เลวีนิติ 16 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

เลวีนิติ 16:1-34

วันลบบาป

(ลนต.23:26-32; กดว.29:7-11)

1องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโมเสสหลังจากที่บุตรชายสองคนของอาโรนสิ้นชีวิตเมื่อพวกเขาเข้ามาหาองค์พระผู้เป็นเจ้า 2องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโมเสสว่า “จงเตือนอาโรนพี่ชายของเจ้าไม่ให้เข้าไปในอภิสุทธิสถานหลังม่านซึ่งอยู่เบื้องหน้าพระที่นั่งกรุณาที่อยู่บนหีบพันธสัญญาตามอำเภอใจ มิฉะนั้นเขาจะต้องตาย เพราะเราจะปรากฏในกลุ่มเมฆเหนือพระที่นั่งกรุณา

3“ต่อไปนี้เป็นข้อปฏิบัติในการที่อาโรนจะเข้าไปยังบริเวณสถานนมัสการ เขาจะต้องนำวัวหนุ่มสำหรับเป็นเครื่องบูชาไถ่บาปและแกะผู้สำหรับเป็นเครื่องเผาบูชาไป 4เขาต้องสวมเสื้อตัวในอันบริสุทธิ์ที่ทำด้วยผ้าลินินกับเครื่องแต่งกายชั้นในผ้าลินินที่ติดกับร่างกายของเขา คาดสายคาดเอวลินิน และโพกศีรษะด้วยผ้าลินิน นี่เป็นเครื่องแต่งกายอันบริสุทธิ์ ดังนั้นเขาต้องอาบน้ำก่อนที่จะสวมใส่ 5ให้เขารับแพะผู้สองตัวสำหรับเป็นเครื่องบูชาไถ่บาป และแกะผู้หนึ่งตัวสำหรับเป็นเครื่องเผาบูชาจากชุมชนอิสราเอล

6“ให้อาโรนถวายวัวหนุ่มหนึ่งตัวเป็นเครื่องบูชาไถ่บาป เพื่อลบบาปให้ตนเองและครอบครัว 7จากนั้นจะนำแพะสองตัวมาต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าที่ทางเข้าเต็นท์นัดพบ 8เขาจะต้องจับฉลากสำหรับแพะทั้งสองนั้น ฉลากอันหนึ่งสำหรับองค์พระผู้เป็นเจ้า และอีกอันหนึ่งสำหรับแพะรับบาป16:8 คือแพะแห่งการขจัดออกภาษาฮีบรูว่าอาซาเซลเช่นเดียวกับข้อ 10 และ 26 9อาโรนจะถวายแพะตัวที่ใช้ถวายองค์พระผู้เป็นเจ้าเป็นเครื่องบูชาไถ่บาป 10แต่แพะที่ได้รับเลือกโดยฉลากให้เป็นแพะรับบาปจะถูกนำมาถวายทั้งที่ยังมีชีวิตต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้า เพื่อเป็นการลบบาป โดยส่งมันเข้าไปในถิ่นกันดารเป็นแพะรับบาป

11“อาโรนจะนำวัวหนุ่มมาฆ่าเป็นเครื่องบูชาไถ่บาปเพื่อลบบาปให้ตนเองและครอบครัว 12เขาจะเอากระถางไฟบรรจุถ่านคุโชนจากแท่นบูชาต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าและกอบผงเครื่องหอมซึ่งบดละเอียดสองกำมือนำเข้าไปหลังม่าน 13เขาจะโรยเครื่องหอมบนไฟต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าให้ควันเครื่องหอมปกคลุมทั่วพระที่นั่งกรุณาเหนือหีบพันธสัญญา เพื่อว่าเขาจะไม่ตาย 14เขาจะนำเลือดบางส่วนของวัวหนุ่มเข้าไปและใช้นิ้วพรมบนด้านหน้าของพระที่นั่งกรุณาเจ็ดครั้ง

15“แล้วอาโรนจะฆ่าแพะเป็นเครื่องบูชาไถ่บาปสำหรับประชากร และนำเลือดของมันเข้าไปหลังม่าน แล้วทำเช่นเดียวกับที่ทำกับเลือดวัวผู้คือ เขาจะพรมเลือดนั้นที่ข้างบนและข้างหน้าของพระที่นั่งกรุณา 16เขาจะลบบาปสำหรับอภิสุทธิสถานด้วยวิธีนี้เพราะมลทินและการกบฏของชาวอิสราเอล ไม่ว่าบาปของเขาจะเป็นอะไร เขาจะต้องทำอย่างเดียวกันนี้สำหรับเต็นท์นัดพบซึ่งอยู่ท่ามกลางพวกเขา ซึ่งแวดล้อมด้วยมลทินของพวกเขา 17ห้ามผู้ใดอยู่ในเต็นท์นัดพบขณะที่อาโรนเข้าไปทำการลบบาปในอภิสุทธิสถาน จนกว่าเขาจะออกมาอีกครั้งหลังจากลบบาปให้ตนเอง ให้ครอบครัวและชุมชนอิสราเอลทั้งหมดแล้ว

18“จากนั้นอาโรนจะไปยังแท่นบูชา คือต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าและทำการลบบาปสำหรับแท่นนั้น เขาจะเอาเลือดวัวผู้และเลือดแพะบางส่วนทาที่เชิงงอนของแท่น 19แล้วเอานิ้วจุ่มเลือดพรมบนแท่นบูชาเจ็ดครั้ง เป็นการชำระแท่นนั้นให้บริสุทธิ์พ้นจากมลทินของชนอิสราเอล

20“เมื่ออาโรนลบบาปสำหรับอภิสุทธิสถาน เต็นท์นัดพบ และแท่นบูชาเสร็จแล้ว เขาจะนำแพะที่มีชีวิตตัวนั้นมา 21วางมือทั้งสองบนหัวแพะ สารภาพความชั่วร้ายและการละเมิดฝ่าฝืนของชนอิสราเอล ปลดเปลื้องบาปทั้งหมดลงบนแพะ แล้วมอบหมายให้ชายคนหนึ่งจูงแพะเข้าไปในถิ่นกันดาร 22แพะตัวนั้นจะแบกรับบาปทั้งหมดของเหล่าประชากรเข้าสู่ที่เปลี่ยว ชายผู้นั้นจะปล่อยมันไว้ในถิ่นกันดาร

23“จากนั้นให้อาโรนเข้าไปในเต็นท์นัดพบ ถอดชุดผ้าลินินซึ่งใช้สวมเข้าไปในอภิสุทธิสถานนั้นวางไว้ในเต็นท์นัดพบ 24แล้วอาบน้ำชำระกายในที่บริสุทธิ์ สวมเสื้อผ้าชุดปกติ แล้วออกไปถวายเครื่องเผาบูชาสำหรับตนเองและเครื่องเผาบูชาสำหรับประชากร เพื่อลบบาปให้ตนเองและประชากร 25เขาจะเผาไขมันของเครื่องบูชาไถ่บาปบนแท่นบูชาด้วย

26“ชายคนที่จูงแพะเข้าไปปล่อยในถิ่นกันดารเสร็จแล้ว ต้องอาบน้ำ ซักเสื้อผ้า แล้วกลับเข้ามาในค่ายพัก 27วัวหนุ่มและแพะซึ่งใช้เป็นเครื่องบูชาไถ่บาป ซึ่งอาโรนนำเลือดของมันเข้าไปในอภิสุทธิสถานเพื่อทำการลบบาป จะถูกนำไปเผาให้หมดนอกค่ายพัก รวมทั้งหนัง เนื้อ และไส้ 28แล้วผู้ทำหน้าที่เผาต้องซักเสื้อผ้าและอาบน้ำ และค่อยกลับมาที่ค่ายพัก

29“ต่อไปนี้เป็นข้อปฏิบัติถาวรสำหรับเจ้าคือ ห้ามเจ้าทำกิจธุระในวันที่สิบเดือนที่เจ็ด แต่จงบังคับตน16:29 หรือต้องอดอาหารเช่นเดียวกับข้อ 31 ไม่ว่าจะเป็นคนอิสราเอลโดยกำเนิดหรือเป็นคนต่างด้าวซึ่งอาศัยอยู่ในหมู่พวกเจ้า 30เพราะในวันนี้จะมีการลบบาปสำหรับเจ้า เพื่อชำระเจ้าให้สะอาด แล้วเจ้าจะสะอาดพ้นจากบาปทั้งสิ้นต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้า 31เป็นสะบาโตแห่งการหยุดพัก เจ้าต้องบังคับตน ถือเป็นข้อปฏิบัติถาวรสืบไปทุกชั่วอายุ 32ปุโรหิตซึ่งได้รับการเจิมและสถาปนาให้เป็นมหาปุโรหิตสืบทอดจากบิดาจะเป็นผู้ลบบาป เขาจะต้องสวมชุดบริสุทธิ์ที่ทำจากผ้าลินิน 33และลบบาปสำหรับอภิสุทธิสถาน เต็นท์นัดพบ และแท่นบูชา สำหรับปุโรหิตและประชากรทั้งปวงในชุมชน

34“นี่เป็นข้อปฏิบัติถาวรสำหรับเจ้าทั้งหลายสืบไปคือ ให้ลบบาปทั้งสิ้นสำหรับประชากรอิสราเอลปีละครั้ง”

และเขาก็ทำตามที่องค์พระผู้เป็นเจ้าทรงบัญชาโมเสสไว้

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 16:1-34

Siku Ya Upatanisho

116:1 Law 10:1; 16:2; Kut 26:33-34; 25:22; 30:10; 40:34; Ebr 9:7, 25; 10:19; 6:19; 2Sam 22:10Bwana akasema na Mose baada ya kifo cha wale wana wawili wa Aroni waliokufa walipokaribia mbele za Bwana. 2Bwana akamwambia Mose: “Mwambie ndugu yako Aroni asije wakati wowote atakavyo yeye ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, nyuma ya pazia pale mbele ya kiti cha rehema kile kilichoko juu ya Sanduku la Agano, la sivyo atakufa, kwa sababu huwa ninatokea ndani ya wingu juu ya kile kiti cha rehema.

316:3 Law 4:1-12; Ebr 9:24-25“Hivi ndivyo Aroni atakavyoingia katika mahali patakatifu: atachukua fahali mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. 416:4 Kut 28:29, 42; 29:4, 29-30; Law 21:10; Hes 20:26-28; Ebr 10:22; Eze 9:2; 44:17-18Atavaa koti takatifu la kitani, pamoja na nguo za ndani za kitani; atafunga mshipi wa kitani kiunoni, na kuvaa kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu, kwa hiyo ni lazima aoge kwa maji kabla ya kuyavaa mavazi hayo. 516:5 Law 4:3, 13-21; 2Nya 29:23; Za 50:9; Ezr 6:17; Eze 45:22Atachukua mbuzi dume wawili kutoka kwa jumuiya ya Israeli kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.

616:6 Law 9:7; Ebr 7:27; 9:7-12“Aroni atamtoa huyo fahali kwa ajili ya sadaka yake ya dhambi ili afanye upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na nyumba yake. 7Kisha atawachukua wale mbuzi dume wawili na kuwaleta mbele za Bwana kwenye ingilio la Hema la Kukutania. 816:8 Hes 26:55-56; 33:54; 34:13; Yos 14:2; 18:6; Amu 20:9; Neh 10:34; Es 3:7; 9:24; Za 22:18; Mit 16:33Aroni atapiga kura kwa ajili ya hao mbuzi wawili, mmoja kwa ajili ya Bwana na mwingine kwa ajili ya kubebeshwa dhambi.16:8 Yaani Azazeli, maana yake mbuzi wa ondoleo la dhambi; pia ms. 10, 26. 9Aroni atamleta yule mbuzi ambaye kura ya Bwana imemwangukia na kumtoa dhabihu kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 1016:10 Isa 53:4-10; Rum 3:25; 1Yn 2:2Lakini mbuzi aliyechaguliwa kwa kura kuwa wa kubebeshwa dhambi atatolewa akiwa hai mbele za Bwana, atumike kwa kufanya upatanisho kwa kumwacha aende jangwani akiwa amebebeshwa dhambi.

1116:11 Ebr 9:7“Aroni atamleta yule fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi yake mwenyewe, ili kufanya upatanisho kwa ajili yake na nyumba yake, naye atamchinja huyo fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi yake mwenyewe. 1216:12 Law 10:1; Ufu 8:5; Kut 25:6; 30:34-38Atachukua chetezo kilichojaa makaa yanayowaka kutoka madhabahuni mbele za Bwana, na konzi mbili za uvumba laini uliosagwa vizuri wenye harufu, na kuvipeleka nyuma ya pazia. 1316:13 Kut 25:17; 28:43; Law 22:9; Kut 31:7-8; Hes 16:7, 18; Ufu 8:3-4Ataweka uvumba juu ya moto mbele za Bwana, na moshi wa uvumba utafunika kile kiti cha rehema kilicho juu ya Ushuhuda, ili asife. 1416:14 Law 4:5-6; Ebr 9:7-13, 25Atachukua sehemu ya damu ya fahali, na kwa kidole chake atanyunyiza sehemu ya mbele ya kiti cha rehema; kisha atanyunyiza sehemu ya hiyo damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kiti cha rehema.

1516:15 Law 4:7, 13-21; Ebr 9:3, 7-12; 13:11; 7:27; Hes 19:19; Isa 52:15; Eze 36:25“Kisha atamchinja mbuzi wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya watu, na kuichukua damu yake nyuma ya pazia, na aifanyie kama alivyofanya kwa damu ya fahali: Atanyunyiza juu ya kiti cha rehema na mbele yake. 1616:16 Kut 26:33; 29:4, 36; 40:2; Rum 3:25; Ebr 9:25Kwa njia hii atafanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu kwa sababu ya unajisi na uasi wa Waisraeli, kwa dhambi zao zozote. Atafanya hivyo kwa ajili ya Hema la Kukutania, ambalo liko miongoni mwao katikati ya unajisi wao. 17Mtu yeyote haruhusiwi kuwa ndani ya Hema la Kukutania, kuanzia wakati Aroni anapoingia kufanya upatanisho katika Patakatifu pa Patakatifu, hadi atakapotoka nje, baada ya kujifanyia upatanisho yeye mwenyewe na nyumba yake, pamoja na jumuiya yote ya Israeli.

1816:18 Law 4:7, 24-25“Kisha atatoka aje kwenye madhabahu yaliyo mbele za Bwana na kufanya upatanisho kwa ajili yake. Atachukua sehemu ya damu ya fahali na sehemu ya damu ya mbuzi, na kuiweka kwenye pembe za madhabahu. 1916:19 Eze 43:20; Ebr 9:12Atanyunyiza baadhi ya hiyo damu juu ya madhabahu kwa kidole chake mara saba, ili kuitakasa na kuiweka wakfu kutokana na unajisi wa Waisraeli.

20“Aroni atakapokuwa amemaliza kufanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na madhabahu, atamleta mbele yule mbuzi aliye hai. 2116:21 Kut 29:10; Law 5:5Aroni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha mbuzi aliye hai na kuungama juu yake uovu wote na uasi wa Waisraeli, yaani dhambi zao zote, ili kuziweka juu ya kichwa cha huyo mbuzi. Atamwachia huyo mbuzi akimbilie jangwani kwa uangalizi wa mtu aliyepewa wajibu huo. 2216:22 Kut 28:38; Isa 53:12; Za 103:1-13; Mt 8:17; Yn 1:29; 1Pet 2:24Yule mbuzi atachukua juu yake dhambi zao zote mpaka mahali pasipo na watu; naye yule mtu atamwachia akimbilie jangwani.

2316:23 Kut 28:42; Eze 42:14; Flp 2:6-11“Kisha Aroni ataenda ndani ya Hema la Kukutania na kuvua yale mavazi ya kitani aliyoyavaa kabla ya kuingia katika Patakatifu pa Patakatifu, naye atayaacha pale. 2416:24 Law 6:16; 1:3; 16:25; Kut 29:13; Law 4:10Ataoga kwa maji katika mahali patakatifu na kuvaa mavazi yake ya kawaida. Kisha atatoka na kutoa dhabihu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yake na sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya watu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe, na kwa ajili ya watu. 25Pia atachoma mafuta ya mnyama wa sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.

2616:26 Law 11:25; 14:8; Ebr 9:10“Yule mtu anayemwachia yule mbuzi wa kubebeshwa dhambi ni lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji; baadaye anaweza kuingia kambini. 2716:27 Kut 29:14; Ebr 13:11; Law 8:17; 4:12Yule fahali na mbuzi waliotolewa kwa ajili ya sadaka za dhambi, ambao damu yao ilikuwa imeletwa Patakatifu pa Patakatifu kwa ajili ya kufanya upatanisho, ni lazima watolewe nje ya kambi. Ngozi zao, nyama, na matumbo pamoja na mavi vitateketezwa kwa moto. 2816:28 Hes 19:8-10Mtu atakayevichoma ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji; baadaye ataweza kuingia kambini.

2916:29 Kut 12:14, 19; 31:15; Law 25:9; 23:27, 28, 32; Hes 29:7; Isa 58:3“Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu: Katika siku ya kumi ya mwezi wa saba ni lazima mfunge, wala msifanye kazi yoyote, iwe mzawa au mgeni anayeishi miongoni mwenu, 3016:30 Kut 30:10; Za 51:2; Yer 33:8; Eze 36:33; Zek 13:1; Efe 5:26kwa sababu siku hii upatanisho utafanyika kwa ajili yenu ili kuwatakasa. Kisha mtakuwa safi mbele za Bwana kutokana na dhambi zenu zote. 3116:31 Ezr 8:21; Isa 58:3-5; Dan 10:12; Mdo 27:9Ni Sabato ya mapumziko, na lazima mfunge; ni agizo la kudumu. 3216:32 Kut 30:30; 28:2; Hes 20:26Kuhani ambaye ametiwa mafuta na kuwekwa wakfu ili kuingia mahali pa baba yake kama kuhani mkuu atafanya upatanisho. Atavaa mavazi matakatifu ya kitani, 3316:33 Eze 45:18na kufanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na madhabahu, na pia kwa ajili ya makuhani, pamoja na jumuiya yote ya watu.

3416:34 Kut 27:21; Ebr 9:7, 25; Law 23:31; Hes 29:7“Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu: Upatanisho utafanywa mara moja tu kwa mwaka kwa ajili ya dhambi zote za Waisraeli.”

Ndivyo ilivyofanyika, kama vile Bwana alivyomwamuru Mose.