ኢሳይያስ 57 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

ኢሳይያስ 57:1-21

1ጻድቅ ይሞታል፤

ይህን ግን ማንም ልብ አይልም፤

ለእግዚአብሔር ያደሩ ሰዎች ይወሰዳሉ፤

ጻድቃን ከክፉ ይድኑ ዘንድ፣

መወሰዳቸውን፣

ማንም አያስተውልም።

2በቅንነት የሚሄዱ፣

ሰላም ይሆንላቸዋል፤

መኝታቸው ላይ ያርፋሉ።

3“እናንት የአስማተኛዪቱ ልጆች ግን፣

እናንት የአመንዝራውና የጋለሞታዪቱ ዘር፤ እናንት፣ ወዲህ ኑ፤

4የምትሣለቁት በማን ላይ ነው?

የምታሽሟጥጡት ማንን ነው?

ምላሳችሁንስ አውጥታችሁ የምታሾፉት በማን ላይ ነው?

እናንት የዐመፀኞች ልጆች፣

የሐሰተኞች ዘር አይደላችሁምን?

5በባሉጥ ዛፎች መካከል፣

ቅጠሉ በተንዠረገገ ዛፍ ሥር በዝሙት የምትቃጠሉ፣

በሸለቆዎች፣ በዐለት ስንጣቂዎችም ውስጥ

ልጆቻችሁን የምትሠዉ አይደላችሁምን?

6በሸለቆው በሚገኙት ለስላሳ ድንጋዮች

ውስጥ ያሉት ጣዖቶች የአንቺ ናቸው፤

እነርሱም ዕጣ ፈንታዎችሽ ናቸው፤

ርግጥ ነው፣ በእነርሱ ላይ የመጠጥ ቍርባን አፍስሰሻል፤

የእህል ቍርባንም አቅርበሻል፤

ታዲያ፣ ስለ እነዚህ ነገሮች ዝም እላለሁን?

7ዐልጋሽን ከፍ ባለውና በረጅሙ ኰረብታ ላይ አነጠፍሽ፤

በዚያም መሥዋዕትሽን ልታቀርቢ ወጣሽ።

8ከመዝጊያሽና ከመቃንሽ ጀርባ፣

የጣዖት ምስሎችሽን ሰቀልሽ፤

እኔን ትተሽ መኝታሽን ገላለጥሽ፤

በላይም ወጥተሽ በጣም ገለጥሽው፤

መኝታቸውን ከወደድሽላቸው ጋር ስምምነት አደረግሽ፤

ዕርቃናቸውንም አየሽ።

9የወይራ ዘይት ይዘሽ፣

ሽቶ በላዩ ጨምረሽ ወደ ሞሎክ57፥9 ወይም ወደ ንጉሡ ሄድሽ፤

መልእክተኞችሽን57፥9 ወይም፣ ጣዖቶችሽን ወደ ሩቅ አገር ላክሽ፤

እስከ ራሱ እስከ ሲኦልም ዘለቅሽ።

10በመንገድ ብዛት ደከምሽ፤

ነገር ግን ‘ተስፋ የለውም’ አላልሽም፤

የጕልበት መታደስ አገኘሽ፤

ስለዚህም አልዛልሽም።

11“እኔን የዋሸሽኝ፤

ማንን ፈርተሽ፣ ማንንስ ሠግተሽ ነው?

እኔን ያላስታወስሽው፣

ይህንም በልብሽ ያላኖርሽው፣

እኔን ያልፈራሽው፣

ዝም ስላልሁ አይደለምን?

12ጽድቅሽንና ሥራሽን አጋልጣለሁ፤

እነርሱም አይጠቅሙሽም።

13ለርዳታ በምትጮኺበት ጊዜ፣

የሰበሰብሻቸው ጣዖቶች እስቲ ያድኑሽ!

ነፋስ ጠራርጎ ይወስዳቸዋል፤

ሽውሽውታም ይበትናቸዋል።

እኔን መጠጊያው ያደረገ ሰው ግን፣

ምድሪቱን ይወርሳል፤

የተቀደሰ ተራራዬንም ገንዘቡ ያደርገዋል።”

ልባቸው ለተሰበረ መጽናናት

14እንዲህ ይባላል፤

“አብጁ፤ አብጁ፤ መንገድ አዘጋጁ፤

ከሕዝቤ መንገድ ዕንቅፋት አስወግዱ።”

15ከፍ ከፍ ያለውና ልዕልና ያለው እርሱ፣

ስሙም ቅዱስ የሆነው፣ ለዘላለም የሚኖረው እንዲህ ይላል፤

“የተዋረዱትን መንፈሳቸውን ለማነሣሣት፣

የተሰበረ ልብ ያላቸውን ለማነቃቃት፣

ከፍ ባለውና በቅዱሱ ስፍራ እኖራለሁ፤

የተሰበረ ልብ ካለውና በመንፈሱ ከተዋረደው ጋር እሆናለሁ።

16የሰው መንፈስ በፊቴ እንዳይዝል፣

የፈጠርሁትም ሰው እስትንፋስ እንዳይቆም፣

ለዘላለም አልወቅሥም፤

ሁልጊዜም አልቈጣም።

17ኀጢአት ስለ ሞላበት ስግብግብነቱ ተቈጣሁት፤

ቀጣሁት፤ ፊቴንም በቍጣ ከእርሱ ሸሸግሁ፤

ያም ሆኖ በገዛ መንገዱ ገፋበት።

18መንገዶቹን አይቻለሁ፤ ቢሆንም እፈውሰዋለሁ፤

እመራዋለሁ፤ ለእርሱና ስለ እርሱ ለሚያለቅሱትም

መጽናናትን እመልሳለሁ፤

19በእስራኤል አልቃሾች ከንፈር ላይ ምስጋና እፈጥራለሁ።

በቅርብና በሩቅ ላሉት ሰላም፣ ሰላም ይሁን፤

እኔ እፈውሳቸዋለሁ” ይላል እግዚአብሔር

20ክፉዎች ግን ማዕበሉ ጭቃና ጕድፍ እንደሚያወጣ፣

ጸጥ ማለት እንደማይችል፣

እንደሚናወጥ ባሕር ናቸው።

21አምላኬ፣ “ለክፉዎች ሰላም የላቸውም” ይላል።

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 57:1-21

Ibada Ya Sanamu Ya Israeli Iliyo Batili

157:1 Eze 21:3; 2Fal 22:20; Za 12:1; Isa 42:25Mwenye haki hupotea,

wala hakuna hata mmoja awazaye hilo moyoni mwake;

watu wanaomcha Mungu huondolewa,

wala hakuna hata mmoja anayeelewa

kuwa wenye haki wameondolewa

ili wasipatikane na maovu.

257:2 Isa 26:7; Kum 12:13Wale waendao kwa unyofu

huwa na amani;

hupata pumziko walalapo mautini.

357:3 Mal 3:5; Yak 4:4; Yer 2:20; Kut 22:18; Mt 16:4; Isa 1:20“Lakini ninyi:

Njooni hapa, ninyi wana wa wachawi,

ninyi wazao wa wazinzi na makahaba!

457:4 Isa 1:2Mnamdhihaki nani?

Ni nani mnayemcheka kwa dharau,

na kumtolea ndimi zenu?

Je, ninyi si watoto wa waasi,

uzao wa waongo?

557:5 Kum 12:2; 2Fal 16:4; Eze 16:20; Kum 18:10; Isa 1:29; Law 18:21; 18:2; Za 106:37-38Mnawaka tamaa katikati ya mialoni

na chini ya kila mti uliotanda matawi;

mnawatoa kafara watoto wenu kwenye mabonde

na chini ya majabali yenye mianya.

657:6 2Fal 17:10; Hab 2:19; Yer 44:18; 19:13; 7:18; 3:9; 7:18; 5:9-29; 9:9; 2:19“Sanamu zilizo katikati ya mawe laini ya mabondeni ndizo fungu lenu;

hizo ndizo sehemu yenu.

Naam, kwa hizo mmemimina sadaka za vinywaji,

na kutoa sadaka za nafaka.

Katika haya yote,

niendelee kuona huruma?

757:7 Yer 3:6; Eze 6:3; 23:41; 20:29; 20:27-28Umeweka kitanda chako juu kwenye kilima kirefu kilichoinuka,

huko ulikwenda kutoa dhabihu zako.

857:8 Eze 16:26; 23:7, 18; 23:18Nyuma ya milango yako na miimo yako

umeweka alama zako za kipagani.

Kwa kuniacha mimi, ulifunua kitanda chako,

umepanda juu yake na kukipanua sana;

ulifanya patano na wale ambao unapenda vitanda vyao,

nawe uliangalia uchi wao.

957:9 Law 18:21; 1Fal 11:5; Wim 4:10; Eze 23:16, 40Ulikwenda kwa Moleki57:9 Moleki alikuwa mungu aliyekuwa anaabudiwa na Waamoni; pia alijulikana kama Malkomu, Maloki au Kemoshi wa Moabu. ukiwa na mafuta ya zeituni,

na ukaongeza manukato yako.

Ukawatuma wajumbe wako mbali sana,

ukashuka kwenye kaburi57:9 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. lenyewe!

1057:10 Yer 18:12; Mal 3:14; Isa 47:13; Yer 2:25; 1Sam 2:4Ulikuwa umechoshwa na njia zako zote,

lakini hukusema, ‘Hakuna tumaini.’

Ulipata uhuisho wa nguvu zako,

kwa sababu hiyo hukuzimia.

1157:11 Mit 29:25; Eze 22:12; Yer 18:15; Es 4:14; Za 50:21; Yer 3:21; 1Fal 1:15; Isa 17:10“Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa

hata ukawa mwongo kwangu,

wala hukunikumbuka

au kutafakari hili moyoni mwako?

Si ni kwa sababu nimekuwa kimya muda mrefu

hata huniogopi?

1257:12 Eze 16:2; Mik 2:2-8; Isa 29:15; 66:18Nitaifunua haki yako na matendo yako,

nayo hayatakufaidi.

1357:13 Za 37:3-9; Yer 30:15; Isa 2:2-3; Yer 22:20; Amu 10:14; Za 118:8; Isa 65:9-11Utakapolia kwa kuhitaji msaada,

sanamu zako ulizojikusanyia na zikuokoe!

Upepo utazipeperusha zote,

pumzi peke yake itazipeperusha,

Lakini mtu atakayenifanya kimbilio lake,

atairithi nchi

na kuumiliki mlima wangu mtakatifu.”

Faraja Kwa Wenye Majuto

1457:14 Isa 62:10; Yer 18:15; Isa 11:16Tena itasemwa:

“Jengeni, jengeni, itengenezeni njia!

Ondoeni vikwazo katika njia ya watu wangu.”

1557:15 Kum 33:27; Ay 6:10; Mik 6:8; Za 90:2; 2Fal 22:19; Zek 2:13; Isa 52:13; Ay 16:19Kwa maana hili ndilo asemalo Aliye juu, yeye aliyeinuliwa sana,

yeye aishiye milele, ambaye jina lake ni Mtakatifu:

“Ninaishi mimi mahali palipoinuka na patakatifu,

lakini pia pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu

na mwenye roho ya unyenyekevu,

ili kuzihuisha roho za wanyenyekevu

na kuihuisha mioyo yao waliotubu.

1657:16 Za 85:5; Mik 7:18; Ebr 12:9; Isa 3:13-14; 54:9; Zek 12:1Sitaendelea kulaumu milele,

wala sitakasirika siku zote,

kwa kuwa roho ya mwanadamu

ingezimia mbele zangu:

yaani pumzi ya mwanadamu niliyemuumba.

1757:17 Isa 56:11; Yer 8:10; Isa 30:15; 53:6; 66:3Nilighadhibika na tamaa yake ya dhambi;

nilimwadhibu, nikauficha uso wangu kwa hasira,

na bado aliendelea katika njia zake za tamaa.

1857:18 Kum 32:39; 2Nya 7:14; Isa 49:13; Za 48:14; Isa 42:16; 48:17Nimeziona njia zake, lakini nitamponya,

nitamwongoza na kumrudishia upya faraja,

1957:19 Isa 51:16; Ebr 13:15; Efe 2:17; Mdo 2:39; Lk 2:14; Isa 32:17; 26:3nikiumba sifa midomoni ya waombolezaji

katika Israeli.

Amani, amani, kwa wale walio mbali

na kwa wale walio karibu,”

asema Bwana. “Nami nitawaponya.”

2057:20 Ay 18:5-21; Mwa 49:4; Efe 4:14; Yud 13; Za 69:14Bali waovu ni kama bahari ichafukayo,

ambayo haiwezi kutulia,

mawimbi yake hutupa takataka na matope.

2157:21 Isa 26:3; Eze 13:16; Isa 59:8; 48:22Mungu wangu asema,

“Hakuna amani kwa waovu.”