1 Nyakati 1 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

1 Nyakati 1:1-54

Kumbukumbu Za Historia Kuanzia Adamu Hadi Abrahamu

(Mwanzo 5:1-32; 10:1-32; 11:10-26)

Adamu Hadi Wana Wa Noa

11:1 Mwa 5:1-32; Lk 3:36-38Adamu, Sethi, Enoshi, 21:2 Mwa 5:9; 5:12; 5:15Kenani, Mahalaleli, Yaredi, 31:3 Mwa 5:18; Yud 14; Mwa 5:21; 5:25; 5:29Enoki, Methusela, Lameki, Noa.

41:4 Mwa 6:10; 10:1; 5:32Wana wa Noa walikuwa:

Shemu, Hamu na Yafethi.

Wana Wa Yafethi

5Wana wa Yafethi walikuwa:

Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.

6Wana wa Gomeri walikuwa:

Ashkenazi, Rifathi na Togarma.

7Wana wa Yavani walikuwa:

Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.

Wana Wa Hamu

81:8 Mwa 16:10Wana wa Hamu walikuwa:

Kushi, Misraimu,1:8 Yaani Misri. Putu na Kanaani.

9Wana wa Kushi walikuwa:

Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.

Wana wa Raama walikuwa:

Sheba na Dedani.

101:10 Mwa 10:8, 13Kushi akamzaa

Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.

11Misraimu akawazaa:

Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, 121:12 Mwa 10:14; Kum 2:23; Yer 47:4; Amo 9:7Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.

13Wana wa Kanaani walikuwa:

Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi, 14Wayebusi, Waamori, Wagirgashi, 15Wahivi, Waariki, Wasini, 16Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.

Wana Wa Shemu

171:17 Mwa 9:23-26; 10:22; 11:10Wana wa Shemu walikuwa:

Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.

Wana wa Aramu walikuwa:

Usi, Huli, Getheri na Mesheki.

18Arfaksadi akamzaa Shela,

Shela akamzaa Eberi.

19Eberi alipata wana wawili:

Mmoja wao aliitwa Pelegi,1:19 Pelegi maana yake Mgawanyiko. kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.

20Wana wa Yoktani walikuwa:

Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera, 21Hadoramu, Uzali, Dikla, 22Obali, Abimaeli, Sheba, 23Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.

241:24 Mwa 10:21-29; Lk 3:34-36Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,

251:25 Mwa 11:15; Hes 24:24; Lk 3:35Eberi, Pelegi, Reu,

26Serugi, Nahori, Tera,

271:27 Mwa 17:5; 2Nya 20:7; Isa 41:8; 51:2; Rum 4:16Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).

Jamaa Ya Abrahamu

281:28 Mwa 21:2-3; 16:11, 15Abrahamu alikuwa na wana wawili:

Isaki na Ishmaeli.

Wazao Wa Hagari

(Mwanzo 25:12-16)

291:29 Mwa 25:13-26Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari:

Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu, 30Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.

Wazao Wa Ketura

321:32 Mwa 22:24; 10:7Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa:

Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.

Wana wa Yokshani walikuwa:

Sheba na Dedani.

33Wana wa Midiani walikuwa:

Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa.

Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.

Wazao Wa Sara

341:34 Lk 3:34; Mwa 21:2-3; Mdo 7:8; Mwa 18:5; 25:25-26Abrahamu alikuwa baba wa Isaki.

Wana wa Isaki walikuwa:

Esau na Israeli.

Wana Wa Esau

(Mwanzo 36:1-19)

351:35 Mwa 36:19; 36:4; Kum 2:22; Rum 9:13; Ebr 12:16; Mal 1:2-3Wana wa Esau walikuwa:

Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.

361:36 Kut 17:14; Mwa 36:11Wana wa Elifazi walikuwa:

Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi;

Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.

371:37 Mwa 36:17Wana wa Reueli walikuwa:

Nahathi, Zera, Shama na Miza.

Watu Wa Seiri Waliokuwa Edomu

(Mwanzo 36:20-30)

381:38 Mwa 36:20Wana wa Seiri walikuwa:

Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.

391:39 Mwa 36:22Wana wa Lotani walikuwa wawili:

Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.

401:40 Mwa 36:2Wana wa Shobali walikuwa:

Alvani,1:40 Maandishi ya Kiebrania yanamwita Alian. Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.

Wana wa Sibeoni walikuwa:

Aiya na Ana.

411:41 Mwa 36:25-26Mwana wa Ana alikuwa:

Dishoni.

Nao wana wa Dishoni walikuwa:

Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.

42Wana wa Eseri walikuwa:

Bilhani, Zaavani na Akani.

Wana wa Dishani walikuwa:

Usi na Arani.

Watawala Wa Edomu

(Mwanzo 36:31-43)

431:43 Mwa 36:31; 49:10Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli:

Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.

44Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.

451:45 Mwa 36:11Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

461:46 1Fal 11:14Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

47Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.

481:48 Mwa 36:37Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.

49Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

501:50 Mwa 36:39Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu. 511:51 Mwa 36:40; Kut 15:15Naye Hadadi pia akafa.

Wakuu wa Edomu walikuwa:

Timna, Alva, Yethethi, 52Oholibama, Ela, Pinoni, 53Kenazi, Temani, Mibsari, 54Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

历代志上 1:1-54

从亚当到亚伯拉罕

1亚当塞特塞特以挪士2以挪士该南该南玛勒列玛勒列雅列3雅列以诺以诺玛土撒拉玛土撒拉拉麦4拉麦挪亚挪亚雅弗

5雅弗的儿子是歌篾玛各玛代雅完土巴米设提拉6歌篾的儿子是亚实基拿低法陀迦玛7雅完的儿子是以利沙他施基提多单

8的儿子是古实麦西1:8 “麦西”意思是“埃及”。迦南9古实的儿子是西巴哈腓拉撒弗他拉玛撒弗提迦拉玛的儿子是示巴底但10古实也是宁录之父,宁录是世上第一位勇士。 11麦西的后代有路低人、亚拿米人、利哈比人、拿弗土希人、 12帕斯鲁细人、迦斯路希人和迦斐托人。非利士人是迦斐托人的后代。

13迦南生长子西顿和次子14他的后代还有耶布斯人、亚摩利人、革迦撒人、 15希未人、亚基人、西尼人、 16亚瓦底人、洗玛利人和哈马人。

17的儿子是以拦亚述亚法撒路德亚兰乌斯户勒基帖米设18亚法撒沙拉沙拉希伯19希伯有两个儿子,一个名叫法勒1:19 “法勒”意思是“分开”。,因为那时人们分地而居。法勒的兄弟叫约坍20约坍亚摩答沙列哈萨玛非耶拉21哈多兰乌萨德拉22以巴录亚比玛利示巴23阿斐哈腓拉约巴。这些都是约坍的儿子。 24亚法撒亚法撒沙拉25沙拉希伯希伯法勒法勒拉吴26拉吴西鹿西鹿拿鹤拿鹤他拉27他拉亚伯兰,又名亚伯拉罕

从亚伯拉罕到雅各

28亚伯拉罕的儿子是以撒以实玛利29以下是他们的后代:

以实玛利的长子是尼拜约,然后是基达亚德别米比衫30米施玛度玛玛撒哈达提玛31伊突拿非施基底玛。这些人都是以实玛利的儿子。 32亚伯拉罕的妾基土拉所生的儿子是心兰约珊米但米甸伊施巴书亚约珊的儿子是示巴底但33米甸的儿子是以法以弗哈诺亚比大以勒大。这些都是基土拉的子孙。

34亚伯拉罕以撒的父亲。以撒的儿子是以扫以色列35以扫的儿子是以利法流珥耶乌施雅兰可拉36以利法的儿子是提幔阿抹洗玻迦坦基纳斯亭纳亚玛力37流珥的儿子是拿哈谢拉沙玛米撒

以东地区的原住民

38西珥的儿子是罗坍朔巴祭便亚拿底顺以察底珊39罗坍的儿子是何利荷幔罗坍的妹妹是亭纳40朔巴的儿子是亚勒文玛拿辖以巴录示非阿南祭便的儿子是埃亚亚拿41亚拿的儿子是底顺底顺的儿子是哈默兰伊是班益兰基兰42以察的儿子是辟罕撒番亚干底珊的儿子是乌斯亚兰

以东诸王

43以色列人有君王统治之前,在以东做王的人如下:

比珥的儿子比拉,他定都亭哈巴44比拉死后,波斯拉谢拉的儿子约巴继位。 45约巴死后,提幔地区的户珊继位。 46户珊死后,比达之子哈达继位,定都亚未得,他曾在摩押平原击败米甸人。 47哈达死后,玛士利加桑拉继位。 48桑拉死后,大河边的利河伯扫罗继位。 49扫罗死后,亚革波的儿子巴勒·哈南继位。 50巴勒·哈南死后,哈达继位,定都巴伊,他的妻子名叫米希她别,是米·萨合的孙女、玛特列的女儿。

51哈达死后,在以东做族长的人有亭纳亚勒瓦耶帖52阿何利巴玛以拉比嫩53基纳斯提幔米比萨54玛基叠以兰。这些人都是以东的族长。