Песнь 86
1Песнопение потомков Кораха.
2Вечный основал Свой город на святых горах.
Он любит Иерусалим86:2 Букв.: «врата Сиона».
больше всех поселений Исроила86:2 Букв.: «Якуба». Исроильтяне были потомками Якуба, которому Всевышний дал новое имя – Исроил (см. Нач. 32:27-28)..
3Славное возвещается о Тебе,
город Всевышнего. Пауза
4Вечный сказал:
«Упомяну Египет86:4 Букв.: «Рахав» – символическое название Египта. и Вавилон среди тех, кто знает Меня.
О филистимлянах и жителях Тира и Эфиопии скажут:
„Такой-то родился в Иерусалиме“».
5О Сионе скажут:
«Такой-то и такой-то родился в нём,
и Сам Высочайший укрепил этот город».
6Вечный в переписи народов напишет:
«Такой-то родился там». Пауза
7Поющие и играющие скажут:
«Все источники наши в Тебе».
Zaburi 86
Kuomba Msaada
Maombi ya Daudi.
186:1 Za 17:6Ee Bwana, sikia na unijibu,
kwa maana mimi ni maskini na mhitaji.
286:2 Za 25:2; 31:14Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako,
wewe ni Mungu wangu,
mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.
386:3 Za 4:1; 9:13; 57:1; 88:9Ee Bwana, nihurumie mimi,
kwa maana ninakuita mchana kutwa.
486:4 Za 46:5; 143:8Mpe mtumishi wako furaha,
kwa kuwa kwako wewe, Ee Bwana,
ninainua nafsi yangu.
586:5 Yoe 2:13; Yon 4:2; Neh 9:17; Za 103:8; 145:8; 130:7, 8; Kut 34:6Ee Bwana, wewe ni mwema na mwenye kusamehe,
umejaa upendo kwa wote wakuitao.
686:6 Za 5:2; 17:1Ee Bwana, sikia maombi yangu,
sikiliza kilio changu unihurumie.
786:7 Za 3:4; 4:3; 27:5; 50:15; 94:13; 80:18; 91:15; Isa 30:19; 58:9; 65:24; Ay 22:27; Zek 13:9; Hab 3:16Katika siku ya shida yangu nitakuita,
kwa maana wewe utanijibu.
886:8 Ay 21:22; Za 18:31; 1Sam 2:2; Kut 8:10; 15:11; Kum 3:24; 2Sam 7:22Ee Bwana, katikati ya miungu hakuna kama wewe,
hakuna matendo ya kulinganishwa na yako.
986:9 Za 65:2; 66:4; Isa 19:21; 27:13; 49:7; Zek 8:20-22; 14:6; Ufu 15:4; Isa 43:7; 44:23; Za 95:6, 7Ee Bwana, mataifa yote uliyoyafanya
yatakuja na kuabudu mbele zako;
wataliletea utukufu jina lako.
1086:10 2Sam 7:22; Kut 3:20; Kum 6:4; Za 48:1; 71:17; 72:18; 1Kor 8:4; Isa 37:16; 43:10; Mk 12:29; Efe 4:6Kwa maana wewe ni mkuu, na unafanya mambo ya ajabu;
wewe peke yako ndiwe Mungu.
1186:11 Kut 33:13; 1Sam 12:23; Za 25:5; Eze 11:19; Za 26:3; Kum 6:24; Yer 24:7; 32:39; 1Kor 7:35Ee Bwana, nifundishe njia yako,
nami nitakwenda katika kweli yako;
nipe moyo usiositasita,
ili niweze kulicha jina lako.
1286:12 Za 9:1Ee Bwana wangu, nitakusifu kwa moyo wote;
nitaliadhimisha jina lako milele.
1386:13 Za 56:13; 116:8; 34:4; 49:15; 16:10Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu;
umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi.86:13 Yaani Kuzimu.
1486:14 Za 54:3Ee Mungu, wenye majivuno wananishambulia;
kundi la watu wakatili linatafuta uhai wangu:
watu wasiokuheshimu wewe.
1586:15 Za 116:5; 103:8; 111:4; 145:8; 51:1; Hes 14:18; Za 86:5; Kut 34:6; Yoe 2:13; Neh 9:17Lakini wewe, Ee Bwana, ni Mungu wa huruma na neema,
si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo na uaminifu.
1686:16 Za 6:4; 9:13; 18:1; 116:16Nigeukie na unihurumie;
mpe mtumishi wako nguvu zako,
mwokoe mwana wa mtumishi wako wa kike.86:16 Au: mwokoe mwanao mwaminifu.
1786:17 Kut 3:12; Mt 24:3; Yn 2:11Nipe ishara ya wema wako,
ili adui zangu waione nao waaibishwe,
kwa kuwa wewe, Ee Bwana,
umenisaidia na kunifariji.