เนหะมีย์ 3 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

เนหะมีย์ 3:1-32

ผู้สร้างกำแพงเมือง

1มหาปุโรหิตเอลียาชีบและปุโรหิตอื่นๆ จึงลงมือซ่อมแซมประตูแกะ ทำพิธีถวายและติดตั้งประตู ซ่อมไปจนถึงหอคอยหนึ่งร้อยซึ่งพวกเขาทำพิธีถวาย และซ่อมไปจนถึงหอคอยฮานันเอล 2ชาวเมืองเยรีโคสร้างส่วนถัดไป และศักเกอร์บุตรอิมรีก็สร้างส่วนถัดไป

3บุตรทั้งหลายของหัสเสนาอาห์ซ่อมแซมประตูปลา เขาวางไม้คาน ติดตั้งประตู สลัก และดาล 4เมเรโมทบุตรอุรียาห์บุตรของฮักโขสซ่อมช่วงถัดไป เมชุลลามบุตรเบเรคิยาห์บุตรของเมเชซาเบลซ่อมแซมช่วงถัดจากเขา และศาโดกบุตรบาอานาซ่อมแซมช่วงถัดไป 5ถัดไปได้แก่ชาวเมืองเทโคอา แต่บรรดาขุนนางของเขาไม่ยอมทำงานตามคำสั่งของผู้ดูแล3:5 หรือเจ้านายของเขาหรือผู้ปกครอง

6โยยาดาบุตรปาเสอาห์กับเมชุลลามบุตรเบโสไดอาห์ซ่อมแซมประตูเยชานาห์3:6 หรือประตูเก่า พวกเขาวางคาน ติดตั้งประตู สลัก และดาล 7ถัดไปคืองานซ่อมแซมของเมลาติยาห์จากกิเบโอนกับของยาโดนจากเมโรโนท คนจากกิเบโอนและมิสปาห์ซึ่งเป็นเจ้าหน้าที่ของผู้ว่าการอีกฟากหนึ่งของแม่น้ำยูเฟรติส 8อุสซีเอลบุตรฮารฮายาห์ซึ่งเป็นช่างทองซ่อมแซมส่วนถัดไป ถัดจากนั้นคือฮานันยาห์ผู้ปรุงน้ำหอม พวกเขาซ่อมแซม3:8 หรือพวกเขาทิ้งส่วนของเยรูซาเล็มไปถึงกำแพงกว้าง 9เรไฟยาห์บุตรเฮอร์ผู้ปกครองเยรูซาเล็มครึ่งหนึ่งซ่อมแซมส่วนถัดไป 10ถัดไปคือเยดายาห์บุตรฮารุมัฟซ่อมส่วนที่อยู่ตรงข้ามบ้านของเขา ถัดไปคือฮัททัชบุตรฮาชับเนยาห์ 11มัลคียาห์บุตรฮาริมกับหัสชูบบุตรปาหัทโมอับซ่อมแซมอีกช่วงหนึ่งพร้อมทั้งหอคอยเตาอบ 12ชัลลูมบุตรฮัลโลเหชกับบรรดาบุตรสาวของเขาซ่อมแซมส่วนถัดไป เขาเป็นผู้ปกครองเยรูซาเล็มอีกครึ่งหนึ่ง

13ฮานูนกับชาวศาโนอาห์ซ่อมแซมประตูหุบเขา ติดตั้งประตู สลัก และดาล และซ่อมกำแพงยาว 1,000 ศอก3:13 คือ ประมาณ 450 เมตร ไปจนถึงประตูกองขยะ

14ผู้ที่ซ่อมประตูกองขยะคือ มัลคียาห์บุตรเรคาบผู้ปกครองเขตเบธฮัคเคเรม เขาซ่อมแซมและติดตั้งประตู สลัก และดาล

15ชัลลูมบุตรโคลโฮเซห์ผู้ปกครองเขตมิสปาห์ ซ่อมแซมประตูน้ำพุ และติดหลังคา ติดประตู สลัก และดาล และซ่อมกำแพงจากสระสิโลอัม3:15 ภาษาฮีบรูว่าเชลาห์เป็นอีกรูปหนึ่งของชิโลอาห์คือ สิโลอัมข้างอุทยานหลวงถึงขั้นบันไดจากเมืองดาวิด 16ถัดจากเขาคือเนหะมีย์บุตรอัสบูกผู้ปกครองเขตเบธซูร์ครึ่งหนึ่ง สร้างไปถึงจุดตรงข้ามสุสานของ3:16 สำเนา Vulg. บางฉบับ และฉบับ LXX. และ Syr. ว่าอุโมงค์ฝังพระศพดาวิดไปจนถึงอ่างเก็บน้ำและโรงทหาร

17ถัดไปเป็นกลุ่มคนเลวีภายใต้การกำกับดูแลของเรฮูมบุตรบานี ข้างๆ เขาคือฮาชาบิยาห์ผู้ปกครองเขตเคอีลาห์ครึ่งหนึ่ง ซึ่งซ่อมแซมส่วนที่อยู่ในเขตของเขา 18ถัดมาคือพี่น้องร่วมวงศ์ของเขานำโดยบินนุย3:18 สำเนาต้นฉบับภาษาฮีบรูส่วนใหญ่ว่าบัฟวัยบุตรเฮนาดัดผู้ปกครองเขตเคอีลาห์อีกครึ่งหนึ่ง 19ถัดจากเขาคือเอเซอร์บุตรเยชูอาผู้ปกครองเขตมิสปาห์ ซ่อมจากจุดที่หันหน้าไปทางขึ้นคลังอาวุธถึงมุมกำแพง 20ถัดมาคือบารุคบุตรศับบัยได้ซ่อมแซมอย่างแข็งขันจากมุมกำแพงไปถึงทางเข้าบ้านมหาปุโรหิตเอลียาชีบ 21ถัดมาคือเมเรโมทบุตรอุรียาห์บุตรของฮักโขส ซ่อมกำแพงจากทางเข้าบ้านของเอลียาชีบถึงริมสุดบ้าน

22ถัดมาซ่อมแซมโดยบรรดาปุโรหิตจากภูมิภาครอบๆ 23ถัดขึ้นไปเบนยามินกับหัสชูบซ่อมส่วนหน้าบ้านของเขา ถัดจากนั้นอาซาริยาห์บุตรมาอาเสอาห์ บุตรของอานานิยาห์ ซ่อมส่วนที่อยู่ข้างบ้านของเขา 24ถัดไปคือบินนุยบุตรเฮนาดัด ซ่อมอีกส่วนหนึ่งจากบ้านของอาซาริยาห์จนถึงมุมกำแพง 25ปาลาลบุตรอุซัยรับช่วงงานจากตรงข้ามมุมกำแพงและหอคอยที่ยื่นจากตำหนักบนซึ่งใกล้ลานทหารรักษาพระองค์ ถัดไปคือเปดายาห์บุตรปาโรช 26และผู้ช่วยงานในพระวิหารซึ่งอาศัยอยู่บนเนินเขาโอเฟล ซ่อมกำแพงไปจนถึงจุดตรงข้ามประตูน้ำไปทางตะวันออกและหอคอยที่ยื่นออกไป 27ถัดมาคือชาวเทโคอาซึ่งซ่อมกำแพงอีกช่วงหนึ่งจากหอคอยใหญ่ที่ยื่นออกไปจนถึงกำแพงโอเฟล

28บรรดาปุโรหิตซ่อมกำแพงเหนือประตูม้า แต่ละคนซ่อมส่วนที่อยู่หน้าบ้านของตน 29ถัดจากนั้นศาโดกบุตรอิมเมอร์ซ่อมส่วนที่อยู่ตรงข้ามบ้านของเขา ถัดไปคือเชไมอาห์บุตรเชคานิยาห์ยามประตูตะวันออกเป็นผู้ซ่อมแซม 30ถัดจากเขาคือฮานันยาห์บุตรเชเลมิยาห์ ฮานูนบุตรคนที่หกของศาลาฟซ่อมอีกส่วนหนึ่ง ถัดไปเมชุลลามบุตรเบเรคิยาห์ซ่อมแซมส่วนที่ตรงข้ามที่พักของเขา 31ถัดไปมัลคียาห์ช่างทองซ่อมแซมไปจนถึงเรือนผู้ช่วยงานในพระวิหารและเรือนพ่อค้า ตรงข้ามประตูตรวจตราไปจนถึงห้องชั้นบนตรงหัวมุม 32ช่างทองและพ่อค้าอื่นๆ ซ่อมส่วนที่อยู่ระหว่างห้องชั้นบนตรงหัวมุมนี้ไปจนถึงประตูแกะ

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nehemia 3:1-32

Wajenzi Wa Ukuta

13:1 Yer 31:38; Ezr 10:24; Neh 12:39; Za 48:12; Yn 5:2; Isa 58:2; Zek 14:10Eliashibu kuhani mkuu na makuhani wenzake walikwenda kufanya kazi na kulijenga upya Lango la Kondoo. Waliliweka wakfu na kuweka milango mahali pake, wakajenga hadi kufikia Mnara wa Mia, ambao waliuweka wakfu hadi Mnara wa Hananeli. 23:2 Ezr 2:34; Neh 7:36Watu wa Yeriko wakajenga sehemu zilizopakana nao, naye Zakuri mwana wa Imri akajenga karibu nao.

33:3 2Nya 33:14; Neh 12:39; Sef 1:10; Neh 6:1Lango la Samaki lilijengwa upya na wana wa Hasenaa. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango yake na makomeo na nondo. 43:4 Ezr 8:33Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu iliyofuatia. Baada yake Meshulamu mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli, alifanya ukarabati na aliyemfuatia ni Sadoki mwana wa Baana. 53:5 Neh 3:27; 2Sam 14:2Sehemu iliyofuatia ilikarabatiwa na watu kutoka Tekoa, lakini wakuu wao walikataa kufanya kazi chini ya wasimamizi wao.

63:6 Neh 12:36Lango la Yeshana lilikarabatiwa na Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango, makomeo na nondo. 73:7 Yos 9:3; Neh 2:7-8Karibu nao ukarabati ulifanywa na watu kutoka Gibeoni na Mispa, yaani Melati Mgibeoni, na Yadoni Mmeronothi, sehemu hizi zikiwa chini ya mamlaka ya mtawala wa Ngʼambo ya Frati. 83:8 Neh 12:38Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa masonara, alikarabati sehemu iliyofuatia, naye Hanania mmoja wa watengenezaji marashi akakarabati sehemu iliyofuatia. Walitengeneza Yerusalemu mpaka kufikia Ukuta Mpana. 9Refaya mwana wa Huri, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia. 10Kupakana na sehemu hii, Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake, naye Hatushi mwana wa Hashabnea akakarabati sehemu iliyofuatia. 113:11 Neh 12:38; Ezr 2:32Malkiya mwana wa Harimu, na Hashubu mwana wa Pahath-Moabu walikarabati sehemu nyingine pamoja na Mnara wa Matanuru. 123:12 Kut 15:25; Lk 8:3; Flp 4:3Shalumu mwana wa Haloheshi, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia akisaidiwa na binti zake.

133:13 Neh 2:13; 2Nya 26:9; Yos 15:34Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni na wakazi wa Zanoa. Walilijenga upya, na kuweka milango yake na makomeo na nondo mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu wa mita 450 hadi Lango la Samadi.

143:14 Yer 6:1; Mik 1:11Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-Hakeremu. Alilijenga upya, na kuweka milango yake, na makomeo na nondo.

153:15 Yos 18:26; Amu 20:1-3; Isa 8:6; Yn 9:7Lango la Chemchemi lilikarabatiwa na Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala wa wilaya ya Mispa. Alilijenga upya, akaliezeka na kuweka milango yake, na makomeo na nondo mahali pake. Pia alikarabati ukuta wa Bwawa la Siloamu karibu na Bustani ya Mfalme, hadi kwenye ngazi zinazoshuka kutoka Mji wa Daudi. 163:16 Yos 15:58; Wim 3:7; Mdo 2:29Baada yake, Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-Suri, alikarabati kufikia mkabala na makaburi ya Daudi, mpaka kwenye bwawa lililotengenezwa, na kufikia Nyumba ya Mashujaa.

173:17 Yos 15:44Baada yake, ukarabati ulifanywa na Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, aliyekarabati sehemu ya wilaya yake. 183:18 Yos 15:44; 1Sam 23:1Baada yake, ukarabati ulifanywa na ndugu zao chini ya usimamizi wa Binui mwana wa Henadadi, mtawala wa nusu hiyo ingine ya wilaya ya Keila. 193:19 2Nya 26:9Baada yao, Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia ile sehemu inayotazamana na mwinuko wa kuelekea kwenye ghala la kuhifadhia silaha, mpaka kwenye pembe ya ukuta. 203:20 Mhu 9:10; Rum 12:11Baada yake, Baruku mwana wa Zakai alikarabati kwa bidii sehemu nyingine kuanzia ile pembe, mpaka kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani mkuu. 213:21 Ezr 8:33Kupakana naye, Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia penye lango la nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wake.

22Baada yake, ukarabati ulifanywa na makuhani waliotoka eneo lililouzunguka mji. 23Baada yao Benyamini na Hashubu walikarabati mbele ya nyumba zao, na baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania alifanya ukarabati kando ya nyumba yake. 243:24 Yer 3:19; Ezr 8:33Baada yake, Binui mwana wa Henadadi alikarabati sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka kwenye pembe ya ukuta. 253:25 Yer 32:2; 37:21; Ezr 2:3Naye Palali, mwana wa Uzai alijenga sehemu iliyokuwa mkabala na pembe ya ukuta, mpaka kwenye mnara wa juu ambao unajitokeza kuanzia kwenye jumba la kifalme, kando ya ua wa walinzi. Baada yake, Pedaya mwana wa Paroshi, 263:26 Ezr 2:43; Neh 7:46; 2Nya 33:14; Neh 12:37; 8:1-3na watumishi wa Hekalu walioishi juu ya kilima cha Ofeli walikarabati hadi kufikia mkabala na Lango la Maji, kuelekea mashariki na ule mnara uliojitokeza. 273:27 Za 48:12; Neh 3:5Baada yao, watu wa Tekoa walikarabati sehemu nyingine, kuanzia mnara mkubwa utokezao hadi ukuta wa Ofeli.

283:28 2Nya 23:15; Yer 31:40; 2Fal 11:16Makuhani walifanya ukarabati juu ya Lango la Farasi, kila mmoja mbele ya nyumba yake. 293:29 Yer 19:2Baada yao, Sadoki mwana wa Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba yake. Baada yake, Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya ukarabati. 30Baada yake, Hanania mwana wa Shelemia, na Hanuni mwana wa sita wa Salafu walikarabati sehemu nyingine. Baada yao, Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba zake za kuishi. 31Baada yake Malkiya, mmoja wa masonara, alifanya ukarabati mpaka kwenye nyumba za watumishi wa Hekalu3:31 Yaani Wanethini. na wafanyabiashara, mkabala na Lango la Ukaguzi, hadi kufikia chumba kilicho juu ya pembe. 323:32 Neh 12:39; Yn 5:2Masonara na wafanyabiashara walifanya ukarabati kutoka chumba kilichoko juu ya pembe hadi Lango la Kondoo.