उद्बोधक 8 – HCV & NEN

Hindi Contemporary Version

उद्बोधक 8:1-17

1कौन बुद्धिमान के समान है?

किसे इस बात का मतलब मालूम है?

बुद्धि से बुद्धिमान का चेहरा चमक जाता है.

राजाओं की आज्ञा का पालन

2दार्शनिक कहता है, परमेश्वर के सामने ली गई शपथ के कारण राजा की आज्ञा का पालन करो. 3उनके सामने से जाने में जल्दबाजी न करना और बुरी बातों पर हठ न करना, क्योंकि राजा वही करेंगे जो उनकी नज़रों में सही होगा. 4राजा की बातों में तो अधिकार होता है, उन्हें कौन कहेगा, “आप क्या कर रहे हैं?”

5जो व्यक्ति आज्ञा का पालन करता है, बुरा उसका भी न होगा,

क्योंकि बुद्धिमान हृदय को सही समय और सही तरीका मालूम होता है.

6क्योंकि हर एक खुशी के लिए सही समय और तरीका होता है,

फिर भी एक व्यक्ति पर भारी संकट आ ही जाता है.

7अगर किसी व्यक्ति को यह ही मालूम नहीं है कि क्या होगा,

तो कौन उसे बता सकता है कि क्या होगा?

8वायु को रोकने का अधिकार किसके पास है?

और मृत्यु के दिन पर अधिकार कौन रखता है?

युद्ध के समय छुट्टी नहीं होती,

और जो बुराई करते हैं वे इसके प्रभाव से कैसे बचेंगे.

9यह सब देख मैंने अपने हृदय को सूरज के नीचे किए जा रहे हर एक काम पर लगाया जब एक मनुष्य दूसरे मनुष्य की बुराई के लिए उसके अधिकार का इस्तेमाल करता है. 10सो मैंने दुष्टों को गाड़े जाते देखा. वे पवित्र स्थान में आते जाते थे. किंतु जहां वे ऐसा करते थे जल्द ही उस नगर ने उन्हें भुला दिया. यह भी बेकार ही है.

11बुरे काम के दंड की आज्ञा जल्दबाजी में नहीं दी जाती, इसलिये मनुष्य का हृदय बुराई करने में हमेशा लगा रहता है, 12चाहे पापी हज़ार बार बुरा करें और अपने जीवन को बढ़ाते रहें, मगर मुझे मालूम है कि जिनमें परमेश्वर के लिए श्रद्धा और भय की भावना है उनका भला ही होगा, क्योंकि उनमें परमेश्वर के प्रति श्रद्धा और भय की भावना हैं. 13मगर दुष्ट के साथ अच्छा न होगा और न ही वह परछाई के समान अपने सारे जीवन को बड़ा कर सकेगा, क्योंकि उसमें परमेश्वर के लिए श्रद्धा और भय की भावना नहीं है.

14पृथ्वी पर एक और बात बेकार होती है: धर्मियों के साथ दुष्टों द्वारा किए गए कामों के अनुसार घटता है और दुष्टों के साथ धर्मियों द्वारा किए गए कामों के अनुसार. मैंने कहा कि यह भी बेकार ही है. 15सो मैं आनंद की तारीफ़ करता हूं, सूरज के नीचे मनुष्य के लिए इससे अच्छा कुछ नहीं है कि वह खाए-पिए और खुश रहे क्योंकि सूरज के नीचे परमेश्वर द्वारा दिए गए उसके जीवन भर में उसकी मेहनत के साथ यह हमेशा रहेगा.

16जब मैंने अपने हृदय को बुद्धि के और पृथ्वी पर के कामों के बारे में मालूम करने के लिए लगाया (हालांकि एक व्यक्ति को दिन और रात नहीं सोना चाहिए). 17और मैंने परमेश्वर के हर एक काम को देखा, तब मुझे मालूम हुआ कि सूरज के नीचे किया जा रहा हर एक काम मनुष्य नहीं समझ सकता. जबकि मनुष्य बहुत मेहनत करे फिर भी उसे यह मालूम न होगा और चाहे बुद्धिमान का यह कहना हो कि, मुझे मालूम है, फिर भी वह इसे मालूम नहीं कर सकता.

Kiswahili Contemporary Version

Mhubiri 8:1-17

1Ni nani aliye kama mtu mwenye hekima?

Ni nani ajuaye maelezo ya mambo?

Hekima hungʼarisha uso wa mtu na kubadili ugumu wa uso wake.

Mtii Mfalme

2Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu. 38:3 Rum 13:5; Mhu 10:4Usiharakishe kuondoka mbele ya mfalme. Usiendelee kutenda lililo baya, kwa maana mfalme atafanya lolote apendalo. 48:4 Ay 9:12; 34:18; Dan 4:35; Es 1:18-19Kwa kuwa neno la mfalme ndilo lenye mamlaka ya mwisho, nani awezaye kumwambia, “Je, wewe unafanya nini?”

5Yeyote anayetii agizo lake hatadhurika,

moyo wa hekima utajua wakati muafaka

na jinsi ya kutenda.

68:6 Mhu 3:1Kwa maana kuna wakati muafaka

na utaratibu wa kila jambo,

ingawa huzuni ya mwanadamu

huwa nzito juu yake.

7Kwa vile hakuna mtu ajuaye siku zijazo,

ni nani awezaye kumwambia linalokuja?

8Hakuna mwanadamu

awezaye kushikilia roho yake asife,

wala hakuna mwenye uwezo

juu ya siku ya kufa kwake.

Kama vile hakuna yeyote arudishwaye nyuma wakati wa vita,

kadhalika uovu hautawaweka huru wale wautendao.

98:9 1Sam 18:12Yote haya niliyaona, nilipokuwa natafakari kila kitu kinachotendeka chini ya jua. Kuna wakati ambapo mtu hujifanya bwana juu ya wengine kwa madhara yake mwenyewe. 10Ndipo pia, nikaona waovu wakizikwa, wale ambao walizoea kuingia na kutoka mahali patakatifu na kupewa sifa katika mji ambapo walikuwa wamefanya haya. Hili nalo ni ubatili.

118:11 Ay 21:14-15; Rum 2:4-5; Isa 26:10Wakati hukumu juu ya tendo ovu haitekelezwi upesi, mioyo ya watu hujaa mipango ya kutenda maovu. 128:12 Za 37:18-19; Isa 3:10-11; 65:20; Mhu 3:14; Kum 4:40Ingawa mtu mwovu hufanya maovu mia moja na akaendelea kuishi maisha marefu, najua kwamba itakuwa bora zaidi kwa watu wanaomwogopa Mungu, wamchao Mungu. 138:13 Mhu 3:14; Kum 4:40; Ay 5:26; Za 34:12; Isa 65:20Lakini kwa sababu waovu hawamwogopi Mungu, hawatafanikiwa, maisha yao hayatarefuka kama kivuli.

148:14 Za 73:14; Mal 3:15; Mhu 2:14; 7:15; Ay 21:7Kuna kitu kingine ambacho ni ubatili kinachotokea duniani: Watu waadilifu kupata yale yanayowastahili waovu, nao waovu kupata yale yanayowastahili waadilifu. Hili nalo pia, nasema ni ubatili. 158:15 Law 26:5; Mhu 3:12-13; Kut 32:6; Za 42:8Kwa hiyo mimi ninasifu kufurahia maisha, kwa sababu hakuna kitu bora zaidi kwa mwanadamu chini ya jua kuliko kula, kunywa na kufurahi. Kisha furaha itafuatana naye kazini mwake siku zote za maisha yake ambazo amepewa na Mungu chini ya jua.

168:16 Mhu 1:13-17Nilipotafakari akilini mwangu ili nijue hekima na kuangalia kazi ya mwanadamu duniani, jinsi ambavyo macho yake hayapati usingizi mchana wala usiku, 178:17 Ay 5:9; 28:3, 23; Isa 40:28; Rum 11:33ndipo nikaona yale yote ambayo Mungu ameyafanya. Hakuna yeyote awezaye kuelewa yale yanayotendeka chini ya jua. Licha ya juhudi zake zote za kutafuta, mtu hawezi kugundua maana yake. Hata ingawa mtu mwenye hekima anadai kuwa anafahamu, kwa hakika hawezi kutambua.