กันดารวิถี 26 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

กันดารวิถี 26:1-65

สำมะโนประชากรครั้งที่สอง

1หลังจากภัยพิบัติยุติลงแล้ว องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโมเสสและเอเลอาซาร์บุตรปุโรหิตอาโรนว่า 2“จงทำสำมะโนประชากรชายทุกคนในอิสราเอลที่มีอายุยี่สิบปีขึ้นไป เพื่อสำรวจว่าในแต่ละครอบครัวมีใครบ้างที่สามารถออกรบได้” 3ดังนั้นโมเสสและปุโรหิตเอเลอาซาร์จึงแจ้งพวกเขาขณะตั้งค่ายอยู่ในที่ราบโมอับริมแม่น้ำจอร์แดนตรงข้ามเมืองเยรีโค26:3 ภาษาฮีบรูว่าจอร์แดนแห่งเยรีโคอาจจะเป็นชื่อโบราณของแม่น้ำจอร์แดน เช่นเดียวกับข้อ 63ว่า 4“จงทำสำมะโนประชากรชายอายุยี่สิบปีขึ้นไปตามที่องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสสั่งโมเสส”

ชนอิสราเอลที่ออกมาจากอียิปต์ ได้แก่

5วงศ์วานของรูเบนบุตรหัวปีของอิสราเอลได้แก่

ตระกูลฮาโนคจากฮาโนค

ตระกูลปัลลูจากปัลลู

6ตระกูลเฮสโรนจากเฮสโรน

ตระกูลคารมีจากคารมี

7ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของรูเบน นับได้ 43,730 คน

8บุตรชายของปัลลูคือเอลีอับ 9และบุตรชายของเอลีอับคือ เนมูเอล ดาธาน และอาบีรัม ดาธานและอาบีรัมนี้เป็นเจ้าหน้าที่ของชุมชนซึ่งได้กบฏต่อโมเสสและต่ออาโรน และเป็นพรรคพวกของโคราห์เมื่อเขากบฏต่อองค์พระผู้เป็นเจ้า 10พื้นธรณีแยกออกและสูบพวกเขาลงไปพร้อมกับโคราห์ และพรรคพวกของเขา 250 คนถูกไฟคลอกตาย และนั่นเป็นเครื่องเตือนเหล่าประชากร 11แต่เชื้อสายโคราห์ไม่ได้สูญสิ้นไป

12วงศ์วานของสิเมโอนแยกตามตระกูล ได้แก่

ตระกูลเนมูเอลจากเนมูเอล

ตระกูลยามีนจากยามีน

ตระกูลยาคีนจากยาคีน

13ตระกูลเศราห์จากเศราห์

และตระกูลชาอูลจากชาอูล

14ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของสิเมโอน นับได้ 22,200 คน

15วงศ์วานของกาดแยกตามตระกูล ได้แก่

ตระกูลเศโฟนจากเศโฟน

ตระกูลฮักกีจากฮักกี

ตระกูลชูนีจากชูนี

16ตระกูลโอสนีจากโอสนี

ตระกูลเอรีจากเอรี

17ตระกูลอาโรดี26:17 ฉบับ MT. ว่าอาโรดจากอาโรดี

และตระกูลอาเรลีจากอาเรลี

18ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของกาด นับได้ 40,500 คน

19เอร์และโอนันบุตรชายของยูดาห์เสียชีวิตที่คานาอัน

20วงศ์วานของยูดาห์แยกตามตระกูล ได้แก่

ตระกูลเชลาห์จากเชลาห์

ตระกูลเปเรศจากเปเรศ

ตระกูลเศราห์จากเศราห์

21วงศ์วานของเปเรศ ได้แก่

ตระกูลเฮสโรนจากเฮสโรน

และตระกูลฮามูลจากฮามูล

22ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของยูดาห์ นับได้ 76,500 คน

23วงศ์วานของอิสสาคาร์แยกตามตระกูล ได้แก่

ตระกูลโทลาจากโทลา

ตระกูลปูวาห์จากปูวาห์

24ตระกูลยาชูบจากยาชูบ

และตระกูลชิมโรนจากชิมโรน

25ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของอิสสาคาร์ นับได้ 64,300 คน

26วงศ์วานของเศบูลุน แยกตามตระกูลได้แก่

ตระกูลเสเรดจากเสเรด

ตระกูลเอโลนจากเอโลน

และตระกูลยาเลเอลจากยาเลเอล

27ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของเศบูลุน นับได้ 60,500 คน

28วงศ์วานของโยเซฟแยกตามตระกูลนับตามมนัสเสห์และเอฟราอิมคือ

29วงศ์วานของมนัสเสห์ ได้แก่

ตระกูลมาคีร์จากมาคีร์

(มาคีร์เป็นบิดาของกิเลอาด)

ตระกูลกิเลอาดจากกิเลอาด

30วงศ์วานของกิเลอาด ได้แก่

ตระกูลอีเยเซอร์จากอีเยเซอร์

ตระกูลเฮเลคจากเฮเลค

31ตระกูลอัสรีเอลจากอัสรีเอล

ตระกูลเชเคมจากเชเคม

32ตระกูลเชมิดาจากเชมิดา

และตระกูลเฮเฟอร์จากเฮเฟอร์

33(เศโลเฟหัดบุตรเฮเฟอร์ไม่มีบุตรชาย

มีแต่บุตรสาวได้แก่ มาห์ลาห์ โนอาห์ โฮกลาห์ มิลคาห์และทีรซาห์)

34ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของมนัสเสห์ นับได้ 52,700 คน

35วงศ์วานของเอฟราอิมแยกตามตระกูล ได้แก่

ตระกูลชูเธลาห์จากชูเธลาห์

ตระกูลเบเคอร์จากเบเคอร์

ตระกูลทาหานจากทาหาน

36วงศ์วานของชูเธลาห์คือ

ตระกูลเอรานจากเอราน

37ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของเอฟราอิมนับได้ 32,500 คน

ทั้งหมดนี้คือวงศ์วานของโยเซฟแยกตามตระกูล

38วงศ์วานของเบนยามินแยกตามตระกูล ได้แก่

ตระกูลเบลาจากเบลา

ตระกูลอัชเบลจากอัชเบล

ตระกูลอาหิรัมจากอาหิรัม

39ตระกูลชูฟาม26:39 สำเนาฉบับ MT.ส่วนมากว่าเชฟูฟามจากชูฟาม

และตระกูลหุฟามจากหุฟาม

40วงศ์วานของเบลาทางอาร์ดและนาอามาน ได้แก่

ตระกูลอาร์ดจากอาร์ด26:40 ฉบับ MT. ไม่มีวลีว่าจากอาร์ด

และตระกูลนาอามานจากนาอามาน

41ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของเบนยามิน นับได้ 45,600 คน

42วงศ์วานของดานแยกตามตระกูลคือ

ตระกูลชูฮัมจากชูฮัม

นี่คือตระกูลของดาน 43ทั้งหมดล้วนอยู่ในตระกูลชูฮัม รวม 64,400 คน

44วงศ์วานของอาเชอร์แยกตามตระกูล ได้แก่

ตระกูลอิมนาห์จากอิมนาห์

ตระกูลอิชวีจากอิชวี

ตระกูลเบรียาห์จากเบรียาห์

45และวงศ์วานของตระกูลเบรียาห์ ได้แก่

ตระกูลเฮเบอร์จากเฮเบอร์

ตระกูลมัลคีเอลจากมัลคีเอล

46(อาเชอร์มีบุตรสาวคนหนึ่งชื่อเสราห์)

47ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของอาเชอร์นับได้ 53,400 คน

48วงศ์วานของนัฟทาลีแยกตามตระกูล ได้แก่

ตระกูลยาเซเอลจากยาเซเอล

ตระกูลกูนีจากกูนี

49ตระกูลเยเซอร์จากเยเซอร์

ตระกูลชิลเลมจากชิลเลม

50ทั้งหมดนี้คือตระกูลต่างๆ ของนัฟทาลีนับได้ 45,400 คน

51รวมพลอิสราเอลทั้งหมดได้ 601,730 คน

52องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสสั่งโมเสสว่า 53“จงแบ่งดินแดนแก่เผ่าต่างๆ ตามสัดส่วนจำนวนคนที่นับได้ 54เผ่าใหญ่ได้รับที่ดินมาก และเผ่าที่เล็กกว่าได้รับที่ดินน้อยลงตามส่วน และแต่ละกลุ่มจะได้รับมรดกตามจำนวนรายชื่อที่ขึ้นทะเบียนไว้ 55ให้จับฉลากแบ่งดินแดน แต่ละกลุ่มได้ครองกรรมสิทธิ์ตามจำนวนรายชื่อเผ่าบรรพบุรุษ 56แบ่งสรรกรรมสิทธิ์โดยจับฉลากตามส่วนเผ่าใหญ่และเผ่าเล็ก”

57ต่อไปนี้คือเผ่าเลวีนับตามตระกูล ได้แก่

ตระกูลเกอร์โชนจากเกอร์โชน

ตระกูลโคฮาทจากโคฮาท

ตระกูลเมรารีจากเมรารี

58ต่อไปนี้ก็คือตระกูลของเลวีด้วย ได้แก่

ตระกูลลิบนี

ตระกูลเฮโบรน

ตระกูลมาห์ลี

ตระกูลมูชี

ตระกูลโคราห์

(โคฮาทเป็นบรรพบุรุษของอัมราม 59ภรรยาของอัมรามชื่อโยเคเบดผู้เป็นเชื้อสายของเลวี ซึ่งเป็นบุตรสาวของชาวเลวี26:59 หรือโยเคเบดเป็นบุตรสาวของเลวี ที่เกิดในอียิปต์ อัมรามมีบุตรชายคืออาโรนกับโมเสส และบุตรสาวชื่อมิเรียม 60อาโรนมีบุตรชื่อ นาดับ อาบีฮู เอเลอาซาร์ และอิธามาร์ 61แต่นาดับและอาบีฮูสิ้นชีวิตไปเมื่อครั้งจุดไฟที่ไม่ได้รับอนุญาตต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้า)

62จำนวนผู้ชายทั้งหมดในตระกูลเลวีอายุหนึ่งเดือนขึ้นไปนับได้ 23,000 คน แต่ไม่ได้นับรวมเข้าในสำมะโนประชากรของอิสราเอล เพราะชาวเลวีไม่ได้รับส่วนแบ่งที่ดินเหมือนตระกูลอื่นๆ

63ทั้งหมดนี้คือสำมะโนประชากรซึ่งโมเสสและปุโรหิตเอเลอาซาร์จัดทำขึ้นในที่ราบโมอับริมแม่น้ำจอร์แดนตรงข้ามเมืองเยรีโค 64ไม่มีสักคนเดียวในสำมะโนประชากรนี้ที่มีชื่ออยู่ในสำมะโนประชากรคราวก่อนซึ่งโมเสสและปุโรหิตอาโรนทำขึ้นในถิ่นกันดารซีนาย 65ตามที่องค์พระผู้เป็นเจ้าได้ตรัสแก่ชาวอิสราเอลเหล่านั้นว่าพวกเขาจะตายในถิ่นกันดารแน่นอน ยกเว้นคาเลบบุตรเยฟุนเนห์และโยชูวาบุตรนูน

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 26:1-65

Kuhesabiwa Watu Mara Ya Pili

126:1 Hes 14:37; 25:8Baada ya hiyo tauni, Bwana akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni, 226:2 Kut 30:11-16; Hes 1:3; Kut 38:25“Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.” 326:3 Hes 33:48; Yos 13:22; Hes 22:1; Kum 4:46-49Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema, 426:4 Kut 6:14; 13:3“Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.”

Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:

526:5 Hes 1:20; Mwa 46:8, 9; 1Nya 5:3; Ufu 7:5Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa:

kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki;

kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;

626:6 1Nya 5:3; Mwa 46:9kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.

7Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.

8Mwana wa Palu alikuwa Eliabu, 926:9 Hes 16:1; 1:16; 16:2; Isa 65:16; Kum 11:6; Hes 27:3; 16:1, 2nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana. 1026:10 Kut 15:12; Hes 16:35, 38; Kut 3:12; Ay 31:3; Za 145:20; Yer 29:22; 2Pet 2:6; Yud 7Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo. 1126:11 Kut 6:24; Hes 16:33; Kum 5:9; 24:16; 2Fal 14:6; 2Nya 25:4; Eze 18:20Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.

1226:12 Mwa 46:10; 1Nya 4:24; Kut 6:15Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli;

kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini;

kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

1326:13 Mwa 46:10kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera;

kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.

1426:14 Mwa 46:10; Hes 1:23Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.

1526:15 Mwa 46:16Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni;

kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi;

kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;

16kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni;

kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;

1726:17 Mwa 46:16kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi;

kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.

1826:18 Mwa 30:11; Hes 1:25; Yos 13:24-28Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.

1926:19 Mwa 38:3; 38:4; 38:7; 46:12; 1Nya 2:3Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.

2026:20 Mwa 38:5; 38:29; Yos 7:17Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela;

kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi;

kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.

2126:21 Mwa 38:29; Rut 4:19; 1Fal 2:9Wazao wa Peresi walikuwa:

kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.

2226:22 Hes 1:27Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.

2326:23 Mwa 46:13; 49:14Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola;

kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;

2426:24 Mwa 46:13kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu;

kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.

2526:25 Mwa 30:18Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.

2626:26 Hes 1:30; Mwa 46:14; 49:13Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi;

kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni;

kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.

2726:27 Mwa 30:20Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.

2826:28 Hes 1:32; 36:1; Mwa 41:52; 46:20; 48:3Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:

2926:29 Hes 1:34; Mwa 50:23; Amu 11:1; Hes 32:39Wazao wa Manase:

kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi);

kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.

3026:30 Hes 27:1; 36:1; 1Nya 7:14; Yos 17:2; Amu 6:11; 8:2Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi:

kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri;

kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;

31kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli;

kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;

32kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida;

kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.

3326:33 Hes 27:1; 36:2; Yos 17:3; 1Nya 7:15; Hes 27:3; 36:11(Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)

3426:34 Hes 1:35Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.

3526:35 Hes 1:32; 1Nya 7:20Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao:

kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela;

kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri;

kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

36Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela:

kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

3726:37 Hes 1:33; Kum 33:13-17Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500.

Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.

3826:38 Mwa 46:21; Hes 1:36; 1Nya 8:40Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela;

kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli;

kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;

3926:39 Mwa 46:21; 1Nya 7:12kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu;

kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.

4026:40 Mwa 46:21; 1Nya 8:3Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa:

kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi;

kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.

4126:41 Hes 1:37Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.

4226:42 Hes 1:38, 39; Amu 18:19; Mwa 46:23; 49:16; Kum 33:22Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao:

kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu.

Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani: 43Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.

4426:44 Hes 1:40; 26:47; 1:41Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna;

kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi;

kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;

45kutoka kwa wazao wa Beria:

kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi;

kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.

46(Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)

47Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.

4826:48 Mwa 30:8; 46:24; 1Nya 7:13Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli;

kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;

4926:49 1Nya 7:13kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri;

kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.

5026:50 Hes 1:42, 43Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.

5126:51 Kut 12:37; Hes 1:46; 2:32Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.

52Bwana akamwambia Mose, 5326:53 Yos 11:23; 14:1; Eze 45:8“Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina. 5426:54 Hes 33:54; 35:8Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa. 5526:55 Hes 34:13; Yos 11:23; 14:2Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao. 56Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

5726:57 Mwa 46:11; Kut 6:16; 1Nya 6:16Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao:

kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni;

kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi;

kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.

5826:58 Kut 6:20Hizi pia zilikuwa koo za Walawi:

ukoo wa Walibni;

ukoo wa Wahebroni;

ukoo wa Wamahli;

ukoo wa Wamushi;

ukoo wa wana wa Kora.

(Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu; 5926:59 Kut 2:1; 6:20; 2:4; 15:20jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu. 6026:60 Kut 6:23Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari. 6126:61 Law 10:1-2; Hes 3:4; 1Nya 24; 2Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za Bwana kwa moto usioruhusiwa.)

6226:62 Hes 3:39; 1:47; 18:23; 2:33; 18:20-24; 35:2-8; Kum 14:27-29Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.

6326:63 Hes 1:19; 22:1Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko. 6426:64 Hes 14:29; 1:44; 1:1; Kum 2:14, 15Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai. 6526:65 Hes 14:18; 1Kor 10:5; Hes 13:6; 11:28; Za 90:3-8; Rum 11:22; Kum 32:49-50; Yos 14:10; Hes 14:18, 30; Ebr 3:17, 18; Yud 5Kwa maana Bwana alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.