以弗所书 4 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以弗所书 4:1-32

信徒同属一体

1所以,我这为主被囚禁的劝你们,既然蒙了上帝的呼召,就要过与所蒙的呼召相称的生活。 2凡事要谦虚、温柔、忍耐,用爱心互相宽容, 3以和平彼此联结,竭力持守圣灵所赐的合一。 4正如你们蒙召后有同一个盼望,你们同属一个身体,有同一位圣灵、 5同一位主、同一个信仰、同一种洗礼、 6同一位上帝,就是万物之父。祂超越万物,贯穿万物,且在万物之中。

7然而,我们各人都是按照基督所赐的分量领受恩典。 8因此圣经上说:

“祂升上高天时,

带着许多俘虏,

将恩赐赏给众人。”

9既然说“升上”,岂不表示祂曾经降到地上吗? 10降下的是祂,升到诸天之上的也是祂,祂充满万物。 11祂赐恩让一些人做使徒,一些人做先知,一些人做传福音的,一些人做牧师和教师, 12为要装备信徒,使他们各尽其职,建立基督的身体, 13直到我们对上帝的儿子有一致的信仰和认识,逐渐成熟,达到基督那样完美的生命。 14这样,我们就不再像小孩子,被各种异端邪说之风吹得飘来飘去,被人的阴谋诡计欺骗,随波逐流。 15相反,我们说话要凭爱心坚持真理,在各方面都要追求长进,更像元首基督。 16整个身体靠祂巧妙地结合在一起,筋骨相连,彼此供应,使各部位各尽其职,身体便渐渐长大,在爱中建立起来。

新人新生命

17因此,我奉主的名郑重地劝告各位,不要再像不信的外族人一样过着心灵空虚的日子。 18他们因为愚昧无知,顽固不化,理智受到蒙蔽,与上帝所赐的生命隔绝了。 19他们丧尽天良,放纵情欲,沉溺于各种污秽的事。 20但基督绝不是这样教导你们的。

21如果你们听过祂的事,领受了祂的教诲,就是在祂里面的真理, 22就应该与从前的生活方式一刀两断,脱去因私欲的迷惑而渐渐败坏的旧人, 23洗心革面, 24穿上照着上帝形象所造的新人。这新人有从真理而来的公义和圣洁。

25所以不要再说谎,大家都要彼此说真话,因为我们都是一个身体的肢体。 26不要因生气而犯罪,不要到日落时还怒气未消, 27不要让魔鬼有机可乘。 28从前偷窃的要改过自新,自食其力,做正当事,以便能够分给有需要的人。 29污言秽语一句都不可出口,要随时随地说造就人的好话,使听的人得益处。 30不要让上帝的圣灵担忧,你们已经盖上了圣灵的印记,将来必蒙救赎。 31要从你们当中除掉一切的苦毒、恼恨、怒气、争吵、毁谤和邪恶。 32总要以恩慈、怜悯的心彼此相待,要互相饶恕,正如上帝在基督里饶恕了你们一样。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waefeso 4:1-32

Umoja Katika Mwili Wa Kristo

14:1 Efe 3:1; Kol 1:10; 1The 2:12Basi, mimi niliye mfungwa wa Bwana, nawasihi mwenende kama inavyostahili wito wenu mlioitiwa. 24:2 Kol 3:12, 13; Efe 1:4Kwa unyenyekevu wote na upole, mkiwa wavumilivu, mkichukuliana kwa upendo. 34:3 Kol 3:14; Rum 15:5Jitahidini kudumisha umoja wa Roho katika kifungo cha amani. 44:4 1Kor 12:13Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja. 54:5 1Kor 8:6; 2Kor 11:4; Yud 3; Gal 3:27, 28; Ebr 6:6Tena kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja, 64:6 Rum 11:36; 1Kor 12:6; Mal 2:10; 1Kor 8:6; 12:6; Rum 11:36Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.

74:7 1Kor 12:7, 11; Rum 12:3Lakini kila mmoja wetu amepewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa cha Kristo. 84:8 Kol 2:15; Za 68:18Kwa hiyo husema:

“Alipopaa juu zaidi, 4:8 Juu zaidi hapa ina maana mbingu za mbingu.

aliteka mateka,

akawapa wanadamu vipawa.”

94:9 Yn 3:13; 6:33, 62(Asemapo “alipaa juu,” maana yake nini isipokuwa ni kusema pia kwamba Kristo alishuka pande za chini sana za dunia?4:9 Pande za chini sana za dunia hapa maana yake Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu. 104:10 Mdo 1:9, 11; 1Tim 3:16; Ebr 4:14; 7:26; 9:24; Mdo 2:13; Mit 30:1-4; Efe 1:23Yeye aliyeshuka ndiye alipaa juu zaidi kupita mbingu zote, ili apate kuujaza ulimwengu wote.) 114:11 2Pet 3:2; Mdo 21:8Ndiye aliweka wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na walimu, 124:12 1Kor 12:27; 1Pet 2:5; 2Tim 3:17kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa 134:13 Kol 1:28mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Kristo.

144:14 1Kor 14:20; Yn 1:6; Efe 6:11Ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila za watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu. 154:15 Efe 1:22Badala yake, tukiambiana kweli kwa upendo, katika mambo yote tukue, hata tumfikie yeye aliye kichwa, yaani, Kristo. 164:16 Kol 2:19Kutoka kwake, mwili wote ukiwa umeungamanishwa na kushikamanishwa pamoja kwa msaada wa kila kiungo, hukua na kujijenga wenyewe katika upendo, wakati kila kiungo kinafanya kazi yake.

Maisha Ya Zamani Na Maisha Mapya

174:17 Rum 1:21Hivyo nawaambia hivi, nami nasisitiza katika Bwana kwamba, msiishi tena kama watu wa Mataifa waishivyo, katika ubatili wa mawazo yao. 184:18 Rum 1:21; Efe 2:12; 2Kor 3:14Watu hao akili zao zimetiwa giza na wametengwa mbali na uzima wa Mungu kwa sababu ya ujinga wao kutokana na ugumu wa mioyo yao. 194:19 1Tim 4:2; Rum 1:24; Kol 3:5Wakiisha kufa ganzi, wamejitia katika mambo ya ufisadi na kupendelea kila aina ya uchafu, wakiendelea kutamani zaidi.

20Lakini ninyi, hivyo sivyo mlivyojifunza Kristo. 214:21 Efe 1:13Kama hivyo ndivyo ilivyo, ninyi mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile kweli ilivyo katika Yesu. 224:22 1Pet 2:1; Rum 6:6Mlifundishwa kuuvua mwenendo wenu wa zamani, utu wenu wa kale, ulioharibiwa na tamaa zake za udanganyifu, 234:23 Kol 3:10ili mfanywe upya roho na nia zenu, 244:24 Rum 6:4; Efe 2:10mkajivike utu mpya, ulioumbwa sawasawa na mfano wa Mungu katika haki yote na utakatifu.

Kanuni Za Maisha Mapya

254:25 Law 19:11; Rum 12:15Kwa hiyo kila mmoja wenu avue uongo na kuambiana kweli mtu na jirani yake, kwa maana sisi sote tu viungo vya mwili mmoja. 264:26 Za 4:4; Yak 1:19, 20; Mt 5:22Mkikasirika, msitende dhambi, wala jua lisichwe mkiwa bado mmekasirika, 274:27 Yak 4:7; 1Pet 5:9wala msimpe ibilisi nafasi. 284:28 Mdo 20:35; 1The 4:11; Lk 3:11Yeye ambaye amekuwa akiiba, asiibe tena, lakini lazima ajishughulishe, afanye kitu kifaacho kwa mikono yake mwenyewe, ili awe na kitu cha kuwagawia wahitaji.

294:29 Kol 3:8; Mt 12:36; Efe 5:4; Kol 3:8; 4:6; 1The 5:11Maneno mabaya yasitoke vinywani mwenu, bali yale yafaayo kwa ajili ya kuwajenga wengine kulingana na mahitaji yao, ili yawafae wale wasikiao. 304:30 1The 5:19; Rum 8:23Wala msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye kwake mlitiwa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi. 314:31 Kol 3:8; Tit 3:2; Yak 4:11; 1Pet 2:1; Tit 3:3Ondoeni kabisa uchungu, ghadhabu, hasira, makelele na masingizio pamoja na kila aina ya uovu. 324:32 Mt 6:14, 15Kuweni wafadhili na wenye kuhurumiana ninyi kwa ninyi, mkisameheana, kama vile naye Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.