nya 1:5Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.

212:21 Hes 21:1Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu. 22Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi. 232:23 Hes 32:41; 32:42; Yos 13:30; Kum 3:14(Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.

242:24 1Nya 4:5; 2Nya 11:6; 20:20; 2Sam 14:2; Neh 3:5; Yer 6:1Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.

Yerameeli Mwana Wa Hesroni

25Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa:

Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya. 26Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.

27Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa:

Maasi, Yamini na Ekeri.

28Wana wa Onamu walikuwa:

Shamai na Yada.

Wana wa Shamai walikuwa:

Nadabu na Abishuri.

29Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.

30Wana wa Nadabu walikuwa

Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.

31Apaimu akamzaa:

Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani.

Sheshani akamzaa Alai.

32Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa:

Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.

33Wana wa Yonathani walikuwa:

Pelethi na Zaza.

Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.

34Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu.

Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha. 35Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.

362:36 1Nya 11:41Atai akamzaa Nathani,

Nathani akamzaa Zabadi,

37Zabadi akamzaa Eflali,

Eflali akamzaa Obedi,

38Obedi akamzaa Yehu,

Yehu akamzaa Azaria,

39Azaria akamzaa Helesi,

Helesi akamzaa Eleasa,

40Eleasa akamzaa Sismai,

Sismai akamzaa Shalumu,

41Shalumu akamzaa Yekamia,

naye Yekamia akamzaa Elishama.

Koo Za Kalebu

42Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa:

Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni.

43Hebroni alikuwa na wana wanne:

Kora, Tapua, Rekemu na Shema. 44Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai. 452:45 Yos 15:55; 15:58Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.

46Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.

47Wana wa Yadai walikuwa:

Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.

48Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana. 492:49 Yos 15:31; 15:16Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa. 502:50 1Nya 4:4; 2:19Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu.

Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa:

Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu, 51Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.

52Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa:

Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi, 532:53 2Sam 23:38pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.

542:54 Ezr 2:22; Neh 12:28Wazao wa Salma walikuwa:

Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori, 552:55 Mwa 15:19; Amu 1:16; Yos 19:35; 2Fal 10:15, 23; Yer 35:2-19; Amu 4:11; Hes 24:21-22pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

歷代志上 2:1-55

以色列的後裔

1以色列的兒子是呂便西緬利未猶大以薩迦西布倫2約瑟便雅憫拿弗他利迦得亞設

猶大的後裔

3猶大的兒子是俄南示拉。這三人是迦南書亞的女兒生的。猶大的長子在耶和華眼中是個邪惡的人,因而被耶和華擊殺了。 4猶大的兒媳她瑪猶大生了法勒斯謝拉猶大共有五個兒子。 5法勒斯的兒子是希斯崙哈姆勒6謝拉的五個兒子是心利以探希幔甲各大拉7迦米的兒子是亞干,這亞干私藏本該毀滅的東西,連累了以色列人。 8以探的兒子是亞撒利雅

9希斯崙的兒子是耶拉篾迦勒2·9 迦勒」希伯來文是「基路拜」,「迦勒」的另一種拼法。10亞米拿達亞米拿達拿順拿順猶大人的首領。 11拿順撒門撒門波阿斯12波阿斯俄備得俄備得耶西13耶西生長子以利押、次子亞比拿達、三子示米亞14四子拿坦業、五子拉代15六子阿鮮、七子大衛16他們的姊妹是洗魯雅亞比該洗魯雅的三個兒子是亞比篩約押亞撒黑17亞比該亞瑪撒亞瑪撒的父親是以實瑪利益帖

希斯崙的後裔

18希斯崙的兒子迦勒和妻子阿蘇巴生了兒子,他也和耶略生了兒子。阿蘇巴的兒子是耶設朔罷押墩19阿蘇巴死後,迦勒又娶了以法她,生了戶珥20戶珥烏利烏利比撒列21希斯崙六十歲娶瑪吉的女兒,與她生了西割瑪吉基列的父親。 22西割雅珥雅珥基列有二十三座城邑。 23後來基述人和亞蘭人奪取了雅珥的城邑,包括基納及其附近的六十個村落。這些人都是基列的父親瑪吉的後代。 24希斯崙死在迦勒·以法他後,他的妻子亞比雅給他生了亞施戶亞施戶提哥亞的父親。

耶拉篾的後裔

25希斯崙的長子耶拉篾生了長子,又生了布拿阿連阿鮮亞希雅26耶拉篾的另一個妻子名叫亞他拉,是阿南的母親。 27耶拉篾的長子的兒子是瑪斯雅憫以結28阿南的兒子是沙邁雅大沙邁的兒子是拿答亞比述29亞比述的妻子名叫亞比孩,他們生了亞班摩利30拿答的兒子是西列亞遍西列死後沒有留下兒子。 31亞遍的兒子是以示以示的兒子是示珊示珊的兒子是亞來32沙邁的兄弟雅大的兒子是益帖約拿單益帖死後沒有留下兒子。 33約拿單的兒子是比勒撒薩。這些人都是耶拉篾的子孫。 34示珊沒有兒子,只有女兒,還有一個名叫耶哈埃及僕人。 35示珊把女兒嫁給僕人耶哈,他們生了亞太36亞太拿單拿單撒拔37撒拔以弗拉以弗拉俄備得38俄備得耶戶耶戶亞撒利雅39亞撒利雅希利斯希利斯以利亞薩40以利亞薩西斯邁西斯邁沙龍41沙龍耶加米雅耶加米雅以利沙瑪

迦勒的後裔

42耶拉篾的兄弟迦勒的長子是西弗的父親米沙希伯崙的父親瑪利沙也是迦勒的兒子。 43希伯崙的兒子是可拉他普亞利肯示瑪44示瑪拉含拉含約幹的父親。利肯沙邁45沙邁的兒子是瑪雲瑪雲是伯·夙的父親。 46迦勒的妾以法哈蘭摩撒迦謝哈蘭迦諧47雅代的兒子是利健約坦基珊毗力以法沙亞弗48迦勒的妾瑪迦示別特哈拿49麥瑪拿的父親沙亞弗抹比拿基比亞的父親示法迦勒的女兒是押撒50這些人都是迦勒的子孫。 以法她的長子戶珥生基列·耶琳的父親朔巴51伯利恆的父親薩瑪伯迦得的父親哈勒52基列·耶琳的父親朔巴的子孫是哈羅以和半數米努·哈人。 53基列·耶琳的各宗族是以帖人、布特人、舒瑪人、密來人,從這些宗族中又衍生出瑣拉人和以實陶人。 54薩瑪的後代是伯利恆人、尼陀法人、亞他綠·伯·約押人、半數瑪拿哈人、瑣利人, 55以及住在雅比斯的文書世家特拉人、示米押人和蘇甲人。這些都是基尼人,是利甲家族的祖先哈末的後代。