箴言 5 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

箴言 5:1-23

远避淫乱

1孩子啊,要留心听我的智言,

侧耳听我的慧语,

2好保持明辨力,

嘴唇谨守知识。

3淫妇满口甜言蜜语,

油嘴滑舌,

4最后却苦如艾草,

锋利似双刃剑。

5她的双脚走进死地,

她的步伐迈向阴间。

6她不走生命的康庄大道,

偏离了正途也不自知。

7孩子们啊,要听从我,

不可违背我的话!

8要远远避开淫妇,

不可靠近她的家门,

9免得你为别人枉费精力,

为残忍之徒断送青春;

10免得外人吞尽你的财富,

你的辛劳所得归给外人。

11临终之时,肉体衰残,

你必呻吟不止,

12说:“我为何厌恶教诲,

心里藐视责备!

13不听从老师的话,

不侧耳听导师之言。

14在会众当中,

我几乎身败名裂。”

15你当喝自己池中的水,

饮自己井里的活水。

16你的泉水岂可外流?

你的河水怎可溢到街上?

17这些要专属于你,

不可与外人共享。

18要使你的泉源蒙福,

要爱你年轻时所娶的妻。

19她秀美可爱宛如母鹿,

愿她的胸令你时时满足,

愿她的爱让你常常陶醉。

20孩子啊,为何迷恋淫妇?

为何拥抱妓女的胸?

21因为人的所作所为逃不过耶和华的眼目,

祂必鉴察人一切所行之道。

22恶人被自己的罪恶捉住,

被自己罪恶的绳索捆绑。

23他因不听管教而丧命,

因极其愚妄而入歧途。

Kiswahili Contemporary Version

Mithali 5:1-23

Onyo Dhidi Ya Uzinzi

15:1 Mit 1:8Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu,

sikiliza vizuri maneno yangu ya busara,

25:2 Mwa 2:7ili uweze kutunza busara

na midomo yako ihifadhi maarifa.

35:3 Za 55:21; Mit 2:16Kwa maana midomo ya mwanamke kahaba

hudondoza asali,

na maneno ya kinywa chake

ni laini kuliko mafuta;

45:4 Mhu 7:26; Ebr 4:12lakini mwisho wake ni mchungu kama nyongo,

mkali kama upanga ukatao kuwili.

55:5 Za 9:17; Mit 2:18Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo;

hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini.5:5 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.

65:6 Mit 9:13; 30:20Yeye hafikiri juu ya njia ya uzima;

njia zake zimepotoka, lakini yeye hajui.

75:7 Mit 1:8-9Sasa basi wanangu, nisikilizeni;

msiache ninalowaambia.

85:8 Mit 6:20-29; 7:1-27Njia zenu ziwe mbali naye,

msiende karibu na mlango wa nyumba yake,

9usije ukatoa nguvu zako nzuri kwa wengine

na miaka yako kwa aliye mkatili,

105:10 Mit 29:3wageni wasije wakasherehekea utajiri wako

na jitihada yako ikatajirisha

nyumba ya mwanaume mwingine.

11Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa uchungu,

wakati nyama na mwili wako vimechakaa.

12Utasema, “Tazama jinsi gani nilivyochukia adhabu!

Tazama jinsi moyo wangu ulivyodharau maonyo!

13Sikuwatii walimu wangu

wala kuwasikiliza wakufunzi wangu.

145:14 Mit 1:24-27; 6:33; 31:3Nimefika ukingoni mwa maangamizi kabisa

katikati ya kusanyiko lote.”

15Kunywa maji kutoka kwenye kisima chako mwenyewe,

maji yanayotiririka kutoka kwenye kisima chako mwenyewe.

16Je, chemchemi zako zifurike katika barabara za mji

na vijito vyako vya maji viwanjani?

17Na viwe vyako mwenyewe,

kamwe visishirikishwe wageni.

185:18 Wim 4:12-15; Kum 20:7; Mal 2:14Chemchemi yako na ibarikiwe

na umfurahie mke wa ujana wako.

195:19 Wim 2:9; 8:14Kulungu jike apendaye, kulungu mzuri:

matiti yake na yakutosheleze siku zote,

nawe utekwe daima na upendo wake.

205:20 Mit 2:16; 7:5Kwa nini mwanangu, utekwe na mwanamke kahaba?

Kwa nini ukumbatie kifua cha mke wa mwanaume mwingine?

215:21 Za 119:168; Hos 7:2; Yer 16:17; Ay 10:4; Ebr 4:13Kwa maana njia za mtu ni wazi kabisa mbele za Bwana,

naye huyapima mapito yake yote.

225:22 Za 9:16; Hes 32:23; Ay 18:9Matendo mabaya ya mtu mwovu humnasa yeye mwenyewe;

kamba za dhambi yake humkamata kwa nguvu.

235:23 Ay 4:21; 36:12Atakufa kwa kukosa nidhamu,

akipotoshwa kwa upumbavu wake mwenyewe.