启示录 18 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

启示录 18:1-24

巴比伦的下场

1此后,我看见另一位执掌大权的天使从天而降,他的荣光照亮了大地。 2他用强有力的声音喊道:

巴比伦大城倒塌了!倒塌了!18:2 以赛亚书21:9

她成了鬼魔的住处,

各样污秽之灵的巢穴,

各样污秽之鸟的老巢,

各样污秽可憎之兽的老窝。

3因为列国都喝了她淫乱的烈酒。

地上的君王与她通奸,

地上的商人也因她穷奢极侈的生活而发了财。”

4我听见天上又有一个声音说:

“我的子民啊,离开那城,18:4 耶利米书51:45

以免沾染她的罪恶,

受她所受的灾祸。

5因为她已经罪恶滔天,

上帝没有忘记她的不义。

6她怎样待人,

也要怎样待她,

要按她所做的加倍地报应她,

用她调酒的杯加倍地调给她喝。

7她过去怎样自炫自耀、

奢华荒淫,

现在也要让她怎样痛苦哀伤。

因为她心里说,

‘我贵为女王,不是寡妇,

绝不会经历哀伤。’18:7 以赛亚书47:78

8所以在一天之内,

她的灾祸,就是死亡、

哀伤和饥荒要同时临到她身上。

她要被火烧尽,

因为审判她的主上帝大有能力。

9“地上曾与她通奸、一同奢华享乐的君王目睹焚烧她的烟,必为她哭泣哀号。 10他们对她所受的灾祸充满恐惧,就远远地站着说,

“‘雄伟坚固的巴比伦城啊,

有祸了!有祸了!

因为审判顷刻间临到你了。’

11“地上的商人也为她痛哭哀伤,因为再也没有人购买他们的货物了。 12他们的金、银、宝石、珍珠、细麻布、紫布、丝绸、朱红色布、各种香木、象牙器具,贵重木材、铜、铁、大理石制品, 13以及肉桂、豆蔻、香料、香膏、乳香、酒、油、细面粉、小麦、牛、羊、马、车、仆婢和人口都没有人购买了。 14他们呼喊,‘你贪爱的美物已离你而去了,一切珍馐美味和奢华之物都消失殆尽,无影无踪。’

15“靠贩卖这些货物给她而致富的商人对她所受的灾祸充满恐惧,就站在远处为她哀伤哭号, 16说,‘身穿紫色和朱红色细麻布衣服,并用黄金、宝石、珍珠为装饰的大城啊,有祸了!有祸了! 17因为顷刻间你这一切的繁华都化为乌有了。’所有船主、船客、水手及靠海为生的人都远远地站着, 18看见烧她的烟,就高喊,‘有哪一座城能与这座大城相比呢?’ 19他们又把尘土撒在头上,哀伤哭泣,高喊,

“‘这大城啊,有祸了!有祸了!

所有经营航运的都因她的奢华而发了财,

可是顷刻间她却沦为废墟了!’

20上天啊,

众圣徒、众使徒和众先知啊,

为她的下场欢喜吧!

因为上帝已经对她下了判决,

为你们申冤了。”

21这时,有一位大能天使举起一块像大磨石的石头扔进海里,说:

巴比伦大城也必这样被用力扔下去,

消失得无影无踪。

22在你那里,

再也听不见弹琴作乐、

弄笛吹号的声音了,

再也找不到能工巧匠了,

再也听不到推磨的声音了,

23再也看不到闪耀的灯光了,

再也听不见新郎新娘的声音了。

因为你的商人在世上显赫一时,

万国都被你的邪术迷惑,

24你的城内流了众先知、

众圣徒和地上一切被杀之人的血。”

Kiswahili Contemporary Version

Ufunuo 18:1-24

Kuanguka Kwa Babeli

118:1 Ufu 17:1; 10:1; Eze 43:2Baada ya haya nikaona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni, akiwa na mamlaka makuu na dunia ikamulikiwa na mngʼao wake. 218:2 Ufu 18:4; Yer 51:37Naye akalia kwa nguvu kwa sauti kubwa, akisema:

“Umeanguka! Umeanguka Babeli Mkuu!

Umekuwa makao ya mashetani

na makazi ya kila pepo mchafu,

makazi ya kila ndege na kila mnyama achukizaye.

318:3 Ufu 14:8; 17:2; Eze 27:9-25Kwa maana mataifa yote yamekunywa

mvinyo wa ghadhabu ya uasherati wake.

Nao wafalme wa dunia wamefanya uzinzi nao,

nao wafanyabiashara wa dunia

wametajirika kutokana na wingi wa utajiri wake.”

418:4 Isa 48:20; 2Kor 6:17Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema:

“Tokeni katikati yake, enyi watu wangu,

ili msije mkashiriki dhambi zake,

ili msije mkapatwa na pigo lake lolote;

518:5 2Nya 28:9; Ezr 9:6; Ufu 16:19kwa kuwa dhambi zake zimelundikana hadi mbinguni,

naye Mungu ameukumbuka uhalifu wake.

618:6 Za 137:8; Yer 50:15-29; Ufu 14:10; 17:10Mtendee kama yeye alivyotenda;

umlipe mara mbili kwa ajili ya yale aliyotenda.

Katika kikombe chake mchanganyie

mara mbili ya kile alichochanganya.

718:7 Eze 28:2-8; Za 10:6; Sef 2:15Mpatie mateso na huzuni nyingi sawa na

utukufu na anasa alizojipatia.

Kwa kuwa moyoni mwake hujivuna, akisema,

‘Mimi ninatawala kama malkia;

mimi si mjane, wala sitaona huzuni kamwe.’

818:8 Isa 9:14; 47:9Kwa hiyo mapigo yatampata kwa siku moja:

mauti, maombolezo na njaa.

Naye atateketezwa kwa moto,

kwa maana Bwana Mungu amhukumuye ana nguvu.

918:9 Ufu 14:8, 11; 19:13; Yer 51:8; Eze 26:17-18“Wafalme wa dunia waliozini naye na kushiriki anasa zake watakapoona moshi wa kuungua kwake, watamlilia na kumwombolezea. 1018:10 Ufu 18:15, 17; 18:16-19; 17:12Kwa hofu kubwa ya mateso yake, watasimama mbali na kulia na wakisema:

“ ‘Ole! Ole, ee mji mkubwa,

ee Babeli mji wenye nguvu!

Hukumu yako imekuja katika saa moja!’

1118:11 Eze 27:27; 27:31; 18:15, 19“Wafanyabiashara wa dunia watalia na kumwomboleza kwa sababu hakuna anunuaye bidhaa zao tena: 1218:12 Eze 27:12-22Bidhaa za dhahabu, za fedha, za vito vya thamani na vya lulu, kitani safi, nguo za rangi ya zambarau, hariri, nguo nyekundu, aina zote za miti ya udi, na vifaa vyote vya pembe za ndovu, vifaa vyote vya miti yenye thamani kuliko yote, shaba, chuma na marmar, 1318:13 Eze 27:13; 1Tim 1:10bidhaa za mdalasini, vikolezi, za uvumba, manemane, na uvumba wenye harufu nzuri, za divai, na mafuta ya zeituni, za unga mzuri na ngano; ngʼombe na kondoo; farasi na magari; na miili na roho za wanadamu.

14“Watasema, ‘Yale matunda ambayo roho yako iliyatamani yamekoma. Utajiri wako wote na fahari yako vimetoweka, wala haviwezi kupatikana tena kamwe!’ 1518:15 Ufu 18:3, 10, 17; Eze 27:31Wale wafanyabiashara waliotajirika kwa bidhaa hizo kutoka kwake watasimama mbali naye kwa hofu kubwa ya mateso yanayompata. Watalia na kuomboleza wakipiga kelele wakisema:

1618:16 Ufu 17:4; 18:10, 19“ ‘Ole! Ole, ee mji mkubwa,

uliyekuwa umevikwa mavazi ya kitani safi,

ya rangi ya zambarau na nyekundu,

ukimetameta kwa dhahabu,

vito vya thamani na lulu!

1718:17 Ufu 17:16; Eze 27:28-30Katika muda wa saa moja utajiri wote mkubwa

kama huu umeangamia!’

“Kila nahodha, na wote wasafirio kwa meli, na wote wapatao kipato chao kutokana na bahari, watasimama mbali. 1818:18 Eze 27:32; Ufu 13:4Watakapouona moshi wa kuungua kwake watalia wakisema, ‘Je, kulipata kuwako mji mkubwa kama huu?’ 1918:19 Eze 27:30; Ufu 17:16Nao watajirushia mavumbi vichwani mwao, huku wakilia na kuomboleza, wakisema:

“ ‘Ole! Ole, ee mji mkubwa,

mji ambao wote wenye meli baharini

walitajirika kupitia kwa mali zake!

Katika saa moja tu ameangamizwa!

2018:20 Yer 51:48; Ufu 12:12; 19:2Furahia kwa ajili yake, ee mbingu!

Furahini watakatifu, mitume na manabii!

Mungu amemhukumu

kwa vile alivyowatendea ninyi.’ ”

2118:21 Ufu 5:2; Yer 51:63Kisha malaika mmoja mwenye nguvu akainua jiwe kubwa kama la kusagia akalitupa baharini akisema:

“Hivyo ndivyo mji mkubwa Babeli

utakavyotupwa chini kwa nguvu

wala hautaonekana tena.

2218:22 Isa 24:8; Eze 26:13; Yer 25:10Nyimbo za wapiga vinubi na waimbaji,

wapiga filimbi na wapiga tarumbeta

kamwe hazitasikika tena ndani yako.

Ndani yako kamwe hataonekana tena fundi

mwenye ujuzi wa aina yoyote.

Wala sauti ya jiwe la kusagia

kamwe haitasikika tena.

2318:23 Yer 16:9; 25:10; Isa 23:8; Nah 3:4Mwanga wa taa

hautaangaza ndani yako tena.

Sauti ya bwana arusi na bibi arusi

kamwe haitasikika ndani yako tena.

Wafanyabiashara wako walikuwa watu maarufu wa dunia.

Mataifa yote yalipotoshwa kwa uchawi wako.

2418:24 Ufu 16:6; 17:6; Yer 51:49Ndani yake ilionekana damu ya manabii na ya watakatifu

na wote waliouawa duniani.”