เลวีนิติ 1 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

เลวีนิติ 1:1-17

เครื่องเผาบูชา

1องค์พระผู้เป็นเจ้าทรงเรียกและตรัสกับโมเสสจากเต็นท์นัดพบ พระองค์ตรัสว่า 2“จงแจ้งชนอิสราเอลว่า ‘เมื่อจะถวายเครื่องบูชาแด่องค์พระผู้เป็นเจ้าจงเลือกสัตว์จากฝูงวัวหรือฝูงแพะแกะของเจ้า

3“ ‘หากจะถวายเครื่องเผาบูชาจากฝูงวัว จงใช้วัวผู้ซึ่งไม่มีตำหนิ เขาต้องนำมาถวายตรงทางเข้าเต็นท์นัดพบเพื่อว่าสัตว์นั้น1:3 หรือผู้นั้นจะเป็นที่ยอมรับสำหรับองค์พระผู้เป็นเจ้า 4ให้ผู้ถวายวางมือบนหัวของวัวซึ่งใช้เป็นเครื่องเผาบูชา พระเจ้าจะทรงยอมรับวัวแทนตัวเขาเพื่อชดใช้โทษบาปให้เขา 5ให้ผู้ถวายฆ่าวัวหนุ่มตัวนั้นต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าแล้วบรรดาปุโรหิตซึ่งเป็นบุตรชายของอาโรนจะนำเลือดมาพรมรอบแท่นบูชาตรงทางเข้าเต็นท์นัดพบ 6ให้เขาถลกหนังวัวตัวนั้นซึ่งเป็นเครื่องเผาบูชาและสับเป็นท่อนๆ 7บรรดาบุตรชายของปุโรหิตอาโรนจะก่อไฟบนแท่นบูชาและเรียงฟืนบนไฟนั้น 8แล้วเหล่าปุโรหิตผู้เป็นบุตรชายของอาโรนจะจัดเรียงชิ้นส่วนต่างๆ รวมทั้งหัวและไขมันบนฟืนที่กำลังลุกไหม้บนแท่นบูชา 9ให้เขาเอาน้ำล้างเครื่องในและขาวัว ปุโรหิตจะเผาเครื่องถวายทั้งหมดบนแท่นบูชา นี่คือเครื่องเผาบูชา เป็นเครื่องบูชาด้วยไฟ เป็นกลิ่นหอมที่องค์พระผู้เป็นเจ้าพอพระทัย

10“ ‘หากจะใช้แกะหรือแพะจากฝูงเป็นเครื่องเผาบูชา ก็จะต้องเป็นตัวผู้ซึ่งไม่มีตำหนิ 11ให้เขาฆ่ามันที่ด้านเหนือของแท่นบูชาต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าและบรรดาปุโรหิตซึ่งเป็นบุตรชายของอาโรนจะพรมเลือดของมันทั่วแท่นบูชา 12ให้เขาสับมันเป็นท่อนๆ และปุโรหิตจะนำชิ้นส่วนเหล่านั้นรวมทั้งหัวและไขมันเรียงบนฟืนที่ลุกไหม้บนแท่นบูชา 13ให้เขาเอาน้ำล้างเครื่องในและขา จากนั้นปุโรหิตจะเผาเครื่องถวายทั้งหมดบนแท่นบูชา นี่คือเครื่องเผาบูชา เป็นเครื่องบูชาด้วยไฟ เป็นกลิ่นหอมที่องค์พระผู้เป็นเจ้าพอพระทัย

14“ ‘ผู้ที่จะใช้นกเป็นเครื่องเผาบูชาแด่องค์พระผู้เป็นเจ้าให้เลือกนกเขาหรือนกพิราบรุ่น 15ปุโรหิตจะนำนกมายังแท่นบูชา บิดคอนกให้เลือดไหลลงมาข้างแท่น และเผานกนั้นบนแท่นบูชา 16แล้วปุโรหิตจะผ่ากระเพาะและเอาสิ่งที่อยู่ข้างในออก1:16 หรือกระเพาะและขนนกออกในภาษาฮีบรูคำนี้มีความหมายไม่ชัดเจน ทิ้งลงไปที่กองเถ้าถ่านด้านตะวันออกของแท่น 17จากนั้นจับปีกทั้งสองข้าง ฉีกตัวนกออกแต่อย่าให้ขาดจากกัน และปุโรหิตจะเผานกบนฟืนที่กำลังติดไฟบนแท่นบูชา นี่คือเครื่องเผาบูชา เป็นเครื่องบูชาด้วยไฟ เป็นกลิ่นหอมที่องค์พระผู้เป็นเจ้าพอพระทัย

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 1:1-17

Sadaka Ya Kuteketezwa

11:1 Kut 3:4; 19:3; 25:22; 40:2; Hes 7:89; 12:4-5Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia, 21:2 Law 22:18-21; 7:16, 38; 23:38; 27:9; Hes 15:3“Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.

31:3 Kum 15:21; 12:5-6, 11; Mwa 8:20; Law 6:25; 17:9; 22:19-20, 27; Ezr 8:35; Mal 1:8; Kut 12:5; Ebr 9:14; 1Pet 1:19; Hes 6:16; Isa 58:5“ ‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la ngʼombe, atamtoa ngʼombe dume asiye na dosari. Ni lazima amlete kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili aweze kukubalika kwa Bwana. 41:4 Kut 29:10, 15, 36; Law 4:29; 6:25; Eze 45:15; Mwa 32:20, 30; 2Nya 29:23-24; Kut 29:26; 32:30; Isa 56:7; Rum 12:1; Hes 15:25; Flp 4:18; Ebr 10:11Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake. 51:5 Kut 29:11, 20; Law 3:2, 8; 8:2; 10:6; 21:1; Hes 15:8; Kum 13:8; Za 50:9; 69:31; Ebr 12:24; 1Pet 1:2Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania. 61:6 Law 7:8; Kut 29:17Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande. 71:7 Mwa 22:9; Law 3:5; 6:12Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto. 81:8 Kut 29:13; Law 8:20; 9:13Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. 91:9 Kut 29:17, 18; Law 2:2; 3:5; 17:6; 6:22; 9:14; 23:8, 25, 36; Hes 28:6, 19; 18:17; 28:11-13; Mwa 8:21; Efe 2:5Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

101:10 Mwa 22:7; Kut 12:5; Law 3:12; 4:23, 28; 5:6; Hes 15:11“ ‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa mnyama dume asiye na dosari. 111:11 Kut 29:11, 20Atamchinjia upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Bwana, nao wana wa Aroni walio makuhani watanyunyizia damu yake pande zote za madhabahu. 12Atamkata vipande vipande, naye kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. 131:13 Kut 29:17; Law 6:22; Kum 12:27Ataosha sehemu za ndani na miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

141:14 Mwa 15:9; Lk 2:24; Law 5:7; Lk 2:24“ ‘Kama sadaka ya kuteketezwa inayotolewa kwa Bwana ni ndege, atamtoa hua au kinda la njiwa. 151:15 Law 5:8-9Kuhani atamleta kwenye madhabahu, naye atamvunja shingo na kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya madhabahu. Damu yake itachuruzishwa ubavuni mwa madhabahu. 161:16 Law 4:12; 6:10; Hes 4:13Ataondoa kifuko cha chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa upande wa mashariki wa madhabahu, mahali pale penye majivu. 171:17 Mwa 15:10; Law 5:8Atampasua na kumweka wazi katika mabawa yake, lakini asimwachanishe kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.