出埃及记 7 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

出埃及记 7:1-25

亚伦和摩西面见法老

1耶和华对摩西说:“我要使你在法老面前像上帝一样,你哥哥亚伦是你的发言人。 2你要传达我吩咐你的一切话,你哥哥亚伦要求法老让以色列人离开他的国家。 3可是,我要使法老的心刚硬,虽然我在埃及行许多神迹奇事, 4他仍无动于衷。那时,我必伸手重重地惩罚埃及,然后领我大队的以色列子民离开埃及5我伸手攻击他们,把以色列人带出埃及之时,埃及人就会知道我是耶和华。” 6摩西亚伦便遵命而行。 7他们去见法老的时候,摩西八十岁,亚伦八十三岁。

8耶和华对摩西亚伦说: 9“倘若法老要你们行神迹给他看,你就吩咐亚伦把手杖扔在法老面前,使杖变作蛇。”

10摩西亚伦照耶和华的吩咐来到法老面前。亚伦把手杖扔在法老和他的臣仆面前,杖就变作蛇。 11法老召智者和巫师前来,这些人是埃及的术士,他们也用邪术如法炮制。 12各人将自己的手杖扔在地上,杖就变作蛇,但亚伦的杖吞噬了他们的杖。 13法老却仍然硬着心,不肯听从摩西亚伦,正如耶和华所言。

水变血之灾

14耶和华对摩西说:“法老非常顽固,不肯放百姓走。 15明天早晨,法老会去尼罗河边,你去河边见他,要拿着曾变成蛇的手杖。 16你要对他说,‘希伯来人的上帝耶和华差遣我来告诉你,要让祂的子民到旷野去事奉祂,但到如今你还是不肯。 17所以祂说要用手杖击打尼罗河水,使河水变成血,好叫你知道祂是耶和华。 18河里的鱼会死,河水会发臭,埃及人不能再喝尼罗河的水。’”

19耶和华对摩西说:“你告诉亚伦,让他向埃及境内的各江河、溪流、池塘伸杖,使水变成血。埃及境内,包括木头和石头器皿中将到处是血。” 20摩西亚伦就按着耶和华所吩咐的去做,亚伦在法老和他的众臣仆面前举杖击打尼罗河水,河水都变成了血。 21河里的鱼都死了,河水臭得不能饮用。埃及遍地都是血。 22可是,埃及的巫师用邪术同样使水变成血。法老仍然硬着心,不肯听从摩西亚伦的话,正如耶和华所言。 23法老若无其事地转身回宫去了。 24因为河水不能饮用,埃及人就在尼罗河两岸掘井取水饮用。

25耶和华击打河水后,七天过去了。

Kiswahili Contemporary Version

Kutoka 7:1-25

17:1 Kut 4:15, 16; Mdo 14:12Kisha Bwana akamwambia Mose, “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu kwa Farao, naye Aroni, huyo ndugu yako, atakuwa nabii wako. 2Utasema kila kitu nitakachokuagiza, naye Aroni ndugu yako atamwambia Farao awaachie Waisraeli watoke katika nchi yake. 37:3 Kut 3:20; 4:21; Rum 9:18; Mdo 7:36Lakini nitaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu. Ingawa nitazidisha ishara na maajabu katika Misri, 47:4 Kut 3:20; 6:26; 8:15-19; 9:12; 11:9; Mdo 7:36hatawasikiliza. Kisha nitaupeleka mkono wangu juu ya Misri, na kwa matendo makuu ya hukumu nitavitoa vikundi vyangu, watu wangu Waisraeli. 57:5 Kut 3:20; 6:2; Za 138:7; Eze 6:14; 25:13Nao Wamisri watajua kuwa Mimi ndimi Bwana nitakapounyoosha mkono wangu dhidi ya Misri na kuwatoa Waisraeli watoke humo.”

67:6 Mwa 6:22Mose na Aroni wakafanya sawasawa kama vile Bwana alivyowaagiza. 77:7 Kum 31:2; 34:7; Mdo 7:23-30Mose alikuwa na umri wa miaka themanini na Aroni alikuwa na umri wa miaka themanini na mitatu walipozungumza na Farao.

Fimbo Ya Aroni Yawa Nyoka

8Bwana akamwambia Mose na Aroni, 97:9 Kum 6:22; 2Fal 19:29; Za 78:43; 105:27; Isa 7:11; 37:30; 38:7-8; 55:13; Yn 2:11; Kut 4:2-5“Farao atakapowaambia, ‘Fanyeni muujiza,’ basi mwambie Aroni, ‘Chukua fimbo yako na uitupe chini mbele ya Farao,’ nayo fimbo itakuwa nyoka.”

10Ndipo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao wakafanya sawasawa kama vile Bwana alivyoagiza. Aroni akaitupa ile fimbo yake chini mbele ya Farao na maafisa wake, nayo ikawa nyoka. 117:11 Kut 22:18; Kum 18:10; 1Sam 6:12; 2Fal 21:6; Isa 2:6; 47:12; Yer 27:9; Mal 3:5; Mwa 41:8; 2Tim 3:8; Mt 24:24Farao naye akawaita watu wenye maarifa na wachawi na waganga wa Kimisri, nao wakafanya vivyo hivyo kwa siri ya uganga wao. 12Kila mmoja alitupa fimbo yake chini, nayo ikawa nyoka. Lakini fimbo ya Aroni ikazimeza zile fimbo zao. 137:13 Kut 4:21Hata hivyo moyo wa Farao ukawa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na Aroni, sawasawa kama vile Bwana alivyokuwa amesema.

Pigo La Kwanza: Damu

147:14 Kut 7:22; 9:7; 10:20-27; 8:15, 32Kisha Bwana akamwambia Mose, “Moyo wa Farao ni mgumu, anakataa kuwaachia watu kuondoka. 15Nenda kwa Farao asubuhi wakati anapokwenda mtoni. Ngoja ukingoni mwa Naili ili uonane naye, na uchukue mkononi mwako fimbo ile iliyobadilishwa kuwa nyoka. 167:16 Kut 3:18Kisha umwambie, ‘Bwana, Mungu wa Waebrania, amenituma nikuambie: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu jangwani. Lakini hadi sasa hujasikiliza. 177:17 Kut 4:9; 6:2; 14:25; Ufu 11:6; 16:4Hili ndilo Bwana asemalo: Kwa hili utajua kuwa Mimi ndimi Bwana: Fimbo iliyo mkononi mwangu nitapiga nayo maji ya Naili nayo yatabadilika kuwa damu. 187:18 Isa 19:6; Za 78:44Samaki waliomo katika Mto Naili watakufa, nao mto utanuka vibaya, Wamisri hawataweza kunywa hayo maji yake.’ ”

197:19 Kut 4:2; 14:21; 2Fal 5:11Bwana akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Chukua ile fimbo yako unyooshe mkono wako juu ya maji ya Misri, juu ya chemchemi na mifereji, juu ya madimbwi na mabwawa yote,’ navyo vitabadilika kuwa damu. Damu itakuwa kila mahali katika Misri, hata kwenye vyombo vya miti na vya mawe.”

207:20 Kut 17:5; Za 78:44; 105:29; 114:3; Hab 3:8Mose na Aroni wakafanya kama vile Bwana alivyokuwa amewaagiza. Akainua fimbo yake machoni pa Farao na maafisa wake na kuyapiga maji ya Mto Naili, na maji yote yakabadilika kuwa damu. 21Samaki katika Mto Naili wakafa, nao mto ukanuka vibaya sana kiasi kwamba Wamisri hawakuweza kunywa maji yake. Damu ilikuwa kila mahali katika nchi ya Misri.

227:22 Mwa 41:8; Mt 24:24; Kut 8:19; Za 105:28Lakini waganga wa Misri kwa kutumia siri ya uganga wao wakafanya vivyo hivyo, nao moyo wa Farao ukawa mgumu, hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama vile Bwana alivyokuwa amesema. 23Badala yake, Farao akageuka, akaenda kwenye jumba lake la kifalme, wala hakulitia hili moyoni. 24Nao Wamisri wote wakachimba kandokando ya Mto Naili kupata maji ya kunywa, kwa sababu hawakuweza kunywa maji ya mto.

Pigo La Pili: Vyura

25Zilipita siku saba baada ya Bwana kuyapiga maji ya Mto Naili.