Zaburi 85:8-13
85:8 Law 26:6; Isa 60:17; Yn 14:27; 2The 3:16; Mit 26:11; 27:22; Hab 2:1; Zek 9:10; 2Pet 2:20Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye Bwana;
anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake:
lakini nao wasirudie upumbavu.
85:9 Za 27:1; Kut 29:43; Isa 43:3; 45:8; 46:13; 62:11; 51:5; 56:1; 60:19; Hag 2:9; Zek 2:5Hakika wokovu wake uko karibu na wale wamchao,
ili utukufu wake udumu katika nchi yetu.
85:10 Isa 32:17; Mit 3:3; Lk 2:14; Yn 1:17; 14:27; Za 89:14; 115:1; 72:2, 3; Mik 7:20Upendo na uaminifu hukutana pamoja,
haki na amani hubusiana.
85:11 Isa 45:8Uaminifu huchipua kutoka nchi,
haki hutazama chini kutoka mbinguni.
85:12 Za 67:6; 84:11; Yak 1:17; Law 26:4; Zek 8:12Naam, hakika Bwana atatoa kilicho chema,
nayo nchi yetu itazaa mavuno yake.
Haki itatangulia mbele yake
na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake.