ኤርምያስ 6 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

ኤርምያስ 6:1-30

የኢየሩሳሌም መከበብ

1“እናንት የብንያም ልጆች፤ ክፉ ነገር፣

ታላቅም ጥፋት ከሰሜን ድንገት ይመጣልና፣

ከኢየሩሳሌም ሸሽታችሁ አምልጡ፤

በቴቁሔ መለከትን ንፉ፤

በቤትሐካሪም ላይ ምልክት ከፍ

አድርጋችሁ አሳዩ።

2ውብና ሽሙንሙን የሆነችዋን፣

የጽዮንን ሴት ልጅ አጠፋታለሁ።

3እረኞች መንጎቻቸውን ይዘው ይመጡባታል፤

ድንኳናቸውን በዙሪያዋ ይተክላሉ፤

እያንዳንዳቸውም በየአቅጣጫቸው መንጋቸውን ያሰማራሉ።

4“በእርሷ ላይ ጦርነት ዐውጁ፤

ተነሡ በቀትር አደጋ እንጣልባት፤

ወይ ጉድ! ቀኑ እኮ መሸብን!

ጥላው ረዘመ።

5እንግዲህ ተነሡ በሌሊት እናጥቃት፤

ምሽጎቿንም እንደምስስ!”

6የሰራዊት ጌታ እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“ዛፎቹን ቍረጡ፤

በኢየሩሳሌም ዙሪያ የዐፈር ድልድል ሥሩ።

ይህች ከተማ ቅጣት ይገባታል፤

ግፍን ተሞልታለችና።

7የውሃ ጕድጓድ ውሃ እንደሚያመነጭ፣

እርሷም እንዲሁ ክፋቷን ታፈልቃለች።

ዐመፅና ጥፋት በውስጧ ይስተጋባል፤

ሕመሟና ቍስሏ ዘወትር ይታየኛል።

8ኢየሩሳሌም ሆይ፤ ተጠንቀቂ፤

አለዚያ ከአንቺ ዘወር እላለሁ፤

ማንም ሊኖርባት እስከማይችል ድረስ፣

ምድርሽን ባዶ አደርጋለሁ።”

9የሰራዊት ጌታ እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“የወይን ፍሬ ተሟጦ እንደሚቃረም፣

ከእስራኤል የተረፉትን እንዲሁ ይቃርሟቸው።

ወይን ለቃሚ እንደሚለቅም፣

እጅህን ወደ ቅርንጫፎቹ ደጋግመህ ዘርጋ።”

10ለማን ልናገር? ማንን ላስጠንቅቅ?

ማንስ ይሰማኛል?

እነሆ፣ ጆሮዎቻቸው አልተገረዙምና፣6፥10 ወይም ጆሮዎቻቸው ተደፍነዋል

መስማት አይችሉም።

በእግዚአብሔር ቃል ይሣለቃሉ፤

ደስም አይሰኙበትም።

11በእነርሱ ላይ በእግዚአብሔር ቍጣ ተሞልቻለሁ፤

በውስጤም ልይዘው አልቻልሁም።

“መንገድ ላይ በሚገኙ ሕፃናት፣

በተሰበሰቡ ወጣቶችም ላይ አፍስሰው፤

ባልም ሚስትም፣

ያረጁና የጃጁም አያመልጡም።

12በምድሪቱ በሚኖሩት ላይ

እጄን በምዘረጋበት ጊዜ፣

ዕርሻቸውና ሚስቶቻቸው ሳይቀሩ፣

ቤቶቻቸው ለሌሎች ይሆናሉ፤”

ይላል እግዚአብሔር

13“ከትንሹ እስከ ትልቁ ሰው፣

ሁሉም ለጥቅም የሚስገበገቡ ናቸው፤

ነቢያቱም ካህናቱም ሳይቀሩ፣

ሁሉም ያጭበረብራሉ።

14የሕዝቤን ቍስል እንደ ቀላል ቈጠሩ፣

እንዲፈወስም ተገቢውን እንክብካቤ አላደረጉለትም፤

ሰላምም ሳይኖር፣

‘ሰላም፣ ሰላም’ ይላሉ።

15ስለ ጸያፉ ተግባራቸው ዐፍረዋል እንዴ?

ኧረ ጨርሶ ዕፍረት የላቸውም!

ዕፍረት ምን እንደ ሆነ እንኳ አያውቁም፤

ስለዚህ ከሚወድቁት ጋር ይወድቃሉ፤

በምቀጣቸውም ጊዜ ይዋረዳሉ፤”

ይላል እግዚአብሔር

16እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“መንታ መንገድ ላይ ቁሙ፣ ተመልከቱም፤

መልካሟን፣ የጥንቷን መንገድ ጠይቁ፤

በእርሷም ላይ ሂዱ።

ለነፍሳችሁ ዕረፍት ታገኛላችሁ፤

እናንተ ግን፣ ‘በእርሷ አንሄድም’ አላችሁ።

17ጠባቂዎችን አቆምሁላችሁ፤

‘የመለከትንም ድምፅ ስሙ’ አልኋችሁ፤

እናንተ ግን፣ ‘አንሰማም’ አላችሁ።

18እንግዲህ ሕዝቦች ሆይ ስሙ፤

እናንተም ምስክሮች ምን

እንደሚገጥማቸው አስተውሉ።

19ምድር ሆይ፤ ስሚ፤

ቃሌን ስላላደመጡ፣

ሕጌንም ስለ ናቁ፣

በዚህ ሕዝብ ላይ የሐሳባቸውን ውጤት፣

ጥፋትን አመጣባቸዋለሁ።

20ዕጣን ከሳባ ምድር፣

ጣፋጩ ቅመም ከሩቅ አገር ቢመጣ ምን ይጠቅመኛል?

የሚቃጠል መሥዋዕታችሁን አልቀበልም፤

ሌላውም መሥዋዕታችሁ ደስ አያሰኙኝም።”

21ስለዚህ እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“በዚህ ሕዝብ ፊት መሰናክልን አስቀምጣለሁ፤

አባቶችና ወንዶች ልጆች በአንድነት ይደናቀፉበታል፤

ጎረቤቶችና ባልንጀሮችም ይጠፋሉ።”

22እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“እነሆ፤ ሰራዊት፣

ከሰሜን ምድር እየመጣ ነው፤

ከምድር ዳርቻም፣

ታላቅ ሕዝብ እየተነሣሣ ነው።

23ቀስትና ጦር ይዘዋል፤

ጨካኞችና ምሕረት የለሽ ናቸው፤

ፈረሶቻቸውን ሲጋልቡ፣

ድምፃቸው እንደ ተናወጠ ባሕር ነው፤

የጽዮን ልጅ ሆይ፤ ለሰልፍ የታጠቁ ሆነው፣

ሊወጉሽ ይመጣሉ።”

24ስለ እነርሱ ወሬ ደርሶናል፤

ክንዶቻችንም ዝለዋል፤

ጭንቀት ይዞናል፤ እንደምታምጥም

ሴት ሆነናል።

25ጠላት ሰይፍ ታጥቋል፤

በየቦታውም ሽብር ሞልቷል፤

ስለዚህ ወደ ውጭ አትውጡ፤

በየመንገዱ አትዘዋወሩ።

26የሕዝቤ ልጅ ሆይ፤ ማቅ ልበሺ፤

በዐመድም ላይ ተንከባለዪ፤

አንድያ ልጁን እንዳጣ ሰው፣

ምርር ብለሽ አልቅሺ፤

አጥፊው በድንገት፣

በላያችን ይመጣልና።

27“ብረት እንደሚፈተን፣

የሕዝቤን መንገድ፣

አካሄዳቸውንም እንድትፈትን፣

አንተን ፈታኝ አድርጌሃለሁ።

28ሁሉም ለማማት የሚዞሩ፣

ድድር ዐመፀኞች፣

ናስና ብረት የሆኑ፣

ምግባረ ብልሹዎች ናቸው።

29ርሳሱን ለማቅለጥ፣

ወናፉ በብርቱ አናፋ፤

ግን ምን ይሆናል፣ ከንቱ ልፋት ነው፤

ክፉዎች ጠርገው አልወጡምና።

30እግዚአብሔር ንቋቸዋልና፣

የተናቀ ብር ተብለው ይጠራሉ።”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 6:1-30

Yerusalemu Imezingirwa Na Jeshi

16:1 Yos 18:28; Neh 3:14; Yer 4:6; Hes 10:7; Yer 4:21; 2Nya 11:6“Kimbieni kwa usalama wenu, enyi watu wa Benyamini!

Kimbieni kutoka Yerusalemu!

Pigeni tarumbeta katika Tekoa!

Inueni ishara juu ya Beth-Hakeremu!

Kwa kuwa maafa yanaonekana yakitoka kaskazini,

na uharibifu wa kutisha.

26:2 Za 9:14; Mao 4:5Nitamwangamiza Binti Sayuni,

aliye mzuri sana na mwororo.

36:3 Yer 12:10; 2Fal 25:4; Lk 19:43Wachungaji pamoja na makundi yao

watakuja dhidi yake;

watapiga mahema yao kumzunguka,

kila mmoja akichunga kundi lake mwenyewe.”

46:4 Yer 15:8; 22:7“Jiandaeni kwa vita dhidi yake!

Inukeni tumshambulie mchana!

Lakini, ole wetu, mchana unaisha,

na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.

5Kwa hiyo inukeni, tufanye mashambulizi usiku,

na kuharibu ngome zake!”

66:6 Kum 20:19-20; 2Sam 20:15; Eze 26:6-8; Kum 28:33; Yer 25:38; Sef 3:1Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote:

“Kateni miti mjenge boma

kuzunguka Yerusalemu.

Mji huu ni lazima uadhibiwe,

umejazwa na uonevu.

76:7 Isa 58:4; Yer 20:8; Mik 7:2-3; Za 55:9-11Kama vile kisima kinavyomwaga maji yake,

ndivyo anavyomwaga uovu wake.

Ukatili na maangamizi yasikika ndani yake,

ugonjwa wake na majeraha yake viko mbele yangu daima.

86:8 Eze 23:18; Hos 9:12Pokea onyo, ee Yerusalemu,

la sivyo nitageukia mbali nawe

na kuifanya nchi yako kuwa ukiwa,

asiweze mtu kuishi ndani yake.”

9Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote:

“Wao na wayakusanye mabaki ya Israeli

kwa uangalifu kama kwenye mzabibu;

pitisha mkono wako kwenye matawi tena,

kama yeye avunaye zabibu.”

106:10 Kut 6:12; Yer 15:10-15; Mdo 7:51; Yer 20:8; 7:13; 35:15; Isa 42:20Niseme na nani na kumpa onyo?

Ni nani atakayenisikiliza mimi?

Masikio yao yameziba,6:10 Masikio yameziba kwa Kiebrania ina maana kwamba masikio yao hayajatahiriwa.

kwa hiyo hawawezi kusikia.

Neno la Bwana ni chukizo kwao,

hawalifurahii.

116:11 Yer 7:20; Ay 32:20; 2Nya 36:17; Isa 40:30; Yer 15:17; Mao 2:21Lakini nimejaa ghadhabu ya Bwana,

nami siwezi kuizuia.

“Wamwagie watoto walioko barabarani,

na juu ya vijana waume waliokusanyika;

mume na mke watakumbwa pamoja ndani yake,

hata nao wazee waliolemewa na miaka.

126:12 Kum 28:30; Yer 8:10; Mik 2:4; Yer 43:6; Sef 1:4; Eze 6:14; Yer 43:6; 38:22Nyumba zao zitapewa watu wengine,

pamoja na mashamba yao na wake zao,

nitakapounyoosha mkono wangu

dhidi ya wale waishio katika nchi,”

asema Bwana.

136:13 Isa 56:11; Yer 8:10; Mao 4:13; Yer 2:29“Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkubwa kabisa,

wote wana tamaa ya kupata faida zaidi;

manabii na makuhani wanafanana,

wote wanafanya udanganyifu.

146:14 Eze 13:10; Isa 30:10; Yer 4; 10Wanafunga majeraha ya watu wangu

bila uangalifu.

Wanasema, ‘Amani, amani,’

wakati hakuna amani.

156:15 Mik 3:7; Zek 13:7; Yer 3:3; 8:10-12; 2Nya 25:16; Yer 27:15Je, wanaona aibu kwa ajili ya tabia yao

inayochukiza mno?

Hapana, hawana aibu hata kidogo;

hawajui hata kuona haya.

Kwa hiyo wataanguka miongoni mwa hao walioanguka,

watashushwa chini nitakapowaadhibu,”

asema Bwana.

166:16 Yer 18:15; Lk 16:29; Yos 1:13; Mt 11:29; 1Fal 8:36; Isa 11:10Hivi ndivyo asemavyo Bwana:

“Simama kwenye njia panda utazame,

ulizia mapito ya zamani,

ulizia wapi ilipo njia nzuri, uifuate hiyo,

nanyi mtapata raha nafsini mwenu.

Lakini ninyi mlisema, ‘Hatutaipita hiyo.’

176:17 Yer 25:4; Isa 52:8; Eze 3:17; 33:4; Kut 20:18; Yer 11:7-8Niliweka walinzi juu yenu na kusema,

‘Sikieni sauti ya tarumbeta!’

Lakini mkasema, ‘Hatutasikiliza.’

186:18 Mit 1:31; Eze 20:13; Kum 4:26; Amo 2:4; Yer 22:29; Yos 23:15; Yer 11:11; 29:19Kwa hiyo sikilizeni, enyi mataifa,

angalieni, enyi mashahidi,

lile litakalowatokea.

19Sikia, ee nchi:

Ninaleta maafa juu ya watu hawa,

matunda ya mipango yao,

kwa sababu hawakusikiliza maneno yangu

na wameikataa sheria yangu.

206:20 Kut 30:23; Isa 60:6; Amo 5:22; Za 50:8-10; Hos 8:13; Mik 6:6-8; Mwa 10:7Unanifaa nini uvumba kutoka Sheba,

au udi wa harufu nzuri kutoka nchi ya mbali?

Sadaka zako za kuteketezwa hazikubaliki,

dhabihu zako hazinifurahishi mimi.”

216:21 Isa 8:14; Ay 5:12; Yer 13:16; Law 26:37Kwa hiyo hivi ndivyo asemavyo Bwana:

“Nitaweka vikwazo mbele ya watu hawa.

Baba na wana wao watajikwaa juu yake,

majirani na marafiki wataangamia.”

226:22 Yer 4:6; Kum 28:49Hivi ndivyo asemavyo Bwana:

“Tazama, jeshi linakuja

kutoka nchi ya kaskazini,

taifa kubwa linaamshwa

kutoka miisho ya dunia.

236:23 Isa 5:30; 13:18; Yer 4:29; Za 18:4; 93:3; Isa 10:32Wamejifunga pinde na mkuki,

ni wakatili na hawana huruma.

Wanatoa sauti kama bahari inayonguruma

wanapoendesha farasi zao.

Wanakuja kama watu waliojipanga tayari kwa vita

ili kukushambulia, ee Binti Sayuni.”

246:24 Za 48:6; Yer 4:19, 31; 50:41-43; Isa 13:7Tumesikia taarifa zao,

nayo mikono yetu imelegea.

Uchungu umetushika,

maumivu kama ya mwanamke katika utungu wa kuzaa.

256:25 Ay 15:21; Za 31:13; Amo 5:6; Yer 49:29Usitoke kwenda mashambani

au kutembea barabarani,

kwa kuwa adui ana upanga,

na kuna vitisho kila upande.

266:26 Yer 4:8; Ay 2:8; Yon 3:6; Zek 12:10; Mwa 12:16; Yer 25:34; Eze 27:30; Kut 12:23Enyi watu wangu, vaeni magunia

mjivingirishe kwenye majivu,

ombolezeni kwa kilio cha uchungu

kama amliliaye mwana pekee,

kwa maana ghafula

mharabu atatujia.

276:27 Yer 9:7; Zek 13:9“Nimekufanya wewe kuwa kitu cha kujaribu chuma,

nao watu wangu kama mawe yenye madini,

ili upate kuzijua na kuzijaribu njia zao.

286:28 Yer 5:23; Eze 22:18; Yer 9:4; Law 19:16Wote ni waasi sugu,

wakienda huku na huko kusengenya.

Wao ni shaba na chuma,

wote wanatenda upotovu.

29Mivuo inavuma kwa nguvu,

kinachoungua kwa huo moto ni risasi,

lakini pamoja na kusafisha kote huku ni bure;

waovu hawaondolewi.

306:30 Za 53:5; Mao 5:22; Hos 9:17; Mit 17:3; Eze 22; 18; Yer 7:29Wanaitwa fedha iliyokataliwa,

kwa sababu Bwana amewakataa.”