नेहेमियाह 10 – HCV & NEN

Hindi Contemporary Version

नेहेमियाह 10:1-39

1इस वाचा पर मुहर लगानेवालों के नाम इस प्रकार है:

हाकालियाह के पुत्र राज्यपाल नेहेमियाह.

और सीदकियाहू, 2सेराइयाह, अज़रियाह, येरेमियाह,

3पशहूर, अमरियाह, मालखियाह,

4हत्तुष, शेबानियाह, मल्‍लूख,

5हारिम, मेरेमोथ, ओबदिया,

6दानिएल, गिन्‍नेथौन, बारूख,

7मेशुल्लाम, अबीयाह, मियामिन,

8माजियाह, बिलगाइ, शेमायाह.

यह सभी पुरोहित थे.

9लेवी:

ये थे अज़ानिया का पुत्र येशुआ, बिन्‍नूइ जो हेनादाद के वंशजों से था, कदमिएल;

10उनके भाई थे शेबानियाह,

होदियाह, केलिता, पेलाइयाह, हानन,

11मीका, रेहोब, हशाबियाह,

12ज़क्‍कूर, शेरेबियाह, शेबानियाह,

13होदियाह, बानी, बेनिनू.

14लोगों के नायक इस प्रकार थे:

पारोश, पाहाथ-मोआब, एलाम, ज़त्तू, बानी,

15बुन्‍नी, अजगाद, बेबाइ,

16अदोनियाह, बिगवाई, आदिन,

17अतेर, हिज़किय्याह, अज्ज़ूर,

18होदियाह, हाषूम, बेज़ाइ,

19हरिफ, अनाथोथ, नेबाय,

20मगफ़ीआष, मेशुल्लाम, हेज़ीर,

21मेशेजाबेल, सादोक, यद्दुआ,

22पेलातियाह, हानन, अनाइयाह,

23होशिया, हननियाह, हस्षूब,

24हल्लेहेष, पिल्हा, शोबेक,

25रेहुम, हशाबनाह, मआसेइयाह,

26अहीयाह, हानन, अनान,

27मल्‍लूख, हारिम और बाअनाह.

28इसके बाद बचे हुए लोग, पुरोहित, लेवी, द्वारपाल, गायक, मंदिर के सेवक और वे सभी, जिन्होंने खुद को परमेश्वर की व्यवस्था के लिए देश-देश के लोगों से अलग कर रखा था, उनकी पत्नियां, उनके पुत्र-पुत्रियां; और वे सभी, जिनमें ज्ञान और समझ थी, 29अपने संबंधियों और उनके रईसों के साथ मिल गए. इन्होंने अपने आप पर एक शाप ले लिया और उन्होंने याहवेह की व्यवस्था के पालन करने की शपथ ली, वह व्यवस्था, जो परमेश्वर के सेवक मोशेह द्वारा दी गयी थी; सभी ने प्रण किया, कि वे परमेश्वर, हमारे प्रभु याहवेह की सभी आज्ञाओं, नियमों और विधियों का पालन करने में चौकसी करेंगे.

30उन्होंने यह शपथ भी ली, कि वे अपनी पुत्रियों का विवाह इस देश के निवासियों से न होने देंगे और न अपने पुत्रों के लिए उनकी पुत्रियों को लाएंगे.

31उस स्थिति में, जब उस देश के निवासी किसी शब्बाथ पर या किसी अलग किए हुए प्रभु के शब्बाथ पर बेचने के लिए अपना कुछ सामान या अनाज लेकर आएं, हम शब्बाथ पर या ऐसे अलग किए हुए दिन पर हम उनसे इसको नहीं खरीदेंगे. हम हर सातवें साल न तो खेती करेंगे और न उधार में दिए हुए पैसे को वापस लेने की कोशिश करेंगे.

32हमने खुद अपने ऊपर यह जवाबदारी भी ले ली कि हम हर साल एक तिहाई शेकेल का दान दिया करेंगे, कि यह परमेश्वर के भवन में सेवा के लिए इस्तेमाल किया जाए; 33पवित्र रोटी के लिए, नित्य अन्‍नबलि के लिए, नित्य होमबलि के लिए, शब्बाथों के लिए, नए चांद के लिए, ठहराए गए अवसरों के लिए, अलग की गई वस्तुओं के लिए, और पापबलि के लिए, कि उनके द्वारा इस्राएल के लिए प्रायश्चित किया जा सके और हमारे परमेश्वर के भवन के सारे कामों में यह योगदान दे सकें.

34इसके अलावा हमने पुरोहितों, लेवियों और लोगों के बीच लकड़ी की भेंट के लिए चिट्ठी डाली, कि वे इसे हर साल अपने-अपने पितरों के अनुसार इस सभी अवसरों पर हमारे परमेश्वर के भवन में ले आएं कि याहवेह हमारे परमेश्वर की वेदी पर आग जलाई जा सके, जैसा कि व्यवस्था का आदेश है.

35कि वे इस भूमि की पहली उपज को, हर एक पेड़ के पहले फल को हर साल याहवेह के भवन में ले आया करें.

36कि वे हमारी संतान के, अपने पशुओं के, अपनी भेड़-बकरियों के पहलौठों को, लिखी गई विधि के अनुसार हमारे परमेश्वर के भवन में सेवा कर रहे पुरोहितों के सामने हमारे परमेश्वर के भवन में ले आएं.

37हम खुद भी अपने गूंधे हुए आटे का पहला भाग, अपने दान, हर एक पेड़ का फल, नई दाखमधु का और तेल का पहला भाग हमारे परमेश्वर के भवन के कमरों में नित्य पुरोहितों के सामने ले आएंगे और अपनी भूमि की उपज का दसवां भाग लेवियों के सामने, क्योंकि लेवी ही सभी नगरों में दसवें अंश के अधिकारी हैं. 38अहरोन के वंश का कोई पुरोहित उस अवसर पर लेवी के साथ रहेगा, जब लेवी दसवां भाग इकट्ठा करते हैं. तब लेवी हमारे परमेश्वर के भवन में आए दसवें भाग का दसवां भाग लेकर जाएगा, यानी भंडार घर के कमरों में. 39इस्राएल वंशज और लेवी वंशज अनाज के दान, नई दाखमधु और तेल उन कमरों में ले आएंगे. वहां पवित्र स्थान में इस्तेमाल के लिए ठहराए गए बर्तन रखे होंगे और वहां सेवा कर रहे पुरोहित, द्वारपाल और गायक ठहराए हुए रहते हैं.

इस प्रकार हम हमारे परमेश्वर के भवन को अकेला न छोड़ेंगे.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nehemia 10:1-39

110:1 Neh 8:9; 1:1Wale waliotia muhuri walikuwa:

Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia.

Sedekia, 210:2 Ezr 2:2Seraya, Azaria, Yeremia,

310:3 1Nya 9:12Pashuri, Amaria, Malkiya,

4Hatushi, Shebania, Maluki,

510:5 1Nya 24:8Harimu, Meremothi, Obadia,

6Danieli, Ginethoni, Baruku,

7Meshulamu, Abiya, Miyamini,

810:8 Neh 12:1Maazia, Bilgai na Shemaya.

Hawa ndio waliokuwa makuhani.

910:9 Neh 12:8Walawi:

Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,

10na wenzao: Shebania,

Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,

11Mika, Rehobu, Hashabia,

12Zakuri, Sherebia, Shebania,

13Hodia, Bani na Beninu.

14Viongozi wa watu:

Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,

15Buni, Azgadi, Bebai,

1610:16 Ezr 8:6Adoniya, Bigwai, Adini,

17Ateri, Hezekia, Azuri,

18Hodia, Hashumu, Besai,

19Harifu, Anathothi, Nebai,

2010:20 1Nya 24:15Magpiashi, Meshulamu, Heziri,

21Meshezabeli, Sadoki, Yadua,

22Pelatia, Hanani, Anaya,

23Hoshea, Hanania, Hashubu,

24Haloheshi, Pilha, Shobeki,

25Rehumu, Hashabna, Maaseya,

26Ahiya, Hanani, Anani,

27Maluki, Harimu na Baana.

2810:28 Za 135:1; 1Nya 6:26; Neh 9:2; 13:3“Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu,10:28 Yaani Wanethini. na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu, 2910:29 Hes 5:21; Neh 5:12; Kum 29:12basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.

3010:30 Kut 34:16; Kum 7:3; Mwa 6:2“Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.

3110:31 Eze 23:38; Amo 8:5; Neh 8:5; 13:15; Kut 23:11; Kum 15:1; Law 25:1-7“Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.

3210:32 Mwa 28:22“Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli10:32 Theluthi ya shekeli hapa kama gramu 4. kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu: 3310:33 Law 24:5-6; Hes 10:10; Za 81:3; 2Nya 24:5Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.

3410:34 Neh 13:31; Law 6:12; 16:8“Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.

3510:35 Kut 23:19; Hes 18:12; Kum 26:2“Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.

3610:36 Kut 13:2-12; Hes 18:14-16; Law 27:26-27“Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.

3710:37 Law 23:17; Hes 15:19; Law 27:30; Hes 18:21; Kum 14:22-29“Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi. 3810:38 Hes 18:26; 2Nya 31:11Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina. 3910:39 Neh 13:10-12; Kum 12:6; Mt 18:20Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji.

“Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”