出埃及记 19 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

出埃及记 19:1-25

以色列人在西奈山

1以色列人离开埃及满三个月的那一天,他们来到西奈旷野。 2他们离开利非订,来到西奈旷野,在那里的山下安营。

3摩西上山到上帝那里,耶和华从山上呼唤他说:“你告诉雅各家,告诉以色列人, 4‘我怎样对付埃及人,怎样像鹰一样把你们背在翅膀上带来归属我,你们都看见了。 5现在,你们若真心听从我的话,遵守我的约,就必在万民中做我宝贵的产业,因为普天下都是我的。 6你们要归于我,作祭司之国、圣洁之邦。这些话你要告诉以色列人。’”

7摩西召集以色列的长老,把耶和华对他的一切吩咐都转告他们。 8百姓都齐声回答说:“凡耶和华所吩咐的,我们都愿意遵从。”

摩西便把他们的话回报耶和华。 9耶和华对摩西说:“我会在密云中临到你那里,使百姓也可以亲耳听见我与你说话的声音,这样他们就会永远信赖你。”摩西以色列人的话回报耶和华。 10耶和华对摩西说:“你现在回到他们那里,吩咐他们今天和明天要洁净自己,洗净衣服, 11到后天都要预备好,因为这一天耶和华要在百姓眼前降临在西奈山上。 12此外,你要在山的四围划定界限,吩咐百姓不得上山或触碰山的边界,触碰者必被处死。 13你们不可用手碰违例者,要用石头打死他或用箭射死他,无论人畜,都不可存活。等到角声长鸣时,百姓才可上山。” 14于是,摩西下山回到百姓那里,吩咐他们各人洁净自己,洗净衣服。 15又吩咐他们说:“到后天一切都要准备好,这期间你们不可亲近女人。”

16到了第三天早晨,山上雷电大作,乌云密布,又有嘹亮的号角声,营中的百姓都胆战心惊。 17摩西率领百姓出营迎接上帝,他们都站在山脚下。 18因为耶和华在火中降临到西奈山,山上弥漫着浓烟,滚滚上腾,好像一个大火窑,整座山剧烈震动。 19号角声越来越嘹亮。摩西说话,上帝用雷鸣回应他。 20耶和华降临在西奈山顶,召摩西到山顶,摩西就上去了。 21耶和华对摩西说:“你下去警告百姓不可闯过界限到我这里观看,以免很多人死亡。 22吩咐到我面前来的祭司要洁净自己,免得我忽然出来击杀他们。”

23摩西对耶和华说:“百姓不能上西奈山,因为你已经吩咐我们要在山的四围划定界限,使这山圣洁。” 24耶和华对他说:“你下去把亚伦一起带来,祭司和百姓仍要留在原来的地方,不得乱闯到我面前,免得我忽然出来击杀他们。” 25摩西就下去,把耶和华的话转告给百姓。

Kiswahili Contemporary Version

Kutoka 19:1-25

Waisraeli Kwenye Mlima Sinai

119:1 Kut 6:6; Hes 3:14; 33:15Mnamo mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kuondoka Misri, siku kama iyo hiyo, wakafika katika Jangwa la Sinai. 219:2 Kut 17:1; 36:1; Kum 5:2-4Baada ya kuondoka Refidimu, waliingia katika Jangwa la Sinai na Israeli wakapiga kambi pale jangwani mbele ya mlima.

319:3 Kut 20:21; 3:4; 25:22; Mdo 7:38Kisha Mose akakwea kwenda kwa Mungu, naye Bwana akamwita kutoka kwenye ule mlima akasema, “Hivi ndivyo utakavyosema na nyumba ya Yakobo na utakachowaambia watu wa Israeli: 419:4 Kum 29:2; Yos 24:7; Kum 32:11; Za 103:5; Isa 40:31; Yer 4:13; 48:40; Ufu 12:14; Kum 33:12; Isa 31:5; Eze 16:6‘Ninyi wenyewe mmeona nililofanya huko Misri, jinsi nilivyowabeba kwenye mbawa za tai na kuwaleta kwangu. 519:5 Kut 15:26; Kum 6:3; Za 78:10; Yer 7:23; Mwa 17:9; Kut 3:1; 8:22; 34:9; Kum 1:8; Tit 2:14; Kut 9:29; 1Kor 10:26Sasa kama mkinitii kikamilifu na kutunza Agano langu, basi ninyi mtakuwa mali yangu ya thamani kubwa miongoni mwa mataifa yote. Ijapokuwa dunia yote ni mali yangu, 619:6 Isa 61:6; 66; 21; 1Pet 2:5; Mwa 18:19; Law 11:45; Kum 4:27; 7:6; 26:19; 28:9; 29:13; 33:3; Isa 4:3; 62:12; Yer 2:3; Amo 3:2ninyi mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa Israeli.”

719:7 Kut 18:12; Law 4:15; 9:1; Hes 16:25; Kut 4:30; Isa 8:10Kwa hiyo Mose akarudi, akawaita wazee wa watu na kuwaambia maneno yote ambayo Bwana alikuwa amemwamuru ayaseme. 819:8 Kut 24:3-7; Kum 5:27; 26:17Watu wote wakajibu kwa pamoja, “Tutafanya kila kitu Bwana alichokisema.” Naye Mose akarudisha majibu yao kwa Bwana.

919:9 Kut 20:21; 24:15-16; 33:9; 34:5; Kum 4:11; 2Sam 22:10-12; 2Nya 6:1; Kut 4:5; Za 18:11; 97:2; 99:7; Mt 17:5; Kum 4:12, 36; Yn 12:29-30Bwana akamwambia Mose, “Nitakujia katika wingu zito, ili watu wanisikie nikinena nawe na kila mara waweke tumaini lao kwako.” Kisha Mose akamwambia Bwana yale ambayo watu walikuwa wamesema.

1019:10 Law 11:44; Hes 11:18; Isa 16:5; Yoe 2:16; Ebr 10:22; Mwa 35:2; Ufu 22:14Naye Bwana akamwambia Mose, “Nenda kwa watu ukawaweke wakfu leo na kesho. Waambie wafue nguo zao 1119:11 Mwa 11:5; Kut 3:1; 24:16; 31:18; 34:2-4, 29-32; Law 7:38; 26:46; 27:34; Hes 3:1; Dan 10:5; Neh 9:13; Gal 4:24-25na wawe tayari siku ya tatu, kwa sababu siku hiyo, Bwana atashuka juu ya mlima Sinai machoni pa watu wote. 12Weka mipaka kuzunguka mlima kwa ajili ya watu, uwaambie, ‘Mwe waangalifu, msije mkapanda mlimani au kuugusa. Yeyote atakayeugusa mlima hakika atauawa. 1319:13 Ebr 12:20; Yos 6:4; 1Nya 15:28; Za 81:3; 98:6; Kut 34:3Hakika atapigwa mawe au kupigwa mishale; mkono wa mtu hautamgusa. Akiwa mwanadamu au mnyama, hataruhusiwa kuishi.’ Ila tu wakati baragumu itakapopigwa kwa mfululizo, ndipo watu wote watakapopanda mlimani.”

1419:14 Mwa 35:2Baada ya Mose kushuka kutoka mlimani akawaendea watu na kuwaweka wakfu, wakafua nguo zao. 1519:15 1Sam 21:4; 1Kor 7:5Kisha akawaambia watu, “Jitayarisheni kwa ajili ya siku ya tatu. Mwanaume yeyote asimkaribie mwanamke.”

1619:16 1Sam 2:10; Isa 29:6; Ebr 12:18-19; Ufu 4:1; Mwa 3:10; 1Sam 13:7; 14:15; 28:5; Za 99:1; Ebr 12:21Asubuhi ya siku ya tatu kulikuwa na ngurumo na radi pamoja na wingu nene juu ya mlima na mlio mkubwa sana wa tarumbeta. Kila mmoja aliyekuwa kambini akatetemeka. 1719:17 Kum 4:11Kisha Mose akawaongoza watu kutoka kambini kukutana na Mungu, nao wakasimama chini ya mlima. 1819:18 Kut 20:18; Za 104:32; Isa 6:4; Ufu 15:8; Kut 3:2; 24:17; Law 9:24; Kum 4:11, 24, 33; 5:4; 9:3; 1Fal 18:24, 38; 1Nya 21:26; 2Nya 7:1; Za 18:8; Ebr 12:18; Mwa 19:28; Ufu 9:2; Amu 5:5; 2Sam 22:8; Za 68:8; Isa 2:19; 5:25; 41:15; 64:1; Yer 4:24; 10:10; Mik 1:4; Nah 1:5; Hab 3:6-10; Hag 2:6Mlima Sinai ulikuwa umefunikwa na moshi, kwa sababu Bwana alishuka juu yake katika moto. Moshi wa moto huo ulipanda juu kama moshi kutoka kwenye tanuru kubwa na mlima wote ukatetemeka kwa nguvu nyingi, 1919:19 Kum 4:33; Neh 9:13; Za 81:7nayo sauti ya tarumbeta ikawa kubwa zaidi na zaidi. Kisha Mose akazungumza na sauti ya Bwana ikamjibu.

20Bwana akashuka juu ya Mlima Sinai na akamwita Mose apande juu mlimani. Kwa hiyo Mose akapanda juu, 2119:21 Kut 24:10-11; Hes 4:20; 1Sam 6:19naye Bwana akamwambia Mose, “Shuka ukawaonye watu ili wasijipenyeze kutafuta kumwona Bwana na wengi wao wakafa. 2219:22 Law 10:3; 1Sam 16:5; 2Nya 29:5; Yoe 2:16; 2Sam 6:7Hata makuhani, watakaomkaribia Bwana ni lazima wajiweke wakfu, la sivyo Bwana atawaadhibu.”

23Mose akamwambia Bwana, “Watu hawawezi kupanda mlima Sinai kwa sababu wewe mwenyewe ulituonya ukisema, ‘Wekeni mipaka kuuzunguka mlima na kuutenga kama patakatifu.’ ”

2419:24 Kut 24:1, 9Bwana akajibu, “Shuka ukamlete Aroni pamoja nawe. Lakini makuhani pamoja na watu wasije wakalazimisha kuja kwa Bwana, nisije nikawaadhibu.”

25Basi Mose akashuka kwa watu na kuwaambia lile aliloambiwa.