เลวีนิติ 12 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

เลวีนิติ 12:1-8

การชำระตนหลังคลอด

1องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโมเสสว่า 2“จงกล่าวแก่ชนอิสราเอลดังนี้ ‘สตรีคนใดตั้งครรภ์และให้กำเนิดบุตรชาย ผู้เป็นแม่จะเป็นมลทินตามระเบียบพิธีเป็นเวลาเจ็ดวันเช่นเดียวกับที่เป็นมลทินระหว่างมีประจำเดือน 3ในวันที่แปดให้ทารกชายนั้นเข้าสุหนัต 4จากนั้นนางต้องคอย 33 วัน เพื่อชำระตนจากการหลั่งโลหิต นางจะต้องไม่แตะต้องสิ่งที่ศักดิ์สิทธิ์หรือเข้าไปในสถานนมัสการจนกว่าจะครบกำหนดการชำระของนาง 5หากคลอดบุตรสาว นางจะเป็นมลทินอยู่สองสัปดาห์เช่นเดียวกับเมื่อมีประจำเดือน แล้วนางจะต้องรอ 66 วันเพื่อชำระตนเนื่องจากหลั่งโลหิต

6“ ‘เมื่อสิ้นสุดระยะการชำระตนแล้ว ไม่ว่าจะคลอดบุตรเป็นผู้หญิงหรือผู้ชาย นางจะต้องนำลูกแกะอายุหนึ่งขวบหนึ่งตัวมาเป็นเครื่องเผาบูชา และนกพิราบรุ่นหรือนกเขาหนึ่งตัวมาเป็นเครื่องบูชาไถ่บาป นางจะนำมามอบแก่ปุโรหิตตรงทางเข้าเต็นท์นัดพบ 7ปุโรหิตจะถวายเครื่องบูชาต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าเพื่อลบบาปของนาง แล้วนางจะพ้นมลทินตามระเบียบพิธีจากการที่โลหิตได้หลั่งไหล

“ ‘สิ่งเหล่านี้คือกฎระเบียบสำหรับสตรีที่คลอดบุตรไม่ว่าจะเป็นผู้ชายหรือผู้หญิง 8หากนางยากจนเกินกว่าจะถวายลูกแกะหนึ่งตัว ก็ให้นำนกเขาหรือนกพิราบรุ่นสองตัวมาแทน ตัวหนึ่งจะใช้เป็นเครื่องเผาบูชา ส่วนอีกตัวใช้เป็นเครื่องบูชาไถ่บาป ปุโรหิตจะทำการลบบาปโดยวิธีนี้ให้นางและนางจะพ้นมลทิน’ ”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 12:1-8

Utakaso Baada Ya Kuzaa Mtoto

1Bwana akamwambia Mose, 212:2 Law 15:19; 18:19; Isa 64:6; Eze 18:6; 22:10; 36:17“Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi. 312:3 Kut 22:30; Mwa 17:10-12; Lk 1:59; 2:21; 2:2; Yn 7:22-23Mvulana atatahiriwa siku ya nane. 4Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia. 5Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.

612:6 Lk 2:22; Kut 29:38; Law 5:7; 23:12; Hes 6:12-14; 7:15; Ufu 5:6-8; 7:14“ ‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 712:7 Ebr 9:9-28; 10:1-12Atavitoa mbele za Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake.

“ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike. 812:8 Mwa 15:9; Law 4:26; 14:22; 5:7; Lk 2:22-24; Law 4:26; 2Kor 8:9Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’ ”