ሆሴዕ 6 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

ሆሴዕ 6:1-11

የእስራኤል ንስሓ አለመግባት

1“ኑ፤ ወደ እግዚአብሔር እንመለስ፤

እርሱ ሰባብሮናል፤

እርሱም ይጠግነናል፤

እርሱ አቍስሎናል፤

እርሱም ይፈውሰናል።

2ከሁለት ቀን በኋላ ያነቃናል፤

በእርሱም ፊት እንድንኖር፣

በሦስተኛው ቀን ያስነሣናል።

3እግዚአብሔርን እንወቀው፤

የበለጠ እናውቀውም ዘንድ እንትጋ፤

እንደ ንጋት ብርሃን፣

በርግጥ ይገለጣል፤

ምድርን እንደሚያረሰርስ የበልግ ዝናብ፣

እንደ ክረምትም ዝናብ ወደ እኛ ይመጣል።”

4“ኤፍሬም ሆይ፤ ምን ላድርግህ?

ይሁዳ ሆይ፤ ምን ላድርግህ?

ፍቅራችሁ እንደ ማለዳ ጉም፣

እንደሚጠፋም የጧት ጤዛ ነው።

5ስለዚህ በነቢያቴ ቈራረጥኋችሁ፤

በአፌም ቃል ገደልኋችሁ፣

ፍርዴም እንደ መብረቅ በላያችሁ አበራ።

6ከመሥዋዕት ይልቅ ምሕረትን፣

ከሚቃጠልም መሥዋዕት ይልቅ እግዚአብሔርን ማወቅ እሻለሁና።

7እንደ አዳም6፥7 ወይም በአዳም እንደ ሆነው ወይም በሰዎች ቃል ኪዳንን ተላለፉ፤

በዚያም ለእኔ ታማኝ አልነበሩም።

8ገለዓድ በደም የተበከለች፣

የክፉዎች ሰዎች ከተማ ናት።

9ወንበዴዎች ሰውን ለማጥቃት እንደሚያደቡ፣

ካህናትም በቡድን እንዲሁ ያደርጋሉ፤

በሴኬም መንገድ ላይ ሰዎችን ይገድላሉ፤

አሳፋሪም ወንጀል ይፈጽማሉ።

10በእስራኤል ቤት የሚሰቀጥጥ ነገር አይቻለሁ፤

በዚያ ኤፍሬም ዘማዊ ሆነ፤

እስራኤልም ረከሰ።

11“ይሁዳ ሆይ፤ ለአንተም፣

መከር ተመድቦብሃል።

“ሕዝቤን ከምርኮ አገር በመለስሁ ጊዜ፣

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 6:1-11

Israeli Asiye Na Toba

16:1 Ay 16:9; Kum 32:39; Mao 3:11; Ay 5:18; Isa 10:20; 19:22; Hes 12:13; Yer 3:22; 30:17; Hos 14:4“Njooni, tumrudie Bwana.

Ameturarua vipande vipande

lakini atatuponya;

ametujeruhi lakini

atatufunga majeraha yetu.

26:2 Mit 2:1-9; Za 80:18; 30:5; Mt 16:21Baada ya siku mbili atatufufua;

katika siku ya tatu atatuinua,

ili tuweze kuishi mbele zake.

36:3 Ay 4:3; 29:23; Yoe 2:23; Hos 12:6; Za 72:6; Hos 11:10Tumkubali Bwana,

tukaze kumkubali yeye.

Kutokea kwake ni hakika kama vile

kuchomoza kwa jua;

atatujia kama mvua za masika,

kama vile mvua za vuli

ziinyweshavyo nchi.”

46:4 Hos 11:8; 7:1; 13:3“Nifanye nini nawe, Efraimu?

Nifanye nini nawe, Yuda?

Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi,

kama umande wa alfajiri utowekao.

56:5 Yer 5:14; 23:29; Ebr 4:12; Yer 1:9-10Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande

kwa kutumia manabii wangu;

nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu,

hukumu zangu zinawaka

kama umeme juu yenu.

66:6 1Sam 15:22; Mk 12:33; Yer 4:22; Hos 2:20; Mit 21:3; Mt 12:7; Za 40:6Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu,

kumkubali Mungu zaidi

kuliko sadaka za kuteketezwa.

76:7 Mwa 9:11; Yer 11:10; Hos 5:7; 8:1Wamevunja Agano kama Adamu:

huko hawakuwa waaminifu kwangu.

86:8 Hos 12:11Gileadi ni mji wenye watu waovu,

umetiwa madoa kwa nyayo za damu.

96:9 Yer 5:30-31; Eze 22:9; Za 10:8; Hos 4:2; Yer 7:9-10Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu,

ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo;

wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu,

wakifanya uhalifu wa aibu.

106:10 Yer 5:31; Eze 23:7; Yer 23:14; Hos 5:3Nimeona jambo la kutisha

katika nyumba ya Israeli.

Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba

na Israeli amenajisika.

116:11 Yoe 3:12-13; Yer 51:33“Pia kwa ajili yako, Yuda,

mavuno yameamriwa.

“Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,