撒迦利亚书 10 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

撒迦利亚书 10:1-12

耶和华应许拯救以色列

1要在春季向耶和华求雨。

祂造出雷雨,

为世人降下甘霖,

赐人田间的菜蔬。

2因为神像说的是虚言,

占卜者讲的是谎话,

他们诉说的是假梦,

他们的安慰是空话。

所以人们如迷失的羊,

因无牧人而遭受困苦。

3“我必向牧人发怒,

我必惩罚这些首领10:3 “首领”希伯来文作“公山羊”。

因为万军之耶和华必眷顾祂的羊群犹大家,

使他们像战场上的骏马。

4房角石、橛子、战弓,

以及所有掌权者必出自犹大

5他们必如战场上的勇士,

将仇敌践踏在街上的泥土中。

他们必争战,

因为耶和华与他们同在。

他们必使敌方的骑兵蒙羞。

6“我必使犹大家强盛,

我必拯救约瑟家。

我必带他们回到故土,

因为我怜悯他们。

他们必好像从未被我抛弃一样,

因为我是他们的上帝耶和华,

我必应允他们的祷告。

7以法莲人必如勇士,

他们必心里畅快,如同喝了酒,

他们的儿女见状也必喜乐,

他们必因耶和华而欢欣。

8“我必吹哨聚集他们,

因为我救赎了他们,

他们必像从前一样人数众多。

9虽然我把他们分散到列国,

他们必在远方想起我,

他们及其子女必得以幸存,

并且回到故土。

10我必从埃及领他们归回,

亚述招聚他们,

领他们到基列黎巴嫩

那里将不够他们居住。

11祂必经过苦海,

击打海浪,

尼罗河必干涸,

亚述的骄傲必扫地,

埃及的势力必灭没。

12我必让他们靠耶和华而强盛,

他们必奉祂的名行事。

这是耶和华说的。”

Kiswahili Contemporary Version

Zekaria 10:1-12

Bwana Ataitunza Yuda

110:1 Law 26:4; 1Fal 8:36; Za 104:13; 135:7; Ay 14:9; Yer 14:22; Yoe 2:32Mwombeni Bwana mvua wakati wa vuli;

ndiye Bwana atengenezaye mawingu ya tufani.

Huwapa watu manyunyu ya mvua,

pia mimea ya shambani kwa ajili ya kila mtu.

210:2 Eze 21:21; Isa 44:25; 40:19; Yer 23:16; Hes 27:17; Hos 3:4; Mt 9:36Sanamu huzungumza udanganyifu,

waaguzi huona maono ya uongo;

husimulia ndoto ambazo si za kweli,

wanatoa faraja batili.

Kwa hiyo watu wanatangatanga kama kondoo

walioonewa kwa kukosa mchungaji.

310:3 Isa 14:9; Yer 25:34; Eze 34:8-10; Kut 4:31; Rut 1:6; Sef 2:7; Lk 1:68; 1Pet 2:12“Hasira yangu inawaka dhidi ya wachungaji,

nami nitawaadhibu viongozi;

kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote

atalichunga kundi lake,

nyumba ya Yuda,

naye atawafanya kuwa kama farasi

mwenye kiburi akiwa vitani.

410:4 Za 118:22; Mdo 4:11; Isa 22:23; Zek 9:10Kutoka Yuda litatokea Jiwe la pembeni,

kutoka kwake vitatoka vigingi vya hema,

kutoka kwake utatoka upinde wa vita,

kutoka kwake atatoka kila mtawala.

510:5 2Sam 22:43; Mik 7:10; 5:8; Amo 2:15; Hag 2:22; Zek 12:4Kwa pamoja watakuwa kama mashujaa

wanaokanyaga barabara za matope

wakati wa vita.

Kwa sababu Bwana yu pamoja nao,

watapigana na kuwashinda wapanda farasi.

610:6 Eze 30:24; 36:37; Za 102:13; 34:17; Isa 37:19; 14:1; 58:9; 65:24; Zek 8:7-8; 13:9“Nitaiimarisha nyumba ya Yuda

na kuiokoa nyumba ya Yosefu.

Nitawarejesha kwa sababu

nina huruma juu yao.

Watakuwa kama watu ambao

sijawahi kuwakataa

kwa sababu mimi ndimi Bwana Mungu wao,

nami nitawajibu.

710:7 Zek 9:15; 1Sam 2:1; Isa 60:5; Yoe 2:23Waefraimu watakuwa kama mashujaa,

mioyo yao itafurahi kana kwamba ni kwa divai.

Watoto wao wataona na kufurahi,

mioyo yao itashangilia katika Bwana.

810:8 Isa 5:26; Yer 33:22; Eze 36:11Nitawaashiria na kuwakusanya ndani.

Hakika nitawakomboa,

nao watakuwa wengi

kama walivyokuwa mwanzoni.

910:9 Isa 44:21; Eze 6:9Ijapokuwa niliwatawanya miongoni mwa mataifa,

hata hivyo wakiwa katika nchi za mbali

watanikumbuka mimi.

Wao na watoto wao watanusurika katika hatari

nao watarudi.

1010:10 Isa 11:11; 49:19; Zek 8:8; Yer 50:19; Rum 11:25; Kut 14:26-27Nitawarudisha kutoka Misri

na kuwakusanya toka Ashuru.

Nitawaleta katika nchi ya Gileadi na Lebanoni,

na hapo hapatakuwa na nafasi ya kuwatosha.

1110:11 Isa 19:5-7; 51:10; Sef 2:13; Eze 29:15; 30:13Watapita katika bahari ya mateso;

bahari iliyochafuka itatulizwa

na vilindi vyote vya Mto Naili vitakauka.

Kiburi cha Ashuru kitashushwa,

nayo fimbo ya utawala ya Misri itatoweka.

1210:12 Eze 30:24; Mik 4:5Nitawaimarisha katika Bwana,

na katika jina lake watatembea,”

asema Bwana.