使徒行传 10 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

使徒行传 10:1-48

哥尼流邀请彼得

1凯撒利亚有一位隶属意大利营的百夫长名叫哥尼流2他和全家都是虔诚敬畏上帝的人,他慷慨周济穷人,常常祷告。 3一天,大约下午三点,他在异象中清楚地看见一位上帝的天使进来呼唤他:“哥尼流!”

4哥尼流惊恐地注视着他,问:“主啊,什么事?”

天使回答说:“你的祷告和周济穷人的善行已经在上帝面前蒙悦纳。 5如今你要派人去约帕,请一个叫西门·彼得的人来。 6他住在一个叫西门的皮革匠家里,房子在海边。”

7向他说话的天使离开后,哥尼流叫来两个家仆和自己的一个敬虔侍卫, 8把刚才的事告诉他们,然后差他们去约帕

彼得见异象

9第二天中午,他们快要到达约帕时,彼得上屋顶去祷告。 10他觉得肚子饿了,想吃东西。那家人正在预备午饭的时候,彼得进入异象, 11看见天开了,有一样东西好像一大块布,四角吊着降到地上, 12里面有各种天上的飞禽、地上的爬虫和四足的走兽。 13然后有声音对他说:“彼得,起来,宰了吃!”

14彼得却说:“主啊!这可不行!我从未吃过任何污秽不洁之物。”

15那声音又一次对他说:“上帝已经洁净的,你不可再称之为不洁净。” 16这样一连三次之后,那块布就被收回天上去了。

17彼得不知所措,正在猜测这异象到底是什么意思,哥尼流的仆人们刚好找来了, 18正站在门口大声问西门·彼得是否住在这里。

19彼得还在苦苦思索的时候,圣灵又对他说:“彼得,外面有三个人来找你, 20快下楼跟他们去,不必多虑,他们是我差来的。” 21彼得就下去见他们,说:“我就是你们要找的人,有什么事?”

22他们说:“哥尼流百夫长是个又正直又敬畏上帝的人,连犹太人都称赞他。上帝的天使指示他请你到他家里去,好听你的指教。”

23彼得就留他们住了一夜。第二天,彼得和他们以及几个约帕的弟兄一同出发了。 24又过了一天,他们到达凯撒利亚哥尼流已经请来亲朋好友,在等候他们。 25他一看见彼得,就迎上去俯伏在他脚前拜他。 26彼得连忙把他扶起来,说:“快起来,我只不过是人。”

27彼得和他边走边谈,进屋后,见聚集了许多人, 28就对他们说:“你们都知道,按照犹太人的传统,我们不可以和外族人来往。但上帝已经指示我不可把任何人视为污秽不洁。 29所以,我受到邀请后,毫不犹豫地来了。请问你们为什么请我来?”

30哥尼流说:“四天前,大约也是下午三点这个时候,我在家里祷告,忽然有一个身穿明亮衣服的人站在我面前, 31说,‘哥尼流,上帝已经垂听了你的祷告,也悦纳你周济穷人的善行。 32你派人去约帕把那位叫西门·彼得的人请来,他住在海边一个叫西门的皮革匠家。’ 33于是我立刻派人去请你。你能来,真是荣幸,现在我们都在上帝面前,想聆听主吩咐你传给我们的话。”

福音临到外族人

34彼得说:“现在我深深地明白,上帝不偏待人。 35无论哪一个民族,只要敬畏祂,秉公行义,都会蒙祂接纳。 36上帝借着万物的主宰——耶稣基督把平安的福音传给以色列人。 37你们都知道,自从约翰宣讲洗礼以来,从加利利开始,整个犹太地区发生了什么事。 38你们也知道,拿撒勒人耶稣是上帝用圣灵和大能膏立的。祂周游四方,广行善事,医好被魔鬼压制的人,因为上帝与祂同在。 39我们亲眼目睹了耶稣在犹太全境和耶路撒冷所做的一切。可是,世人却把祂钉死在十字架上。 40但第三天,上帝使祂从死里复活,并且向人显现, 41不是向所有的人显现,而是向被上帝预先拣选为祂做见证的人显现,就是我们这些在祂复活以后与祂一同吃喝过的人。 42祂命令我们向世人传道,见证祂就是上帝指派来审判活人和死人的那位。 43所有先知也都为祂做见证说,‘谁信祂,谁的罪就能借着祂的名得到赦免。’”

44彼得还在说话的时候,圣灵就降临在每一个听道的人身上。 45彼得一起来的那些严守割礼的信徒,看见圣灵的恩赐也浇灌到外族人身上,都很惊奇。 46因为他们听见这些人又说方言又赞美上帝。于是彼得说: 47“既然这些人已经和我们一样领受了圣灵,谁能阻止他们接受洗礼呢?” 48彼得吩咐他们奉耶稣基督的名受洗。之后,他们又请彼得住了几天。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Matendo 10:1-48

Kornelio Amwita Petro

110:1 Mdo 8:40Katika mji wa Kaisaria palikuwa na mtu jina lake Kornelio, ambaye alikuwa jemadari wa kile kilichojulikana kama kikosi cha Kiitalia. 210:2 Mdo 13:16-26Yeye alikuwa mcha Mungu pamoja na wote wa nyumbani mwake. Aliwapa watu sadaka nyingi na kumwomba Mungu daima. 310:3 Mdo 3:1; 9:10; 5:19Siku moja alasiri, yapata saa tisa, aliona maono waziwazi, malaika wa Mungu akimjia na kumwambia, “Kornelio!”

410:4 Za 20:3; Mt 10:42; Ufu 8:4Kornelio akamkazia macho kwa hofu akasema, “Kuna nini, Bwana?”

Malaika akamwambia, “Sala zako na sadaka zako kwa maskini zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu. 510:5 Mdo 9:36Sasa tuma watu waende Yafa wakamwite mtu mmoja jina lake Simoni aitwaye Petro. 610:6 Mdo 9:43Yeye anaishi na Simoni mtengenezaji ngozi ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.”

7Yule malaika aliyekuwa akizungumza naye alipoondoka, Kornelio akawaita watumishi wake wawili pamoja na askari mmoja mcha Mungu aliyekuwa miongoni mwa wale waliomtumikia. 810:8 Mdo 9:36Akawaambia mambo yote yaliyotukia, kisha akawatuma waende Yafa.

Maono Ya Petro

910:9 Mt 24:17; Mdo 11:5Siku ya pili yake, walipokuwa wameukaribia mji, wakati wa adhuhuri, Petro alipanda juu ya nyumba kuomba. 1010:10 Mdo 22:17Alipokuwa akiomba akahisi njaa, akatamani kupata chakula. Lakini wakati walikuwa wakiandaa chakula, akalala usingizi mzito sana. 1110:11 Mdo 11:5-17; Mt 3:16; Ufu 19:11Akaona mbingu zimefunguka na kitu kama nguo kubwa kikishushwa duniani kwa ncha zake nne. 12Ndani yake walikuwepo aina zote za wanyama wenye miguu minne, nao watambaao nchini, na ndege wa angani. 13Ndipo sauti ikamwambia “Petro, ondoka, uchinje na ule.”

1410:14 Mdo 9:5; Kum 14:3-20; Eze 4:14Petro akajibu, “La hasha Bwana! Sijawahi kamwe kula kitu chochote kilicho najisi.”

1510:15 Mwa 9:3; Tit 1:15Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”

16Jambo hili lilitokea mara tatu na ghafula ile nguo ikarudishwa mbinguni.

1710:17 Mdo 9:10; 10:7, 8Wakati Petro akiwa bado anajiuliza kuhusu maana ya maono haya, wale watu waliokuwa wametumwa na Kornelio wakaipata nyumba ya Simoni mtengenezaji wa ngozi wakawa wamesimama mbele ya lango. 18Wakabisha hodi na kuuliza kama Simoni aliyeitwa Petro alikuwa anaishi hapo.

1910:19 Mdo 8:29; 13:2; 15:28Wakati Petro akiwa anafikiria juu ya yale maono, Roho Mtakatifu akamwambia, “Simoni, wako watu watatu wanaokutafuta. 2010:20 Mdo 15:7-9Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”

21Petro akashuka na kuwaambia wale watu waliokuwa wametumwa kutoka kwa Kornelio, “Mimi ndiye mnayenitafuta. Mmekuja kwa sababu gani?”

2210:22 Mdo 11:14Wale watu wakamjibu, “Tumetumwa na Kornelio yule jemadari. Yeye ni mtu mwema anayemcha Mungu, na anaheshimiwa na Wayahudi wote. Yeye ameagizwa na malaika mtakatifu akukaribishe nyumbani kwake, ili asikilize maneno utakayomwambia.” 2310:23 Mdo 1:16Basi Petro akawakaribisha wakafuatana naye ndani, akawapa pa kulala. Kesho yake akaondoka pamoja nao, na baadhi ya ndugu kutoka Yafa wakafuatana naye.

Petro Nyumbani Mwa Kornelio

2410:24 Mdo 8:40Siku iliyofuata wakawasili Kaisaria. Kornelio alikuwa akiwangoja pamoja na jamaa yake na marafiki zake wa karibu. 25Petro alipokuwa akiingia ndani, Kornelio alikuja kumlaki, akaanguka miguuni pake kwa heshima. 2610:26 Ufu 19:10; 22:8-9Lakini Petro akamwinua akamwambia, “Simama, mimi ni mwanadamu tu.”

27Petro alipokuwa akizungumza naye akaingia ndani na kukuta watu wengi wamekusanyika. 2810:28 Yn 4:9; 18:28; Mdo 15:8-9Akawaambia, “Mnajua kabisa kwamba ni kinyume cha sheria yetu Myahudi kuchangamana na mtu wa Mataifa au kumtembelea. Lakini Mungu amenionyesha kwamba nisimwite mtu yeyote kuwa najisi au asiye safi. 29Ndiyo sababu ulipotuma niitwe nilikuja bila kupinga lolote. Basi sasa naomba unieleze kwa nini umeniita?”

3010:30 Mt 28:3; Mk 16:5; Lk 24:4; Yn 20:12Kornelio akajibu, “Siku nne zilizopita, nilikuwa nyumbani nikisali saa kama hii, saa tisa alasiri. Ghafula mtu aliyevaa nguo zilizongʼaa akasimama mbele yangu, 3110:31 Mdo 10:4; Dan 10:12; Ebr 6:10akasema, ‘Kornelio, maombi yako yamesikiwa na sadaka zako kwa maskini zimekumbukwa mbele za Mungu. 32Basi tuma watu waende Yafa wakaulize mtu mmoja Simoni aitwaye Petro, yeye ni mgeni katika nyumba ya Simoni mtengenezaji ngozi, ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.’ 33Nilituma watu kwako mara moja, nawe umefanya vyema kuja. Basi sasa sisi sote tuko hapa mbele za Mungu kuyasikiliza yote ambayo Bwana amekuamuru kutuambia.”

Hotuba Ya Petro

3410:34 Ay 34:19; Mk 12:14Ndipo Petro akafungua kinywa chake akasema, “Mungu hana upendeleo, 3510:35 Mdo 15:9Lakini katika kila taifa, kila mtu amchaye na kutenda yaliyo haki hukubaliwa naye. 3610:36 Mdo 13:32; Lk 2:14; Mt 28:18Ninyi mnajua ule ujumbe uliotumwa kwa Israeli, ukitangaza habari njema za amani kwa Yesu Kristo. Yeye ni Bwana wa wote. 3710:37 Lk 4:14; Mt 4:12-17Mnajua yale yaliyotukia katika Uyahudi wote kuanzia Galilaya baada ya mahubiri ya Yohana Mbatizaji: 3810:38 Mdo 4:26; Mt 4:23; Yn 3:2Jinsi Mungu alivyomtia Yesu wa Nazareti mafuta katika Roho Mtakatifu na jinsi alivyokwenda huku na huko akitenda mema na kuponya wote waliokuwa wameonewa na nguvu za ibilisi, kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.

3910:39 Lk 24:48; Mdo 5:30“Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyoyafanya katika Uyahudi na Yerusalemu. Wakamuua kwa kumtundika msalabani. 4010:40 Mdo 2:24Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu siku ya tatu na akamwezesha kuonekana na watu. 4110:41 Yn 14:17-22; Lk 24:43; Yn 21:13Hakuonekana kwa watu wote, lakini kwetu sisi tuliochaguliwa na Mungu kuwa mashahidi, ambao tulikula na kunywa naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu. 4210:42 Mt 28:19-20; 2Tim 4:11; 1Pet 4:5Naye alituamuru kuhubiri kwa watu wote na kushuhudia kwamba ndiye alitiwa mafuta na Mungu kuwa hakimu wa walio hai na wafu. 4310:43 Isa 53:11; Mdo 26:22; 15:9Manabii wote walishuhudia juu yake kwamba kila mtu amwaminiye hupokea msamaha wa dhambi katika Jina lake.”

Watu Wa Mataifa Wapokea Roho Mtakatifu

4410:44 Lk 1:15; Mdo 19:6Wakati Petro alikuwa akisema maneno haya, Roho Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwa wakisikiliza ule ujumbe. 4510:45 Mdo 2:33-38; 11:18; 15:8Wale wa tohara walioamini waliokuja na Petro walishangaa kwa kuona kuwa kipawa cha Roho Mtakatifu kimemwagwa juu ya watu wa Mataifa. 4610:46 Mk 16:17Kwa kuwa waliwasikia wakinena kwa lugha mpya na kumwadhimisha Mungu.

Ndipo Petro akasema, 4710:47 Mdo 8:36; 11:17; Yn 20:22“Je, kuna mtu yeyote anayeweza kuzuia watu hawa wasibatizwe kwa maji? Wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi tulivyompokea.” 4810:48 Mdo 2:38; 8:16Kwa hiyo akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Wakamsihi Petro akae nao kwa siku chache.