กิจการของอัครทูต 12 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

กิจการของอัครทูต 12:1-25

เปโตรพ้นจากคุกอย่างอัศจรรย์

1ช่วงนั้นกษัตริย์เฮโรดได้จับกุมคนของคริสตจักรไปโดยเจตนาจะข่มเหงพวกเขา 2เฮโรดให้ฆ่ายากอบพี่ชายของยอห์นด้วยดาบ 3เมื่อเห็นว่าพวกยิวพอใจกับการกระทำนั้นก็สั่งจับเปโตรด้วย เหตุการณ์นี้เกิดขึ้นระหว่างเทศกาลขนมปังไม่ใส่เชื้อ 4หลังจากจับกุมเปโตรแล้วก็ให้จำคุกไว้โดยมีทหารสี่หมู่ หมู่ละสี่คนคอยเฝ้า เฮโรดตั้งใจจะนำเขาออกมาไต่สวนต่อหน้าประชาชนหลังเทศกาลปัสกา

5ดังนั้นเปโตรจึงถูกคุมขังอยู่ในคุกแต่คริสตจักรได้อธิษฐานต่อพระเจ้าเพื่อเขาอย่างจริงจัง

6ในคืนก่อนที่เฮโรดจะนำเปโตรมาไต่สวน เขากำลังหลับอยู่ระหว่างทหารสองคน ถูกล่ามด้วยโซ่สองเส้นและทหารยามยืนเฝ้าอยู่ที่ประตูคุก 7ทันใดนั้นทูตขององค์พระผู้เป็นเจ้าก็มาปรากฏและมีแสงสว่างส่องเข้ามาในห้องขัง ทูตนั้นตบที่สีข้างของเปโตรและปลุกเขาตื่นแล้วกล่าวว่า “เร็วๆ เข้า ลุกขึ้น!” โซ่ก็หลุดจากข้อมือของเปโตร

8แล้วทูตนั้นกล่าวกับเขาว่า “จงสวมเสื้อผ้าและรองเท้า” เปโตรก็ทำตาม ทูตบอกว่า “สวมเสื้อคลุมแล้วตามเรามาเถิด” 9เปโตรก็ตามออกไปจากคุก เขาไม่รู้เลยว่าสิ่งที่ทูตนั้นทำอยู่เป็นเรื่องจริง เขาคิดว่าตนเองกำลังเห็นนิมิต 10เมื่อพวกเขาออกไปพ้นทหารยามชุดที่หนึ่งและชุดที่สองแล้วก็มาถึงประตูเหล็กที่จะเข้าเมือง ประตูนั้นเปิดออกเองให้พวกเขาผ่านไป เมื่อเดินมาตามถนนได้ระยะหนึ่งทันใดนั้นทูตสวรรค์องค์นั้นก็จากเขาไป

11เปโตรจึงรู้สึกตัวและกล่าวว่า “เดี๋ยวนี้เรารู้แน่แล้วว่าองค์พระผู้เป็นเจ้าทรงส่งทูตของพระองค์มาช่วยเราให้พ้นจากเงื้อมมือของเฮโรดและการปองร้ายทั้งปวงของพวกยิว”

12เมื่อเกิดความเข้าใจเช่นนี้แล้วเขาก็ไปยังบ้านของมารีย์ผู้เป็นมารดาของยอห์นซึ่งเรียกอีกชื่อหนึ่งว่ามาระโก บ้านนั้นเป็นที่ซึ่งหลายคนประชุมอธิษฐานกันอยู่ 13เปโตรเคาะประตูชั้นนอกสาวใช้คนหนึ่งชื่อโรดาจึงมาที่ประตู 14พอจำได้ว่าเป็นเสียงของเปโตรนางก็ดีใจมากจนวิ่งกลับไปโดยไม่ได้เปิดประตูพลางร้องว่า “เปโตรอยู่ที่ประตู!”

15คนเหล่านั้นจึงว่า “เธอเสียสติไปแล้ว” แต่เมื่อนางยืนกรานว่าเป็นเช่นนั้นจริงๆ พวกเขาก็พูดว่า “ต้องเป็นทูตสวรรค์ประจำตัวเขา”

16แต่เปโตรยังเคาะประตูไม่หยุด เมื่อพวกเขาเปิดประตูมาพบเปโตรพวกเขาก็แปลกใจมาก 17แต่เปโตรโบกมือให้พวกเขาสงบแล้วเล่าว่าองค์พระผู้เป็นเจ้าทรงนำเขาออกมาจากคุกได้อย่างไรพร้อมกับสั่งว่า “จงบอกเรื่องนี้แก่ยากอบและพวกพี่น้องอื่นๆ” แล้วเขาก็จากไปยังอีกที่หนึ่ง

18พอรุ่งเช้าพวกทหารก็แตกตื่นตกใจกันใหญ่ว่าเกิดอะไรขึ้นกับเปโตร 19หลังจากเฮโรดให้ค้นหาตัวเปโตรจนทั่วแต่ไม่พบจึงไต่สวนพวกทหารยามและสั่งประหารชีวิต

เฮโรดสิ้นพระชนม์

จากนั้นเฮโรดออกจากแคว้นยูเดียไปพักอยู่ที่เมืองซีซารียาระยะหนึ่ง 20ก่อนหน้านี้เฮโรดมีเรื่องบาดหมางกับชาวไทระและไซดอน บัดนี้พวกเขารวมตัวกันมาขอเข้าเฝ้าโดยอาศัยบลัสทัสมหาดเล็กคนสนิทของเฮโรด พวกเขามาขอคืนดีเพราะต้องพึ่งเสบียงอาหารจากดินแดนของเฮโรด

21ในวันนัดเฮโรดแต่งตัวเต็มยศนั่งบนบัลลังก์และกล่าวปราศรัยต่อประชาชน 22เขาทั้งหลายร้องตะโกนว่า “นี่เป็นเสียงเทพเจ้าไม่ใช่เสียงมนุษย์” 23เนื่องจากเฮโรดไม่ถวายเกียรติแด่พระเจ้า ทันใดนั้นทูตองค์หนึ่งขององค์พระผู้เป็นเจ้าจึงให้เฮโรดล้มป่วยและถูกหนอนกัดกินจนสิ้นชีพ

24แต่พระวจนะของพระเจ้ายังคงทวียิ่งขึ้นและแพร่กระจายไป

25เมื่อบารนาบัสกับเซาโลทำพันธกิจเสร็จเรียบร้อยแล้วก็กลับจาก12:25 สำเนาต้นฉบับบางสำเนาว่าไปกรุงเยรูซาเล็มและพายอห์นซึ่งมีอีกชื่อว่ามาระโกไปด้วย

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Matendo 12:1-25

Yakobo Auawa, Petro Atiwa Gerezani

112:1 Mt 14:1Wakati huo huo Mfalme Herode Agripa aliwakamata baadhi ya watu wa kanisa. 212:2 Mt 4:21; Mk 10:39Akaamuru Yakobo, ndugu yake Yohana, auawe kwa upanga. 312:3 Mdo 24:27; 25:9; Kut 12:15; 23:15; Mdo 20:6Alipoona jambo hilo limewapendeza Wayahudi, akaendelea, akamkamata pia Petro. Hii ilitokea wakati wa Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu. 412:4 Yn 11:15Baada ya kumkamata alimtia gerezani, chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari, vyenye askari wanne kila kimoja. Herode alikuwa amekusudia kumtoa na kumfanyia mashtaka mbele ya watu baada ya Pasaka.

512:5 Mdo 1:14; Efe 6:18Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini kanisa lilikuwa likimwombea kwa Mungu kwa bidii.

612:6 Mdo 21:33Usiku ule kabla ya siku ambayo Herode Agripa alikuwa amekusudia kumtoa na kumfanyia mashtaka, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili, akiwa amefungwa kwa minyororo miwili. Nao walinzi wa zamu walikuwa wakilinda penye lango la gereza. 712:7 Mdo 5:19; Za 107:14; Mdo 16:26Ghafula malaika wa Bwana akatokea na nuru ikamulika mle ndani ya gereza. Yule malaika akampiga Petro ubavuni na kumwamsha, akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo ikaanguka kutoka mikononi mwa Petro.

8Yule malaika akamwambia, “Vaa nguo zako na viatu vyako.” Petro akafanya hivyo. Kisha akamwambia, “Jifunge vazi lako na unifuate.” 912:9 Mdo 9:10Petro akatoka mle gerezani akiwa amefuatana na yule malaika. Hakujua wakati huo kuwa yaliyokuwa yakitukia yalikuwa kweli. Alidhani kuwa anaona maono. 1012:10 Mdo 5:19; 16:26Wakapita lindo la kwanza na la pili, ndipo wakafika kwenye lango la chuma linaloelekea mjini. Lango likawafungukia lenyewe, nao wakapita hapo wakatoka nje. Baada ya kutembea umbali wa mtaa mmoja, ghafula yule malaika akamwacha Petro.

1112:11 Lk 15:17; Za 34:7; Dan 3:28; 6:22; 2Kor 11:10; 2Pet 2:9Ndipo Petro akarudiwa na fahamu, akasema, “Sasa ninajua bila shaka yoyote kuwa Bwana amemtuma malaika wake na kuniokoa kutoka makucha ya Herode Agripa na kutoka matazamio yote ya Wayahudi.”

1212:12 Mdo 12:25; 15:37; Kol 4:10; 2Tim 4:11; 1Pet 5:13Mara Petro alipotambua hili alikwenda nyumbani kwa Maria, mama yake Yohana aliyeitwa pia Marko, ambako watu wengi walikuwa wamekutana kwa maombi. 1312:13 Yn 18:16Petro alipobisha hodi kwenye lango la nje, mtumishi wa kike jina lake Roda, akaja kumfungulia. 1412:14 Lk 24:41Alipoitambua sauti ya Petro, alifurahi mno akarudi bila kufungua na kuwaeleza kwamba, “Petro yuko langoni!”

1512:15 Mt 18:10Wakamwambia yule mtumishi wa kike, “Umerukwa na akili.” Alipozidi kusisitiza kuwa ni kweli, wakasema, “Lazima awe ni malaika wake.”

16Lakini Petro aliendelea kugonga langoni, nao walipofungua lango na kumwona Petro, walistaajabu sana. 1712:17 Mdo 19:33; 21:40Yeye akawaashiria kwa mkono wake wanyamaze kimya, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Naye akaongeza kusema, “Waelezeni Yakobo na ndugu wengine habari hizi.” Kisha akaondoka akaenda sehemu nyingine.

1812:18 Mdo 5:21, 22Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa miongoni mwa wale askari kuhusu yaliyomtukia Petro. 1912:19 Mdo 8:1-4; 16:27; 8:40Baada ya Herode kuamuru atafutwe kila mahali na bila kumpata, aliwahoji wale askari walinzi kisha akatoa amri wauawe. Basi Herode Agripa akatoka Uyahudi akaenda Kaisaria, akakaa huko kwa muda.

Kifo Cha Herode Agripa

2012:20 Mt 11:21; 1Fal 5:9, 11; Eze 27:17Basi Herode Agripa alikuwa amekasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Hivyo watu wa miji hiyo miwili wakaungana pamoja wakatafuta kukutana naye. Wakiisha kuungwa mkono na Blasto, mtumishi maalum wa Mfalme Herode Agripa aliyeaminika, wakaomba mapatano ya amani maana nchi zao zilitegemea nchi ya huyo mfalme kwa mahitaji yao ya chakula.

21Katika siku iliyochaguliwa Herode Agripa akavaa mavazi yake ya kifalme, akaketi kwenye kiti chake cha enzi na kuwahutubia watu. 2212:22 Eze 28:2Watu waliokuwa wamekusanyika wakapiga kelele, wakisema, “Hii si sauti ya mwanadamu, bali ni ya Mungu.” 2312:23 Mdo 5:19; 1Sam 25:38; 2Sam 24:16; 2Fal 19:35Ghafula, kwa kuwa Herode hakumpa Mungu utukufu, malaika wa Bwana akampiga, naye akaliwa na chango, akafa.

2412:24 Ebr 4:12; Mdo 6:7; 19:20Lakini neno la Mungu likaendelea mbele na kuenea, nao wengi wakaambatana nalo.

2512:25 Mdo 4:36; 11:30; 12:12Barnaba na Sauli walipomaliza ile huduma yao iliyowapeleka, wakarudi Yerusalemu wakiwa pamoja na Yohana aitwaye Marko.