อพยพ 26 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

อพยพ 26:1-37

พลับพลา

(อพย.36:8-38)

1“จงทำพลับพลาด้วยม่านผ้าลินินเนื้อดีสิบผืน ให้ช่างฝีมือผู้ชำนาญคนหนึ่งปักลวดลายด้วยด้ายสีน้ำเงิน ม่วง และแดงเป็นภาพเหล่าเครูบไว้บนม่านเหล่านั้น 2ม่านทุกผืนมีขนาดเดียวกันคือกว้าง 4 ศอก ยาว 28 ศอก26:2 คือ กว้างประมาณ 1.8 เมตร ยาวประมาณ 12.5 เมตร 3ต่อม่านเป็นสองแถบ แถบละห้าผืน 4จงใช้ผ้าสีน้ำเงินทำหูที่ขอบของผ้าม่านทั้งสองแถบ 5แถบละห้าสิบหูตรงกัน 6แล้วทำตะขอทองคำห้าสิบอันเกี่ยวหูของแถบม่านทั้งสองเข้าด้วยกันเพื่อให้เป็นพลับพลาเดียวกัน

7“ให้ทำม่านขนแพะสิบเอ็ดผืนสำหรับทำเป็นเต็นท์เพื่อคลุมพลับพลาไว้ 8ม่านทุกผืนมีขนาดเดียวกัน คือ กว้าง 4 ศอก ยาว 30 ศอก26:8 คือ กว้างประมาณ 1.8 เมตร ยาวประมาณ 13.5 เมตร 9ต่อม่านเป็นสองแถบ แถบหนึ่งใช้ห้าผืน อีกแถบหนึ่งใช้หกผืน ให้พับผืนที่หกทบไว้ด้านหน้าเต็นท์ 10จงทำหูห้าสิบหูติดที่ขอบของแถบผ้าม่านทั้งสองแถบ 11แล้วใช้ตะขอทองสัมฤทธิ์เกี่ยวหูเต็นท์ให้เข้าเป็นเต็นท์เดียวกัน 12ส่วนความยาวที่เหลือ ครึ่งหนึ่งของผ้าเต็นท์ให้ห้อยไว้ทางด้านหลังของพลับพลา 13ผ้าเต็นท์นี้จะมีความยาวยื่นออกมาข้างละ 1 ศอก26:13 คือ ประมาณ 0.5 เมตรเพื่อคลุมพลับพลาไว้ 14จงคลุมเต็นท์ด้วยหนังแกะตัวผู้ย้อมสีแดงและใช้หนังพะยูนคลุมทับไว้อีกชั้นหนึ่ง

15“จงตั้งฝาผนังพลับพลาซึ่งทำจากไม้กระถินเทศ 16ไม้ฝาแต่ละแผ่นกว้าง 1.5 ศอก สูง 10 ศอก26:16 คือ กว้างประมาณ 0.7 เมตร สูงประมาณ 4.5 เมตร 17ไม้ฝาแต่ละแผ่นมีสลักสองชุดขนานกันสำหรับประกบเข้าด้วยกัน จงทำฝาผนังพลับพลาทั้งหมดแบบนี้ 18จงทำไม้ฝายี่สิบแผ่นสำหรับด้านทิศใต้ของพลับพลา 19และทำฐานของไม้ฝาแต่ละแผ่นด้วยเงินแผ่นละสองฐาน รวมสี่สิบฐาน แต่ละฐานรองรับสลักแต่ละอัน 20ทางด้านทิศเหนือของพลับพลาให้ตั้งไม้ฝาขึ้นยี่สิบแผ่น 21และมีฐานเงินรองรับไม้ฝาแผ่นละสองฐาน รวมสี่สิบฐาน 22จงทำไม้ฝาหกแผ่นสำหรับด้านทิศตะวันตกซึ่งเป็นส่วนหลังของพลับพลา 23และทำไม้ฝาอีกสองแผ่นสำหรับมุมทั้งสองข้างของส่วนหลัง 24ไม้ฝาหัวมุมทั้งสองด้านต้องประกบกันสนิทตั้งแต่บนจรดล่าง และด้านบนสุดยึดด้วยห่วงหนึ่งวง ไม้ฝาหัวมุมทั้งสองด้านจะต้องทำอย่างนี้ 25ฉะนั้นที่ส่วนหลังของพลับพลาจะมีไม้ฝาทั้งหมดแปดแผ่น และมีฐานเงินรองรับสิบหกฐาน แผ่นละสองฐาน

26“จงทำคานขวางด้วยไม้กระถินเทศ พาดขวางฝาผนังพลับพลาด้านทิศเหนือห้าเส้น 27ด้านทิศใต้ห้าเส้นและอีกห้าเส้นสำหรับด้านทิศตะวันตกซึ่งเป็นส่วนหลังของพลับพลา 28คานขวางอันกลางพาดผ่านตรงกลางฝาผนังตลอดแนว 29จงหุ้มไม้ฝาทุกแผ่นด้วยทองคำและทำห่วงทองคำยึดคานขวางเหล่านั้นไว้ ไม้คานเหล่านั้นให้หุ้มด้วยทองคำเช่นกัน

30“จงตั้งพลับพลาขึ้นตามแบบที่เราได้แจ้งแก่เจ้าบนภูเขา

31“จงทำม่านด้วยผ้าลินินเนื้อดี ให้ช่างฝีมือผู้ชำนาญปักลวดลายจากด้ายสีน้ำเงิน ม่วง และแดงเป็นภาพเหล่าเครูบไว้บนม่านนั้น 32จงแขวนม่านนี้ด้วยตะขอซึ่งทำจากทองคำบนเสาไม้กระถินเทศสี่ต้นหุ้มทองคำ เสาเหล่านี้ตั้งอยู่บนฐานรองรับทำด้วยเงินสี่ฐาน 33หลังม่านซึ่งแขวนบนตะขอทองคำนี้เป็นที่ตั้งหีบพันธสัญญา ม่านนี้จะกั้นระหว่างวิสุทธิสถานและอภิสุทธิสถาน 34แล้วจงตั้งพระที่นั่งกรุณาไว้บนหีบพันธสัญญาในอภิสุทธิสถาน 35โต๊ะและคันประทีปให้วางแยกกันคนละด้านอยู่นอกม่าน คันประทีปจะอยู่ทางด้านทิศใต้ของพลับพลา ส่วนโต๊ะนั้นจะอยู่ทางด้านทิศเหนือ

36“จงทำม่านอีกผืนจากผ้าลินินเนื้อดี ปักอย่างวิจิตรด้วยด้ายสีน้ำเงิน ม่วง และแดงสำหรับกั้นทางเข้าเต็นท์ 37จงทำตะขอทองคำสำหรับแขวนม่านผืนนี้บนเสาไม้กระถินเทศห้าต้นหุ้มด้วยทองคำ มีตะขอทองคำและมีฐานรองรับห้าฐานทำด้วยทองสัมฤทธิ์

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 26:1-37

Maskani Ya Mungu

(Kutoka 36:8-38)

126:1 Kut 29:42; 40:2; Law 8:10; Hes 1:50; Yos 22:19-20; 2Sam 7:2; 1Fal 1:30; Mdo 7:44; Ebr 8:2-5; 13:10; Ufu 21:3; Kut 25:18“Tengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi atatarizi makerubi kwenye mapazia hayo. 2Mapazia yote yatatoshana kwa ukubwa: kila moja litakuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane,26:2 Dhiraa 28 ni sawa na mita 13. na upana wa dhiraa nne26:2 Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8. 326:3 1Kor 12:4-12Unganisha mapazia matano pamoja; fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano. 426:4 Efe 4:13; Kol 2:2, 19Tengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, na ufanye vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho. 5Fanya vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vielekeane. 6Kisha tengeneza vifungo hamsini vya dhahabu ili vitumike kufunga na kuunganisha mapazia pamoja kufanya Hema liwe kitu kimoja.

726:7 Kut 36:14“Tengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani. 8Mapazia hayo kumi na moja yatakuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini,26:8 Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5. na upana wa dhiraa nne. 9Unganisha hayo mapazia matano yawe fungu moja, na hayo mengine sita yawe fungu lingine. Kunja hilo pazia la sita mara mbili mbele ya maskani. 10Tengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine. 11Kisha tengeneza vifungo hamsini vya shaba, uviingize katika vile vitanzi ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja. 12Kuhusu kile kipande cha ziada cha pazia la Hema, nusu ya hilo pazia lililobaki litaningʼinizwa upande wa nyuma wa Hema. 13Mapazia ya hema yatakuwa na urefu wa dhiraa moja zaidi pande zote, sehemu itakayobaki itaningʼinia pande zote za Hema ili kuifunika. 1426:14 Kut 36:19; Hes 3:25; 4:25Tengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.26:14 Pomboo hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili.

15“Tengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani. 16Kila mhimili uwe na urefu wa dhiraa kumi26:16 Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5. na upana wa dhiraa moja na nusu, 17zikiwa na ndimi mbili zilizo sambamba kila mmoja na mwingine. Tengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii. 18Tengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani, 1926:19 Kut 38:27kisha tengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi. 20Kuhusu upande wa kaskazini wa maskani, tengeneza mihimili ishirini 21na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili. 22Kisha tengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani, 23na pia utengeneze mihimili miwili ya pembe za upande ulio mbali. 24Katika pembe hizi mbili ni lazima mihimili yake iwe miwili kuanzia chini mpaka juu, na iingizwe kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili itafanana. 25Kwa hiyo itakuwepo mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.

2626:26 Kut 36:31; Rum 15:1; Gal 6:2“Pia tengeneza mataruma ya mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani, 27matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili ya mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani. 28Taruma la katikati litapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine. 29Funika hiyo mihimili kwa dhahabu, kisha tengeneza pete za dhahabu ambazo zitashikilia hayo mataruma. Pia funika hayo mataruma kwa dhahabu.

3026:30 Kut 40:2; 25:9; Hes 9:15; Ebr 8:5; Mdo 7:44; Ebr 8:5“Simamisha Hema sawasawa na mfano ulioonyeshwa kule mlimani.

3126:31 Hes 4:5; 2Nya 3:14; Mt 27:51; Lk 23:45; Ebr 9:3; Kut 25:18; 36:35; Law 16:2; Kut 25:18; 36:35“Tengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi atirizi makerubi kwenye hilo pazia. 32Litundike kwa kulabu za dhahabu kwenye nguzo nne za mti wa mshita ambazo zimefunikwa kwa dhahabu, zikiwa zimesimamishwa kwenye vitako vinne vya fedha. 3326:33 Kut 27:21; 35:12; 40:2-3, 21; Law 16:2; Hes 3:31; 4:5; 2Nya 3:14; Law 16:2, 16; 1Fal 6:16; 7:50; 8:6; 2Nya 3:8; 5:7; Eze 41:5; Ebr 9:2-3Ningʼiniza pazia hilo kwenye vifungo, kisha weka Sanduku la Ushuhuda nyuma ya pazia. Pazia litatenganisha Mahali Patakatifu kutoka Patakatifu pa Patakatifu. 3426:34 Kut 25:21; 30:6; 37:6; Law 16:2; Ebr 9:5Weka kifuniko cha kiti cha rehema juu ya Sanduku la Ushuhuda ndani ya Patakatifu pa Patakatifu. 3526:35 Kut 25:23; Ebr 9:2; Kut 25:31Weka meza nje ya pazia upande wa kaskazini wa Hema, kisha weka kinara cha taa upande wa kusini wa Hema.

3626:36 Kut 35:15; 40:5; 28; Za 45:14; Eze 16:10; 26:16; 27:7“Kwa ajili ya ingilio la hema, tengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. 3726:37 Kut 38:1Tengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya hilo pazia, na nguzo tano za mshita zilizofunikwa kwa dhahabu. Kisha mimina vitako vitano vya shaba kwa ajili yake.