箴言 16 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

箴言 16:1-33

1心中的策划在于人,

应对之言来自耶和华。

2人看自己的行为都纯全,

但是耶和华却衡量人心。

3把你的事交托耶和华,

你的计划必实现。

4耶和华所造的万物各有其用,

连恶人也是为灾难之日所造。

5耶和华厌恶心骄气傲者,

他们必逃不过祂的责罚。

6慈爱和忠信可让罪恶得赎,

敬畏耶和华使人远离罪恶。

7人所行的若蒙耶和华喜悦,

耶和华必使仇敌与他和好。

8财物虽少但行事公义,

胜过家财万贯却不公义。

9人心中筹划自己的道路,

但耶和华决定他的脚步。

10王口中有上帝的话,

断案时必无差错。

11公道的秤与天平属于耶和华,

袋中一切的砝码由祂制定。

12君王憎恨恶行,

因王位靠公义而立。

13王喜爱公义的言词,

器重说话正直的人。

14王的烈怒如死亡使者,

然而智者能平息王怒。

15王的笑容带给人生命,

他的恩惠像春雨之云。

16得智慧胜过得黄金,

获悟性胜过获白银。

17正直人的大道远离罪恶,

坚守正道的保全性命。

18骄横是沦亡的前奏,

狂傲是败落的预兆。

19宁可谦卑地与贫寒人相处,

也不跟狂傲人共享战利品。

20听从训言的人受益匪浅,

信靠耶和华的人蒙祝福。

21智者以明辨著称,

甜言能说服人心。

22智慧是智者的生命泉,

愚昧为愚人带来惩罚。

23智者三思而后言,

其言使人长见识。

24良言如蜜,

使人心灵甘甜、身体康健。

25有一条路看似正确,

最终却通向死亡。

26工人的胃口促他工作,

口腹之需是他的动力。

27不务正业的人图谋恶事,

他的口舌如烈焰般危险。

28邪僻的人散播纷争,

造谣的人破坏友情。

29残暴之徒引诱邻舍走入歧途。

30恶人眯起眼睛图谋不轨,

歹徒咬着嘴唇策划恶事。

31白发是荣耀的冠冕,

行为公义方能得到。

32不轻易发怒者胜过勇士,

能自我控制胜过攻陷城池。

33人可以摇签求问,

但耶和华决定一切。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 16:1-33

116:1 Mt 10:19; Mit 19:21Mipango ya moyoni ni ya mwanadamu,

bali jibu la ulimi hutoka kwa Bwana.

216:2 1Sam 16:7; 2Nya 6:30; Lk 16:15; Dan 5:27Njia zote za mtu huonekana safi machoni pake mwenyewe,

bali makusudi hupimwa na Bwana.

316:3 2Nya 20:20; Za 20:4Mkabidhi Bwana lolote ufanyalo,

nayo mipango yako itafanikiwa.

416:4 Isa 43:7; Kut 9:16; 2Nya 34:24; Rum 9:22Bwana hufanya kila kitu kwa kusudi lake mwenyewe;

hata waovu kwa siku ya maangamizi.

516:5 Za 40:4; Mit 6:16; 11:20-21Bwana huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo.

Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.

616:6 Kut 20:20; Mit 14:16; Dan 4:26Kwa upendo na uaminifu uovu huondolewa;

kwa kumcha Bwana mtu hujiepusha na ubaya.

716:7 Kol 1:10; Mwa 39:21; Za 105:15; Yer 39:12; 40:1; 42:12; Dan 1:9Njia za mtu zinapompendeza Bwana,

huwafanya hata adui zake waishi naye kwa amani.

816:8 Za 37:16; Mit 15:16; 17:1; Mhu 4:6Afadhali kitu kidogo pamoja na haki

kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.

916:9 Yer 10:23Moyo wa mtu huifikiri njia yake,

bali Bwana huelekeza hatua zake.

1016:10 Mit 17:7Midomo ya mfalme huzungumza kwa hekima ya kiungu,

wala kinywa chake hakipotoshi haki.

1116:11 Law 19:36; Mit 11:1; Eze 45:10Vipimo na mizani za halali hutoka kwa Bwana;

mawe yote ya kupimia yaliyo katika mfuko ameyafanya yeye.

1216:12 Mit 26:28; 25:5; 29:14; 31:5Wafalme huchukia sana kutenda maovu,

kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa njia ya haki.

1316:13 Mit 22:11Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu;

humthamini mtu asemaye kweli.

1416:14 Mwa 40:2; Ay 29:24Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti,

bali mtu mwenye hekima ataituliza.

1516:15 2Nya 36:16; Mit 29:1; Yer 19:1116:15 Mwa 40:2; Ay 29:24; Mit 19:12; 25:2-7Uso wa mfalme ungʼaapo, inamaanisha uhai;

upendeleo wake ni kama wingu la mvua wakati wa vuli.

1616:16 Za 49:20; Ay 28:15; Mit 3:13-14Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu,

kuchagua ufahamu kuliko fedha!

1716:17 Mit 4:24-27; Isa 35:8; Mdo 24:16Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya;

yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.

1816:18 Es 5:12; Mit 29:23Kiburi hutangulia maangamizi,

roho ya majivuno hutangulia maanguko.

19Ni afadhali kuwa mnyenyekevu katika roho

miongoni mwa walioonewa

kuliko kugawana nyara pamoja na wenye kiburi.

2016:20 Isa 30:18; Za 32:10; Yer 17:7Yeyote anayekubali mafundisho hustawi,

tena amebarikiwa yeye anayemtumaini Bwana.

2116:21 Mit 16:23Wenye hekima moyoni huitwa wenye ufahamu,

na maneno ya kupendeza huchochea mafundisho.

2216:22 Mit 10:11Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwa wale walio nao,

bali upumbavu huleta adhabu kwa wapumbavu.

2316:23 Ay 15:5; Mit 16:21Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza kinywa chake,

na midomo yake huchochea mafundisho.

2416:24 Mit 24:13-14Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali,

ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye mifupa.

2516:25 Mit 12:15; 14:12; Es 3:6Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu,

bali mwisho wake huelekeza mautini.

2616:26 Mit 9:12; Mhu 6:7Shauku ya mfanyakazi humhimiza kufanya kazi;

njaa yake humsukuma aendelee.

2716:27 Yak 3:6Mtu mbaya kabisa hupanga mabaya,

maneno yake ni kama moto uunguzao.

2816:28 Mit 14:17; 17:9Mtu mpotovu huchochea ugomvi,

nayo maongezi ya upuzi hutenganisha marafiki wa karibu.

29Mtu mkali humvuta jirani yake

na kumwongoza katika mapito yale mabaya.

3016:30 Mit 6:13Yeye akonyezaye kwa jicho lake anapanga upotovu;

naye akazaye midomo yake amenuia mabaya.

3116:31 Mit 20:29Mvi ni taji ya utukufu;

hupatikana kwa maisha ya uadilifu.

3216:32 Mit 19:11Ni afadhali mtu mstahimilivu kuliko shujaa,

mtu anayeitawala hasira yake kuliko yule autekaye mji.

3316:33 Yos 7:14; Yn 1:7Kura hupigwa kwa siri,

lakini kila uamuzi wake hutoka kwa Bwana.