尼希米记 11 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

尼希米记 11:1-36

住在耶路撒冷的人

1民众的首领住在耶路撒冷。其余的人用抽签的方式抽出十分之一的人口住在圣城耶路撒冷,剩下的人则住在其他城邑。 2众人为所有自愿住在耶路撒冷的人祝福。

3-4以色列人、祭司、利未人、殿役和所罗门仆人的子孙住在犹大各城自己的家中,有些来自犹大便雅悯的人住在耶路撒冷。以下是住在耶路撒冷犹大省首领:

犹大人中有法勒斯的子孙、乌西雅的儿子亚他雅乌西雅撒迦利雅的儿子,撒迦利雅亚玛利雅的儿子,亚玛利雅示法提雅的儿子,示法提雅玛勒列的儿子。 5此外还有巴录的儿子玛西雅巴录谷何西的儿子,谷何西哈赛雅的儿子,哈赛雅亚大雅的儿子,亚大雅约雅立的儿子,约雅立撒迦利雅的儿子,撒迦利雅示罗尼的儿子。 6住在耶路撒冷法勒斯的子孙共有四百六十八人,都是勇士。

7便雅悯人中有米书兰的儿子撒路米书兰约叶的儿子,约叶毗大雅的儿子,毗大雅歌赖雅的儿子,歌赖雅玛西雅的儿子,玛西雅以铁的儿子,以铁耶筛亚的儿子。 8此外还有迦拜撒来的子孙共九百二十八人。 9细基利的儿子约珥是他们的监督,哈西努亚的儿子犹大耶路撒冷的副官。

10祭司中有雅斤约雅立的儿子耶大雅11以及管理上帝殿的希勒迦的儿子西莱雅希勒迦米书兰的儿子,米书兰撒督的儿子,撒督米拉约的儿子,米拉约亚希突的儿子; 12还有他们在殿里供职的弟兄八百二十二人;还有耶罗罕的儿子亚大雅耶罗罕毗拉利的儿子,毗拉利暗洗的儿子,暗洗撒迦利亚的儿子,撒迦利亚巴施户珥的儿子,巴施户珥玛基雅的儿子; 13还有他们做族长的弟兄二百四十二人;还有亚萨列的儿子亚玛帅亚萨列亚哈赛的儿子,亚哈赛米实利末的儿子,米实利末音麦的儿子; 14还有他们英勇的弟兄一百二十八人。他们的监督是哈基多琳的儿子撒巴第业

15利未人中有哈述的儿子示玛雅哈述押利甘的儿子,押利甘哈沙比雅的儿子,哈沙比雅布尼的儿子。 16还有利未人的族长沙比太约撒拔,他们负责上帝殿外面的事务。 17还有米迦的儿子玛他尼,他是带领祷告和赞美的。米迦撒底的儿子,撒底亚萨的儿子。还有他的助手玛他尼的弟兄八布迦。此外,还有沙姆亚的儿子押大沙姆亚加拉的儿子,加拉耶杜顿的儿子。 18在圣城的利未人共有二百八十四名。

19殿门守卫有亚谷达们,还有他们做殿门守卫的弟兄一百七十二人。 20其他以色列人、祭司和利未人住在犹大各城自己的地方。 21殿役住在俄斐勒,他们的首领是西哈基斯帕

22耶路撒冷利未人的监督是巴尼的儿子乌西巴尼哈沙比雅的儿子,哈沙比雅玛他尼的儿子,玛他尼米迦的儿子,乌西亚萨的子孙,亚萨的子孙是负责圣殿事务的歌乐手。 23歌乐手每天应尽的责任由王决定。 24犹大的儿子谢拉的子孙、米示萨别的儿子毗他希雅帮助王处理民众的事务。

住在其他城邑的人

25至于村庄及其周围的田地,一些犹大人住在基列·亚巴底本叶甲薛和它们周围的村庄, 26耶书亚摩拉大伯·帕列27哈萨·书亚别示巴别示巴周围的村庄, 28洗革拉米哥拿米哥拿周围的村庄, 29音·临门琐拉耶末30撒挪亚亚杜兰和它们周围的村庄,拉吉及其周围的田地,亚西加及其周围的村庄。他们居住的地方从别示巴一直延伸到欣嫩谷。

31便雅悯人住的地方由迦巴起直到密抹亚雅伯特利伯特利周围的村庄, 32亚拿突挪伯亚南雅33夏琐拉玛基他音34哈迭洗编尼八拉35罗德阿挪和匠人之谷。 36一些原本住在犹大利未人被安顿在便雅悯

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nehemia 11:1-36

Wakazi Wapya Wa Yerusalemu

111:1 Isa 48:2; Neh 7:4; Isa 64:10; Zek 14:20-21Basi viongozi wa watu walikaa Yerusalemu, nao watu wale wengine walipiga kura ili kuleta mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, nao wengine tisa waliobaki wakae katika miji yao wenyewe. 211:2 Amu 5:9Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.

311:3 1Nya 9:29; Ezr 2:44-45Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa Hekalu,11:3 Yaani Wanethini (pia 11:21). na wazao wa watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake mwenyewe katika miji mbalimbali, 411:4 Ezr 1:5; Mwa 38:29; Ezr 2:70; 1Nya 9:3ambapo watu wengine kutoka Yuda na Benyamini waliishi Yerusalemu).

Kutoka wazao wa Yuda:

Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi. 5Naye Maaseya mwana wa Baruku, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zekaria, mzao wa Mshiloni. 6Wazao wa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468, watu wenye uwezo.

7Kutoka wazao wa Benyamini:

Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya 8na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928. 9Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.

1011:10 1Nya 9:10Kutoka makuhani:

Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini, 1111:11 2Fal 25:18; Ezr 7:2Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi katika nyumba ya Mungu, 12pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya, 13na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri, 14na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu.

15Kutoka Walawi:

Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni; 1611:16 Ezr 10:15; 2Nya 34:13; Ezr 8:33Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu; 1711:17 1Nya 9:15; Neh 12:8; 2Nya 5:12Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. 1811:18 Ufu 21:2; Ezr 9:8; Mt 24:15Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.

1911:19 1Nya 9:17; Neh 7:45; 12:25Mabawabu:

Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.

20Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.

2111:21 Ezr 2:43; Neh 3:26; 2Nya 27:3Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.

2211:22 1Nya 9:15Afisa mkuu wa Walawi huko Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, waliokuwa waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu. 2311:23 1Nya 15:16; Neh 7:44Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.

2411:24 Mwa 38:30; 1Nya 23:28Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa mwakilishi wa mfalme katika mambo yote kuhusu mahusiano na watu.

2511:25 Mwa 35:27; Yos 14:15; Hes 21:30Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-Arba na makazi yaliyokizunguka, katika Diboni na makazi yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake, 2611:26 Yos 15:27katika Yeshua, katika Molada, katika Beth-Peleti, 2711:27 Mwa 21:14katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake, 2811:28 Isa 27:6katika Siklagi, katika Mekona na makazi yake, 2911:29 Yos 15:33-35; Yer 10:3katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi, 3011:30 Yos 10:39; 10:10; 15:28Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.

3111:31 Yos 21:17; Isa 10:29; 1Sam 13:2Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake, 3211:32 Isa 10:30; 1Sam 21:1katika Anathothi, Nobu na Anania, 3311:33 Yos 11:1; 18:25; 2Sam 4:3katika Hazori, Rama na Gitaimu, 3411:34 1Sam 13:18katika Hadidi, Seboimu na Nebalati, 3511:35 1Nya 8:12; 4:14katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.

36Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.