以弗所书 5 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

以弗所书 5:1-33

行事与圣徒的身份相称

1因此,你们既然是上帝疼爱的儿女,就要效法上帝。 2要以爱心待人,像基督爱我们一样,祂为我们牺牲自己作为献给上帝的馨香供物和祭物。

3一切淫乱、污秽或贪婪的事在你们当中连提都不要提,才合乎圣徒的身份。 4污言秽语、愚昧粗俗的谈笑都不合宜,总要说感恩的话才好。 5因为你们清楚知道,淫乱的人、污秽的人,还有贪婪的人,就是拜偶像的人,在基督和上帝的国里没有立足之地。 6不要被虚空的道理欺骗,因为上帝的烈怒必临到做这些事的悖逆之人。 7所以,你们不要与他们同流合污。

8你们从前活在黑暗中,现在既然活在主的光明中,行事为人就该像光明的儿女。 9光明总是结出良善、公义和真理的果子。 10你们要察验什么是主所喜悦的事, 11不可参与那些黑暗无益的事,反而要揭发, 12因为那些人暗地里做的事就是提起来都觉得可耻。 13然而,一切事被光一照,都会真相大白, 14因为光能使一切显明出来。因此有人说:

“沉睡的人啊,醒来吧!

从死人中起来吧,

基督要光照你了!”

15因此,你们要注意自己的生活,不要像愚昧人,要像有智慧的人。 16要爱惜光阴,因为现今是个邪恶的世代。 17所以,不要做糊涂人,要明白主的旨意。 18不要醉酒,醉酒会使人放荡,要被圣灵充满。 19要用诗篇、圣诗、灵歌互相激励,从心底唱出赞美主的旋律。 20凡事总要奉我们主耶稣基督的名感谢父上帝。

夫妇之道

21你们要存敬畏基督的心彼此顺服。

22你们做妻子的,要顺服丈夫,如同顺服主。 23因为丈夫是妻子的头,正如基督是祂的身体——教会的头,又是教会的救主。 24教会怎样顺服基督,妻子也要照样凡事顺服丈夫。

25你们做丈夫的要爱妻子,正如基督爱教会,为教会舍己, 26好借着道用水洗净教会,使她圣洁, 27以便把圣洁、完美、没有污点和皱纹等瑕疵的荣耀教会献给祂自己。 28同样,做丈夫的也要爱妻子如同爱自己的身体,爱妻子就是爱自己。 29从来没有人会厌恶自己的身体,人会保养和爱惜身体,正如基督对待教会一样, 30因为我们是祂身上的肢体。 31“因此,人要离开父母,与妻子结合,二人成为一体。”5:31 创世记2:24 32这是一个极大的奥秘,然而我是指着基督和教会的关系说的。 33总之,你们做丈夫的都要爱妻子如同爱自己,做妻子的也要敬重丈夫。

Kiswahili Contemporary Version

Waefeso 5:1-33

Kuenenda Nuruni

15:1 Lk 6:36; Mt 5:45; 8; Lk 6:26; Efe 4:32Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wapendwao, 25:2 Gal 1:4; 2Kor 6:15; Ebr 7:27mkiishi maisha ya upendo, kama vile Kristo alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.

35:3 Kol 3:5; 1Kor 6:18; Efe 4:29Lakini uasherati, usitajwe miongoni mwenu, wala uchafu wa aina yoyote, wala tamaa, kwa sababu mambo haya hayastahili miongoni mwa watakatifu. 45:4 Mt 12:35; Efe 4:29; Rum 1:28; Kol 3:8Wala pasiwepo mazungumzo machafu ya aibu, au maneno ya upuzi au mzaha, ambayo hayafai, badala yake mshukuruni Mungu. 55:5 Kol 3:5; 1Kor 6:9Kwa habari ya mambo haya mjue hakika kwamba: Msherati, wala mtu mwovu, wala mwenye tamaa mbaya, mtu kama huyo ni mwabudu sanamu, kamwe hataurithi Ufalme wa Kristo na wa Mungu. 65:6 Rum 1:18; Kol 2:4, 8; Yer 29:8; Mt 24:4; Kol 2:4, 8, 18; 2The 2:3; Rum 1:1Mtu yeyote na asiwadanganye kwa maneno matupu, kwa kuwa hasira ya Mungu huwaka kwa sababu ya mambo kama haya juu ya wale wasiomtii. 7Kwa hiyo, msishirikiane nao.

85:8 Efe 2:2; Yn 8:12Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru katika Bwana. Enendeni kama watoto wa nuru 95:9 Gal 5:22; Mt 7:16-20; Rum 15:14(kwa kuwa tunda la nuru hupatikana katika wema wote, haki na kweli), 105:10 1Tim 5:4; Rum 12:2; Flp 1:10; 1The 5:21; 1Tim 2:3nanyi tafuteni yale yanayompendeza Bwana. 115:11 Rum 13:12; 2Kor 6:14; Yn 16:8Msishiriki matendo ya giza yasiyofaa, bali yafichueni. 125:12 Rum 1:24, 26; Efe 5:3Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini. 135:13 Yn 3:20, 21Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, huonekana, 145:14 Rum 13:11; Yn 5:25; Isa 60:1kwa kuwa nuru ndiyo hufanya kila kitu kionekane. Hii ndiyo sababu imesemekana:

“Amka, wewe uliyelala,

ufufuke kutoka kwa wafu,

naye Kristo atakuangazia.”

15Kwa hiyo angalieni sana jinsi mnavyoenenda, si kama watu wasio na hekima, bali kama wenye hekima, 165:16 Kol 4:5; Efe 6:13mkiukomboa wakati, kwa sababu nyakati hizi ni za uovu. 175:17 Rum 12:2; Kol 1:9Kwa hiyo msiwe wajinga, bali mpate kujua nini mapenzi ya Bwana. 185:18 Isa 28:7; Lk 1:15Pia msilewe kwa mvinyo, ambamo ndani yake mna upotovu, bali mjazwe Roho. 195:19 Za 27:6Msemezane ninyi kwa ninyi kwa zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, mkimwimbia na kumsifu Bwana mioyoni mwenu, 205:20 Ay 1:21siku zote mkimshukuru Mungu Baba kwa kila jambo katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

215:21 Gal 5:13; 1Pet 5:5; Flp 2:3Nyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa heshima kwa ajili ya Kristo.

Mafundisho Kuhusu Wake Na Waume

225:22 Mwa 3:16; Tit 2:5; Efe 6:5Ninyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana. 235:23 1Kor 11:3; Efe 1:22Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe kama vile Kristo alivyo kichwa cha Kanisa, ambalo ni mwili wake, naye Kristo ni Mwokozi wake. 245:24 Kol 3:20; Tit 2:9Basi, kama vile Kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo na wake nao imewapasa kuwatii waume zao kwa kila jambo.

255:25 Kol 3:19Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama vile Kristo alivyolipenda Kanisa akajitoa kwa ajili yake 265:26 Mdo 22:16kusudi alifanye takatifu, akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno lake, 275:27 Efe 1:4; Kol 1:22apate kujiletea Kanisa tukufu lisilo na doa wala kunyanzi au waa lolote, bali takatifu na lisilo na hatia. 28Vivyo hivyo imewapasa waume kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe. 29Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Kristo anavyolitunza Kanisa lake. 305:30 1Kor 12:27Sisi tu viungo vya mwili wake. 315:31 Mwa 2:24; Mt 19:5“Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.” 32Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na Kanisa. 33Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe.