复述犹大的后裔
1犹大的后代是法勒斯、希斯仑、迦米、户珥、朔巴。 2朔巴的儿子利亚雅生雅哈,雅哈生亚户买和拉哈。他们都属于琐拉人的宗族。 3以坦的儿子4:3 “儿子”希伯来文是“父亲”。是耶斯列、伊施玛和伊得巴,女儿名叫哈悉勒玻尼。 4基多的父亲是毗努伊勒,户沙的父亲是以谢珥。这些人都是伯利恒的父亲、以法她的长子户珥的后代。 5提哥亚的父亲亚施户有两个妻子,一个名叫希拉,一个名叫拿拉。 6拿拉给他生了亚户撒、希弗、提米尼和哈辖斯他利。这些都是拿拉的儿子。 7希拉的儿子是洗列、琐辖和伊提南。 8哥斯生亚诺和琐比巴,他也是哈伦的儿子亚哈黑宗族的祖先。 9雅比斯比他的众弟兄尊贵,他母亲给他取名叫雅比斯,意思是:“我生他时非常痛苦。” 10雅比斯向以色列的上帝祷告说:“愿你赐福给我,扩展我的疆域,愿你的手扶持我,使我远离患难、免受痛苦。”上帝答应了他的祈求。
11书哈的弟兄基绿生米黑,米黑是伊施屯的父亲。 12伊施屯生伯‧拉巴、巴西亚和提欣拿,提欣拿是珥拿辖的父亲。这些都是利迦人。 13基纳斯的儿子是俄陀聂和西莱雅。俄陀聂的儿子是哈塔、悯挪太。 14悯挪太生俄弗拉。西莱雅生革·夏纳欣人的祖先约押。他们都是工匠。 15耶孚尼的儿子是迦勒,迦勒的儿子是以路、以拉和拿安,以拉的儿子是基纳斯。 16耶哈利勒的儿子是西弗、西法、提利和亚撒列。 17以斯拉的儿子是益帖、米列、以弗和雅伦。米列娶了法老的女儿比提雅为妻,她给米列生了米利暗、沙迈和以实提摩的父亲益巴。 18米列还娶了一个犹大人为妻,她生了基多的父亲雅列、梭哥的父亲希伯和撒挪亚的父亲耶古铁。 19荷第雅的妻子是拿含的妹妹,她的儿子们是迦米人基伊拉和玛迦人以实提摩的父亲。 20示门的儿子是暗嫩、林拿、便·哈南和提伦。以示的儿子是梭黑和便·梭黑。
21犹大有个儿子名叫示拉。示拉的后代是利迦的父亲珥、玛利沙的父亲拉大、在伯‧亚实比织细麻布的各家族、 22约敬、哥西巴人、约阿施以及统治摩押和雅叔比利恒的萨拉。这都是古代的记录。 23他们都是住在尼他英和基低拉的陶匠,他们在那里为王效力。
西缅的后裔
24西缅的儿子是尼姆利、雅悯、雅立、谢拉和扫罗。 25扫罗的儿子是沙龙,沙龙的儿子是米比衫,米比衫的儿子是米施玛, 26米施玛的儿子是哈姆利,哈姆利的儿子是撒刻,撒刻的儿子是示每。 27示每有十六个儿子和六个女儿,他弟兄的儿女不多。他们整个宗族的人不如犹大宗族的人多。 28西缅人住在别示巴、摩拉大、哈萨·书亚、 29辟拉、以森、陀腊、 30彼土利、何珥玛、洗革拉、 31伯·玛加博、哈萨·苏撒、伯·比利、沙拉音。在大卫做王以前,这些都是西缅人的城邑。 32他们还有五座城邑:以坦、亚因、临门、陀健、亚珊, 33以及这些城附近的村庄,远至巴力。这些都是他们的住处。他们有自己的家谱。
34西缅的后代还有米所巴、雅米勒、亚玛谢的儿子约沙、 35约珥、约示比的儿子耶户。约示比是西莱雅的儿子,西莱雅是亚薛的儿子。 36西缅的后代还有以利约乃、雅哥巴、约朔海、亚帅雅、亚底业、耶西篾、比拿雅、 37示非的儿子细撒。示非是亚龙的儿子,亚龙是耶大雅的儿子,耶大雅是申利的儿子,申利是示玛雅的儿子。 38以上所提的这些人都是族长,各宗族都人丁兴旺。 39他们前往平原东边的基多谷寻找牧羊的草场, 40找到了一片肥沃的草场,又辽阔又安静。从前含族人在那里居住。 41在犹大王希西迦执政期间,以上这些西缅人的族长来攻打含族人的驻地和那里所有的米乌尼人,消灭了他们,占据了那里,一直住到今天,因为那里有可以牧羊的草场。 42有五百个西缅人在以示的儿子毗拉提、尼利雅、利法雅和乌薛的带领下前往西珥山, 43铲除了残余的亚玛力人,从此定居在那里,直到今日。
Koo Nyingine Za Yuda
14:1 Mwa 46:12; 1Nya 2:3; Hes 26:21; Mwa 38:29; Rut 4:18Wana wa Yuda walikuwa:
Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
2Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.
3Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu:
Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi. 44:4 1Nya 2:50; Rut 1:19Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha.
Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.
54:5 1Nya 2:24Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
6Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
7Wana wa Hela walikuwa:
Serethi, Sohari, Ethnani, 8na Kosi ambaye aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za Aharheli mwana wa Harumu.
94:9 Mwa 34:19; Za 112:6; Mit 10:7; Mwa 3:16Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.” 104:10 Mwa 12:8; 1Nya 16:8; Ay 12:4; 22:27; Isa 12:4; 1Fal 3:7-13; Mt 7:7-11; Za 21:4; 65:2Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
11Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni. 12Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.
134:13 Yos 15:17Wana wa Kenazi walikuwa:
Othnieli na Seraya.
Wana wa Othnieli walikuwa:
Hathathi na Meonathai. 144:14 Neh 11:35Meonathai akamzaa Ofra.
Seraya akamzaa Yoabu,
baba wa Ge-Harashimu.4:14 Maana yake Bonde la Mafundi. Liliitwa hivyo kwa sababu watu walioishi humo walikuwa mafundi.
15Kalebu mwana wa Yefune alikuwa na wana watatu:
Iru, Ela na Naamu.
Naye mwana wa Ela alikuwa:
Kenazi.
16Wana wa Yahaleleli walikuwa:
Zifu, Zifa, Tiria na Asareli.
174:17 Kut 15:20Wana wa Ezra walikuwa:
Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmojawapo wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa. 184:18 Yos 15:34Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.
194:19 Yos 15:44; Kum 3:14Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa:
baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.
20Wana wa Shimoni walikuwa:
Amnoni, Rina, Ben-Hanani na Tiloni.
Wazao wa Ishi walikuwa:
Zohethi na Ben-Zohethi.
214:21 Mwa 38:5Wana wa Shela, mwana wa Yuda, walikuwa:
Eri baba yake Leka, Laada baba yake Maresha na jamaa za wafumaji nguo za kitani safi waliokuwa wakiishi huko Beth-Ashbea, 224:22 2Sam 8:2Yokimu, watu walioishi Kozeba, Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu na Yashubi-Lehemu. (Taarifa hizi ni za zamani sana.) 23Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.
Simeoni
244:24 Mwa 21:14; Yos 15:26Wazao wa Simeoni walikuwa:
Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.
25Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.
26Wazao wa Mishma walikuwa:
Hamueli aliyemzaa Zakuri, Zakuri akamzaa Shimei.
27Shimei alikuwa na wana kumi na sita, na binti sita, lakini ndugu zake hawakuwa na watoto wengi, hivyo ukoo wao wote haukuwa na watu wengi kama ukoo wa Yuda. 28Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali, 294:29 Yos 15:29Bilha, Esemu, Toladi, 30Bethueli, Horma, Siklagi, 314:31 Yos 15:35Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi. 324:32 Hes 34:11; Yos 15:42Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano: 33pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.
34Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia, 35Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli. 36Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya, 37Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.
38Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana, 394:39 Yos 15:58wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao. 404:40 Amu 18:7-10; Mwa 9:22; 10:6; Za 78:51Huko walipata malisho mengi mazuri, nayo nchi ilikuwa na nafasi kubwa, yenye amani na utulivu. Baadhi ya Wahamu waliishi huko zamani.
414:41 2Nya 20:1; 26:7; 2Fal 18:8Watu walioorodheshwa majina walikuja katika nchi hiyo wakati wa Hezekia mfalme wa Yuda. Akawashambulia Wahamu katika makao yao pamoja na Wameuni ambao walikuwako huko nao wakawaangamiza kabisa, kama ilivyo dhahiri hadi leo. Kisha wakafanya makazi yao huko kwa sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa ajili ya mifugo yao. 424:42 Mwa 14:6Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri. 434:43 1Sam 15:8; 2Sam 8:12Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.