1 Chronicles 25 – NIV & NEN

New International Version

1 Chronicles 25:1-31

The Musicians

1David, together with the commanders of the army, set apart some of the sons of Asaph, Heman and Jeduthun for the ministry of prophesying, accompanied by harps, lyres and cymbals. Here is the list of the men who performed this service:

2From the sons of Asaph:

Zakkur, Joseph, Nethaniah and Asarelah. The sons of Asaph were under the supervision of Asaph, who prophesied under the king’s supervision.

3As for Jeduthun, from his sons:

Gedaliah, Zeri, Jeshaiah, Shimei,25:3 One Hebrew manuscript and some Septuagint manuscripts (see also verse 17); most Hebrew manuscripts do not have Shimei. Hashabiah and Mattithiah, six in all, under the supervision of their father Jeduthun, who prophesied, using the harp in thanking and praising the Lord.

4As for Heman, from his sons:

Bukkiah, Mattaniah, Uzziel, Shubael and Jerimoth; Hananiah, Hanani, Eliathah, Giddalti and Romamti-Ezer; Joshbekashah, Mallothi, Hothir and Mahazioth. 5(All these were sons of Heman the king’s seer. They were given him through the promises of God to exalt him. God gave Heman fourteen sons and three daughters.)

6All these men were under the supervision of their father for the music of the temple of the Lord, with cymbals, lyres and harps, for the ministry at the house of God.

Asaph, Jeduthun and Heman were under the supervision of the king. 7Along with their relatives—all of them trained and skilled in music for the Lord—they numbered 288. 8Young and old alike, teacher as well as student, cast lots for their duties.

9The first lot, which was for Asaph, fell to Joseph, his sons and relatives25:9 See Septuagint; Hebrew does not have his sons and relatives. 1225:9 See the total in verse 7; Hebrew does not have twelve.the second to Gedaliah,him and his relatives and sons 1210the third to Zakkur,his sons and relatives 1211the fourth to Izri,25:11 A variant of Zeri his sons and relatives 1212the fifth to Nethaniah, his sons and relatives 1213the sixth to Bukkiah, his sons and relatives 1214the seventh to Jesarelah,25:14 A variant of Asarelah his sons and relatives 1215the eighth to Jeshaiah,his sons and relatives 1216the ninth to Mattaniah, his sons and relatives 1217the tenth to Shimei, his sons and relatives 1218the eleventh to Azarel,25:18 A variant of Uzziel his sons and relatives 1219the twelfth to Hashabiah,his sons and relatives 1220the thirteenth to Shubael,his sons and relatives 1221the fourteenth to Mattithiah,his sons and relatives 1222the fifteenth to Jerimoth,his sons and relatives 1223the sixteenth to Hananiah,his sons and relatives 1224the seventeenth to Joshbekashah,his sons and relatives 1225the eighteenth to Hanani,his sons and relatives 1226the nineteenth to Mallothi,his sons and relatives 1227the twentieth to Eliathah,his sons and relatives 1228the twenty-first to Hothir,his sons and relatives 1229the twenty-second to Giddalti,his sons and relatives 1230the twenty-third to Mahazioth,his sons and relatives 1231the twenty-fourth to Romamti-Ezer,his sons and relatives 12.

Kiswahili Contemporary Version

1 Nyakati 25:1-31

Waimbaji

125:1 1Nya 6:31-39; 16:41-42; Neh 11:17; 1Sam 10:5; Ezr 3:10; 2Nya 5:12; 1Nya 12:28; 23:2; 15:17; Kut 15:20; Hes 11:25; Za 150:3-5; 1Kor 14:1; Ufu 15:2-4Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:

2Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa:

Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.

325:3 Mwa 4:21; Za 33:2Wana wa Yeduthuni walikuwa sita:

Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.

4Wana wa Hemani walikuwa:

Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi. 525:5 1Sam 9:9; 2Sam 24:11; Amo 7:12; 1Pet 4:11; Isa 3:18; 1Nya 21:9; 26:28; Mwa 33:5; 1Sam 1:17; 1Nya 28:5; Za 127:3; 128:3Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.

625:6 1Nya 15:16-19; 2Nya 23:18; 29:25Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme. 725:7 Efe 5:19; Kol 3:16; Yak 5:13Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288. 825:8 2Nya 23:13; 1Nya 26:13Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.

925:9 1Nya 6:36-39; 25:31; Ufu 5:8; 1Nya 9:33Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 1210Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 1211ya nne ikamwangukia Isri,25:11 Isri jina lingine ni Seri. wanawe na jamaa zake, 1212ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 1213ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 1214ya saba ikamwangukia Yesarela,25:14 Yesarela jina lingine ni Asarela. wanawe na jamaa zake, 1215ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 1216ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 1217ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 1218ya kumi na moja ikamwangukia Azareli,25:18 Azareli jina lingine ni Uzieli. wanawe na jamaa zake, 1219ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 1220ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 1221ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 1222ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 1223Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 1224ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 1225ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 1226ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 1227ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 1228ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 1229ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 1230ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 123125:31 Ufu 4:4; 5:8; 11:6ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.