Забур 86 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Забур 86:1-7

Песнь 86

1Песнопение потомков Кораха.

2Вечный основал Свой город на святых горах.

Он любит Иерусалим86:2 Букв.: «врата Сиона».

больше всех поселений Исроила86:2 Букв.: «Якуба». Исроильтяне были потомками Якуба, которому Всевышний дал новое имя – Исроил (см. Нач. 32:27-28)..

3Славное возвещается о Тебе,

город Всевышнего. Пауза

4Вечный сказал:

«Упомяну Египет86:4 Букв.: «Рахав» – символическое название Египта. и Вавилон среди тех, кто знает Меня.

О филистимлянах и жителях Тира и Эфиопии скажут:

„Такой-то родился в Иерусалиме“».

5О Сионе скажут:

«Такой-то и такой-то родился в нём,

и Сам Высочайший укрепил этот город».

6Вечный в переписи народов напишет:

«Такой-то родился там». Пауза

7Поющие и играющие скажут:

«Все источники наши в Тебе».

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 86:1-17

Zaburi 86

Kuomba Msaada

Maombi ya Daudi.

186:1 Za 17:6Ee Bwana, sikia na unijibu,

kwa maana mimi ni maskini na mhitaji.

286:2 Za 25:2; 31:14Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako,

wewe ni Mungu wangu,

mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.

386:3 Za 4:1; 9:13; 57:1; 88:9Ee Bwana, nihurumie mimi,

kwa maana ninakuita mchana kutwa.

486:4 Za 46:5; 143:8Mpe mtumishi wako furaha,

kwa kuwa kwako wewe, Ee Bwana,

ninainua nafsi yangu.

586:5 Yoe 2:13; Yon 4:2; Neh 9:17; Za 103:8; 145:8; 130:7, 8; Kut 34:6Ee Bwana, wewe ni mwema na mwenye kusamehe,

umejaa upendo kwa wote wakuitao.

686:6 Za 5:2; 17:1Ee Bwana, sikia maombi yangu,

sikiliza kilio changu unihurumie.

786:7 Za 3:4; 4:3; 27:5; 50:15; 94:13; 80:18; 91:15; Isa 30:19; 58:9; 65:24; Ay 22:27; Zek 13:9; Hab 3:16Katika siku ya shida yangu nitakuita,

kwa maana wewe utanijibu.

886:8 Ay 21:22; Za 18:31; 1Sam 2:2; Kut 8:10; 15:11; Kum 3:24; 2Sam 7:22Ee Bwana, katikati ya miungu hakuna kama wewe,

hakuna matendo ya kulinganishwa na yako.

986:9 Za 65:2; 66:4; Isa 19:21; 27:13; 49:7; Zek 8:20-22; 14:6; Ufu 15:4; Isa 43:7; 44:23; Za 95:6, 7Ee Bwana, mataifa yote uliyoyafanya

yatakuja na kuabudu mbele zako;

wataliletea utukufu jina lako.

1086:10 2Sam 7:22; Kut 3:20; Kum 6:4; Za 48:1; 71:17; 72:18; 1Kor 8:4; Isa 37:16; 43:10; Mk 12:29; Efe 4:6Kwa maana wewe ni mkuu, na unafanya mambo ya ajabu;

wewe peke yako ndiwe Mungu.

1186:11 Kut 33:13; 1Sam 12:23; Za 25:5; Eze 11:19; Za 26:3; Kum 6:24; Yer 24:7; 32:39; 1Kor 7:35Ee Bwana, nifundishe njia yako,

nami nitakwenda katika kweli yako;

nipe moyo usiositasita,

ili niweze kulicha jina lako.

1286:12 Za 9:1Ee Bwana wangu, nitakusifu kwa moyo wote;

nitaliadhimisha jina lako milele.

1386:13 Za 56:13; 116:8; 34:4; 49:15; 16:10Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu;

umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi.86:13 Yaani Kuzimu.

1486:14 Za 54:3Ee Mungu, wenye majivuno wananishambulia;

kundi la watu wakatili linatafuta uhai wangu:

watu wasiokuheshimu wewe.

1586:15 Za 116:5; 103:8; 111:4; 145:8; 51:1; Hes 14:18; Za 86:5; Kut 34:6; Yoe 2:13; Neh 9:17Lakini wewe, Ee Bwana, ni Mungu wa huruma na neema,

si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo na uaminifu.

1686:16 Za 6:4; 9:13; 18:1; 116:16Nigeukie na unihurumie;

mpe mtumishi wako nguvu zako,

mwokoe mwana wa mtumishi wako wa kike.86:16 Au: mwokoe mwanao mwaminifu.

1786:17 Kut 3:12; Mt 24:3; Yn 2:11Nipe ishara ya wema wako,

ili adui zangu waione nao waaibishwe,

kwa kuwa wewe, Ee Bwana,

umenisaidia na kunifariji.