以赛亚书 27 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

以赛亚书 27:1-13

以色列必蒙拯救

1到那日,耶和华必用祂无坚不摧的利剑惩罚海怪,那蜿蜒、快速爬行的蛇。祂必杀死那海中的怪物。

2到那日,你们要歌颂那佳美的葡萄园。

3我耶和华是看守它的,

我勤加浇灌,

昼夜守护,

不让人毁坏。

4我不再发怒。

若是发现荆棘和蒺藜,

我就对付它们,

把它们烧光,

5除非它们寻求我的庇护,

要与我和好,

要与我和好。

6将来,雅各必扎根生长,

以色列必发芽开花,

果实遍地。

7耶和华岂像击打以色列的敌人那样击打以色列人?

祂岂像杀戮以色列的敌人那样杀戮以色列人?

8祂与以色列人为敌,

使他们被掳,

祂驱逐他们离开本地,

在刮东风的日子,用暴风吹散他们。

9雅各家的罪恶必借此得到赦免,

他们罪恶被除掉后的硕果是:

把一切祭坛的石头打得粉碎,如同石灰粉,

推倒亚舍拉神像和香坛。

10坚城荒凉,居所被遗弃,

如同旷野一样杳无人烟。

牛犊在那里吃草、躺卧,

吃光树枝上的叶子。

11树枝枯干断落,

妇女拿去作柴烧。

因为这是愚昧无知的民族,

所以他们的创造主必不怜悯他们,

也不向他们施恩。

12以色列人啊,到那日,耶和华必从幼发拉底河到埃及小河把你们一个个召集起来,像打树拾果子一样。 13到那日,号角大响后,亚述地将要灭亡的以色列人和流亡到埃及以色列人,都必来到耶路撒冷的圣山敬拜耶和华。

Kiswahili Contemporary Version

Isaya 27:1-13

Wokovu Kwa Ajili Ya Israeli

127:1 Eze 29:3; Mwa 3:24; Hes 3:15; Ufu 12:9; Isa 2:11; Kum 32:41; Ay 26:13; Za 68:30; Isa 28:5; 31:8; 34:6; 66:16; Eze 21:3; Ay 3:8Katika siku ile,

Bwana ataadhibu kwa upanga wake,

upanga wake mkali, mkubwa na wenye nguvu,

ataadhibu Lewiathani27:1 Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. yule nyoka apitaye kwa mwendo laini,

Lewiathani yule nyoka mwenye kujipinda;

atamuua joka huyo mkubwa sana wa baharini.

227:2 Yer 2:21; Isa 24:21; 5:1Katika siku ile:

“Imbeni kuhusu shamba la mizabibu lililozaa:

327:3 Isa 58:11; Za 91:4; Yn 6:39; Isa 5:2Mimi, Bwana, ninalitunza,

nalinyweshea maji mfululizo.

Ninalichunga usiku na mchana

ili mtu yeyote asije akalidhuru.

427:4 Isa 10:17; Mt 3:12; 2Sam 23:6; Ebr 6:8Mimi sijakasirika.

Licha pangekuwepo michongoma na miiba kunikabili!

Ningepambana dhidi yake katika vita,

ningeliichoma moto yote.

527:5 Isa 25:4; Efe 2:12-14; Ay 22:21; Za 119:165; Rum 5:1; 2Kor 5:20Au niwaache waje kwangu kwa ajili ya kupata kimbilio,

wao na wafanye amani nami,

naam, wafanye amani nami.”

627:6 Mwa 40:10; Hos 14:5-8; Za 72:16; 2Fal 19:30; Eze 17:23; 36:8; Isa 11:1Katika siku zijazo, Yakobo atatia mizizi,

Israeli atatoa chipukizi na kuchanua maua,

naye atajaza ulimwengu wote kwa matunda.

727:7 Isa 10:26; 37:36-38Je, Bwana amempiga

vile alivyowapiga wale waliompiga?

Je, yeye ameuawa

vile walivyouawa wale waliomuua yeye?

827:8 Isa 49:14; Yer 10:24; Ay 23:6; Isa 54:7; Mwa 41:6; Isa 50:1Kwa vita na kwa kumfukuza unapingana naye:

kwa mshindo wake mkali anamfukuza,

kama siku ile uvumapo upepo wa mashariki.

927:9 Kut 34:13; Rum 11:27; Za 78:38; Kut 23:24; 2Nya 14:5; Law 26:30Kwa hili, basi, hatia ya Yakobo itafanyiwa upatanisho,

nalo hili litakuwa matunda ya utimilizo wa kuondolewa kwa dhambi yake:

Wakati atakapoyafanya mawe yote ya madhabahu

kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa vipande vipande,

hakuna nguzo za Ashera au madhabahu za kufukizia uvumba

zitakazobaki zimesimama.

1027:10 Kum 13:16; Isa 17:2; 5:5, 17; Mao 5:18; Yer 26:6; 10:22; Isa 32:14; Mwa 1:2; Kum 13:16; Isa 5:6; 32:14; Yer 10:22; Law 1:4; 5:18; Isa 5:5; 5:17; 17:2Mji ulio na boma umebaki ukiwa,

makao yaliyotelekezwa, yaliyoachwa kama jangwa.

Huko ndama hulisha,

huko hujilaza,

wanakwanyua matawi yake.

1127:11 Kum 32:18, 38; Yer 8:7; 4:22; Isa 9:17; 10:33; Yer 11:16; Isa 33:12; 41:8; 44:21-24Wakati vijiti vyake vimekauka, huvunjwa

nao wanawake huja na kuwasha navyo moto.

Kwa kuwa hili ni taifa lisilo na ufahamu,

kwa hiyo yeye aliyewafanya hana huruma juu yao,

Muumba wao hawaonyeshi fadhili.

1227:12 Mwa 15:18; Kum 30:4; Isa 1:9; Mt 3:12; Isa 21:10; 17:6Katika siku ile Bwana atapura kutoka matiririko ya Mto Frati hadi Kijito cha Misri, nanyi ee Waisraeli, mtakusanywa mmoja mmoja. 1327:13 Hes 10:2; Amu 3:27; Mt 24:31; Isa 10:19; Hos 8:1; Law 25:9; Za 106:47Katika siku ile tarumbeta kubwa italia. Wale waliokuwa wakiangamia katika nchi ya Ashuru, nao wale waliokuwa uhamishoni katika nchi ya Misri watakuja na kumwabudu Bwana katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.