ኢሳይያስ 65 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

ኢሳይያስ 65:1-25

ፍርድና ድነት

1“ላልለመኑኝ ራሴን ገለጥሁላቸው፤

ላልፈለጉኝ ተገኘሁላቸው።

ስሜን ላልጠራ ሕዝብ፣

‘አለሁልህ፤ አለሁልህ’ አልሁት።

2ለዐመፀኛ ሕዝብ፣

መልካም ባልሆኑ መንገዶች ለሚሄዱ፣

የልባቸውን ምኞት ለሚከተሉ፣

ቀኑን ሙሉ እጆቼን ዘረጋሁ።

ዘወትር በፊቴ የሚያስቈጡኝ ሕዝቦች፣

3በአትክልት ቦታዎች መሥዋዕት የሚያቀርቡ፣

በሸክላ መሠዊያዎች ላይ ዕጣን የሚያጥኑ፣

ዘወትር በፊቴ የሚያስቈጡኝ ሕዝብ ናቸው፤

4በመቃብር መካከል የሚቀመጡ፣

በስውር ቦታዎች የሚያድሩ፣

የዕሪያ ሥጋ የሚበሉ፣

ማሰሮዎቻቸውን በረከሰ ሥጋ መረቅ የሚሞሉ ናቸው፤

5‘ዘወር በል፤ አትቅረበኝ፤

አትጠጋኝ፤ እኔ ከአንተ ይልቅ ቅዱስ ነኝ’ የሚሉ ናቸው።

እንዲህ ያለው ሕዝብ በአፍንጫዬ ዘንድ እንደ ጢስ፣

ቀኑን ሙሉ እንደሚነድድ እሳት ነው።

6“እነሆ፤ እንዲህ የሚል ተጽፎ በፊቴ ተቀምጧል፤

ዝም አልልም፤ ነገር ግን እንደ ሥራው እሰጠዋለሁ፤

የእጃቸውንም እከፍላቸዋለሁ፤

7የእናንተን ኀጢአት የአባቶቻችሁንም ኀጢአት እበቀላለሁ”

ይላል እግዚአብሔር

“በተራሮች ላይ የሚቃጠል መሥዋዕት ስላቀረቡ፣

በኰረብቶች ላይ ስለ ሰደቡኝ፣

በሰፈሩት ቍና ይሰፈርባቸዋል፤

ስለ ቀደሙት ሥራዎቻቸውም የእጃቸውን ያገኛሉ።”

8እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“በወይኑ ዘለላ ውስጥ ጭማቂው ገና እንዳለ ሁሉ፣

ሰዎችም፣ ‘በውስጡ ጥሩ ነገር ስላለ

አትቍረጡት’ እንደሚሉ፣

እኔም ስለ ባሮቼ ስል እንዲሁ አደርጋለሁ፤

ሙሉ በሙሉ አላጠፋቸውም።

9ከያዕቆብ ዘር የሆኑትን፣

ከይሁዳም ተራሮቼን የሚወርሱትን አመጣለሁ።

የተመረጠው ሕዝቤ ይወርሳቸዋል፤

ባሪያዎቼም በዚያ ይኖራሉ።

10አጥብቀው ለሚፈልጉኝ ሕዝቤ፣

ሳሮን የበጎች መሰማሪያ፣

የአኮር ሸለቆም የከብቶች ማረፊያ ይሆናል።

11“ነገር ግን እግዚአብሔርን ለተዋችሁት ለእናንተ፣

የተቀደሰ ተራራዬን ለረሳችሁት፣

‘ዕጣ ፈንታ’ ለተባለ ጣዖት ቦታ ላዘጋጃችሁት፣

‘ዕድል’ ለተባለም ጣዖት ድብልቅ የወይን ጠጅ በዋንጫ ለሞላችሁት፣

12ተጣርቼ ስላልመለሳችሁ፣

ተናግሬ ስላልሰማችሁ፣

በፊቴ ክፉ ነገር ስላደረጋችሁ፣

የሚያስከፋኝን ነገር ስለ መረጣችሁ፣

ለሰይፍ እዳርጋችኋለሁ፤

ሁላችሁም ለመታረድ ትጐነበሳላችሁ።”

13ስለዚህ ጌታ እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“ባሮቼ ይበላሉ፤

እናንተ ግን ትራባላችሁ፤

ባሮቼ ይጠጣሉ፤

እናንተ ግን ትጠማላችሁ፤

ባሮቼ ደስ ይላቸዋል፤

እናንተ ግን ታፍራላችሁ።

14ባሮቼ፣

ከልብ በመነጨ ደስታ ይዘምራሉ፤

እናንተ ግን፣

ልባችሁ በማዘኑ ትጮኻላችሁ፤

መንፈሳችሁ በመሰበሩም ወዮ ትላላችሁ።

15ስማችሁንም፣

የተመረጠው ሕዝቤ ርግማን እንዲያደርገው ትተዋላችሁ፤

ጌታ እግዚአብሔር ይገድላችኋል፤

ለአገልጋዮቹ ግን ሌላ ስም ይሰጣቸዋል።

16ስለዚህ በምድሪቱ ላይ በረከትን የሚጠራ፣

በእውነት አምላክ ስም ይባረካል፤

በምድሪቱ መሐላን የሚምል፣

በእውነት አምላክ ስም ይምላል፤

ያለፉት ችግሮች ተረስተዋል፤

ከዐይኖቼም ተሰውረዋል።

አዲስ ሰማያትና አዲስ ምድር

17“እነሆ፤ እኔ፣

አዲስ ሰማያትንና አዲስ ምድርን እፈጥራለሁ፤

ያለፉት ነገሮች አይታሰቡም፤

አይታወሱም።

18ነገር ግን በምፈጥረው፣

ደስ ይበላችሁ፤ ለዘላለም ሐሤት አድርጉ።

ኢየሩሳሌምን ለደስታ፣

ሕዝቧን ለሐሤት እፈጥራለሁና።

19በኢየሩሳሌም እደሰታለሁ፤

በሕዝቤ ሐሤት አደርጋለሁ፤

የልቅሶና የጩኸት ድምፅ፣

ከእንግዲህ በዚያ አይሰማም።

20“ከእንግዲህም በዚያ፣

ለጥቂት ጊዜ ብቻ በሕይወት የሚኖር ሕፃን፣

ወይም ዕድሜ ያልጠገበ አረጋዊ አይኖርም፤

አንድ መቶ ዓመት የሞላው ሰው ቢሞት፣

በዐጭር እንደ ተቀጨ ይቈጠራል፤

አንድ ሰው መቶ ዓመት ሳይሞላው ቢሞት፣

እንደ ተቀሠፈ ይገመታል።

21ሰዎች ቤት ይሠራሉ፤ በውስጡም ይኖራሉ፤

ወይንን ይተክላሉ፤ ፍሬውንም ይበላሉ።

22ከእንግዲህ ለሌሎች መኖሪያ ቤት አይሠሩም፤

ወይም ሌላው እንዲበላው አይተክሉም፤

የሕዝቤ ዕድሜ፣

እንደ ዛፍ ዕድሜ ይረዝማል፤

እኔ የመረጥኋቸው፣

በእጃቸው ሥራ ለረጅም ዘመን ደስ ይላቸዋል።

23ድካማቸው በከንቱ አይቀርም፤

ዕድለ ቢስ ልጆችም አይወልዱም፤

እነርሱና ዘራቸው፣

እግዚአብሔር የባረከው ሕዝብ ይሆናሉ።

24ገና ሳይጣሩ እመልስላቸዋለሁ፤

ተናግረው ሳይጨርሱ እሰማለሁ።

25ተኵላና የበግ ጠቦት በአንድነት ይበላሉ፤

አንበሳ እንደ በሬ ሣር ይበላል፤

እባብ ትቢያ ይልሳል፤

በተቀደሰው ተራራዬም፣

ጕዳት አያደርሱም፤ ጥፋት አያመጡም፤”

ይላል እግዚአብሔር

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 65:1-25

Hukumu Na Wokovu

165:1 Rum 10:20; Efe 2:12-13; Rum 9:30; Za 22:27; Hos 1:10; Rum 9:24-26; Isa 43:7“Nilijifunua kwa watu wale ambao hawakuniulizia.

Nimeonekana na watu wale ambao hawakunitafuta.

Kwa taifa lile ambalo halikuliita Jina langu,

nilisema, ‘Niko hapa, niko hapa.’

265:2 Za 78:8; Rum 10:21; Za 81:11-12; Mit 24:2; Isa 66:18Mchana kutwa nimeinyoosha mikono yangu

kwa watu wakaidi,

wanaokwenda katika njia ambazo si nzuri,

wafuatao mawazo yao wenyewe:

365:3 Isa 1:29; Law 17:5; Ay 1:11; Yer 41:5; Eze 23:41; Yer 44:17taifa ambalo daima hunikasirisha

machoni pangu,

wakitoa dhabihu katika bustani

na kufukiza uvumba juu ya madhabahu za matofali;

465:4 Law 11:7; Isa 8:19; Law 19:31; Kum 18:11watu waketio katikati ya makaburi

na kukesha mahali pa siri,

walao nyama za nguruwe,

nazo sufuria zao zina mchuzi wa nyama zilizo najisi,

565:5 Za 40:4; Lk 7:39; Yud 19; Mt 9:11; Lk 18:9-12; Mit 10:26wasemao, ‘Kaa mbali; usinikaribie,

kwa maana mimi ni mtakatifu mno kwako!’

Watu wa aina hiyo ni moshi katika pua zangu,

ni moto uwakao mchana kutwa.

665:6 2Nya 6:23; Kum 32:34; Za 50:3; Yer 16:18; Lk 6:38; Isa 59:18; Za 79:12; Eze 9:10“Tazama, jambo hili hubakia limeandikwa mbele zangu:

sitanyamaza, bali nitalipiza kwa ukamilifu;

nitalipiza mapajani mwao:

765:7 Kut 20:5; Yer 32:18; Law 26:39; Isa 22:14; Mit 10:24; Isa 10:12; 57:7dhambi zenu na dhambi za baba zenu,”

asema Bwana.

“Kwa sababu walitoa dhabihu za kuteketezwa juu ya milima

na kunichokoza mimi juu ya vilima,

nitawapimia mapajani mwao

malipo makamilifu kwa matendo yao ya zamani.”

865:8 Isa 5:2; 54:17; Kut 4:22; Yer 3:4; Isa 29:16; Rum 9:20-21; Ay 10:3Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kama vile divai mpya ingali bado inapatikana

katika kishada cha zabibu,

nao watu husema, ‘Usikiharibu,

kwa kuwa bado kuna kitu kizuri ndani yake,’

hivyo ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu;

sitawaangamiza wote.

965:9 Isa 45:19; Hes 34:13; Amo 9:11-15; Isa 32:18; Yer 50:19Nitawaleta wazao kutoka kwa Yakobo,

na kutoka kwa Yuda wale watakaomiliki milima yangu,

nao watu wangu wateule watairithi,

nako huko wataishi watumishi wangu.

1065:10 1Nya 27:29; Hos 2:15; Mdo 9:35; Yos 7:26; Isa 35:2; Yer 31:12; Eze 34:13-14Sharoni itakuwa malisho

kwa ajili ya makundi ya kondoo,

na Bonde la Akori mahali pa kupumzikia

kwa makundi ya ngʼombe,

kwa ajili ya watu wangu wanaonitafuta.

1165:11 Eze 23:41; Yer 19:4; 1Kor 10:21; Kum 29:24-25; 32:15; Yer 2:13; 19:4“Bali kwenu ninyi mnaomwacha Bwana

na kuusahau mlima wangu mtakatifu,

ninyi mnaoandaa meza kwa ajili ya Bahati,65:11 Bahati alikuwa mungu wa Wakaldayo ambaye pia alijulikana kama Gadi.

na kujaza mabakuli ya mvinyo uliochanganywa

kwa ajili ya Ajali,65:11 Ajali au Meni alikuwa mungu wa majaliwa.

1265:12 Mit 1:24-25; Yer 7:27; 2Nya 36:15-16; Yer 13:11; Isa 1:20; 30:25; Mik 5:15nitawaagiza mfe kwa upanga,

nanyi nyote mtainama chini ili kuchinjwa;

kwa kuwa niliwaita lakini hamkuitika,

nilisema lakini hamkusikiliza.

Mlitenda maovu machoni pangu,

nanyi mkachagua mambo yale yanayonichukiza.”

1365:13 Isa 1:19; Ay 18:12; Lk 6:25; Isa 33:16; 60:5; 44:9Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:

“Watumishi wangu watakula,

lakini ninyi mtaona njaa;

watumishi wangu watakunywa

lakini ninyi mtaona kiu;

watumishi wangu watafurahi,

lakini ninyi mtaona haya.

1465:14 Isa 15:2; Lk 13:28; Za 109:28; Sef 3:14-20; Yak 5:13; Mt 8:12Watumishi wangu wataimba

kwa furaha ya mioyo yao,

lakini ninyi mtalia

kutokana na uchungu wa moyoni,

na kupiga yowe kwa sababu

ya uchungu wa roho zenu.

1565:15 Hes 5:27; Mdo 11:26; Zek 8:13; Za 102:8; Mwa 32:28; Ufu 2:17Mtaliacha jina lenu

kuwa laana kwa watu wangu waliochaguliwa;

Bwana Mwenyezi atawaua ninyi,

lakini watumishi wake atawapa jina jingine.

1665:16 Za 31:5; Ufu 3:14; Isa 19:18; Kum 29:19; Ay 11:16; Za 63:11Yeye aombaye baraka katika nchi

atafanya hivyo kwa Mungu wa kweli;

yeye aapaye katika nchi

ataapa kwa Mungu wa kweli.

Kwa kuwa taabu za zamani zitasahaulika

na kufichwa kutoka machoni pangu.

Mbingu Mpya Na Dunia Mpya

1765:17 2Kor 5:17; 2Pet 3:13; Yer 3:16; Ufu 7:17; Isa 41:22; 43:18“Tazama, nitaumba

mbingu mpya na dunia mpya.

Mambo ya zamani hayatakumbukwa,

wala hayatakuja akilini.

1865:18 Kum 32:43; Za 98:1-9; Isa 25:9; Ufu 21:2Lakini furahini na kushangilia daima

katika hivi nitakavyoumba,

kwa kuwa nitaumba Yerusalemu uwe wa kupendeza,

nao watu wake wawe furaha.

1965:19 Isa 35:10; 62:5; Ufu 7:17; Kum 30:9; Isa 25:8Nami nitaifurahia Yerusalemu

na kuwafurahia watu wangu;

sauti ya maombolezo na ya kilio

haitasikika humo tena.

2065:20 Mwa 15:15; Mhu 8:12; Zek 8:4; Isa 11:8; Mwa 5:1-32“Kamwe hatakuwepo tena ndani yake

mtoto mchanga atakayeishi siku chache tu,

au mzee ambaye hataishi akatimiza miaka yake.

Yeye atakayekufa akiwa na umri wa miaka mia moja

atahesabiwa kwamba ni kijana tu,

yeye ambaye hatafika miaka mia moja,

atahesabiwa kuwa amelaaniwa.

2165:21 Isa 32:18; 2Fal 19:29; Eze 28:26; Isa 61:4; 37:30; Amo 9:14Watajenga nyumba na kuishi ndani yake;

watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.

2265:22 Za 92:12-14; 21:4; 91:16; Kum 28:30; Isa 14:1Hawatajenga nyumba, nao watu wengine waishi ndani yake,

au kupanda mazao na wengine wale.

Kwa kuwa kama zilivyo siku za mti,

ndivyo zitakavyokuwa siku za watu wangu,

wateule wangu watafurahia kwa siku nyingi

kazi za mikono yao.

2365:23 Mwa 12:2; Kum 28:3-12; Mdo 2:39; Hos 9:12; Isa 49:4; 1Kor 15:58; Yer 3:4Hawatajitaabisha kwa kazi bure,

wala hawatazaa watoto ili wapatwe na majanga,

kwa kuwa watakuwa taifa lililobarikiwa na Bwana,

wao na wazao wao pamoja nao.

2465:24 Dan 9:20-23; 10:12; Mt 6:8; Isa 55:6; Ay 8:6; Zek 10:6; Isa 30:19Kabla hawajaita, nitajibu,

nao wakiwa katika kunena, nitasikia.

2565:25 Mwa 3:14; Rum 16:20; Mik 7:17; Isa 11:6; Dan 2:35; Ay 40:15; 5:23; Isa 2:4Mbwa mwitu na mwana-kondoo watalisha pamoja,

naye simba atakula nyasi kama maksai,

lakini mavumbi yatakuwa chakula cha nyoka.

Hawatadhuru wala kuharibu

katika mlima wangu mtakatifu wote,”

asema Bwana.