Nnwom 1 – AKCB & NEN

Akuapem Twi Contemporary Bible

Nnwom 1:1-6

ƆFA A EDI KAN

Nnwom 1–41

Dwom 1

1Nhyira ne onipa a

ontie amumɔyɛfo afotu

na onni nnebɔneyɛfo nhwɛso akyi

na ɔntena fɛwdifo tenabea.

2Na mmom, Awurade mmara sɔ nʼani,

na osusuw ho awia ne anadwo.

3Ɔte sɛ dua a wɔatɛw wɔ asuten ho,

na ɛsow nʼaba ne bere mu a

nʼahaban no nguan da.

Nea ɔyɛ biara yɛ yiye.

4Nanso nnebɔneyɛfo nte saa;

wɔte sɛ ntɛtɛ a

mframa bɔ gu.

5Enti amumɔyɛfo rentumi nnyina atemmu no ano,

na nnebɔneyɛfo nso rentena atreneefo asafo mu.

6Efisɛ Awurade kyerɛ ɔtreneeni kwan

nanso amumɔyɛfo kwan de, ɛbɛyera.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 1:1-6

KITABU CHA KWANZA

(Zaburi 1–41)

Zaburi 1

Furaha Ya Kweli

11:1 Kum 33:29; Za 40:4; 26:9; 37:38; 51:13; 104:35; 26:4; 10:2-11; 128:4; 89:15; 81:12; Mwa 49:6; Isa 28:14; Hos 7:5; Ay 21:16; 11:3; 31:5; Mit 1:22; 4:14Heri mtu yule ambaye

haendi katika shauri la watu waovu,

wala hasimami katika njia ya wenye dhambi,

au kuketi katika baraza la wenye mizaha.

21:2 Za 19:7; 119:1, 16, 35; 112:1; Rum 7:22; Eze 11:20; 18:17; Mwa 24:63Bali huifurahia sheria ya Bwana,

naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.

31:3 Za 46:4; 65:9; 52:8; 92:12, 14; 128:2, 3; Yer 11:16; Zek 4:3; Hes 24:6; Ay 14:9; Eze 17:5; 47:12; Isa 1:30; 64:6; Mwa 39:3Mtu huyo ni kama mti uliopandwa

kando ya vijito vya maji,

ambao huzaa matunda kwa majira yake

na majani yake hayanyauki.

Lolote afanyalo hufanikiwa.

Huzuni Ya Waovu

41:4 Ay 13:25; Isa 40:24; Yer 13:24Sivyo walivyo waovu!

Wao ni kama makapi

yapeperushwayo na upepo.

51:5 Za 5:5; 26:12; 35:28; 82:1; 89:5; 107:32; 111:1; 149:1; Ay 19:29; 1:6; Za 37:18; 121:5; 145:20; 9:6; Nah 1:7; Law 26:38; Yn 1:41Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu,

wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.

6Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki,

bali njia ya waovu itaangamia.