Zjevení 5 – SNC & NEN

Slovo na cestu

Zjevení 5:1-14

Bůh má se světem svůj plán a Beránek jej uskuteční

1Tu jsem uviděl, že onen sedící na trůnu má v pravé ruce svitek popsaný z obou stran, zapečetěný sedmi pečetěmi. 2Jeden mocný anděl zvolal silným hlasem: „Kdo může rozlomit tyto pečetě a rozvinout ten svitek?“ 3-4Nikde se však nikdo nenašel, kdo by to mohl učinit a přečíst. To mě zarmoutilo, že jsem až plakal. 5Ale jeden z těch starců mě potěšil: „Neplač! Ježíš, Lev z Judova kmene, Davidův potomek zvítězil! On proto může rozlomit ty pečetě a svitek rozvinout.“

6Setřel jsem slzy a vidím, že v kruhu starců, mezi čtyřmi bytostmi u trůnu, stojí Beránek, s jizvami po smrtelných ranách. Na hlavě má znamení plnosti síly a vševědoucnosti Božího Ducha. 7Beránek přistoupil až k sedícímu na trůnu a z jeho pravice přijal ten svitek.

8Jakmile se to stalo, ty čtyři bytosti a dvacet čtyři starci se mu hluboce uklonili. Každý z nich měl harfu a zlatou nádobu z níž jako vonný dým vystupovaly modlitby věřících. 9Začali zpívat novou píseň:

„Ty jediný jsi hoden vzít tento zápis a rozlomit pečetě!

Vždyť jsi položil svůj život a z otroctví hříchu jsi Bohu vykoupil svou krví lidi všech kmenů,

jazyků, tříd i národů.

10Udělal jsi je Božími králi

a knězi na zemi.“

11Tu se k nim připojil obrovský zástup andělů, kteří obklopovali Boží trůn. Byly jich statisíce. 12Volali:

„Obětovanému Beránkovi patří všechna moc,

bohatství, moudrost i síla,

čest, sláva i dík.“

13A všechno tvorstvo v nebi, na zemi, v hlubinách, v mořích – prostě celý vesmír se rozezvučel:

„Bohu na trůnu a Beránkovi díky,

čest, sláva a moc na věky věků!“

14Čtyři bytosti kolem trůnu uzavřely chvalozpěvy společným „Amen!“ A čtyřiadvacet starců se hluboce poklonilo.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 5:1-14

Kitabu Na Mwana-Kondoo

15:1 Ufu 4:2, 9; Eze 2:9-10; Isa 29:11; Dan 12:4Kisha nikaona katika mkono wake wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi, kitabu kilichoandikwa ndani na upande wa nje, kikiwa kimefungwa kwa lakiri saba. 25:2 Ufu 10:1Nami nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kuu, akisema, “Ni nani anayestahili kuzivunja hizo lakiri na kukifungua kitabu?” 35:3 Ufu 5:13Lakini hapakuwa na yeyote mbinguni wala duniani au chini ya dunia aliyeweza kukifungua hicho kitabu wala hata kutazama ndani yake. 4Nikalia sana sana kwa sababu hakuonekana yeyote anayestahili kukifungua hicho kitabu wala kutazama ndani yake. 55:5 Mwa 49:9; Isa 11:1, 10; Rum 15:12Kisha, mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa Uzao wa Daudi, ameshinda. Yeye ndiye anayeweza kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba.”

65:6 Yn 1:29; Zek 4:10Ndipo nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale viumbe wenye uhai wanne na miongoni mwa wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho saba5:6 Roho saba za Mungu hapa inamaanisha Roho wa Mungu katika ukamilifu wa utendaji wake. za Mungu zilizotumwa duniani pote. 75:7 Ufu 4:2Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi. 85:8 Ufu 14:2; Za 141:2Alipokwisha kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya watakatifu. 95:9 Za 149:1; Ufu 14:3-4; 4:11; Ebr 9:12; 1Kor 6:20Nao wakaimba wimbo mpya, wakisema:

“Wewe unastahili kukitwaa kitabu

na kuzivunja lakiri zake,

kwa sababu ulichinjwa

na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu

kutoka kila kabila, kila lugha,

kila jamaa na kila taifa.

105:10 1Pet 5:5Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani

wa kumtumikia Mungu wetu,

nao watatawala duniani.”

115:11 Dan 7:10; Yud 14Kisha nikatazama, nikasikia sauti za malaika wengi wakiwa wamekizunguka kile kiti cha enzi, pamoja na wale viumbe wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne. Idadi yao ilikuwa kumi elfu mara kumi elfu na maelfu ya maelfu. 125:12 Ufu 4:11Nao waliimba kwa sauti kuu, wakisema:

“Anastahili Mwana-Kondoo, yeye aliyechinjwa,

kupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu

na heshima na utukufu na sifa!”

135:13 Flp 2:10; Mal 1:6; Rum 11:36Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba:

“Sifa na heshima na utukufu na uweza

ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi

na kwa Mwana-Kondoo,

milele na milele!”

145:14 Ufu 4:9-10; 19:4Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, “Amen!” Nao wale wazee ishirini na wanne wakaanguka kifudifudi wakaabudu.