以赛亚书 13 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

以赛亚书 13:1-22

预言审判巴比伦

1以下是亚摩斯的儿子以赛亚有关巴比伦的预言:

2你们要在光秃的山上竖立旗帜,

向战士高呼,

挥手示意他们进入贵族的城门。

3我已向我拣选的士兵发出命令,

我已号召我的勇士去倾倒我的烈怒,

他们因我的胜利而欢喜。

4听啊,山上人声鼎沸,

像是大军的声音。

那是列邦列国聚集呐喊的声音。

万军之耶和华正在召集军队,

准备作战。

5他们从远方,从天边而来。

那是耶和华及倾倒祂烈怒的兵器,

要来毁灭大地。

6你们哀号吧!

因为耶和华的日子近了,

全能者施行毁灭的时候到了。

7人们都必双手发软,人人胆战心惊,

8惊恐万状,

痛苦不堪,如同剧痛中分娩的妇人。

他们必吓得面面相觑,脸如火烧。

9看啊,耶和华的日子来临了,

是充满愤恨和烈怒的残酷之日,

要使大地荒凉,

毁灭地上的罪人。

10天上的星辰不再发光,

太阳刚出来就变黑,

月亮也暗淡无光。

11我必惩罚这邪恶的世界,

惩治罪恶的世人,

终结骄横之人的狂妄,

贬抑残暴之徒的骄傲。

12我必使人比精炼的金子还稀少,

俄斐的纯金更罕见。

13我万军之耶和华发烈怒和义愤的日子,

必使诸天震动,

使大地摇撼,脱离原位。

14人们都投奔亲族,

逃回故乡,

好像被追赶的羚羊,

又如没有牧人的羊群。

15被捉的人都会被刺死,

被逮的人都会丧身刀下。

16他们的婴孩必被摔死在他们眼前,

家园遭劫掠,

妻子被蹂躏。

17看啊,我要驱使玛代人来攻击他们。

玛代人不在乎金子,

也不看重银子,

18他们必用弓箭射死青年,

他们不怜悯婴儿,

也不顾惜孩童。

19巴比伦在列国中辉煌无比,

迦勒底人的骄傲和荣耀,

但上帝必毁灭它,

好像毁灭所多玛蛾摩拉一样。

20那里必人烟绝迹,

世世代代无人居住,

没有阿拉伯人在那里支搭帐篷,

也无人在那里牧放羊群。

21旷野的走兽在那里躺卧,

咆哮的猛兽占满房屋;

鸵鸟住在那里,

野山羊在那里跳跃嬉戏。

22豺狼在城楼上嚎叫,

野狗在华美的宫殿里狂吠。

巴比伦的结局近了,

它的时候不多了!

Kiswahili Contemporary Version

Isaya 13:1-22

Unabii Dhidi Ya Babeli

113:1 Isa 14:28; 21:9; 48:14; Ufu 14:8; Mwa 10:10; Mal 1:1; Isa 14:4; 46:1-2Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:

213:2 Za 20:5; 50:2; Yer 51:27; 51:58; 50:2; Isa 24:12; 45:2; 24:2Twekeni bendera juu ya mlima usio na kitu,

wapazieni sauti,

wapungieni mkono waingie

katika malango ya wenye heshima.

313:3 Yer 51:11; Yoe 3:11; Za 149:2; Isa 21:2; Kum 5:28; Ay 40:11Nimewaamuru watakatifu wangu;

nimewaita mashujaa wangu waitimize hasira yangu:

wale wanaoshangilia ushindi wangu.

413:4 Yoe 3:14; Za 46:6; Isa 42:13; 47:4; Yer 50:41Sikilizeni kelele juu ya milima,

kama ile ya umati mkubwa wa watu!

Sikilizeni, makelele katikati ya falme,

kama mataifa yanayokusanyika pamoja!

Bwana Mwenye Nguvu Zote anakusanya

jeshi kwa ajili ya vita.

513:5 Yos 6:17; Isa 5:26; 34:2; 54:16; 10:25; 34:2; Yer 50:25Wanakuja kutoka nchi za mbali sana,

kutoka miisho ya mbingu,

Bwana na silaha za ghadhabu yake,

kuangamiza nchi yote.

613:6 Amo 5:18; Eze 30:2; Yak 5:1; Isa 2:12; 14:31; 10:3; 15:2Ombolezeni, kwa maana siku ya Bwana i karibu,

itakuja kama uharibifu kutoka kwa Mwenyezi.13:6 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.

713:7 Eze 21:7; Yos 2:11; 2Fal 19:26; Ay 4:3; Yer 47:3Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea,

moyo wa kila mtu utayeyuka.

813:8 Nah 2:10; Yoe 2:6; Za 31:13; Isa 21:4; Za 48:5; Kut 15:14; Mwa 3:16; Yn 16:21Hofu itawakamata,

uchungu na maumivu makali yatawashika,

watagaagaa kama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa.

Watatazamana kwa hofu kila mtu na mwenzake,

nyuso zao zikiwaka kama moto.

913:9 Isa 2:12; Yer 6:23; 51:2; Isa 9:19; 66:16; Yer 25:31; Yoe 3:2Tazameni, siku ya Bwana inakuja,

siku katili, yenye ghadhabu na hasira kali,

kuifanya nchi kuwa ukiwa

na kuwaangamiza wenye dhambi waliomo ndani yake.

1013:10 Kut 10:22; Ufu 8:12; Amo 5:20; Zek 14:7; Ay 9:7; Mt 24:29; Isa 5:30; 24:23Nyota za mbinguni na makundi ya nyota

havitatoa mwanga wake.

Jua linalochomoza litatiwa giza

na mwezi hautatoa nuru yake.

1113:11 Isa 3:11; 26:21; 65:6-7; 49:25-26; Za 125:3; Mit 16:18; Dan 5:23; 4:37; Eze 28:2Nitauadhibu ulimwengu kwa ajili ya uovu wake,

waovu kwa ajili ya dhambi zao.

Nitakomesha majivuno ya wenye kiburi,

na nitakishusha kiburi cha watu wakatili.

1213:12 Isa 4:1; Mwa 10:29Nitawafanya wanadamu kuwa adimu kuliko dhahabu safi,

watakuwa wachache sana kuliko dhahabu ya Ofiri.

1313:13 Hag 2:6; Za 102:26; Isa 9:19; 14:16; 34:4; Mt 24:7; Ay 9:5; 9:6; Mk 13:8Kwa hiyo nitazifanya mbingu zitetemeke,

nayo dunia itatikisika kutoka mahali pake

katika ghadhabu ya Bwana Mwenye Nguvu Zote,

katika siku ya hasira yake iwakayo.

1413:14 Nah 3:7; Yn 10:11; Yer 51:9; 46:16; 4:9; Mit 6:5; Isa 17:13; 21:15; 33:3; Mt 9:36Kama swala awindwaye,

kama kondoo wasio na mchungaji,

kila mmoja atarudi kwa watu wake mwenyewe,

kila mmoja atakimbilia nchi yake ya kuzaliwa.

1513:15 Yer 50:25; 51:4; Isa 14:19Yeyote atakayetekwa atapasuliwa tumbo,

wote watakaokamatwa watauawa kwa upanga.

1613:16 Nah 3:10; Hes 16:27; 13:16; Mwa 34:29; 2Fal 8:12Watoto wao wachanga watavunjwa vipande vipande

mbele ya macho yao;

nyumba zao zitatekwa

na wake zao watatendwa jeuri.

1713:17 2Fal 18:14-16; Mit 19:24-25; Yer 51:11; 50:9, 41Tazama, nitawachochea Wamedi dhidi yao,

ambao hawajali fedha

wala hawafurahii dhahabu.

1813:18 Za 7:12; Isa 41:2; Yer 49:26Mishale yao itawaangusha vijana,

hawatakuwa na huruma kwa watoto wachanga

wala hawataangalia watoto kwa huruma.

1913:19 Dan 4:30; Za 137:8; Ufu 14:8; Mwa 19:24-25; Rum 9:29; Isa 47:5; Dan 2:37-38Babeli, johari ya falme,

utukufu wa kiburi cha Wababeli,13:19 Wababeli hapa maana yake ni Wakaldayo.

itaangushwa na Mungu

kama Sodoma na Gomora.

2013:20 Isa 14:23; 34:10-15; 2Nya 17:11; Yer 51:29, 37-43, 62Hautakaliwa na watu kamwe

wala watu hawataishi humo kwa vizazi vyote.

Hakuna Mwarabu atakayepiga hema lake huko,

hakuna mchungaji atakayepumzisha makundi yake huko.

2113:21 Za 74:14; Ufu 18:2; Yer 14:6; Law 11:16-18; Kum 14:15-17; 2Nya 11:15Lakini viumbe wa jangwani watalala huko,

mbweha watajaza nyumba zake,

bundi wataishi humo

nao mbuzi-mwitu watarukaruka humo.

2213:22 Isa 34:14; Kum 32:25; Yer 48:16; 9:11; Isa 25:2; 32:14; Yer 50:39; Mal 1:3Fisi watalia ndani ya ngome zake,

mbweha ndani ya majumba yake ya kifahari.

Wakati wake umewadia,

na siku zake hazitaongezwa.