1መልካም ስም ከብዙ ብልጽግና ይመረጣል፤
መከበርም ከብርና ከወርቅ ይበልጣል።
2ባለጠጋና ድኻ የሚጋሩት ነገር፣
እግዚአብሔር የሁላቸውም ፈጣሪ መሆኑ ነው።
3አስተዋይ ሰው አደጋ ሲያይ መጠጊያ ይሻል፤
ብስለት የጐደለው ግን በዚያው ይቀጥላል፤ መከራም ያገኘዋል።
4ትሕትናና እግዚአብሔርን መፍራት፣
ሀብትን፣ ክብርንና ሕይወትን ያስገኛል።
5በክፉዎች መንገድ ላይ እሾኽና ወጥመድ አለ፤
ነፍሱን የሚጠብቅ ግን ከእነዚህ ይርቃል።
6ልጅን የሚሄድበትን መንገድ አስተምረው፤22፥6 ወይም አስጀምረው
በሚሸመግልበት ጊዜ ከዚያ ፈቀቅ አይልም።
7ባለጠጋ ድኻን ይገዛል፤
ተበዳሪም የአበዳሪ ባሪያ ነው።
8ክፋትን የሚዘራ መከራን ያጭዳል፤
የቍጣውም በትር ይጠፋል።
9ቸር ሰው ራሱ ይባረካል፤
ምግቡን ከድኾች ጋር ይካፈላልና።
10ፌዘኛን አስወጣው፤ ጠብ ይወገዳል፤
ጥልና ስድብም ያከትማል።
11የልብ ንጽሕናን ለሚወድድና ንግግሩም ሞገስ ላለው ሰው፣
ንጉሥ ወዳጁ ይሆናል።
12የእግዚአብሔር ዐይኖች ዕውቀትን ይጠብቃሉ፤
የማይታመኑትን ሰዎች ቃል ግን እርሱ ከንቱ ያደርጋል።
13ሰነፍ፣ “አንበሳ ውጭ አለ፤
መንገድ ላይ እገደላለሁ” ይላል።
14የአመንዝራ ሴት አፍ ጥልቅ ጕድጓድ ነው፤
እግዚአብሔር የተቈጣውም ይገባበታል።
15ሞኝነት በሕፃን ልብ ታስሯል፤
የተግሣጽ በትር ግን ከእርሱ ያርቅለታል።
16ሀብቱን ለማካበት ድኻን የሚበድል፣
ለባለጠጋም ስጦታ የሚያቀርብ፣ ሁለቱም ይደኸያሉ።
የጠቢባን ምክር
17የጠቢባንን ቃል ልብ ብለህ ስማ፤
ልብህም ወደ ትምህርቴ ያዘንብል፤
18በልብህ ስትጠብቃቸው፣
ሁሉም በከንፈሮችህ ላይ የተዘጋጁ ሲሆኑ ደስ ይላልና።
19ስለዚህ እምነትህ በእግዚአብሔር ላይ እንዲሆን፣
ዛሬ አንተን ራስህን አስተምርሃለሁ።
20የምክርና የዕውቀት ቃል የሆኑ፣
መልካም ትምህርቶችን22፥20 ወይም ሠላሳ ትምህርቶችን አልጻፍሁልህምን?
21ለላከህ ተገቢውን መልስ ትሰጥ ዘንድ፣
እውነተኛና የታመኑ ቃሎችን እንዳስተምርህ አይደለምን?
22ድኾች በመሆናቸው ብቻ ድኾችን አትበዝብዛቸው፤
ችግረኛውንም በአደባባይ አታንገላታው፤
23እግዚአብሔር ይፋረድላቸዋልና፤
የሚቀሟቸውንም ይቀማቸዋል።
24ከግልፍተኛ ጋር ወዳጅ አትሁን፤
በቀላሉ ቱግ ከሚልም ሰው ጋር አትወዳጅ፤
25አለዚያ መንገዱን ትማራለህ፤
ራስህም ትጠመድበታለህ።
26በዋስትና ቃል እጅ አትምታ፤
ለብድር ተያዥ አትሁን፤
27የምትከፍለው ካጣህ፣
የምትተኛበት ዐልጋ ከሥርህ ይወሰድብሃል።
28የቀድሞ አባቶችህ ያስቀመጡትን፣
የጥንቱን የወሰን ምልክት አታፋልስ።
29በሙያው ሥልጡን የሆነውን ሰው አይተሃልን?
በነገሥታት ዘንድ ባለሟል ይሆናል፤
አልባሌ ሰዎችን አያገለግልም።
122:1 Mhu 7:1Heri kuchagua jina jema kuliko utajiri mwingi,
kuheshimiwa ni bora kuliko fedha au dhahabu.
222:2 Ay 31:15; Mt 5:45; Za 49:1-2Tajiri na maskini wanafanana kwa hili:
Bwana ni Muumba wao wote.
322:3 Mit 14:16; 27:12; Isa 26:20Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,
bali mjinga huendelea mbele kama kipofu nayo ikamtesa.
422:4 Mit 15:33; 10:27; Dan 4:36Unyenyekevu na kumcha Bwana
huleta utajiri, heshima na uzima.
522:5 Mit 15:19; 1Yn 5:18Katika mapito ya waovu kuna miiba na mitego,
bali yeye ailindaye nafsi yake hukaa mbali nayo.
622:6 Efe 6:4Mfundishe mtoto njia impasayo kuiendea,
naye hataiacha hata akiwa mzee.
722:7 Yak 2:6Matajiri huwatawala maskini
naye akopaye ni mtumwa wa akopeshaye.
822:8 Hos 10:13; 8:7; Kut 1:20; Gal 6:7-8; Za 125:3Yeye aupandaye uovu huvuna taabu,
nayo fimbo ya ghadhabu yake itaangamizwa.
922:9 Kum 14:29; 2Kor 9:6; Mit 11:25; 28:27Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa
kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini.
1022:10 Mit 26:20; Mwa 21:9, 10; Za 101:5Mfukuze mwenye dhihaka,
na mvutano utatoweka;
ugomvi na matukano vitakoma.
1122:11 Mit 16:13; Mt 5:8Yeye apendaye moyo safi na yeye ambaye maneno yake ni ya neema,
mfalme atakuwa rafiki yake.
12Macho ya Bwana hulinda maarifa,
bali huyapinga maneno ya asiye mwaminifu.
1322:13 Mit 26:13Mvivu husema, “Yuko simba nje!”
au, “Nitauawa katika mitaa!”
1422:14 Mit 6:12; Mhu 7:26Kinywa cha mwanamke kahaba ni shimo refu;
yeye aliye chini ya ghadhabu ya Bwana
atatumbukia ndani yake.
1522:15 Mit 13:24; 20:30Upumbavu umefungwa ndani ya moyo wa mtoto,
bali fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali naye.
1622:16 Ay 20:19-23; Amo 2:6-8; Isa 3:14-15; Yak 2:13Yeye amwoneaye maskini ili kujiongezea mali,
naye ampaye tajiri zawadi, wote huwa maskini.
Misemo Ya Wenye Hekima
1722:17 Mit 1:8; 1:6; 30:1; 31:1; 2:2Tega sikio na usikie misemo ya wenye hekima,
elekeza moyo wako kwenye yale nifundishayo,
18kwa maana inapendeza unapoyahifadhi moyoni mwako
na kuwa nayo yote tayari midomoni mwako.
19Ili tumaini lako liwe katika Bwana,
hata wewe, ninakufundisha leo.
2022:20 Mit 8:6Je, sijakuandikia misemo thelathini,
misemo ya mashauri na maarifa,
2122:21 1Pet 3:15; Mhu 12:10kukufundisha maneno ya kweli na ya kuaminika,
ili uweze kutoa majibu sahihi
kwake yeye aliyekutuma?
2222:22 Law 25:17; Zek 7:10; Kut 23:6; Mal 3:5Usiwadhulumu maskini kwa sababu ni maskini,
wala kumdhulumu mhitaji mahakamani,
2322:23 Ay 29:16; Za 12:5; 1Sam 25:39kwa sababu Bwana atalichukua shauri lao
naye atawateka wao waliowateka.
24Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira ya haraka,
usishirikiane na yule aliye mwepesi kukasirika,
2522:25 1Kor 15:33la sivyo utajifunza njia zake
na kujiingiza mwenyewe kwenye mtego.
2622:26 Kum 19:14; Mit 23:10Usiwe mwenye kupana mikono katika rehani,
au kuweka dhamana kwa ajili ya madeni.
2722:27 Mit 11:15; 17:18Kama ukikosa njia ya kulipa,
kitanda chako
kitachukuliwa ukiwa umekilalia.
2822:28 Kum 19:14Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani
lililowekwa na baba zako.
2922:29 1Fal 11:28; Mwa 41:46; Mhu 9:10Je, unamwona mtu stadi katika kazi yake?
Atahudumu mbele ya wafalme;
hatahudumu mbele ya watu duni.