Mateusza 1 – SZ-PL & NEN Parallel Bible

Słowo Życia

Mateusza 1:1-25

Rodowód Jezusa

1Oto rodowód Jezusa Chrystusa, pochodzącego z rodu króla Dawida, potomka Abrahama:

2Abraham był ojcem Izaaka,

Izaak—ojcem Jakuba,

a Jakub—ojcem Judy i jego braci.

3Kolejni potomkowie Judy to: Fares i jego brat Zara (ich matką była Tamar),

Ezrom, Aram,

4Aminadab, Naasson, Salmon,

5Booz (jego matką była Rachab),

Jobed (jego matką była Rut),

Jesse

6i król Dawid.

Dawid był ojcem króla Salomona (jego matką była dawna żona Uriasza), a po nim byli:

7Roboam, Abiasz, Asa,

8Jozafat, Joram, Ozjasz,

9Joatam, Achaz, Ezechiasz,

10Manasses, Amos i Jozjasz.

11Jozjasz był ojcem Jechoniasza i jego braci (był to czas przesiedlenia Żydów do Babilonu).

12Potomkowie Jechoniasza po przesiedleniu to:

Salatiel, Zorobabel,

13Abijud, Eliakim, Azor,

14Sadok, Achim, Eliud,

15Eleazar, Mattan i Jakub.

16Jakub zaś był ojcem Józefa, męża Marii, która urodziła Jezusa, zwanego Chrystusem.

17Tak więc wszystkich pokoleń, od Abrahama do Dawida, było czternaście, od Dawida do przesiedlenia babilońskiego—czternaście, i od przesiedlenia do Chrystusa—również czternaście.

Narodzenie Jezusa Chrystusa

18Jezus Chrystus urodził się w takich oto okolicznościach: Jego matka, Maria, była zaręczona z Józefem. Ale zanim wspólnie zamieszkali, za sprawą Ducha Świętego zaszła w ciążę. 19Józef, jej narzeczony, był prawym człowiekiem. Postanowił zerwać zaręczyny, ale chciał to uczynić potajemnie, by nie narażać Marii na publiczne oskarżenia. 20Gdy już to postanowił, we śnie ukazał mu się anioł Pana, który rzekł:

—Józefie, potomku króla Dawida! Nie bój się ożenić z Marią, twoją narzeczoną! Bo to Duch Święty sprawił, że poczęła dziecko. 21Urodzi syna, któremu nadasz imię Jezus (czyli „Bóg zbawia”), bo to On wybawi od grzechów swój naród.

22Stało się tak, aby wypełniło się to, co Pan przepowiedział przez proroka: 23„Oto dziewica pocznie i urodzi Syna i nazwą Go Emmanuel” (co znaczy: „Bóg jest z nami”). 24Gdy Józef się obudził, zgodnie z poleceniem anioła przyjął Marię, jako żonę, do swojego domu. 25Nie współżył z nią jednak aż do czasu, gdy urodziła Syna. I dał Mu na imię Jezus.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mathayo 1:1-25

Kumbukumbu Za Ukoo Wa Yesu Kristo

(Luka 3:23-38)

11:1 Rum 1:3; Mwa 22:18; Lk 3:23-38Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:

21:2 Mwa 21:3, 12; 25:26; 29:35; 49:10Abrahamu akamzaa Isaki,

Isaki akamzaa Yakobo,

Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,

31:3 Mwa 38:27-30; 1Nya 2:5, 9; Rut 4:18-22; 1Nya 2:10-12Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari,

Peresi akamzaa Hesroni,

Hesroni akamzaa Aramu,

4Aramu akamzaa Aminadabu,

Aminadabu akamzaa Nashoni,

Nashoni akamzaa Salmoni,

51:5 Rut 4:13-17; Ebr 11:31Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu,

Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu,

Obedi akamzaa Yese,

61:6 1Sam 16:1; 17:12; 2Sam 12:24Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme.

Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.

71:7 1Nya 3:10-14Solomoni akamzaa Rehoboamu,

Rehoboamu akamzaa Abiya,

Abiya akamzaa Asa,

8Asa akamzaa Yehoshafati,

Yehoshafati akamzaa Yoramu,1:8 Yoramu ndiye Yehoramu, maana yake ni Yehova yu juu.

Yoramu akamzaa Uzia,

9Uzia akamzaa Yothamu,

Yothamu akamzaa Ahazi,

Ahazi akamzaa Hezekia,

101:10 2Fal 20:21; 1Nya 3:13Hezekia akamzaa Manase,

Manase akamzaa Amoni,

Amoni akamzaa Yosia,

111:11 Dan 1:1-2; 2Fal 24:14-16; Yer 27:20; 40:1wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.

121:12 1Nya 3:17-19; Ezr 3:2Baada ya uhamisho wa Babeli:

Yekonia alimzaa Shealtieli,

Shealtieli akamzaa Zerubabeli,

13Zerubabeli akamzaa Abiudi,

Abiudi akamzaa Eliakimu,

Eliakimu akamzaa Azori,

14Azori akamzaa Sadoki,

Sadoki akamzaa Akimu,

Akimu akamzaa Eliudi,

15Eliudi akamzaa Eleazari,

Eleazari akamzaa Matani,

Matani akamzaa Yakobo,

161:16 Lk 1:27; Mt 27:17naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.1:16 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta.

17Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.

Kuzaliwa Kwa Yesu Kristo

(Luka 2:1-7)

181:18 Lk 1:35Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu. 191:19 Kum 24:1Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.

201:20 Lk 1:35Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu. 211:21 Lk 1:31; Za 130:8; Tit 2:14Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu,1:21 Yesu ni Iesous kwa Kiyunani, na kwa Kiebrania ni Yoshua au Yeshua. Maana yake ni Yehova ni wokovu. kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”

221:22 Mt 22:15; 17:23; 4:14; Lk 4:21; 21:22; Yn 13:18; 19:24Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema: 231:23 Isa 7:14; 8:8-10“Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”

241:24 Mdo 5:19Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake. 251:25 Lk 1:31; 2:7; 2:1; 2:4-7; 1:5Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.