Kumbukumbu Za Historia Kuanzia Adamu Hadi Abrahamu
(Mwanzo 5:1-32; 10:1-32; 11:10-26)
Adamu Hadi Wana Wa Noa
11:1 Mwa 5:1-32; Lk 3:36-38Adamu, Sethi, Enoshi, 21:2 Mwa 5:9; 5:12; 5:15Kenani, Mahalaleli, Yaredi, 31:3 Mwa 5:18; Yud 14; Mwa 5:21; 5:25; 5:29Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
41:4 Mwa 6:10; 10:1; 5:32Wana wa Noa walikuwa:
Shemu, Hamu na Yafethi.
Wana Wa Yafethi
5Wana wa Yafethi walikuwa:
Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6Wana wa Gomeri walikuwa:
Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7Wana wa Yavani walikuwa:
Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Wana Wa Hamu
81:8 Mwa 16:10Wana wa Hamu walikuwa:
Kushi, Misraimu,1:8 Yaani Misri. Putu na Kanaani.
9Wana wa Kushi walikuwa:
Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.
Wana wa Raama walikuwa:
Sheba na Dedani.
101:10 Mwa 10:8, 13Kushi akamzaa
Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11Misraimu akawazaa:
Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, 121:12 Mwa 10:14; Kum 2:23; Yer 47:4; Amo 9:7Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13Wana wa Kanaani walikuwa:
Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi, 14Wayebusi, Waamori, Wagirgashi, 15Wahivi, Waariki, Wasini, 16Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Wana Wa Shemu
171:17 Mwa 9:23-26; 10:22; 11:10Wana wa Shemu walikuwa:
Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
Wana wa Aramu walikuwa:
Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18Arfaksadi akamzaa Shela,
Shela akamzaa Eberi.
19Eberi alipata wana wawili:
Mmoja wao aliitwa Pelegi,1:19 Pelegi maana yake Mgawanyiko. kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20Wana wa Yoktani walikuwa:
Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera, 21Hadoramu, Uzali, Dikla, 22Obali, Abimaeli, Sheba, 23Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
241:24 Mwa 10:21-29; Lk 3:34-36Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
251:25 Mwa 11:15; Hes 24:24; Lk 3:35Eberi, Pelegi, Reu,
26Serugi, Nahori, Tera,
271:27 Mwa 17:5; 2Nya 20:7; Isa 41:8; 51:2; Rum 4:16Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Jamaa Ya Abrahamu
281:28 Mwa 21:2-3; 16:11, 15Abrahamu alikuwa na wana wawili:
Isaki na Ishmaeli.
Wazao Wa Hagari
(Mwanzo 25:12-16)
291:29 Mwa 25:13-26Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari:
Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu, 30Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Wazao Wa Ketura
321:32 Mwa 22:24; 10:7Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa:
Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.
Wana wa Yokshani walikuwa:
Sheba na Dedani.
33Wana wa Midiani walikuwa:
Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa.
Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Wazao Wa Sara
341:34 Lk 3:34; Mwa 21:2-3; Mdo 7:8; Mwa 18:5; 25:25-26Abrahamu alikuwa baba wa Isaki.
Wana wa Isaki walikuwa:
Esau na Israeli.
Wana Wa Esau
(Mwanzo 36:1-19)
351:35 Mwa 36:19; 36:4; Kum 2:22; Rum 9:13; Ebr 12:16; Mal 1:2-3Wana wa Esau walikuwa:
Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
361:36 Kut 17:14; Mwa 36:11Wana wa Elifazi walikuwa:
Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi;
Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
371:37 Mwa 36:17Wana wa Reueli walikuwa:
Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Watu Wa Seiri Waliokuwa Edomu
(Mwanzo 36:20-30)
381:38 Mwa 36:20Wana wa Seiri walikuwa:
Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
391:39 Mwa 36:22Wana wa Lotani walikuwa wawili:
Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
401:40 Mwa 36:2Wana wa Shobali walikuwa:
Alvani,1:40 Maandishi ya Kiebrania yanamwita Alian. Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
Wana wa Sibeoni walikuwa:
Aiya na Ana.
411:41 Mwa 36:25-26Mwana wa Ana alikuwa:
Dishoni.
Nao wana wa Dishoni walikuwa:
Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42Wana wa Eseri walikuwa:
Bilhani, Zaavani na Akani.
Wana wa Dishani walikuwa:
Usi na Arani.
Watawala Wa Edomu
(Mwanzo 36:31-43)
431:43 Mwa 36:31; 49:10Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli:
Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
451:45 Mwa 36:11Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
461:46 1Fal 11:14Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
481:48 Mwa 36:37Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
501:50 Mwa 36:39Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu. 511:51 Mwa 36:40; Kut 15:15Naye Hadadi pia akafa.
Wakuu wa Edomu walikuwa:
Timna, Alva, Yethethi, 52Oholibama, Ela, Pinoni, 53Kenazi, Temani, Mibsari, 54Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
从亚当到亚伯拉罕
1亚当生塞特,塞特生以挪士, 2以挪士生该南,该南生玛勒列,玛勒列生雅列, 3雅列生以诺,以诺生玛土撒拉,玛土撒拉生拉麦, 4拉麦生挪亚,挪亚生闪、含、雅弗。
5雅弗的儿子是歌篾、玛各、玛代、雅完、土巴、米设、提拉。 6歌篾的儿子是亚实基拿、低法、陀迦玛。 7雅完的儿子是以利沙、他施、基提、多单。
8含的儿子是古实、麦西1:8 “麦西”意思是“埃及”。、弗、迦南。 9古实的儿子是西巴、哈腓拉、撒弗他、拉玛、撒弗提迦。拉玛的儿子是示巴和底但。 10古实也是宁录之父,宁录是世上第一位勇士。 11麦西的后代有路低人、亚拿米人、利哈比人、拿弗土希人、 12帕斯鲁细人、迦斯路希人和迦斐托人。非利士人是迦斐托人的后代。
13迦南生长子西顿和次子赫。 14他的后代还有耶布斯人、亚摩利人、革迦撒人、 15希未人、亚基人、西尼人、 16亚瓦底人、洗玛利人和哈马人。
17闪的儿子是以拦、亚述、亚法撒、路德、亚兰、乌斯、户勒、基帖、米设。 18亚法撒生沙拉,沙拉生希伯。 19希伯有两个儿子,一个名叫法勒1:19 “法勒”意思是“分开”。,因为那时人们分地而居。法勒的兄弟叫约坍。 20约坍生亚摩答、沙列、哈萨玛非、耶拉、 21哈多兰、乌萨、德拉、 22以巴录、亚比玛利、示巴、 23阿斐、哈腓拉、约巴。这些都是约坍的儿子。 24闪生亚法撒,亚法撒生沙拉, 25沙拉生希伯,希伯生法勒,法勒生拉吴, 26拉吴生西鹿,西鹿生拿鹤,拿鹤生他拉, 27他拉生亚伯兰,又名亚伯拉罕。
从亚伯拉罕到雅各
28亚伯拉罕的儿子是以撒和以实玛利。 29以下是他们的后代:
以实玛利的长子是尼拜约,然后是基达、亚德别、米比衫、 30米施玛、度玛、玛撒、哈达、提玛、 31伊突、拿非施、基底玛。这些人都是以实玛利的儿子。 32亚伯拉罕的妾基土拉所生的儿子是心兰、约珊、米但、米甸、伊施巴、书亚。约珊的儿子是示巴和底但。 33米甸的儿子是以法、以弗、哈诺、亚比大和以勒大。这些都是基土拉的子孙。
34亚伯拉罕是以撒的父亲。以撒的儿子是以扫和以色列。 35以扫的儿子是以利法、流珥、耶乌施、雅兰和可拉。 36以利法的儿子是提幔、阿抹、洗玻、迦坦、基纳斯、亭纳、亚玛力。 37流珥的儿子是拿哈、谢拉、沙玛和米撒。
以东地区的原住民
38西珥的儿子是罗坍、朔巴、祭便、亚拿、底顺、以察、底珊。 39罗坍的儿子是何利和荷幔,罗坍的妹妹是亭纳。 40朔巴的儿子是亚勒文、玛拿辖、以巴录、示非和阿南。祭便的儿子是埃亚和亚拿。 41亚拿的儿子是底顺。底顺的儿子是哈默兰、伊是班、益兰和基兰。 42以察的儿子是辟罕、撒番、亚干。底珊的儿子是乌斯和亚兰。
以东诸王
43以色列人有君王统治之前,在以东做王的人如下:
比珥的儿子比拉,他定都亭哈巴。 44比拉死后,波斯拉人谢拉的儿子约巴继位。 45约巴死后,提幔地区的户珊继位。 46户珊死后,比达之子哈达继位,定都亚未得,他曾在摩押平原击败米甸人。 47哈达死后,玛士利加人桑拉继位。 48桑拉死后,大河边的利河伯人扫罗继位。 49扫罗死后,亚革波的儿子巴勒·哈南继位。 50巴勒·哈南死后,哈达继位,定都巴伊,他的妻子名叫米希她别,是米·萨合的孙女、玛特列的女儿。
51哈达死后,在以东做族长的人有亭纳、亚勒瓦、耶帖、 52阿何利巴玛、以拉、比嫩、 53基纳斯、提幔、米比萨、 54玛基叠、以兰。这些人都是以东的族长。