Psalmen 38 – HTB & NEN

Het Boek

Psalmen 38:1-22

1Van David; bij het herinneringsoffer. Jahweh, tuchtig mij niet in uw toorn, Kastijd mij niet in uw gramschap: 2Want uw pijlen hebben mij getroffen, Uw hand drukt zwaar op mij neer. 3Er is geen gezonde plek aan mijn vlees om uw toorn, Niets gaafs aan mijn gebeente om mijn zonden; 4Want mijn misdaden stapelen zich op mijn hoofd, En drukken mij neer als een loodzware last. 5Mijn wonden stinken en dragen Om mijn verdwazing; 6Ik ga gebukt en geknakt, Loop heel de dag maar treurend rond. 7Mijn lenden zijn aan alle kanten ontstoken, Geen gezonde plek aan mijn vlees; 8Ik ben uitgeput en gebroken, En snik het uit door het gekerm van mijn hart. 9Heer, al mijn jammeren is U bekend, Mijn zuchten voor U niet verborgen; 10Wild bonst mijn hart, de kracht ontzinkt mij, Zelfs het licht van mijn ogen is heen. 11Mijn vrienden en makkers keren zich af om mijn plagen, En mijn verwanten staan op een afstand te spotten; 12Die mijn leven belagen en mijn ongeluk zoeken, Bespreken mijn val, en belasteren mij de hele dag. 13Maar ik ben als een dove, die het niet hoort, Als een stomme, die zijn mond niet opent, 14Als een man, die niet luistert, En wiens mond geen antwoord meer weet. 15Neen, Jahweh, ik verlaat mij op U: Antwoord Gij, mijn Heer en mijn God; 16Want ik vrees, dat men zich vrolijk over mij maakt, Een grote mond tegen mij zet, nu mijn voeten wankelen. 17Ja, ieder ogenblik dreig ik te vallen, Mijn ellende staat mij steeds voor de geest; 18Want ik moet wel mijn misdaad bekennen, En bekommerd zijn over mijn schuld. 19En machtig zijn ook, die zonder reden mijn vijanden zijn, Talrijk, die mij onverdiend haten, 20Die goed vergelden met kwaad, Mij ondanks mijn beste bedoeling bestrijden. 21Jahweh, verlaat mij dus niet; Mijn God, blijf niet verre van mij! 22Kom mij spoedig te hulp, Mijn Heer en mijn Heil!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 38:1-22

Zaburi 38

Maombi Ya Mtu Anayeteseka

Zaburi ya Daudi. Maombi.

138:1 Za 6:1Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,

wala kuniadhibu katika ghadhabu yako.

238:2 Ay 6:4Kwa kuwa mishale yako imenichoma,

na mkono wako umenishukia.

338:3 Mit 3:8; 4:22; Ay 33:19Hakuna afya mwilini mwangu

kwa sababu ya ghadhabu yako,

mifupa yangu haina uzima

kwa sababu ya dhambi zangu.

438:4 Za 40:12; 65:3; Hes 11:14; Ezr 9:6; Lk 11:46Maovu yangu yamenifunika

kama mzigo usiochukulika.

538:5 Za 147:3; Ay 19:17; Za 69:5; Mit 5:23; 12:23; 13:16; Mhu 10:3Majeraha yangu yameoza na yananuka,

kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.

638:6 Za 57:6; 145:14; 146:8; 35:14Nimeinamishwa chini na kushushwa sana,

mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.

738:7 Ay 14:22; 7:5Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,

hakuna afya mwilini mwangu.

838:8 Za 6:3, 6; 22:1; 34:18; Mit 17:22; 5:11Nimedhoofika na kupondwa kabisa,

nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.

938:9 Za 119:20; 143:7; Ay 3:24Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku

yako wazi mbele zako,

kutamani kwangu sana

hakufichiki mbele zako.

1038:10 Ay 37:1; Za 6:7; 31:10; 19:8; 88:9Moyo wangu unapigapiga,

nguvu zangu zimeniishia;

hata macho yangu yametiwa giza.

1138:11 Za 38:5; Lk 10:31Rafiki na wenzangu wananikwepa

kwa sababu ya majeraha yangu;

majirani zangu wanakaa mbali nami.

1238:12 Za 35:4, 20; 140:5; 31:4; 141:9; 41:5Wale wanaotafuta uhai wangu

wanatega mitego yao,

wale ambao wangetaka kunidhuru

huongea juu ya maangamizi yangu;

hufanya shauri la hila mchana kutwa.

1338:13 Za 115:6; 135:17; Isa 43:8; Mk 7:37Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia,

ni kama bubu, asiyeweza kufungua kinywa chake,

14nimekuwa kama mtu asiyesikia,

ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.

1538:15 Za 27:14; 17:6; Yer 14:8Ee Bwana, ninakungojea wewe,

Ee Bwana Mungu wangu, utajibu.

1638:16 Za 22:17; Kum 32:35Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie,

wala wasijitukuze juu yangu

mguu wangu unapoteleza.”

1738:17 Za 37:24; 38:7; Ay 6:10Kwa maana ninakaribia kuanguka,

na maumivu yangu yananiandama siku zote.

1838:18 Law 26:40; Ay 31:33; Za 32:5; Mit 28:13; 2Kor 7:9Naungama uovu wangu,

ninataabishwa na dhambi yangu.

1938:19 Za 18:17; 25:19; 35:19Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari,

wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.

2038:20 Mwa 44:4; Yn 3:12; 1Pet 3:13; Za 54:5; 59:10; 119:23; 1Yn 3:12Wanaolipa maovu kwa wema wangu

hunisingizia ninapofuata lililo jema.

2138:21 Za 22:1, 11; 27:9; 71:18; 119:8; 10:1; 35:22; 71:12Ee Bwana, usiniache,

usiwe mbali nami, Ee Mungu wangu.

2238:22 Za 22:19; 40:13; 1Nya 16:35; Kut 15:2; Isa 12:2Ee Bwana Mwokozi wangu,

uje upesi kunisaidia.