マタイの福音書 5 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

マタイの福音書 5:1-48

5

山上の教え

1-2ある日、大ぜいの人が集まって来たので、イエスは弟子たちを連れて山に登り、そこに腰をおろして、彼らにお教えになりました。

3「心の貧しさを知る謙遜な人は幸いです。神の国はそういう人に与えられるからです。 4悲しみ嘆いている人は幸いです。そういう人は慰められるからです。 5柔和で高ぶらない人は幸いです。全世界はそういう人のものだからです。

6神の前に、正しく良い者になりたいと心から願っている人は幸いです。そういう人の願いは完全にかなえられるからです。 7親切であわれみ深い人は幸いです。そういう人はあわれみを受けるからです。 8心のきよい人は幸いです。そういう人は親しく神とお会いできるからです。 9平和をつくり出す人は幸いです。そういう人は神の子どもと呼ばれるからです。 10神の御心に従ったために迫害されている人は幸いです。神の国はそういう人のものだからです。

11わたしの弟子だというので、悪口を言われたり、迫害されたり、ありもしないことを言いふらされたりしたら、それはすばらしいことなのです。 12喜びなさい。躍り上がって喜びなさい。天の国では、大きな報いが待っているからです。昔の預言者たちも、そのようにして迫害されたことを思い出しなさい。

13あなたがたは地の塩です。もしあなたがたが塩けをなくしてしまったら、この世はどうなるでしょう。あなたがたも無用のものとして外に捨てられ、人々に踏みつけられてしまうのです。 14あなたがたは世の光です。丘の上にある町は夜になると灯がともり、だれにもよく見えるようになります。 15-16あなたがたの光を隠してはいけません。すべての人のために輝かせなさい。だれにも見えるように、あなたがたの良い行いを輝かせなさい。そうすれば、人々がそれを見て、天におられるあなたがたの父を、ほめたたえるようになるのです。

17誤解してはいけません。わたしは、モーセの律法や預言者の教え(旧約聖書)を無効にするために来たのではありません。かえって、それを完成させ、ことごとく実現させるために来たのです。 18よく言っておきますが、聖書にあるどんなおきても、その目的が完全に果たされるまで、無効になることはありません。 19ですから、どんな小さいおきてでも、破ったり、また人に破るように教えたりする人は、天の国で最も小さい者となります。しかし、神のおきてを教え、また自分でもそれを実行する人は、天の国で偉大な者となります。

20よく聞きなさい。パリサイ人や、ユダヤ人の指導者たちは、神のおきてを守っているのは自分たちだと言いはります。だが、彼ら以上に正しくなければ天国には入れません。

21あなたがたの教えでは、『人を殺した者は、死刑に処す』とあります。 22しかし、わたしはさらにこうつけ加えましょう。人に腹を立てるなら、たとえ相手が自分の家族であっても、裁判にかけられます。人をばか呼ばわりするなら、裁判所に引っぱり出されます。人をのろったりするなら、地獄の火に投げ込まれます。

23ですから、神殿の祭壇に供え物をささげようとしている時、人に恨まれていることを思い出したら、 24供え物はそのままにして、相手に会ってあやまり、仲直りをしなさい。神に供え物をささげるのはそのあとにしなさい。 25あなたを告訴する人と、一刻も早く和解しなさい。裁判所に引っぱって行かれてからでは間に合いません。そうなったら、あなたは留置場に放り込まれ、 26すべてを払い終えるまで、出て来られないでしょう。

27あなたがたの教えでは、『姦淫してはならない』とあります。 28しかし、だれでもみだらな思いで女性を見るなら、それだけでもう、心の中では姦淫したことになるのです。 29ですから、もしあなたの目が情欲を引き起こすなら、その目をえぐり出して捨てなさい。体の一部を失っても、体全体が地獄に投げ込まれるより、よっぽどましです。 30また、もしあなたの手が罪を犯させるなら、そんな手は切り捨てなさい。地獄に落ちるより、そのほうがどんなによいでしょう。

31また、あなたがたの教えでは、『離縁状を手渡すだけで、妻を離縁できる』とあります。 32しかし、わたしは言いましょう。だれでも、不倫以外の理由で妻を離縁するなら、その女性が再婚した場合、彼女にも、彼女と結婚する相手にも姦淫の罪を犯させることになるのです。

33さらにあなたがたの教えでは、『いったん神に立てた誓いは、破ってはならない。どんなことがあっても、みな実行しなければならない』とあります。 34しかし、わたしは言いましょう。どんな誓いも立ててはいけません。たとえ『天にかけて』と言っても、神に誓うのと同じです。天は神の王座だからです。 35『地にかけて』と言ってもいけません。地は神の足台だからです。また『エルサレムにかけて』と言って誓ってもいけません。エルサレムは偉大な王である神の都だからです。 36『私の頭にかけて』と言って誓ってもいけません。あなたがたは髪の毛一本さえ白くも黒くもできないからです。 37だから、『はい、そうします』か、『いいえ、そうしません』とだけ言いなさい。それで十分です。誓いを立てることで約束を信じてもらおうとするのは、悪いことです。

38あなたがたの教えでは、『人の目をえぐり出した者は、自分の目もえぐり出される。人の歯を折った者は、自分の歯も折られる』とあります。 39しかし、わたしはあえて言いましょう。暴力に暴力で手向かってはいけません。もし右の頰をなぐられたら、左の頰も向けてやりなさい。 40借金のかたに下着を取り上げようとする人には、上着もやりなさい。 41荷物を一キロ先まで運べと命令されたら、二キロ先まで運んであげなさい。 42『何か下さい』と頼む人には与え、借りに来た人を手ぶらで追い返さないようにしなさい。

43『隣人を愛し、敵を憎め』とは、よく言われることです。 44しかし、わたしは言います。敵を愛し、迫害する人のために祈りなさい。 45それこそ、天の父の子どもであるあなたがたに、ふさわしいことです。天の父は、悪人にも善人にも太陽の光を注ぎ、正しい人にも正しくない人にも分け隔てなく雨を降らせてくださいます。 46自分を愛してくれる人だけを愛したからといって、取り立てて自慢できるでしょうか。悪人でも、そのくらいのことはしています。 47気の合う友達とだけ親しくしたところで、ほかの人とどこが違うと言えるでしょう。神を信じなくても、そのくらいのことはだれでもします。 48ですから、あなたがたは、天の父が完全であるように完全でありなさい。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mathayo 5:1-48

Mahubiri Ya Yesu Kwenye Mlima

(Mathayo 5–7)

Sifa Za Aliyebarikiwa

(Luka 6:20-23)

15:1 Mk 3:13, 20; Lk 6:20-49Basi Yesu alipoona makutano, alipanda mlimani akaketi chini, nao wanafunzi wake wakamjia. 2Ndipo akaanza kuwafundisha, akisema:

35:3 Mt 5:10, 19; 25:34; Isa 57:15“Heri walio maskini wa roho,

maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.

45:4 Isa 61:2-3; Ufu 7:17Heri wale wanaohuzunika,

maana hao watafarijiwa.

55:5 Za 37:11; Rum 4:13Heri walio wapole,

maana hao watairithi nchi.

65:6 Isa 55:1-2Heri wenye njaa na kiu ya haki,

maana hao watatoshelezwa.

75:7 Yak 2:13; Za 41:1; Mt 6:14; Mk 11:24Heri wenye huruma,

maana hao watapata rehema.

85:8 Za 24:3-4; 73:1; 17:15; Ebr 12:14Heri walio na moyo safi,

maana hao watamwona Mungu.

95:9 Mt 5:44, 45; Rum 8:14Heri walio wapatanishi,

maana hao wataitwa wana wa Mungu.

105:10 1Pet 3:14Heri wanaoteswa kwa sababu ya haki,

maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.

115:11 Isa 51:7; 1Pet 4:14“Heri ninyi watu watakapowashutumu, na kuwatesa na kunena dhidi yenu mabaya ya aina zote kwa uongo kwa ajili yangu. 125:12 Za 9:2; 2Nya 36:16; 2Kor 6:10Furahini na kushangilia kwa maana thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa kuwa hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwa kabla yenu.

Chumvi Na Nuru

(Marko 9:50; Luka 14:34-35)

135:13 Mk 9:50; Lk 14:34-35“Ninyi ni chumvi ya ulimwengu. Lakini chumvi ikipoteza ladha yake, yawezaje kurudishiwa ladha yake tena? Haifai tena kwa kitu chochote, ila kutupwa nje ikanyagwe na watu.

145:14 Yn 8:12“Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani hauwezi kufichika. 155:15 Mk 4:21; Lk 11:33Wala watu hawawashi taa na kuifunika kwa bakuli. Badala yake, huiweka kwenye kinara chake, nayo hutoa mwanga kwa kila mtu aliyemo ndani ya ile nyumba. 165:16 Efe 5:8-9; 1Pet 2:12Vivyo hivyo, nuru yenu iangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mema wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.

Kutimiza Sheria

175:17 Rum 3:31; 10:4; Gal 1:24“Msidhani kwamba nimekuja kufuta Sheria au Manabii; sikuja kuondoa bali kutimiza. 185:18 Za 119:89; Mk 13:31Kwa maana, amin nawaambia, mpaka mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata herufi moja ndogo wala nukta itakayopotea kwa namna yoyote kutoka kwenye Sheria, mpaka kila kitu kiwe kimetimia. 195:19 Yak 2:10; 1Kor 15:9Kwa hiyo, yeyote atakayevunja mojawapo ya amri ndogo kuliko zote ya amri hizi, naye akawafundisha wengine kufanya hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni, lakini yeyote azitendaye na kuzifundisha hizi amri ataitwa mkuu katika Ufalme wa Mbinguni. 205:20 Rum 9:31; 10:3Kwa maana nawaambia, haki yenu isipozidi haki ya Mafarisayo na walimu wa sheria, kamwe hamtaingia katika Ufalme wa Mbinguni.

Kuhusu Hasira

(Luka 12:57-59)

215:21 Kut 21:12; 5:17; Law 24:17“Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’ 225:22 1Yn 3:22; Yn 11:47; Mdo 6:12; Lk 16:24; Yak 3:6Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote atakayemkasirikia ndugu yake, atapaswa hukumu. Tena, yeyote atakayemwambia ndugu yake, ‘Raka,’5:22 Raka ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni dharau au dhihaka ya hali ya juu. atapaswa kujibu kwa Baraza la Wayahudi.5:22 Baraza la Wayahudi lilikuwa kundi kuu kabisa la utawala wa Wayahudi lililoundwa na wazee 70 pamoja na kuhani mkuu. Lakini yeyote atakayesema ‘Wewe mpumbavu!’ atapaswa hukumu ya moto wa jehanamu.

235:23 Mt 8:4; 23:19; Mk 11:25“Kwa hiyo, kama unatoa sadaka yako madhabahuni, ukakumbuka kuwa ndugu yako ana kitu dhidi yako, 245:24 Ay 42:8; 18:19; 1Tim 2:8; 1Pet 3:7iache sadaka yako hapo mbele ya madhabahu. Enda kwanza ukapatane na ndugu yako; kisha urudi na ukatoe sadaka yako.

255:25 Mt 18:35; Lk 12:58-59“Patana na mshtaki wako upesi wakati uwapo njiani pamoja naye kwenda mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia mikononi mwa askari, nawe ukatupwa gerezani. 26Amin, nakuambia, hautatoka humo hadi uwe umelipa senti ya mwisho.

Kuhusu Uzinzi

275:27 Kut 20:14; Kum 5:18“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini.’ 285:28 Mit 6:25; 2Pet 2:14Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake. 295:29 Rum 14:21; 1Kor 8:13Jicho lako la kuume likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima ukatupwa jehanamu. 305:30 Mt 5:29Kama mkono wako wa kuume ukikusababisha kutenda dhambi, ukate, uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanamu.

Kuhusu Talaka

(Mathayo 19:9; Marko 10:11-12; Luka 16:18)

315:31 Kum 24:1-4“Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’ 325:32 Lk 16:18Lakini mimi nawaambia, yeyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa kosa la uasherati, amfanya mkewe kuwa mzinzi. Na yeyote amwoaye yule mwanamke aliyeachwa, anazini.

Kuhusu Kuapa

335:33 Law 19:12; Hes 30:2; Mt 23:16-22“Tena mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiape kwa uongo, bali timiza kiapo kile ulichofanya kwa Bwana.’ 345:34 Yak 5:12; Isa 66:1; Mt 23:22Lakini mimi nawaambia, msiape kabisa: iwe kwa mbingu, kwa kuwa ni kiti cha enzi cha Mungu; 355:35 Za 48:2au kwa dunia, kwa kuwa ndipo mahali pake pa kuwekea miguu; au kwa Yerusalemu, kwa kuwa ndio mji wa Mfalme Mkuu. 36Nanyi msiape kwa vichwa vyenu, kwa kuwa hamwezi kuufanya hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi. 375:37 Yak 5:12; Efe 6:16; 1Yn 3:12‘Ndiyo’ yenu iwe ‘Ndiyo,’ na ‘Hapana’ yenu iwe ‘Hapana.’ Lolote zaidi ya hili latoka kwa yule mwovu.

Kuhusu Kulipiza Kisasi

(Luka 6:29-30)

385:38 Law 24:20; Kum 19:21“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’ 395:39 1Kor 6:7; 1Pet 3:9Lakini mimi nawaambia, msishindane na mtu mwovu. Lakini kama mtu akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na la pili pia. 405:40 1Kor 6:7Kama mtu akitaka kukushtaki na kuchukua joho lako, mwachie achukue na koti pia. 415:41 Mt 27:32; Mk 15:21Kama mtu akikulazimisha kwenda maili moja, nenda naye maili mbili. 425:42 Kum 15:8; Lk 16:30Mpe yeye akuombaye, wala usimgeuzie kisogo yeye atakaye kukukopa.

Upendo Kwa Adui

(Luka 6:27-28, 32-36)

435:43 Law 19:18; Gal 5:14; Kum 23:6; Za 139:21-22“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Mpende jirani yako na umchukie adui yako.’ 445:44 Yn 15:20; Rum 8:35Lakini ninawaambia: Wapendeni adui zenu na waombeeni wanaowatesa ninyi, 455:45 Lk 6:35; Rum 8:14; Ay 25:3ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu waovu na watu wema, naye huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki. 465:46 Lk 6:32Kama mkiwapenda tu wale wanaowapenda, mtapata thawabu gani? Je, hata watoza ushuru hawafanyi hivyo? 47Nanyi kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mnafanya nini zaidi ya wengine? Je, hata watu wasiomjua Mungu, hawafanyi hivyo? 485:48 Law 19:2; 1Pet 1:16Kwa hiyo kuweni wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.