约书亚记 16 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

约书亚记 16:1-10

约瑟子孙分到的土地

1约瑟的子孙抽签所得的地方是从耶利哥附近的约旦河,就是耶利哥水泉的东面开始,穿过旷野,直到伯特利山区; 2又从伯特利,即路斯,延至亚基人的疆土亚他绿3然后西下至押利提人的疆土,远至下伯·和仑地区,经基色直到地中海。 4约瑟的儿子玛拿西以法莲得了自己的产业。

5以下是以法莲的子孙按宗族分到的土地:东面从亚他录·亚达到上伯·和仑6直到地中海;北面从密米他向东绕到他纳·示罗,到雅挪哈东部, 7再到亚他录拿拉,经耶利哥直到约旦河; 8又从他普亚往西到加拿河,直到地中海。这就是以法莲的子孙按宗族所分的产业。 9此外,他们又从玛拿西人的产业中,分到部分城邑及其附近的乡村。 10他们没有赶走住在基色迦南人,迦南人至今还住在以法莲人当中,为他们服劳役。

Kiswahili Contemporary Version

Yoshua 16:1-10

Mgawo Kwa Efraimu Na Manase

116:1 Yos 8:15; 12:9; 18:12Mgawanyo wa Yosefu ulianzia Yordani ya Yeriko, mashariki mwa miji ya Yeriko na kutoka hapo ulipanda kupitia jangwani na kuingia katika nchi ya vilima ya Betheli. 216:2 Mwa 28:19; 2Sam 15:32; Hes 32:3Ukaendelea kutoka Betheli (ndiyo Luzu), ukavuka kuingia eneo la Waariki huko Atarothi, 316:3 Yos 10:10; 10:33; 1Fal 9:15ukateremkia kuelekea magharibi hadi eneo la Wayafleti ukienea hadi eneo la Beth-Horoni ya Chini hadi Gezeri, ukiishia baharini.

416:4 Yos 17:14; 18:5Kwa hiyo Manase na Efraimu, wazao wa Yosefu, walipokea urithi wao.

516:5 Yos 18:13; 10:10Hili ndilo lilikuwa eneo la Efraimu, ukoo kwa ukoo:

Mpaka wa urithi wao ulianzia Ataroth-Adari upande wa mashariki hadi Beth-Horoni ya Juu, 616:6 Yos 17:7; 2Fal 15:29na kuendelea mpaka baharini. Kutoka Mikmeta upande wa kaskazini ulipinda kuelekea mashariki hadi Taanath-Shilo, ukiupita hadi Yanoa upande wa mashariki. 716:7 Hes 32:3Kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi na Naara, ukagusa Yeriko na kutokea katika Mto Yordani. 816:8 Yos 12:17; 17:9; 19:28Kutoka Tapua mpaka ulikwenda magharibi hadi Bonde la Kana na kuishia baharini. Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Waefraimu, ukoo kwa ukoo. 916:9 Eze 48:5Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.

1016:10 Yos 15:63; 17:12-13; Amu 1:28-29; 1Fal 9:16Hawakuwatoa Wakanaani waishio Gezeri; mpaka leo Wakanaani wanaishi miongoni mwa watu wa Efraimu lakini wanatakiwa kufanya kazi ngumu za kulazimishwa.