1 इतिहास 2 – HCV & NEN

Hindi Contemporary Version

1 इतिहास 2:1-55

इस्राएल के पुत्र

1इस्राएल के पुत्रों के नाम ये है: रियूबेन, शिमओन, लेवी, यहूदाह, इस्साखार, ज़ेबुलून, 2दान, योसेफ़, बिन्यामिन, नफताली, गाद और आशेर.

यहूदाह गोत्र

हेज़रोन के पुत्र तक

3यहूदाह के पुत्र:

एर, ओनान और शेलाह. ये तीनों कनानी शुआ की पुत्री से पैदा हुए थे.

(एर, यहूदाह का पहलौठा याहवेह की दृष्टि में दुष्ट था; इसलिये याहवेह ने उसके प्राण ले लिए.)

4यहूदाह की पुत्र-वधू तामार से उन्हें पेरेज़ और ज़ेराह पैदा हुए.

यहूदाह गोत्र पांच पुत्र थे.

5पेरेज़ के पुत्र:

हेज़रोन और हामुल.

6ज़ेराह के पुत्र:

ज़िमरी, एथन, हेमान, कालकोल और दारा2:6 दारा कुछ मूल प्रतियों में दारदा, कुल पांच पुत्र.

7कारमी के पुत्र:

आखान, अर्थात् इस्राएल की विपदा, जिसने भेंट किए हुए सामान को लेकर आज्ञा तोड़ी थी;

8एथन का पुत्र:

अज़रियाह.

9हेज़रोन के पुत्र, जो उसे पैदा हुए:

येराहमील, राम और क़ेलब.

हेज़रोन के पुत्र राम से लेकर

10राम पिता था अम्मीनादाब का

और अम्मीनादाब नाहशोन का, जो यहूदाह के पुत्रों का नायक हुआ;

11नाहशोन पिता था सालमा का,

सालमा बोअज़ का,

12बोअज़ ओबेद का,

ओबेद, यिशै का.

13येस्सी का पहलौठा था

एलियाब, दूसरा अबीनादाब,

तीसरा शिमिया, 14चौथा नेथानेल,

पांचवा रद्दाई, 15छठवां ओज़ेम

और सातवां दावीद.

16उनकी बहनें थी, ज़ेरुइयाह और अबीगइल.

ज़ेरुइयाह के तीन पुत्र थे अबीशाई, योआब और आसाहेल.

17अबीगइल ने अमासा को जन्म दिया. जिसका पिता था इशमाएली मूल का येथेर.

हेज़रोन के पुत्र कालेब

18हेज़रोन के पुत्र कालेब को उसकी पत्नी अत्सूबा और येरिओथ से ये पुत्र पैदा हुए:

येशर, शोबाब और अर्दोन.

19जब अत्सूबा की मृत्यु हुई, कालेब ने एफ़राथा से विवाह कर लिया, जिसने हूर को जन्म दिया.

20हूर उरी का पिता हुआ और उरी बसलेल का.

21इसके बाद में हेज़रोन ने माखीर की पुत्री से संबंध बनाया, माखीर गिलआद का पिता था. उसने साठ वर्ष की उम्र में उससे विवाह किया और उससे सेगूब का जन्म हुआ.

22सेगूब याईर का पिता हुआ, जो गिलआद में तेईस नगरों का स्वामी था.

23(किंतु गेशूर और अराम ने हव्वोथ-याईर, केनाथ और इन क्षेत्रों के साठ गांव इनसे छीन लिए.)

ये सभी गिलआद के पिता माखीर के वंश के थे.

24कालेब-एफ़राथा में हेज़रोन की मृत्यु के बाद हेस्रोन की पत्नी अबीयाह ने अशहूर को जन्म दिया, जो तकोआ का पिता था.

हेज़रोन के पुत्र येराहमील

25हेज़रोन के पहलौठे येराहमील के पुत्र थे:

पहलौठा राम, इसके बाद बूना, औरेन, ओज़ेम और अहीयाह. 26येराहमील की एक अन्य पत्नी भी थी, जिसका नाम था अटाराह; जो ओनम की माता थी.

27येराहमील के पहलौठे राम के पुत्र:

माअज़, यामिन और एकर.

28ओनम के पुत्र:

शम्माई और यादा.

शम्माई के पुत्र:

नादाब और अबीशूर. 29अबीशूर की पत्नी का नाम था अबीहाइल, जिससे आहबान और मोलिद का जन्म हुआ.

30नादाब के पुत्र:

सेलेद और अप्पाईम. सेलेद निःसंतान ही मर गया.

31अप्पाईम का पुत्र:

इशी था, इशी का शेशान, शेशान का अहलाई.

32शम्माई के भाई यादा के पुत्र:

येथेर और योनातन थे. येथेर निःसंतान ही चल बसा.

33योनातन के पुत्र थे:

पेलेथ और ज़ाज़ा.

ये थे येराहमील के वंशज.

34शेशान के कोई पुत्र न हुआ, उसके सिर्फ पुत्रियां ही पैदा हुईं.

शेशान का यारहा नामक एक मिस्री दास था. 35शेशान ने अपनी पुत्री का विवाह अपने इसी दास से कर दिया. जिससे अत्तई का जन्म हुआ.

36अत्तई नाथान का पिता था,

नाथान ज़ाबाद का,

37ज़ाबाद एफलाल का,

एफलाल ओबेद का पिता था.

38ओबेद येहू का,

और येहू अज़रियाह का.

39अज़रियाह हेलेस का,

और हेलेस एलासाह का.

40एलासाह सिसमाई का,

और सिसमाई शल्लूम का.

41शल्लूम येकामियाह का,

और येकामियाह एलीशामा का.

कालेब के वंश

42येराहमील के भाई कालेब के पुत्र:

उसका पहलौठा मेषा, जो ज़ीफ़ का पिता था,

और दूसरा मारेशाह हेब्रोन का.

43हेब्रोन के पुत्र:

कोराह, तप्पूआह, रेकेम और शेमा.

44रेहाम का पिता था शेमा,

जो योरकिअम का पिता था,

और रेकेम शम्माई का पिता था.

45शम्माई का पुत्र था माओन;

माओन बेथ-त्सूर का पिता था.

46कालेब की उप-पत्नी एफाह ने,

हारान, मोत्सा और गज्ज़ा को जन्म दिया,

और हारान गज्ज़ा का पिता हुआ.

47याहदाई के पुत्र:

रेगेम, योथाम, गेशन, पेलेत, एफाह और शाफ़.

48कालेब की उप-पत्नी माकाह ने,

शेबर और तिरहाना को जन्म दिया.

49उसने शाफ़ को भी जन्म दिया, जो मदमन्‍नाह का पिता था

और शेवा को भी, जो मकबेनाह और गिबिया का पिता था.

कालेब की पुत्री का नाम अक्सा था.

50ये सभी कालेब के वंश के थे.

एफ़राथाह के पहलौठे हूर के पुत्र:

किरयथ-यआरीम का पिता शोबल, 51बेथलेहेम का पिता सालमा और बेथ-गादर का पिता हारेफ़

52किरयथ-यआरीम के पिता शोबल के अन्य पुत्र भी थे हारोएह:

मेनुहोथ नगरवासियों का आधा भाग, 53और किरयथ-यआरीम नगर के परिवार: इथरी, पुथी, शुमार्था और मिशराई. इन्हीं से सोराही और एशताओली वंश के लोग पैदा हुए.

54सालमा के पुत्र:

बेथलेहेम, नेतोफ़ाथी, अतारोथ-बेथ-योआब और आधे सोरि मानाहाथी, 55याबेज़ नगरवासी शास्त्रियों के वंशज: तीराही, शिमियाथी और सुकाथी. ये केनी जाति के वे लोग हैं, जो हम्माथ से आए थे, जो रेखाब वंश का मूल था.

Kiswahili Contemporary Version

1 Nyakati 2:1-55

Wana Wa Israeli

12:1 Mwa 32:28; 35:10; Kut 32:13; Hes 1:5-15; 13:4-15; Mwa 29:32; 1Fal 18:31Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:

Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni, 2Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.

Yuda

Hadi Wana Wa Hesroni

32:3 Mwa 29:35; 38:2; Hes 26:19Wana wa Yuda walikuwa:

Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa Bwana, kwa hiyo Bwana alimuua. 42:4 Mwa 38:11-30; 11:31; 38:29Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.

52:5 Mwa 46:12; Hes 26:21; Rut 4:18Wana wa Peresi walikuwa:

Hesroni na Hamuli.

62:6 1Fal 4:31Wana wa Zera walikuwa:

Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.

72:7 Yos 7:1; 6:18; 1Nya 4:1Mwana wa Karmi alikuwa:

Akari,2:7 Akari maana yake Taabisha; pia anaitwa Akani (Yos 6:1-26; 22:20). ambaye alileta taabu kwa Waisraeli kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu vilivyokuwa vimewekwa wakfu.

8Mwana wa Ethani alikuwa:

Azariya.

92:9 Hes 26:21Wana wa Hesroni walikuwa:

Yerameeli, Ramu na Kalebu.

Kuanzia Ramu Mwana Wa Hesroni

102:10 Lk 3:32-33; Kut 6:23; Hes 1:7; Rut 4:19Ramu alimzaa

Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda. 11Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi, 122:12 Rut 2:1; 4:17Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

132:13 Rut 4:17; Isa 16:6Yese akawazaa

Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,2:13 Au: Shima, maana yake Sifa njema (pia 1Sam 16:9; 17:13). 14wa nne Nethaneli, wa tano Radai, 15wa sita Osemu, na wa saba Daudi. 162:16 1Sam 26:6; 2Sam 2:18; 2:13Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli. 172:17 2Sam 17:25Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.

Kalebu Mwana Wa Hesroni

18Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni. 192:19 1Nya 2:42, 50Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri. 202:20 Kut 32:2; 35:30; 2Nya 1:5Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.

212:21 Hes 21:1Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu. 22Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi. 232:23 Hes 32:41; 32:42; Yos 13:30; Kum 3:14(Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.

242:24 1Nya 4:5; 2Nya 11:6; 20:20; 2Sam 14:2; Neh 3:5; Yer 6:1Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.

Yerameeli Mwana Wa Hesroni

25Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa:

Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya. 26Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.

27Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa:

Maasi, Yamini na Ekeri.

28Wana wa Onamu walikuwa:

Shamai na Yada.

Wana wa Shamai walikuwa:

Nadabu na Abishuri.

29Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.

30Wana wa Nadabu walikuwa

Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.

31Apaimu akamzaa:

Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani.

Sheshani akamzaa Alai.

32Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa:

Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.

33Wana wa Yonathani walikuwa:

Pelethi na Zaza.

Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.

34Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu.

Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha. 35Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.

362:36 1Nya 11:41Atai akamzaa Nathani,

Nathani akamzaa Zabadi,

37Zabadi akamzaa Eflali,

Eflali akamzaa Obedi,

38Obedi akamzaa Yehu,

Yehu akamzaa Azaria,

39Azaria akamzaa Helesi,

Helesi akamzaa Eleasa,

40Eleasa akamzaa Sismai,

Sismai akamzaa Shalumu,

41Shalumu akamzaa Yekamia,

naye Yekamia akamzaa Elishama.

Koo Za Kalebu

42Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa:

Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni.

43Hebroni alikuwa na wana wanne:

Kora, Tapua, Rekemu na Shema. 44Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai. 452:45 Yos 15:55; 15:58Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.

46Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.

47Wana wa Yadai walikuwa:

Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.

48Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana. 492:49 Yos 15:31; 15:16Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa. 502:50 1Nya 4:4; 2:19Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu.

Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa:

Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu, 51Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.

52Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa:

Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi, 532:53 2Sam 23:38pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.

542:54 Ezr 2:22; Neh 12:28Wazao wa Salma walikuwa:

Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori, 552:55 Mwa 15:19; Amu 1:16; Yos 19:35; 2Fal 10:15, 23; Yer 35:2-19; Amu 4:11; Hes 24:21-22pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.