约翰福音 7 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

约翰福音 7:1-52

耶稣的弟弟不信祂

1之后,耶稣周游加利利,不愿去犹太地区,因为犹太人想要杀祂。 2犹太人的住棚节快到了, 3耶稣的弟弟们对祂说:“离开这里,去犹太过节吧,好让你的门徒在那里也看见你所做的啊! 4因为人想出名,都不会暗地里行事,你既然可以做这些事,就把自己显给世人看吧!” 5原来连祂的弟弟们也不信祂。

6耶稣对他们说:“我的时候还没有到,你们什么时候都很方便。 7世人不会恨你们,只会恨我,因为我指证他们行为邪恶。 8你们先去过节吧,我现在还不上去,因为我的时候还没有到。” 9耶稣说完这些话,仍留在加利利

耶稣过住棚节

10他们走了以后,耶稣避开了人们的注意,暗地里上去过节。 11节期到了,犹太人到处查问:“耶稣在哪里?”

12众人对祂议论纷纷,有些人说:“祂是好人,”有些说:“不,祂欺骗民众。” 13不过,没有人敢公开议论祂的事,因为害怕犹太人。

14节期约过了一半,耶稣来到圣殿教导人。 15犹太人感到惊奇,说:“这个人没有受过教育,怎么懂得这么多呢?”

16耶稣说:“我的教导不是出于我自己,而是出于差我来的那位。 17如果你们愿意遵行上帝的旨意,就能分辨这些教导是出于上帝,还是出于我自己。 18凭自己讲论的人是要寻求自己的荣耀,但人子真实无伪,毫无不义,祂是为了使差祂来的那位得荣耀。 19摩西不是把律法传给了你们吗?你们却没有一个人遵守。为什么想要杀我呢?”

20众人回答说:“你一定是被鬼附身了!谁要杀你啊?”

21耶稣说:“我行了一件神迹,你们都感到惊奇。 22摩西把割礼传给你们,你们也在安息日行割礼。其实割礼不是摩西定的,而是从祖先们的时代就有了。 23为了避免违背摩西的律法,行割礼的那一天就算是安息日,你们还是照行。那么,我在安息日使一个病人完全康复,你们为什么责怪我呢? 24不要根据外表来断定是非,要按公义的原则判断。”

耶稣是基督吗

25有些住在耶路撒冷的人说:“这不是他们要杀的那个人吗? 26你看祂这样公开讲道,居然没有人说什么,难道官长也真的认为祂是基督吗? 27可是基督来的时候,根本没有人知道祂从哪里来,我们却知道这个人是从哪里来的。”

28于是,耶稣在圣殿里高声教导人说:“你们知道我是谁,也知道我是从哪里来的。其实我来不是出于自己的意思,差我来的那位是真实的,你们不认识祂。 29但我认识祂,因为我是从祂那里来的,差我来的就是祂。” 30他们听了,想捉拿耶稣,只是没有人下手,因为祂的时候还没有到。

31人群中有许多人信了耶稣,他们说:“基督来的时候所行的神迹,难道会比这个人行得更多吗?”

32法利赛人听见众人这样议论耶稣,就联合祭司长派差役去抓祂。 33耶稣对众人说:“我暂时还会跟你们在一起,不久我要回到差我来的那位那里。 34那时你们要找我却找不到,你们也不能去我所在的地方。”

35犹太人彼此议论说:“祂要去哪里使我们找不着呢?难道祂要到我们犹太人侨居的希腊各地去教导希腊人吗? 36祂说我们找不到祂,又不能去祂所在的地方,是什么意思?”

活水的江河

37节期最后一天,也是整个节期的高潮,耶稣站起来高声说:“人若渴了,可以到我这里来喝。 38正如圣经所言,信我的人,‘从他里面要流出活水的江河来’。” 39耶稣这话是指信祂的人要得到圣灵,但当时圣灵还没有降临,因为耶稣还没有得到荣耀。

40听见这些话后,有些人说:“祂真是那位先知。” 41也有些人说:“祂是基督。”还有些人说:“不会吧,基督怎么会出自加利利呢? 42圣经上不是说基督是大卫的后裔,要降生在大卫的故乡伯利恒吗?” 43众人因为对耶稣的看法不同,就起了纷争。 44有些人想抓祂,只是没有人下手。

犹太官长不信耶稣

45祭司长和法利赛人看见差役空手回来,就问:“你们为什么不把祂带来呢?”

46差役答道:“从未有人像祂那样说话!”

47法利赛人说:“难道你们也被祂迷惑了吗? 48哪有官长和法利赛人信祂呢? 49这群不明白律法的民众该受咒诅!”

50曾经夜访耶稣、属于他们当中一员的尼哥德慕说: 51“难道不听被告申辩,不查明事实真相,我们的律法就定祂的罪吗?”

52他们回答说:“难道你也是加利利人吗?你去查查看,就会知道没有先知是从加利利来的。”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yohana 7:1-53

Kutokuamini Kwa Ndugu Zake Yesu

17:1 Yn 1:19; 5:18; Mt 12:18Baada ya mambo haya, Yesu alikwenda sehemu mbalimbali za Galilaya. Hakutaka kwenda Uyahudi kwa sababu Wayahudi huko walitaka kumuua. 27:2 Law 23:34; Kum 16:16Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia. 37:3 Mt 12:46Hivyo ndugu zake Yesu wakamwambia, “Ondoka hapa uende Uyahudi ili wanafunzi Wako wapate kuona miujiza unayofanya. 4Mtu anayetaka kujulikana hafanyi mambo yake kwa siri. Kama unafanya mambo haya, jionyeshe kwa ulimwengu.” 57:5 Za 69:8; Mk 3:21Hata ndugu zake mwenyewe hawakumwamini.

67:6 Mt 26:18Yesu akawaambia, “Wakati wangu bado haujawadia, lakini wakati wenu upo siku zote. 77:7 Yn 3:19-20; 15:18-19Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini unanichukia mimi kwa sababu ninawashuhudia kwamba matendo yao ni maovu. 87:8 Yn 7:6; Mt 26:18; Yn 8:30Ninyi nendeni kwenye Sikukuu, lakini mimi sitahudhuria Sikukuu hii kwa sababu wakati wangu haujawadia.” 9Akiisha kusema hayo, akabaki Galilaya.

Yesu Kwenye Sikukuu Ya Vibanda

10Lakini ndugu zake walipokwisha kuondoka kwenda kwenye Sikukuu, yeye pia alikwenda lakini kwa siri. 117:11 Yn 11:56Wayahudi walikuwa wakimtafuta huko kwenye Sikukuu na kuulizana, “Yuko wapi huyu mtu?”

127:12 Yn 9:16; 10:19; Mt 21:46; Lk 7:16; Yn 6:14Kulikuwa na minongʼono iliyoenea kumhusu Yesu katika umati wa watu, wakati wengine wakisema, “Ni mtu mwema.”

Wengine walikuwa wakisema, “La, yeye anawadanganya watu.” 137:13 Yn 19:38; 20:19Lakini hakuna mtu yeyote aliyemsema waziwazi kumhusu kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi.

Yesu Afundisha Kwenye Sikukuu

147:14 Mt 26:55Ilipokaribia katikati ya Sikukuu, Yesu alipanda kwenda Hekaluni na kuanza kufundisha. 157:15 Mdo 26:24; Mt 13:54Wayahudi wakastaajabia mafundisho yake wakasema, “Mtu huyu amepataje kujua mambo haya bila kufundishwa?”

167:16 Yn 3:11; 14:24Ndipo Yesu akawajibu, “Mafundisho yangu si yangu mwenyewe, bali yanatoka kwake yeye aliyenituma. 177:17 Za 25:14; Yn 8:23Mtu yeyote akipenda kufanya mapenzi ya Mungu, atajua kama mafundisho yangu yanatoka kwa Mungu au ninasema kwa ajili yangu mwenyewe. 187:18 Yn 5:41; 8:50-54Wale wanenao kwa ajili yao wenyewe hufanya hivyo kwa kutaka utukufu wao wenyewe. Lakini yeye atafutaye utukufu wa yule aliyemtuma ni wa kweli, wala hakuna uongo ndani yake. 197:19 Kum 32:46; Mt 12:14Je, Mose hakuwapa ninyi sheria? Lakini hakuna hata mmoja wenu anayeishika hiyo sheria. Kwa nini mnataka kuniua?”

207:20 Mk 3:22; Yn 10:20Ule umati wa watu ukamjibu, “Wewe una pepo mchafu! Ni nani anayetaka kukuua?”

217:21 Yn 5:16Yesu akawajibu, “Nimefanya muujiza mmoja na nyote mkastaajabu. 227:22 Law 12:3; Mwa 17:10-14Lakini kwa kuwa Mose aliwaamuru tohara (ingawa kwa kweli haikutoka kwa Mose bali kwa baba zenu wakuu), mnamtahiri mtoto hata siku ya Sabato. 237:23 Yn 5:8Ikiwa mtoto aweza kutahiriwa siku ya Sabato kusudi sheria ya Mose isivunjwe, kwa nini mnanikasirikia kwa kumponya mtu mwili wake wote siku ya Sabato? 247:24 1Sam 16:7; 2Nya 10:7; Yn 8:15Acheni kuhukumu mambo kwa jinsi mnavyoona tu, bali hukumuni kwa haki.”

Je, Yesu Ndiye Kristo?

257:25 Yn 7:19Ndipo baadhi ya watu wa Yerusalemu wakawa wanasema, “Tazameni, huyu si yule mtu wanayetaka kumuua? 267:26 Yn 7:48; 4:29Mbona yuko hapa anazungumza hadharani na wala hawamwambii neno lolote? Je, inawezekana viongozi wanafahamu kuwa huyu ndiye Kristo?7:26 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta. 277:27 Mt 13:55; Lk 4:22Tunafahamu huyu mtu anakotoka, lakini Kristo atakapokuja, hakuna yeyote atakayejua atokako.”

287:28 Yn 8:14, 26, 42Ndipo Yesu, akaendelea kufundisha Hekaluni, akisema, “Ninyi mnanifahamu na kujua nitokako. Mimi sikuja kwa ajili yangu mwenyewe, bali yeye aliyenituma ni wa kweli na ninyi hammjui. 297:29 Mt 11:27Mimi namjua kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye alinituma.”

307:30 Yn 10:39Ndipo wakatafuta kumkamata, lakini hakuna mtu yeyote aliyethubutu kumshika kwa sababu saa yake ilikuwa bado haijawadia. 317:31 Yn 11:45; 12:11, 42; 2:11Nao watu wengi wakamwamini, wakasema, “Je, Kristo atakapokuja, atafanya miujiza mikuu zaidi kuliko aliyoifanya mtu huyu?”

Walinzi Wanatumwa Kumkamata Yesu

32Mafarisayo wakasikia watu wakinongʼona mambo kama hayo kuhusu Yesu, ndipo wao pamoja na viongozi wa makuhani wakatuma walinzi wa Hekalu waende kumkamata.

337:33 Yn 16:5, 10, 17, 28Yesu akasema, “Mimi bado niko pamoja nanyi kwa kitambo kidogo, kisha nitarudi kwake yeye aliyenituma. 347:34 Yn 8:21; 13:33Mtanitafuta lakini hamtaniona, nami niliko ninyi hamwezi kuja.”

357:35 Yak 1:1; Mdo 17:4; 1Pet 1:1Wayahudi wakaulizana wao kwa wao, “Huyu mtu anataka kwenda wapi ambako hatuwezi kumfuata? Je, anataka kwenda kwa Wayunani ambako baadhi ya watu wetu wametawanyikia, akawafundishe Wayunani? 367:36 Yn 7:34Yeye ana maana gani anaposema, ‘Mtanitafuta lakini hamtaniona,’ na, ‘nami niliko ninyi hamwezi kuja’?”

Mito Ya Maji Ya Uzima

377:37 Law 23:36; Isa 55:1; Ufu 22:17Siku ile ya mwisho ya Sikukuu, siku ile kuu, wakati Yesu akiwa amesimama huko, akapaza sauti yake akasema, “Kama mtu yeyote anaona kiu na aje kwangu anywe. 387:38 Isa 58:1; Yn 4:10Yeyote aniaminiye mimi, kama Maandiko yasemavyo, vijito vya maji ya uzima vitatiririka ndani mwake.” 397:39 Yoe 2:28; Mdo 2:17, 33; Yn 20:22; 12:23; 13:31-32Yesu aliposema haya alimaanisha Roho Mtakatifu ambaye wote waliomwamini wangempokea, kwani mpaka wakati huo, Roho alikuwa hajatolewa, kwa kuwa Yesu alikuwa bado hajatukuzwa.

Mgawanyiko Miongoni Mwa Watu

407:40 Mt 2:11; Yn 1:21Waliposikia maneno hayo, baadhi ya watu miongoni mwa ule umati wakasema, “Hakika huyu ndiye yule Nabii.”

417:41 Yn 7:52; 1:21Wengine wakasema, “Huyu ndiye Kristo!”

Lakini wengine wakauliza, “Je, Kristo kwao ni Galilaya? 427:42 Mt 1:1; Mik 5:2; Mt 2:5-6Je, Maandiko hayasemi kwamba Kristo atakuja kutoka jamaa ya Daudi na kutoka Bethlehemu, mji alioishi Daudi?” 437:43 Yn 9:16; 10:9Kwa hiyo watu wakagawanyika kwa ajili ya Yesu. 447:44 Yn 7:30Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.

Kutokuamini Kwa Viongozi Wa Wayahudi

457:45 Yn 7:32Hatimaye wale walinzi wa Hekalu wakarudi kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo waliokuwa wamewatuma ili kumkamata Yesu, wakaulizwa, “Mbona hamkumkamata?”

467:46 Mt 7:28Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena mtu yeyote kama yeye anenavyo.”

477:47 Yn 7:12Mafarisayo wakajibu, “Je, nanyi pia mmedanganyika? 487:48 Yn 12:42Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini? 49Lakini huu umati wa watu wasiojua Sheria ya Mose, wamelaaniwa.”

507:50 Yn 3:1Ndipo Nikodemo, yule aliyekuwa amemwendea Yesu siku moja usiku, ambaye alikuwa mmoja wao akauliza, 517:51 Kum 1:16, 17; 19:15“Je, sheria zetu zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza na kufahamu alilotenda?”

527:52 Yn 1:46; 7:41Wakamjibu, “Je, wewe pia unatoka Galilaya? Chunguza nawe utaona kwamba hakuna nabii atokae Galilaya!” [ 53Kisha wakaondoka, kila mtu akarudi nyumbani kwake.