詩篇 49 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 49:1-20

49

1-2身分の高い者も低い者も、金持ちも貧しい人も、

世界中の人々に、私のことばに耳を傾けてほしい。

3この口から出ることばは、

人の心の奥まで見通すことができ、

知恵に満ちているのです。

4竪琴の伴奏に合わせ、

奥深い人生の問いに答えて歌いましょう。

5悩みが訪れ、敵に囲まれようと、

少しも恐れることはありません。

6彼らは金に信頼し、

財産を誇っています。

7しかし、王に負けないくらい裕福な彼らも、

兄弟の罪を帳消しにすることはできません。

罪の赦しは金では買えないのです。

8-9たましいはあまりにも高価なので、

この世の富をいくら積んでも買い戻せません。

世界中の金をかき集めても、

ただ一人分の永遠のいのちも買い与えられません。

地獄から救い出すことはできないのです。

10あなたがた金持ちも、傲慢な者も、賢い者も、

結局、同じように死ぬ運命にあります。

愚かで、無知な者たちより

長生きできるわけではありません。

しかも、わずかな金すら持って死ねはしないのです。

11あなたがたは、まるで

永久にその土地に住めるかのように、

自分の名をつけています。

12しかし、どんなに栄華をきわめた人間でも、

死ぬ時は動物とそう変わりません。

13全く、取るに足りない存在なのです。

それなのに、そういう人々は死後も、

非常に賢い人物として

引き合いに出されたりもします。

14死が全人類を飼い慣らしています。

異なる世界に目覚めたその朝、

邪悪な者たちは正しい人々の奴隷となるのです。

死んでしまえば、

金の力により頼むことはできなくなります。

金を持って死ぬことはできないのですから。

15しかし、神は私のたましいを

死の力から買い戻してくださいます。

私を迎え入れてくださるのです。

16ですから、悪者が金持ちになっても、

りっぱな邸宅を構えていても、

気を落とすことはありません。

17死ぬ時には、名誉はおろか、

何一つ持って行けないのですから。

18生きている間中、幸せ者だと自負し、

世間からも称賛されるような人でも、

19やがてはみなと同じように死に絶え、

永遠の闇に沈んでいくのです。

20どんなに華やかな生涯を送ろうと、

人は動物と変わりなく死を迎えるのです。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 49:1-20

Zaburi 49

Upumbavu Wa Kutegemea Mali

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

149:1 Isa 1:2; Za 33:8; 78:1Sikieni haya, enyi mataifa yote,

sikilizeni, ninyi wote mkaao dunia hii.

249:2 Za 62:9Wakubwa kwa wadogo,

matajiri na maskini pamoja:

349:3 Za 37:30; 119:130Kinywa changu kitasema maneno ya hekima,

usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.

449:4 Za 33:2; 78:2; 1Sam 16:16; Mit 1:6; Eze 12:22; 16:44; 18:2, 3; Hes 12:8; Lk 4:23Nitatega sikio langu nisikilize mithali,

nitafafanua kitendawili kwa zeze:

549:5 Za 23:4; 27:1Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja,

wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,

649:6 Yer 48:7; Za 10:3; 73:12; Ay 22:25; 36:19wale wanaotegemea mali zao

na kujivunia utajiri wao mwingi?

749:7 Mt 16:26Hakuna mwanadamu awaye yote

awezaye kuukomboa uhai wa mwingine,

au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.

849:8 Hes 35:31; Mt 16:26; Ay 36:18Fidia ya uhai ni gharama kubwa,

hakuna malipo yoyote yanayotosha,

949:9 Za 22:29; 89:48; 16:10; Ebr 9:27ili kwamba aishi milele

na asione uharibifu.

1049:10 Mhu 2:16, 18, 21; Za 92:6; 94:8; Ay 27:17; Lk 12:20Wote wanaona kwamba watu wenye hekima hufa;

wajinga na wapumbavu vivyo hivyo huangamia

na kuwaachia wengine mali zao.

1149:11 Mk 5:3; Lk 8:27; Za 106:31; Kum 3:14Makaburi yao yatabaki kuwa nyumba zao za milele,

makao yao vizazi vyote;

ingawa walikuwa na mashamba

na kuyaita kwa majina yao.

1249:12 Ay 14:2Lakini mwanadamu, licha ya utajiri wake, hadumu;

anafanana na mnyama aangamiaye.

1349:13 Lk 12:20Hii ndiyo hatima ya wale wanaojitumainia wenyewe,

pia ya wafuasi wao, waliothibitisha misemo yao.

1449:14 Yer 43:11; Isa 14:2; Hes 16:30; Eze 31:14; Mal 4:3; Ay 21:13; Ufu 2:26; 1Kor 6:2; Za 9:17; 55:15; Dan 7:18, 22; Lk 22:30; 2Tim 2:12Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini,49:14 Kaburini hapa ina maana ya Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.

nacho kifo kitawala.

Wanyofu watawatawala asubuhi,

maumbile yao yataozea kaburini,

mbali na majumba yao makubwa ya fahari.

1549:15 Za 56:13; Hos 13:14; Mwa 5:24Lakini Mungu atakomboa uhai49:15 Au: nafsi. wangu na kaburi,

hakika atanichukua kwake.

16Usitishwe mtu anapotajirika,

fahari ya nyumba yake inapoongezeka,

1749:17 1Tim 6:7; Za 17:14kwa maana hatachukua chochote atakapokufa,

fahari yake haitashuka pamoja naye.

1849:18 Za 10:6; Lk 12:19Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri,

na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,

1949:19 Mwa 15:15; Ay 33:30atajiunga na kizazi cha baba zake,

ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.

2049:20 Mit 16:16; Mhu 3:19-21Mwanadamu mwenye utajiri bila ufahamu

ni kama wanyama waangamiao.