التثنية 33 – NAV & NEN

New Arabic Version

التثنية 33:1-29

موسى يبارك أسباط إسرائيل

1وَهَذِهِ هِيَ الْبَرَكَةُ الَّتِي بَارَكَ بِها مُوسَى، رَجُلُ اللهِ، بَنِي إِسْرَائِيلَ قَبْلَ مَوْتِهِ، 2فَقَالَ: «أَقْبَلَ الرَّبُّ مِنْ سِينَاءَ، وَأَشْرَفَ عَلَيْهِمْ مِنْ سَعِيرَ، وَتَأَلَّقَ فِي جَبَلِ فَارَانَ؛ جَاءَ مُحَاطاً بِعَشَرَاتِ الأُلُوفِ مِنَ الْمَلائِكَةِ وَعَنْ يَمِينِهِ يُوْمِضُ بَرْقٌ عَلَيْهِمْ. 3حَقّاً إِنَّكَ أَنْتَ الَّذِي أَحْبَبْتَ الشَّعْبَ؛ وَجَمِيعُ الْقِدِّيسِينَ فِي يَدِكَ، سَاجِدُونَ عِنْدَ قَدَمَيْكَ يَتَلَقَّوْنَ مِنْكَ أَقْوَالَكَ، 4الَّتِي تَشْتَمِلُ عَلَيْهَا الشَّرِيعَةُ الَّتِي أَوْصَانَا بِها مُوسَى، لِتَكُونَ مِيرَاثاً لِجَمَاعَةِ يَعْقُوبَ. 5صَارَ الرَّبُّ مَلِكاً لِشَعْبِهِ حِينَ اجْتَمَعَ رُؤَسَاءُ أَسْبَاطِ إِسْرَائِيلَ مَعاً. 6لِيَحْيَ رَأُوبَيْنُ وَلا يَمُتْ، وَلْيَتَكَاثَرْ رِجَالُهُ».

7وَقَالَ عَنْ يَهُوذَا: «اسْمَعْ يَا رَبُّ دُعَاءَ يَهُوذَا، وَاجْمَعْ شَمْلَهُ بِقَوْمِهِ، فَإِنَّهُ بِيَدَيْهِ يُدَافِعُ عَنْ قَضِيَّتِهِ فَأَعِنْهُ عَلَى أَعْدَائِهِ».

8وَقَالَ عَنْ سِبْطِ لاوِي: «لَقَدْ أَعْطَيْتَ يَا رَبُّ تُمِّيمَكَ وَأُورِيمَكَ لِرَجُلِكَ الَّذِي جَرَّبْتَهُ وَامْتَحَنْتَهُ فِي مَسَّةَ، وَخَاصَمْتَهُ عِنْدَ مَاءِ مَرِيبَةَ. 9الَّذِي قَالَ عَنْ وَالِدَيْهِ: لَمْ أَرَهُمَا، وَبِإِخْوَتِهِ لَمْ يَعْتَرِفْ، وَأَنْكَرَ أَبْنَاءَهُ، بَلْ أَطَاعُوا وَصَايَاكَ وَصَانُوا عَهْدَكَ. 10هُمْ يُعَلِّمُونَ يَعْقُوبَ أَحْكَامَكَ وَبَنِي إِسْرَائِيلَ شَرِيعَتَكَ، يُحْرِقُونَ بَخُوراً أَمَامَ أَنْفِكَ وَقَرَابِينَ عَلَى مَذْبَحِكَ 11بَارِكْ يَا رَبُّ مَهَارَاتِهِمْ وَاغْتَبِطْ بِعَمَلِ أَيْدِيهِمْ. حَطِّمْ مُتُونَ مُقَاوِمِيهِمْ وَمُبْغِضِيهِمْ فَلا تَقُومَ لَهُمْ قَائِمَةٌ».

12وَقَالَ عَنْ سِبْطِ بِنْيَامِينَ: «إِنَّهُ حَبِيبُ الرَّبِّ، يَسْكُنُ لَدَيْهِ آمِناً، يَصُونُهُ طُولَ النَّهَارِ، وَبَيْنَ مِنْكَبَيْهِ يَسْكُنُ مُطْمَئِنّاً».

13وَقَالَ عَنْ سِبْطِ يُوسُفَ: «لِيُبَارِكِ الرَّبُّ أَرْضَهُ بِنَفَائِسِ قَطَرَاتِ نَدَى السَّمَاءِ، وَبِلُجَجِ الْمِيَاهِ الْغَائِرَةِ مِنْ تَحْتُ، 14وَبِخَيْرِ مَا تُنْمِيهِ الشَّمْسُ وَمَا تُغِلُّهُ الأَقْمَارُ، 15وَبِأَنْفَسِ مَا تَدَّخِرُهُ الْجِبَالُ الْقَدِيمَةُ، وَبِأَثْمَنِ كُنُوزِ التِّلالِ الأَبَدِيَّةِ، 16وَبِأَفْضَلِ خَيْرَاتِ الأَرْضِ وَبَرَكَاتِهَا، وَبِرِضَى السَّاكِنِ فِي الْعُلَّيْقَةِ. فَلْتَنْسَكِبْ هَذِهِ جَمِيعُهَا عَلَى رَأْسِ يُوسُفَ، عَلَى جَبِينِ الأَمِيرِ بَيْنَ إِخْوَتِهِ. 17فَهُوَ فِي جَلالِهِ كَالثَّوْرِ الْبِكْرِ، وَقَرْنَاهُ مِثْلُ قَرْنَيْ ثَوْرٍ وَحْشِيٍّ، يَنْطَحُ بِهِمَا الشُّعُوبَ، حَتَّى أُولَئِكَ الْمُقِيمِينَ فِي أَقَاصِي الأَرْضِ. لِتَكُنْ هَكَذَا عَشَرَاتُ أُلُوفِ أَفْرَايِمَ، لِتَكُنْ هَكَذَا أُلُوفُ مَنَسَّى».

18وَقَالَ عَنْ سِبْطَيْ زَبُولُونَ وَيَسَّاكَرَ: «افْرَحْ يَا زَبُولُونُ بِخُرُوجِكَ، وَأَنْتَ يَا يَسَّاكَرُ بِخِيَامِكَ، 19فَإِنَّهُمَا يَدْعُوَانِ الشَّعْبَ إِلَى الْجَبَلِ حَيْثُ يُقَرِّبَانِ مُحْرَقَاتِ الْبِرِّ، لأَنَّهُمَا يَشْبَعَانِ مِنْ خَيْرَاتِ الْبِحَارِ، وَمِنَ الذَّخَائِرِ الْكَامِنَةِ فِي الرَّمْلِ».

20وَقَالَ عَنْ سِبْطِ جَادٍ: «لِتَحِلَّ الْبَرَكَةُ عَلَى مَنْ وَسَّعَ تُخُومَ جَادٍ حَيْثُ يَرْبِضُ جَادٌ هُنَاكَ كَالأَسَدِ، يَفْتَرِسُ الذِّرَاعَ مَعَ قِمَّةِ الرَّأْسِ. 21اخْتَارَ خَيْرَ الأَرْضِ لِنَفْسِهِ، وَاحْتَفَظَ لِنَفْسِهِ بِنَصِيبِ الْقَائِدِ: وَعِنْدَمَا اجْتَمَعَ شُيُوخُ الشَّعْبِ أَجْرَى حَقَّ الرَّبِّ الْعَادِلِ وَأَحْكَامَهُ مَعَ إِسْرَائِيلَ».

22وَقَالَ عَنْ سِبْطِ دَانٍ: «دَانٌ مِثْلُ شِبْلِ أَسَدٍ يَنْقَضُّ مِنْ بَاشَانَ». 23وَقَالَ عَنْ سِبْطِ نَفْتَالِي: «اشْبَعْ يَا نَفْتَالِي رِضًى، وَامْتَلِئْ بَرَكَةً مِنَ الرَّبِّ، وَامْلِكْ سَاحِلَ الْبَحْرِ الْمُتَوَسِّطِ وَالنَّقَبِ».

24وَقَالَ عَنْ سِبْطِ أَشِيرَ: «أَشِيرُ الابْنُ الأَكْثَرُ مُبَارَكَةً. فَلْيَكُنْ صَاحِبَ حُظْوَةٍ عِنْدَ إِخْوَتِهِ، وَلْيَغْمِسْ فِي الزَّيْتِ قَدَمَيْهِ. 25وَلْتَكُنْ مَزَالِيجُ أَبْوَابِكَ مِنْ حَدِيدٍ وَنُحَاسٍ، وَلْتُعَادِلْ قُوَّتُكَ امْتِدَادَ أَيَّامِكَ.

26لَيْسَ نَظِيرَ الرَّبِّ يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ يَمْتَطِي السَّمَاءَ لِمَعُونَتِكُمْ وَالْغَمَامَ فِي عَظَمَتِهِ، 27فَالإِلَهُ الأَبَدِيُّ هُوَ مَلْجَأُكُمْ، وَتَحْتَكُمْ تَنْبَسِطُ الأَذْرُعُ الأَبَدِيَّةُ، يَطْرُدُ أَمَامَكُمْ أَعْدَاءَكُمْ قَائِلاً: أَهْلِكُوهُمْ. 28لِيَسْكُنْ بَنُو إِسْرَائِيلَ آمِنِينَ وَحْدَهُمْ، وَلْتَجْرِ يَنَابِيعُ مَاءِ يَعْقُوبَ إِلَى أَرْضِ قَمْحٍ وَخَمْرٍ، وَتَقْطُرْ سَمَاؤُهُ بِالنَّدَى. 29طُوبَاكُمْ يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ، أَيُّ شَعْبٍ مِثْلُكُمْ مُنْتَصِرٌ بِالرَّبِّ؟ إِنَّهُ تُرْسُكُمْ وَعَوْنُكُمْ وَسَيْفُكُمُ الْمَجِيدُ. لَكُمْ يَخْضَعُ أَعْدَاؤُكُمْ، وَأَنْتُمْ تَطَأُونَ مُرْتَفَعَاتِهِمْ».

Kiswahili Contemporary Version

Kumbukumbu 33:1-29

Mose Anayabariki Makabila

133:1 Mwa 27:4; Yos 14:6; 1Sam 2:27; 9:6; 1Fal 12:22; 13:1; 2Fal 1:9-13; 5:2; Yer 35:4Hii ndiyo baraka Mose mtu wa Mungu aliyotamka kwa Waisraeli kabla ya kifo chake. 233:2 Kut 19:18; Za 68:8; Yos 11:17; Amu 5:4; Za 50:2; 80:1; 94:1; Hes 10:12; Za 89:7; Dan 4:13; 7:10; 8:13; Zek 14:5; Mdo 7:53; Gal 3:19; Ebr 2:2; Ufu 5:11Alisema:

Bwana alikuja kutoka Mlima Sinai,

akachomoza kama jua juu yao

kutoka Mlima Seiri,

akaangaza kutoka Mlima Parani.

Alikuja pamoja na watakatifu makumi elfu

kutoka kusini,

kutoka materemko ya mlima wake.

333:3 Kum 4:37; 7:6; Lk 10:39; Ufu 4:10; Hos 11:1; Kum 14:2Hakika ni wewe ambaye huwapenda watu,

watakatifu wako wote wamo mkononi mwako.

Miguuni pako wote wanasujudu

na kutoka kwako wanapokea mafundisho,

433:4 Kum 4:2; Yn 1:7; 7:19; Za 19:11sheria ile Mose aliyotupa sisi,

tulio milki ya kusanyiko la Yakobo.

533:5 Kut 16:8; 1Sam 10:19; Za 10:16; 149:2; Hes 23:21; Kum 32:15; Ay 29:25Alikuwa mfalme juu ya Yeshuruni33:5 Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli.

wakati viongozi wa watu walipokusanyika,

pamoja na makabila ya Israeli.

633:6 Mwa 34:5“Reubeni na aishi, asife,

wala watu wake wasiwe wachache.”

7Akasema hili kuhusu Yuda:

“Ee Bwana, sikia kilio cha Yuda,

mlete kwa watu wake.

Kwa mikono yake mwenyewe hujitetea.

Naam, uwe msaada wake

dhidi ya adui zake!”

833:8 Mwa 29:34; Kut 28:30; Za 106:16; Hes 14:22; 27:21; Kut 17:7Kuhusu Lawi alisema:

“Thumimu yako na Urimu33:8 Thumimu na Urimu maana yake Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha. yako ulimpa,

mtu yule uliyemfadhili.

Ulimjaribu huko Masa

na kushindana naye

kwenye maji ya Meriba.

933:9 Kut 32:26-29; Za 61:5; Mal 2:5Alinena hivi kuhusu baba yake na mama yake,

‘Mimi siwahitaji kamwe.’

Akawasahau jamaa zake,

asiwatambue hata watoto wake,

lakini akaliangalia neno lako

na kulilinda Agano lako.

1033:10 Ezr 7:10; Neh 8:18; Za 119:151; Yer 23:22; Mal 2:6; Law 10:11; Kum 17:8-11; 13:9-13; Kut 30:7; Law 16:12-13; Za 51:19Humfundisha Yakobo mausia yako

na Israeli sheria yako.

Hufukiza uvumba mbele zako

na sadaka nzima za kuteketezwa

juu ya madhabahu yako.

1133:11 2Sam 24:23; Za 20:3; 51:19Ee Bwana, bariki ustadi wake wote,

nawe upendezwe na kazi ya mikono yake.

Vipige viuno vya wale wainukao dhidi yake;

wapige adui zake hata wasiinuke tena.”

1233:12 Mwa 35:18; Kum 4:37-38; 12:10; 32:8; Kut 19:4; Za 60:5; 127:2; Kut 28:12Kuhusu Benyamini akasema:

“Mwache mpenzi wa Bwana

apumzike salama kwake,

kwa maana humkinga mchana kutwa,

na yule Bwana ampendaye

hupumzika kati ya mabega yake.”

1333:13 Mwa 30:24; 27:28; Za 148:7; Mwa 49:25Kuhusu Yosefu akasema:

Bwana na aibariki nchi yake

kwa umande wa thamani

kutoka mbinguni juu,

na vilindi vya maji

vilivyotulia chini;

14pamoja na vitu vilivyo bora sana

viletwavyo na jua,

na vitu vizuri sana vinavyoweza

kutolewa na mwezi;

1533:15 Hab 3:6pamoja na zawadi bora sana

za milima ya zamani

na kwa wingi wa baraka

za vilima vya milele;

1633:16 Kut 3:2; Mwa 37:8pamoja na baraka nzuri mno

za ardhi na ukamilifu wake,

na upendeleo wake yeye

aliyeishi kwenye kichaka

kilichokuwa kinawaka moto.

Hivi vyote na vikae juu ya kichwa cha Yosefu,

juu ya paji la uso la aliye mkuu

miongoni mwa ndugu zake.

1733:17 1Sam 2:10; 2Sam 22:3; Eze 34:21; Hes 23:22; 1Fal 22:11; Za 44:5; Mwa 41:51-52Katika fahari yeye ni kama fahali mzaliwa wa kwanza;

pembe zake ni pembe za nyati,

na kwa pembe hizo atapiga mataifa,

hata yaliyo miisho ya dunia.

Hivyo ndivyo yalivyo makumi elfu ya Efraimu;

hivyo ndivyo yalivyo maelfu ya Manase.”

1833:18 Mwa 30:18-20; 49:13-15Kuhusu Zabuloni akasema:

“Shangilia, Zabuloni, wakati wa kutoka nje,

nawe Isakari, katika mahema yako.

1933:19 Kut 15:17; Za 48:1; Isa 2:3; 65:11; 66:20; Yer 31:6; Za 4:5; 51:19; Isa 18:7; 23:18; 45:14; 60:5; 11; 61:6; Hag 2:7; Zek 14:14Watawaita mataifa kwenye mlima,

na huko mtatoa dhabihu za haki;

watajifurahisha kwa wingi uliojaza bahari,

kwa hazina zilizofichwa mchangani.”

2033:20 Mwa 30:11; Kum 3:12-17; Mwa 49:19Kuhusu Gadi akasema:

“Atabarikiwa yeye aongezaye milki ya Gadi!

Gadi huishi huko kama simba,

akirarua kwenye mkono au kichwa.

2133:21 Hes 32:1-5, 31-32; 34:14; Yos 22:1-3; 4:14Alijichagulia nchi nzuri kuliko zote

kwa ajili yake mwenyewe;

fungu la kiongozi lilikuwa limehifadhiwa

kwa ajili yake.

Viongozi wa watu walipokusanyika,

alitimiza haki ya mapenzi ya Bwana,

na hukumu zake kuhusu Israeli.”

2233:22 Yos 19:47; Amu 18:27Kuhusu Dani akasema:

“Dani ni mwana simba,

akiruka kutoka Bashani.”

2333:23 Mwa 30:8; Yos 19:32Kuhusu Naftali akasema:

“Naftali amejaa tele upendeleo wa Bwana,

naye amejaa baraka yake;

atarithi magharibi na kusini.”

2433:24 Mwa 30:13; 49:20; Kum 32:13; Ay 29:6Kuhusu Asheri akasema:

“Aliyebarikiwa zaidi sana katika wana ni Asheri;

yeye na apate upendeleo kwa ndugu zake,

yeye na anawe miguu yake kwenye mafuta.

2533:25 Neh 3:3; 7:3; Za 147:13; Kum 32:47Makomeo ya malango yako yawe chuma na shaba,

nazo nguvu zako zitakuwa sawa na siku zako.

2633:26 Kum 32:15; Za 18:10; 68:33; Kum 10:14; Za 104:3; 2Sam 22:10; Za 18:9; 68:4; Dan 7:13; Kut 15:7“Hakuna mwingine kama Mungu wa Yeshuruni,

ambaye hupanda juu ya mbingu ili akusaidie,

na juu ya mawingu katika utukufu wake.

2733:27 Kut 15:18; Isa 40:28; 57:15; Za 9:9; 84:1; 90:1; 91:9; Mwa 21:33; Kut 34:11; Yos 24:18; Kum 7:2Mungu wa milele ni kimbilio lako,

na chini kuna mikono ya milele.

Atamfukuza adui yako mbele yako,

akisema, ‘Mwangamize yeye!’

2833:28 Kut 33:16; Law 25:18; Kum 32:8; Za 16:9; Mit 1:33; Isa 14:30; Mwa 27:28Hivyo Israeli ataishi salama peke yake.

Mzao wa Yakobo ni salama

katika nchi ya nafaka na divai mpya,

mahali ambapo mbingu

hudondosha umande.

2933:29 Za 1:1; 132:1-2; 144:15; 118:7; 18:44; 66:3; 54:4; 81:15; 10:14; 18:1; 27:1; 9; 30:10; 70:5; 115:9-11; 2Sam 22:45; Kum 4:7; 32:13; Mwa 15:1; Kut 18:4; Hab 3:19; Hos 13:9; Isa 45:24; 2Sam 7:23; Hes 33:52Ee Israeli, wewe umebarikiwa!

Ni nani kama wewe,

taifa lililookolewa na Bwana?

Yeye ni ngao yako na msaada wako,

na upanga wako uliotukuka.

Adui zako watatetemeka mbele yako,

nawe utapakanyaga

mahali pao pa juu.”33:29 Utapakanyaga mahali pao pa juu maana yake mtakanyaga juu ya miili yao.