เอสเธอร์ 3 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

เอสเธอร์ 3:1-15

ฮามานวางแผนทำลายชาวยิว

1หลังจากเหตุการณ์เหล่านี้กษัตริย์เซอร์ซีสทรงยกย่องฮามานบุตรฮัมเมดาธาชาวอากัก แต่งตั้งให้เป็นอัครมหาเสนาบดีซึ่งมียศสูงกว่าขุนนางทั้งปวง 2ข้าราชบริพารทั้งสิ้นที่ประตูพระราชวังคุกเข่าแสดงความเคารพฮามานตามที่กษัตริย์ทรงบัญชาไว้ แต่โมรเดคัยไม่ยอมคุกเข่าหรือให้เกียรติฮามาน

3แล้วเหล่าข้าราชบริพารที่ประตูวังถามโมรเดคัยว่า “ทำไมท่านจึงฝ่าฝืนพระบัญชาของกษัตริย์?” 4พวกเขาพากันพูดวันแล้ววันเล่าแต่โมรเดคัยยังไม่ยอมทำตาม ในที่สุดคนเหล่านั้นไปบอกฮามานเพื่อดูว่าโมรเดคัยจะลอยนวลไปได้หรือไม่ เพราะโมรเดคัยเคยบอกคนเหล่านั้นว่าเขาเป็นชาวยิว

5เมื่อฮามานเห็นว่าโมรเดคัยไม่ยอมคุกเข่าหรือให้เกียรติตนก็โกรธจัด 6แต่เมื่อฮามานรู้ว่าโมรเดคัยเป็นชาวยิว เขาก็รู้สึกไม่สาแก่ใจที่จะกำจัดโมรเดคัยเพียงคนเดียว ฮามานจึงหาช่องทางทำลายล้างชาวยิวซึ่งเป็นชนชาติของโมรเดคัยให้หมดสิ้นไปจากราชอาณาจักรของเซอร์ซีส

7ในเดือนนิสานซึ่งเป็นเดือนที่หนึ่งในปีที่สิบสองแห่งรัชกาลของกษัตริย์เซอร์ซีส พวกเขาทอดเปอร์ (คือสลาก) ต่อหน้าฮามานเพื่อหาวันและเดือน สลากนั้นตก3:7 ภาษาฮีบรูไม่มีวลีที่ว่าสลากนั้นตกที่เดือนอาดาร์ซึ่งเป็นเดือนที่สิบสอง

8แล้วฮามานเข้าไปกราบทูลกษัตริย์เซอร์ซีสว่า “มีชนชาติหนึ่งกระจัดกระจายอยู่ทั่วทุกมณฑลในราชอาณาจักรของพระองค์ ขนบธรรมเนียมของเขาก็แตกต่างจากชนชาติอื่นๆ ทั้งปวง และพวกเขาไม่ยอมปฏิบัติตามกฎหมายของกษัตริย์ ฉะนั้นจะไม่เป็นผลดีแก่ฝ่าพระบาทที่จะยอมผ่อนปรนให้พวกเขา 9หากพระองค์ทรงเห็นชอบด้วย ขอทรงออกพระราชกฤษฎีกาให้ทำลายล้างคนเหล่านี้ และข้าพระบาทจะขอถวายเงินหนักประมาณ 345 ตัน3:9 ภาษาฮีบรูว่า10,000 ตะลันต์เข้าพระคลังหลวงสำหรับเป็นค่าใช้จ่ายในการนี้”

10กษัตริย์จึงถอดแหวนตราประทานแก่ฮามานบุตรฮัมเมดาธาชาวอากักศัตรูของชนชาติยิว 11และตรัสว่า “เก็บเงินไว้เถิด เจ้าจะทำอะไรกับชนชาตินั้นก็ได้ตามใจชอบ”

12ฉะนั้นในวันที่สิบสามของเดือนที่หนึ่ง ฮามานเรียกตัวเหล่าอาลักษณ์หลวงมาให้ออกพระราชสาส์นในพระนามกษัตริย์เซอร์ซีสถึงบรรดาผู้ว่าการและขุนนางมณฑลต่างๆ ทั่วจักรวรรดิ ใช้ภาษาถิ่นของแต่ละมณฑล แล้วประทับด้วยแหวนตรา 13จากนั้นผู้ส่งสาส์นเชิญพระราชสาส์นไปยังทุกมณฑลในจักรวรรดิ เป็นพระราชโองการประกาศให้ฆ่าและทำลายล้างชาวยิวทั้งหมดไม่ว่าหนุ่มหรือแก่ ตลอดจนผู้หญิงและเด็กเล็กภายในวันเดียว คือวันที่สิบสามของเดือนอาดาร์ซึ่งเป็นเดือนที่สิบสอง แล้วริบทรัพย์สมบัติของพวกเขา 14ให้ออกสำเนาของพระราชโองการเป็นกฎหมายในทุกมณฑลเพื่อประชาชนทุกเชื้อชาติจะได้ทราบทั่วกันและจะได้เตรียมพร้อมสำหรับวันนั้น

15เมื่อกษัตริย์มีพระราชโองการแล้ว ผู้ส่งสาส์นก็เร่งนำพระราชสาส์นไป หลังจากออกประกาศในป้อมเมืองสุสาแล้ว กษัตริย์ก็ประทับลงเสวยน้ำจัณฑ์ร่วมกับฮามาน แต่ผู้คนในเมืองสุสาวุ่นวายใจ

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Esta 3:1-15

Hila Ya Hamani Kuwaangamiza Wayahudi

13:1 Hes 24:7; 1Sam 14:48; Hes 24:7; 1Sam 14:48Baada ya matukio haya, Mfalme Ahasuero alimheshimu Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, akampandisha na kumpa kiti chake cha heshima cha juu sana kuliko wakuu wengine wote. 23:2 Dan 3:12Maafisa wote wa mfalme waliokaa langoni mwa mfalme walipiga magoti na kumpa Hamani heshima, kwa kuwa mfalme alikuwa ameamuru hili kuhusu Hamani. Lakini Mordekai hakumpigia magoti wala kumheshimu.

3Kisha maafisa wa mfalme waliokuwa langoni mwa mfalme walimuuliza Mordekai, “Kwa nini hutii agizo la mfalme?” 43:4 Mwa 39:10Siku baada ya siku walizungumza naye lakini hakukubali. Kwa hiyo walimweleza Hamani kuona kama tabia ya Mordekai itaweza kuvumiliwa, kwa maana alikuwa amewaambia kuwa yeye ni Myahudi.

5Wakati Hamani alipoona kuwa Mordekai hampigii magoti wala kumpa heshima alighadhibika. 63:6 Mit 16:25; Za 74:8Hata hivyo baada ya kujulishwa watu wa Mordekai ni akina nani, alibadili wazo la kumuua Mordekai peke yake. Badala yake Hamani alitafuta njia ya kuwaangamiza watu wote wa Mordekai, yaani, Wayahudi, walio katika ufalme wote wa Ahasuero.

73:7 Es 9:24, 26; 1Sam 10:21Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa Mfalme Ahasuero, katika mwezi wa kwanza uitwao Nisani, walipiga puri (yaani kura) mbele ya Hamani ili kuchagua siku na mwezi. Kura ikaangukia kwenye mwezi wa kumi na mbili, yaani Adari.

83:8 Mdo 16:20-21; Ezr 4:15Kisha Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero, “Wako watu fulani wameenea na kutawanyika miongoni mwa watu katika majimbo yote ya ufalme wako, ambao desturi zao ni tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatii sheria za mfalme. Haifai mfalme kuwavumilia watu hawa. 9Kama inampendeza mfalme, itolewe amri kuwaangamiza, nami nitaweka talanta 10,0003:9 Talanta 10,000 za fedha ni sawa na tani 340. za fedha katika hazina ya mfalme kwa ajili ya watu watakaoshughulikia jambo hili.”

10Basi mfalme alichukua pete yake ya muhuri kutoka kwenye kidole chake na kumpa Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, adui wa Wayahudi. 11Mfalme akamwambia Hamani, “Baki na fedha yako na uwatendee hao watu utakavyo.”

123:12 Neh 13:24; Mwa 38:18Kisha siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza waandishi wa mfalme waliitwa. Wakaandika barua kwa kila jimbo na katika kila lugha ya watu kama agizo la Hamani lilivyotoka kwa mfalme, kwa watawala wa majimbo mbalimbali, na wakuu wa watu mbalimbali. Hizi ziliandikwa kwa jina la Mfalme Ahasuero mwenyewe na kutiwa muhuri wa pete yake mwenyewe. 133:13 Es 8:11Barua zilipelekwa na tarishi katika majimbo yote ya mfalme zikiwa na amri ya kuharibu, kuua na kuangamiza Wayahudi wote, wadogo kwa wakubwa, wanawake na watoto wadogo, siku moja, yaani siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, ndio mwezi wa Adari, na pia kuteka nyara vitu vyao. 14Nakala ya andiko la amri ilipaswa kutolewa kama sheria katika kila jimbo, na kufahamishwa kwa watu wa kila taifa ili waweze kuwa tayari kwa siku ile.

153:15 Es 8:15Kwa kuharakishwa na amri ya mfalme, matarishi walikwenda na andiko lilitolewa katika mji wa ngome ya Shushani. Mfalme na Hamani waliketi na kunywa, lakini mji wa Shushani ulifadhaika.